< Jezekilj 34 >
1 Opet mi doðe rijeè Gospodnja govoreæi:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Sine èovjeèji, prorokuj protiv pastira Izrailjevijeh, prorokuj i reci tijem pastirima: ovako veli Gospod Gospod: teško pastirima Izrailjevijem koji pasu sami sebe! Ne treba li stado da pasu pastiri?
“Mwanadamu, tabiri dhidi ya wachungaji wa Israeli. Toa unabii na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi kwa wachungaji: Ole kwa wachungaji wa Israeli wanaojilisha wenyewe. Je! wachungaji hawapaswi kulilinda kundi?
3 Pretilinu jedete i vunom se odijevate, koljete tovno, stada ne pasete.
Mnakula mafungu yaliyonona na mnavaa sufu. Mnawachinja walionona. Hamkuwalisha siku zote.
4 Slabijeh ne krijepite, i bolesne ne lijeèite, ranjene ne zavijate, odagnane ne dovodite natrag, izgubljene ne tražite, nego silom i žestinom gospodarite nad njima.
Hamkuwatia nguvu wagonjwa, wala hamkuwaponya wenye maradhi. Hamkuwafungua wale waliovunjika, hamkuwarudisha waliofukuzwa au kuwatafuta waliopotea. Badala yake, mmetawala juu yao kwa nguvu na vurugu.
5 I raspršaše se nemajuæi pastira, i raspršavši se postaše hrana svijem zvijerima poljskim.
Kisha walikuwa wametawanyika bila mchungaji, na wakawa chakula kwa wanyama wote waishio katika mashamba, walipokuwa wametawanyika.
6 Ovce moje lutaju po svijem gorama i po svijem visokim humovima; i po svoj zemlji raspršane su ovce moje, i nema nikoga da pita za njih, nikoga da ih traži.
Kundi langu limetawanyika juu ya milima yote na juu ya kilima kirefu, na limetawanyika juu ya uso wote wa dunia. Wala hakuna anayewatafua.
7 Zato, pastiri, èujte rijeè Gospodnju;
Kwa hiyo, wachungaji, sikilizeni neno la Yahwe:
8 Tako ja bio živ, govori Gospod Gospod, što stado moje posta grabež, i ovce moje postaše hrana svijem zvijerima poljskim nemajuæi pastira, i pastiri moji ne traže stada mojega, nego pastiri pasu sami sebe, a stada mojega ne pasu;
Kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-kwa sababu kundi langu limekuwa mateka na chakula kwa ajili ya wanyama katika mashamba, kwa sababu hapakuwa na mchungaji yeyote, lakini wachungaji walijilisha wenyewe na hawakulisha kundi langu.
9 Zato, pastiri, èujte rijeè Gospodnju;
Kwa hiyo, wachungaji, lisikilizeni neno la Yahwe:
10 Ovako veli Gospod Gospod: evo me na te pastire, i iskaæu stado svoje iz njihovijeh ruku, i neæu im dati više da pasu stado, i neæe više pastiri pasti sami sebe, nego æu oteti ovce svoje iz usta njihovijeh i neæe im biti hrana.
Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu ya wachungaji, na nitalitaka kundi langu kutoka mkononi mwake. Kisha nitawaachisha kutoka kulichunga kundi; wala wachungaji hawatajilisha wenyewe tena kwa kuwa nitaliondoa kundi langu kutoka midomoni mwao, ili kwamba kundi langu lisiwe chakula kwa ajili yao tena.
11 Jer ovako veli Gospod Gospod: evo me, ja æu tražiti ovce svoje i gledati ih.
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! mimi mwenyewe nitawatafuta kondoo wangu na kuwaulizia,
12 Kao što pastir traži stado svoje kad je kod ovaca svojih raspršanijeh, tako æu tražiti ovce svoje i oteæu ih iz svijeh mjesta kuda se raspršaše kad bijaše oblaèno i mraèno.
kama mchungaji atafutaye kundi lake juu ya siku hiyo yupo ndani ya kundi lake lililotawanyika. Hivyo nitalitafuta kundi langu, na nitalichunga kutoka sehemu lilipokuwa limetawanyika siku ya mawingu na giza.
13 I izvešæu ih iz naroda, i pokupiæu ih iz zemalja, i dovešæu ih u zemlju njihovu, i pašæu ih na gorama Izrailjevijem pokraj potoka i po svijem mjestima naseljenijem u zemlji.
Kisha nitalileta kutoka miongoni mwa watu; nitalikusanya kutoka nchi mbali mbali na kulileta kwenye nchi yao. Nitaliweka kwenye malisho juu ya pande za milima ya Israeli, karibu na vijito, na katika kila makazi katika nchi.
14 Na dobroj paši pašæu ih, i tor æe im biti na visokim gorama Izrailjevijem; ondje æe ležati u dobrom toru i po obilatoj æe paši pasti na gorama Izrailjevijem.
Nitawaweka kwenye malisho mema; juu ya milima ya Israeli itakuwa sehemu za malisho yao. Watalala chini huko katika sehemu nzuri kwa ajili ya malisho, katika malisho mengi, na watalisha juu ya milima ya Israeli.
15 Ja æu pasti stado svoje, i ja æu ih odmarati, govori Gospod Gospod.
Mimi mwenyewe nitachunga kondoo wangu, na mimi mwenyewe nitawalaza chini-hivi ndivyo Bwana Yahwe
16 Tražiæu izgubljenu, i dovešæu natrag odagnanu, i ranjenu æu zaviti i bolesnu okrijepiti; a tovnu æu i jaku potrti, pašæu ih pravo.
asemavyo-Nitawatafuta waliopotea nitawarudisha waliofukuzwa. Nitawafunga waliovunjika na kuwaponya kondoo waliougua lakini wanene na wenye nguvu nitawaharibu. Nitawalisha kwa haki.
17 A vama, stado moje, ovako govori Gospod Gospod: evo ja æu suditi izmeðu ovce i ovce, izmeðu ovnova i jaraca.
Hivyo sasa ninyi, kundi langu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-tazama, nitakuwa hakimu kati ya kondoo na kondoo na kati ya kondoo dume na mbuzi dume.
18 Malo li vam je što pasete na dobroj paši, nego ostatak paše svoje gazite nogama svojim? i što pijete bistru vodu, nego ostatak mutite nogama svojim?
Je! haitoshi kulisha juu ya malisho mazuri, ambayo mtayakanyaga chini kwa miguu yenu kile kilichobakia kwenye malisho; na kunywa kutoka maji masafi, ambayo hakuna budi kuikanyaga mito kwa miguu yenu?
19 A moje ovce pasu što vi nogama svojim izgazite, i piju što vi zamutite nogama svojim.
Kondoo zangu zitakula kile mlichokanyagwa kwa miguu yenu, na kunywa maji yale mliyoyakanyaga kwa miguu yenu?
20 Zato ovako im veli Gospod Gospod: evo me, ja æu suditi izmeðu ovce debele i ovce mršave.
Kwa hiyo Bwana Yahwe anawaambia hivi; Tazama! Mimi mwenyewe nitahukumu kati ya wanene na waliokonda,
21 Što bocima i ramenima otiskujete i rozima svojim bodete sve bolesne tako da ih razagnaste napolje,
Kwa kuwa mmewasukuma kwa ubavu wenu na mabega, na kuwapiga kwa pembe wadhaifu wote kwa pembe zenu hadi mtakapowatawanya mbali kutoka kwenye nchi.
22 Zato æu izbaviti stado svoje da ne bude više grabež, i sudiæu izmeðu ovce i ovce.
Nitaliokoa kundi langu na hawatakuwa mateka tena, na nitahukumu kati ya kondoo mmoja na mwingine!
23 I podignuæu im jednoga pastira koji æe ih pasti, slugu svojega Davida; on æe ih pasti i biæe im pastir.
Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi. Atawachunga, atawalisha, na atakuwa mchungaji wao.
24 A ja Gospod biæu im Bog, i sluga moj David knez meðu njima. Ja Gospod rekoh.
Kwa kuwa mimi, Yahwe, nitakuwa Mungu wao, na mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu kati yao-mimi, Yahwe, nimesema hivi.
25 I uèiniæu s njima zavjet mirni, istrijebiæu zle zvijeri iz zemlje, i oni æe živjeti u pustinji bez straha i spavaæe u šumama.
Kisha nitafanya agano la amani pamoja nao na kuwaondoa wanyama waovu kutoka kwenye nchi, ili kwamba waishi salama katika jangwa na walale salama katika misitu.
26 I blagosloviæu njih i što je oko gore moje, i puštaæu dažd na vrijeme; daždi æe blagoslovni biti.
Pia nitaleta baraka juu yao na juu ya maeneo yazungukao kilima changu, kwa kuwa nitaleta manyunyu kwa wakati wake. Haya yatakuwa manyunyu ya baraka.
27 I drveta æe poljska raðati svoj rod, i zemlja æe raðati svoj rod; i oni æe biti u svojoj zemlji bez straha, i poznaæe da sam ja Gospod kad polomim palice jarma njihova, i izbavim ih iz ruku onijeh koji ih zarobiše.
Kisha miti ya shambani itazaa matunda yake, na dunia itashindwa kuzaa matunda yake. Kondoo wangu watakuwa salama katika nchi yao; kisha watajua ya kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakazipovunja fito za kongwa zao, na wakati nitakapowalinda kutoka kwenye mkono wa wale walio watumikisha.
28 I neæe više biti plijen narodima, i zvijeri zemaljske neæe ih jesti, nego æe živjeti bez straha i niko ih neæe plašiti.
Hawatakuwa mateka tena kwa mataifa, na wanyama pori juu ya dunia hawatawameza tena. Kwa kuwa wataishi salama na wala hakuna mtu atakayewatia hofu.
29 I podignuæu im biljku za slavu, i neæe više umirati od gladi u zemlji, niti æe podnositi sramote od naroda.
Kwa kuwa nitatengeneza sehemu ya kulimia nzuri kwa ajili yao hivyo hawataangamia kwa njaa katika nchi, na mataifa hayataleta matukano juu ya yao.
30 I poznaæe da sam ja Gospod Bog njihov s njima, i oni, dom Izrailjev, da su moj narod, govori Gospod Gospod.
Kisha watajua kwamba mimi, Yahwe Mungu wao, niko pamoja nao. Ni watu wangu, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.
31 A vi ste stado moje, ovce paše moje, vi ljudi, a ja sam Bog vaš, govori Gospod Gospod.
Kwa kuwa ninyi ni kondoo wangu, kundi la malisho yangu, na watu wangu, na mimi ni Mungu wenu-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.”