< Izlazak 36 >
1 I stade raditi Veseleilo i Elijav i svi ljudi vješti, kojima bješe Gospod dao mudrost i razum da umiju raditi svaki posao za službu u svetinji, i sve što je zapovjedio Gospod.
Hivyo Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Yahweh aliye mpa ustadi na uwezo kujua jinsi ya kufanya kazi katika ujenzi wa sehemu takatifu wafanye kazi kadiri ya yote Yahweh aliyo amuru.”
2 I pozva Mojsije Veseleila i Elijava i sve ljude vješte, kojima Gospod dade mudrost u srce, koje god podiže srce njihovo da doðu da rade taj posao.
Musa akamuita Bezaleli, Oholiabu, na kila mtu mwenye ujuzi ambaye Yahweh kampa ujuzi, na ambaye moyoni mwake ulichochewa kuja na kufanya kazi.
3 I uzeše od Mojsija sve priloge, koje donesoše sinovi Izrailjevi da se uradi djelo za službu u svetinji. Ali još donošahu k njemu dragovoljne priloge svako jutro.
Walipokea kutoka kwa Musa sadaka zote ambazo Waisraeli walizo leta kwa ujenzi ya sehemu takatifu. Watu walikuwa bado wanaleta sadaka za hiari kila asubui kwa Musa.
4 Tada doðoše svi vješti ljudi, koji raðahu djelo za svetinju, svaki od svojega posla, koji raðahu,
Hivyo watu wote walikuwa na ujuzi walikuwa wakifanya kazi sehemu takatifu walikuja kutoka kwenye kazi walikuwa wakifanya.
5 I rekoše Mojsiju govoreæi: više donosi narod nego što treba da se uradi djelo, koje je Gospod zapovjedio da se uradi.
Wachonga mawe walimwabia Musa, “Watu wanaleta zaidi sana ya yanayo itajika kufanya kazi Yahweh aliyo tuamuru.”
6 I zapovjedi Mojsije da se oglasi po okolu govoreæi: ni èovjek ni žena da ne donosi više priloga za svetinju. I zabrani se narodu da ne donosi.
Hivyo Musa akaamuru mtu yeyote asilete tena kwa ujenzi wa sehemu takatifu. Kisha watu wakaacha kuleta hivi vitu.
7 Jer bijaše svega dosta da se uradi sve djelo, i još pretjecaše.
Walikuwa na zaidi ya vitu vya ujenzi.
8 I ljudi vješti izmeðu onijeh, koji radiše ovo djelo, naèiniše šator od deset zavjesa od tankoga platna uzvedenoga i od porfire i od skerleta i od crvca, s heruvimima vješto vezenim naèiniše.
Hivyo wachonga mawe miongoni mwao wakajenga lile hema la kuabudia kwa mapazia kumi yaliyo jengwa kitamba kizuri na buluu, zambarau, na sufu nyekundu kwa aina ya kerubi. Hii ni kazi ya Bezaleli, mjenzi mwenye ujuzi sana.
9 U dužinu bješe jedan zavjes od dvadeset i osam lakata a u širinu od èetiri lakta; svi zavjesi bjehu jedne mjere.
Urefu wa kila pazia ulikuwa mikono ishirini na nane, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa vyote hivyo vilikuwa na kipimo kimoja.
10 I sastaviše pet zavjesa jedan s drugim, i pet drugih zavjesa sastaviše jedan s drugim.
Bezaleli akaunganisha vitambaa vitano pamoja, na vile vitambaa vingine vitano akaviunganisha pamoja.
11 I naèiniše petlje od porfire po kraju prvoga zavjesa na onoj strani gdje æe se sastaviti s drugim; i tako naèiniše na svakom zavjesu po kraju gdje æe se sastaviti s drugim.
Kisha akafanya vitanzi vya uzi wa bluu kwenye upindo wa kitambaa kilicho mahali pa kuungania. Akafanya vivyo hivyo kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pale pengine pa kuungania.
12 Pedeset petalja naèiniše na prvom zavjesu, i pedeset petalja naèiniše na kraju svakoga zavjesa gdje se sastavlja s drugim; petlje bjehu jedna prema drugoj.
Akafanya vitanzi hamsini kwenye kitambaa kimoja, akafanya vitanzi hamsini kwenye mwisho wa kitambaa kilichokuwa mahali pale pengine pa kuungania, vitanzi hivyo vikiwa vinaelekeana.
13 I naèiniše pedeset zlatnijeh kuka, i sastaviše kukama zavjese jedan s drugim; tako se šator sastavi.
Mwishowe akafanya kulabu hamsini za dhahabu na kuviunganisha vitambaa hivyo pamoja kwa kulabu hizo, hivi kwamba hiyo ikawa maskani moja.
14 I naèiniše zavjese od kostrijeti za naslon nad šatorom; jedanaest takih zavjesa naèiniše.
Bezaleli akafanya vitambaa vya mahema vya manyoya ya mbuzi kwa ajili ya hema lililo juu ya maskani. Vitambaa kumi na moja ndivyo alivyofanyiza.
15 U dužinu bješe jedan zavjes od trideset lakata a u širinu od èetiri lakta; jedne mjere bješe svijeh jedanaest zavjesa.
Urefu wa kila kitambaa ulikuwa mikono thelathini, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa hivyo kumi na moja vilikuwa na kipimo kimoja.
16 I sastaviše pet zavjesa zajedno, a drugih šest zavjesa zajedno.
Kisha akaunganisha vitambaa vitano pamoja na vile vitambaa vingine sita pamoja.
17 I naèiniše pedeset petalja po kraju jednoga zavjesa gdje se sastavlja s drugim, i pedeset petalja naèiniše po kraju drugoga zavjesa da se sastavi.
Kisha akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pa kuungania, naye akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kile kitambaa kingine kilichoungana nacho.
18 I naèiniše pedeset kuka od mjedi da se sastavi naslon.
Bezaleli akafanya kulabu hamsini za shaba kwa ajili ya kuliunganisha hilo hema pamoja liwe kipande kimoja.
19 I naèiniše pokrivaè na naslon od koža ovnujskih crvenih obojenih, i pokrivaè od koža jazavèjih ozgo.
Naye akafanya kifuniko cha hema kutokana na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu na kifuniko kutokana na ngozi za sili, upande wa juu.
20 I naèiniše daske šatoru od drveta sitima, koje æe stajati pravo.
Bezaleli akafanya viunzi vya mbao vya hema ya kukutani kutokana na mbao za mshita.
21 Daska bješe duga deset lakata a podrug lakta široka svaka daska.
Urefu wa kiunzi ulikuwa mikono kumi, nao upana wa kila kiunzi ulikuwa mkono mmoja na nusu.
22 Po dva èepa bjehu na dasci, jedan prema drugom; tako naèiniše na svijem daskama za šator.
Kila kiunzi kilikuwa na ndimi mbili zilizounganishwa. Hivyo ndivyo alivyofanya viunzi vyote vya maskani.
23 A ovijeh dasaka za šator naèiniše dvadeset dasaka za južnu stranu;
Basi akafanya viunzi vya maskani, viunzi ishirini kwa ajili ya upande kuelekea kusini.
24 I èetrdeset stopica srebrnijeh naèiniše pod dvadeset dasaka, dvije stopice pod jednu dasku za dva èepa njezina, a dvije stopice pod drugu dasku za dva èepa njezina.
Bezaleli akafanya vikalio arobaini vya fedha viwe chini ya vile viunzi ishirini, vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja pamoja na ndimi zake mbili na vikalio vingine viwili chini ya kiunzi kingine pamoja na ndimi zake mbili.
25 Tako i na drugoj strani šatora, prema sjeveru, naèiniše dvadeset dasaka,
Na kwa ajili ya ule upande mwingine wa maskani, upande wa kaskazini, akafanya viunzi ishirini
26 I èetrdeset stopica srebrnijeh pod njih, dvije stopice pod jednu dasku a dvije stopice pod drugu dasku.
na vikalio vyake arobaini vya fedha. Vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja na vikalio viwili chini ya kiunzi kingine
27 A na zapadnoj strani šatora naèiniše šest dasaka;
Na kwa ajili ya zile pande za nyuma za maskani kuelekea magharibi akafanya viunzi sita.
28 I još dvije daske naèiniše na uglove šatoru s obje strane;
Naye akafanya viunzi viwili vya pembeni ya maskani kwenye pande zake mbili za nyuma
29 One bijahu sastavljene ozdo, i bijahu sastavljene ozgo bioèugom; tako naèiniše s obje strane na dva ugla.
Hizi zilikuwa pacha upande wa chini, lakini juu ya kila moja kwenye pete ya kwanza. Hivyo ndivyo alivyoifanya yote miwili, ile miimo ya pembeni.
30 I tako bijaše osam dasaka i šesnaest stopica njihovijeh srebrnijeh, po dvije stopice pod svaku dasku.
Basi vikajumlika kuwa viunzi vinane na vikalio vyake kumi na sita vya fedha, vikalio viwili kando ya vikalio viwili chini ya kila kiunzi.
31 I naèiniše prijevornice od drveta sitima: pet za daske na jednoj strani šatora,
Bezaleli akafanya miti ya mshita, mitano kwa ajili ya viunzi vya upande mmoja wa maskani,
32 I pet prijevornica za daske na drugoj strani šatora, i pet prijevornica za daske na zapadnoj strani šatora do oba ugla.
na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya upande ule mwingine wa maskani na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya maskani kwa ajili ya zile pande mbili za nyuma za magharibi.
33 I naèiniše prijevornicu srednju da ide preko srijede dasaka od jednoga kraja do drugoga.
Kisha akafanya mti wa katikati upitie katikati ya vile viunzi toka mwisho mmoja mpaka ule mwingine.
34 A daske okovaše zlatom, i bioèuge na njih naèiniše od zlata, da u njima stoje prijevornice, i okovaše zlatom prijevornice.
Naye akavifunika vile viunzi kwa dhahabu, akafanyiza pete zake za dhahabu ziwe vitegemezo kwa ajili ya ile miti, akaifunika ile miti kwa dhahabu.
35 I naèiniše zavjes od porfire i od skerleta i od crvca i od tankoga platna uzvedenoga, s heruvimima vješto vezenim naèiniše ga.
Bezaleli akafanya pazia, la uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa cha rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kalitia makerubi kwa kazi ya mjenzi.
36 I naèiniše za nj èetiri stupa od drveta sitima, i okovaše ih zlatom, a kuke na njima bjehu od zlata, i sališe im èetiri stopice od srebra.
Kisha akalifanyia nguzo nne za mshita na kuzifunika kwa dhahabu, vibanio vyake vikiwa vya dhahabu, na kutengeneza vikalio vinne vya fedha kwa ajili yake.
37 I naèiniše zavjes na vrata naslonu od porfire i od skerleta i od crvca i od tankoga platna uzvedenoga vezen,
Naye akafanya kisitiri kwa ajili ya mwingilio wa hema kutokana na uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kazi ya mfumaji.
38 I pet stupova za nj s kukama njihovijem, i vrhove im i pojase okovaše zlatom, i pet stopica pod njih od mjedi.
Pia akafanya na nguzo zake tano na vibanio vyake. Naye akavifunika vilele vyake na viungo vyake kwa dhahabu, lakini vile vikalio vyake vitano vilikuwa vya shaba.