< Jezekilj 2 >

1 I reèe mi: sine èovjeèji, ustani na noge da govorim s tobom.
Akanambia, “Mwana wa adamu, simama kwa miguu yako; kisha nitaongea na wewe.”
2 I uðe u me duh kad mi progovori, i postavi me na noge, i slušah onoga koji mi govoraše.
Kisha, alipokuwa akiongea na mimi, Roho akaingia ndani yangu na ikaniweka kwenye miguu yangu, na nikamsikia akiongea na mimi.
3 I reèe mi: sine èovjeèji, ja te šaljem k sinovima Izrailjevijem, k narodima odmetnièkim, koji se odmetnuše mene; oni i oci njihovi biše mi nevjerni do ovoga dana.
Akanambia, “Mwana wa adamu, nakutuma kwa watu wa Israeli, kwa mataifa yanayoasi ambayo yameasi dhidi yangu-wote wao na babu zao wameasi juu yangu hata hivi leo!
4 K sinovima tvrda obraza i uporna srca šaljem te ja, pa im reci: tako veli Gospod;
Vizazi vyao vina sura za kikaidi na mioyo migumu. Nakutuma wewe kwenda kwao, na utawaambia, 'Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
5 I poslušali ili ne poslušali, jer su dom odmetnièki, neka znaju da je prorok bio meðu njima.
Labda watasikia au hawatasikia. Ni nyumba za uasi, lakini angalau watajua kwamba nabii alikuwa miongoni mwao.
6 I ti, sine èovjeèji, ne boj ih se niti se boj njihovijeh rijeèi, što su ti uporni i kao trnje i živiš meðu skorpijama; ne boj se njihovijeh rijeèi i ne plaši se od njih, što su dom odmetnièki.
Wewe, mwanadamu, usiwaogope au maneno yao. Usiogope, ingawa utakuwa pamoja na mitemba na miiba na ijapokuwa unaishi na nge. Usiogope maneno yao au kuvunjika moyo kwa nyuso zao, kwa kuwa ni nyumba zenye kuasi.
7 Nego im kaži rijeèi moje, poslušali ili ne poslušali, jer su odmetnici.
Lakini utawaambia maneno yangu, labda watasikia au hapana, kwa sababu ni waasi mno.
8 Ali ti, sine èovjeèji, slušaj što æu ti kazati, ne budi nepokoran kao taj dom nepokorni; otvori usta, i pojedi što æu ti dati.
Lakini wewe, mwanadamu, silikiliza kile nisemacho kwako. Usiwe muasi kama nyumba za uasi. Fungua mdomo wako na ule kile ninachotaka kukupa!”
9 I pogledah, a to ruka pružena k meni, i gle, u njoj savijena knjiga.
Kisha nikaona, na mkono ulikuwa umenyooshwa kwangu; ndani yake kulikuwa na hati ya kukunja.
10 I razvi je preda mnom, i bješe ispisana iznutra i spolja, i bješe u njoj napisan plaè i naricanje i jaoh.
Akaikinjua mbele yangu; ilikuwa imeandikwa pande zote mbele na nyuma, na yalikuwa yameandikwa maombolezo kwenye hiyo hati ya kukunja, na huzuni, na ole.

< Jezekilj 2 >