< Jezekilj 13 >
1 Opet mi doðe rijeè Gospodnja govoreæi:
Tena, neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Sine èovjeèji, prorokuj protiv proroka Izrailjevijeh koji prorokuju, i reci tijem koji prorokuju iz svoga srca: èujte rijeè Gospodnju.
“Mwanadamu, tabiri dhidi ya manabii wanaotabiri katika Israeli, na uwaambie wale wanotabiri nje ya fikra zao wenyewe, 'Lisikilizeni neno la Yahwe.
3 Ovako govori Gospod Gospod: teško ludijem prorocima koji idu za svojim duhom a ništa nijesu vidjeli.
Bwana Yahwe asema hivi: Ole wao manbii wajinga ambao wafwatao roho zao wenyewe, lakini wale wasioona kitu!
4 Proroci su tvoji, Izrailju, kao lisice po pustinjama.
Israeli, manabii zako wamekuwa kama mbeha kwenye aridhi iliyoharibiwa na vita.
5 Ne izlazite na prolome i ne ograðujete doma Izrailjeva da bi se održao u boju u dan Gospodnji.
Hamkwenda kwenye nyufa katika ukuta uliozunguka nyumba ya Israeli kwa ajili ya kuukarabati, ili kupigana katika vita katika siku ya Yahwe.
6 Vide taštinu i gatanje lažno, pa govore: Gospod kaže, a Gospod ih nije poslao, i daju nad da æe se rijeè ispuniti.
Watu wameona uongo na kufanya utabiri wa uongo, wale wasemao, “Hivi na hivi ndvyo Yahwe asemavyo.” Yahwe hajawatuma, lakini hata hivyo wamewafanya watu kutumaini kwamba ujumbe wao utakuwa kweli.
7 Ne viðate li taštu utvaru i ne govorite li lažno gatanje? a opet kažete: Gospod reèe; a ja ne rekoh.
Je hamkusikia maono ya uongo na kufanya utabiri wa uongo, ninyi msemao, “Hivi na hivi ndivyo Yahwe asemavyo” Wakati mimi mwenyewe sikuongea?'
8 Zato ovako veli Gospod Gospod: zato što govorite taštinu i vidite laž, zato evo mene na vas, govori Gospod Gospod.
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu mmesikia maono ya uongo na kuwaambia uongo-kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo dhidi yenu:
9 I ruka æe moja biti protiv proroka koji vide taštinu i gataju laž; neæe ih biti u zboru naroda moga, i u prijepisu doma Izrailjeva neæe biti zapisani, niti æe doæi u zemlju Izrailjevu; i poznaæete da sam ja Gospod Gospod.
Mkono wangu utakuwa juu yenu ninyi manabii mliodanganya maono na wale waliofanya unabii wa uongo. Hawatakuwepo kwenye kusanyiko la watu wangu, au kuandikishwa katika kumbukumbu ya nyumba ya Israeli; hawataenda kwenye nchi ya Israeli. Kwa kuwa mtajua yakwamba mimi ni Bwana Yahwe!
10 Zato, zato što prelastiše narod moj govoreæi: mir je, a mira ne bješe; i jedan ozida zid, a drugi ga namazaše kreèem nevaljalijem;
Kwa sababu hiyo, na kwa sababu wamewaongoza watu wangu kuwapotosha na kusema, “Amani!” wakati hakuna amani, wanajenga ukuta ambao wataupaka rangi ya chokaa.'
11 Reci onijem što mažu nevaljalijem kreèem da æe pasti; doæi æe silan dažd, i vi, kamenje velikoga grada, pašæete i oluja æe razvaliti.
Waambie wale wanaopaka chokaa ukuta, 'Utaanguka chini; kutakuwa na mvua ya kufurika, na nitaleta mvua ya mawe kuufanya uanguke chini, na upepo wa dhoruba kupuliza hata kuuvunja chini.
12 I gle, kad padne zid, neæe li vam se reæi: gdje je kreè kojim mazaste?
Tazama, ukuta utaanguka chini. Je wengine hawakuwaambia, “Iko wapi chokaa mliyoipaka juu yake?”
13 Zato ovako veli Gospod Gospod: razvaliæu olujom u gnjevu svom, i silan æe dažd doæi u gnjevu mom, i kamenje velikoga grada u jarosti mojoj da potre.
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Nitaleta upepo wa dhoruba katika ghadhabu yangu, na kutakuwa na mafuriko ya mvua kwenye ghadhabu yangu! Mvua ya mawe katika ghadhabu yangu itauharibu kabisa.
14 I razvaliæu zid koji namazaste nevaljalijem kreèem, i oboriæu ga na zemlju da æe mu se otkriti temelj, i pašæe, i vi æete izginuti usred njega, i poznaæete da sam ja Gospod.
Kwa kuwa nitaurarua chini ukuta ambao mlioufunika kwa chokaa, na nitaubomoa hata kwenye nchi na kuifunua misingi yake. Hivyo utaanguka, nanyi nyote mtaangamizwa katikati ya huo.
15 I tako æu navršiti gnjev svoj na zidu i na onima koji ga mažu kreèem nevaljalijem, i reæi æu vam: nema zida, niti onijeh koji ga mazaše,
Ndivyo nitakavouangamiza kwa ghadhabu yangu ukuta na wale walioupaka chokaa. Nitawaambia, “Ukuta hautaonekana tena, wala watu wanaoupaka chokaa-
16 Proroka Izrailjevijeh koji prorokuju Jerusalimu i vide mu utvare za mir, a mira nema, govori Gospod Gospod.
manabii wa Israeli wale waliotabiri kuhusu Yerusalemu na wale waliokuwa wameona amani kwa ajili yake. Lakini hakuna amani! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
17 A ti, sine èovjeèji, okreni lice svoje prema kæerima naroda svojega, koje prorokuju iz svoga srca, i prorokuj protiv njih.
Hivyo wewe, mwanadamu, weka uso wako dhidi ya binti za watu wako wale wanaotabiri kwa akili zao wenyewe, na kutabiri dhidi yao.
18 I reci: ovako veli Gospod Gospod: teško onima koje šiju uzglavlja pod sve laktove i grade pokrivala na glavu svakoga rasta da love duše. Lovite duše mojega naroda, a svoje li æete duše saèuvati?
Sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa wanawake washonao hiziri kwenye kila sehemu ya mkono wao na kutengeza vitambaa vya shela kwa ajili ya vichwa vyao kwa kila kipimo, ili kuwinda watu. Je mtawawinda watu wangu ila kuokoa maisha yenu wenyewe?
19 I skvrnite me kod naroda mojega za grst jeèma i za zalogaj hljeba ubijajuæi duše, koje ne bi trebalo da umru, i èuvajuæi u životu duše koje ne treba da žive, lažuæi narodu mojemu, koji sluša laž.
Ninyi mmenikufuru mbele ya watu wangu kwa ajili ya makonzi ya shayiri na vipande vya mkate, kuwaua watu ambao hawakutakiwa kufa, na kuyalinda maisha ya wale ambao hawatakiwi kuendelea kuishi, kwa sababu ya uongo wenu kwa watu wangu walio wasikiliza.
20 Zato ovako veli Gospod Gospod: evo mene na vaša uzglavlja, na koja lovite duše da vam dolijeæu, i poderaæu ih ispod lakata vaših, i pustiæu duše koje lovite da vam dolijeæu.
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Niko kinyume dhidi ya hirizi ambazo mlizozitumia kuyakamata kwa hila maisha ya watu kana kwamba wamekuwa ndege. Naam, nitazichana kutoka kwenye mikono yenu; na wale watu mlio watega kama ndege-nitawaacha waende huru.
21 I poderaæu pokrivala vaša i izbaviæu svoj narod iz vaših ruku, i neæe više biti u vašim rukama da vam budu lov, i poznaæete da sam ja Gospod.
Nitavichana mbali vitambaa vya shela na kuwaokoa watu wangu kutoka kwenye mikono yangu, kwa hiyo hawatategwa tena kwenye mikono yenu. Mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
22 Jer žalostiste lažju srce pravedniku, kojega ja ne ožalostih, i krijepiste ruke bezbožniku da se ne vrati sa svoga zloga puta da se saèuva u životu.
Kwa sababu mmeuvunja moyo wa mtu mwenye haki kwa uongo, ingawa hata mimi sikutamani kuvunjwa kwake moyo, na kwa sababu mmemtia moyo badala yake matendo ya mtu mwovu ili kwamba asitaweze kurudi kutoka kwenye njia yake kuokoa maisha yake-
23 Zato neæete viðati taštine i neæete više gatati, nego æu izbaviti narod svoj iz vaših ruku, i poznaæete da sam ja Gospod.
kwa hiyo hamtayaona tena maono ya uongo au kuendelea kufanya utabiri, kwa kuwa nitawaokoa watu wangu kutoka kwenye mkono wako. Nanyi mtajua kwamba mimi ni Yahwe.'”