< Izlazak 32 >
1 A narod vidjevši gdje Mojsije za dugo ne slazi s gore, skupi se narod pred Arona, i rekoše mu: hajde, naèini nam bogove, koji æe iæi pred nama, jer tome Mojsiju koji nas izvede iz zemlje Misirske ne znamo šta bi.
Watu walipoona kuwa Mose amekawia sana kushuka kutoka mlimani, walimkusanyikia Aroni na kumwambia, “Njoo, tutengenezee miungu itakayotutangulia. Kwa maana huyu jamaa yetu Mose aliyetupandisha kutoka Misri, hatujui jambo lililompata.”
2 A Aron im reèe: poskidajte zlatne oboce što su u ušima žena vaših, sinova vaših i kæeri vaših, i donesite mi.
Aroni akawajibu, “Vueni vipuli vya dhahabu ambavyo wake zenu, wana wenu na binti zenu wamevaa, mkaniletee.”
3 I poskida sav narod zlatne oboce što im bijahu u ušima, i donesoše Aronu.
Kwa hiyo watu wote wakavua vipuli vyao, wakavileta kwa Aroni.
4 A on uzev iz ruku njihovijeh, sali u kalup, i naèini tele saliveno. I rekoše: ovo su bogovi tvoji, Izrailju, koji te izvedoše iz zemlje Misirske.
Akavichukua vile vitu walivyomkabidhi, akavifanyiza kwa kusubu sanamu yenye umbo la ndama, akaichonga kwa kutumia chombo. Kisha wakasema, “Hii ndiyo miungu yenu, ee Israeli, iliyowapandisha kutoka Misri.”
5 A kad to vidje Aron, naèini oltar pred njim; i povika Aron, i reèe: sjutra je praznik Gospodnji.
Aroni alipoona hili, akajenga madhabahu mbele ya yule ndama na kutangaza, “Kesho kutakuwa na sikukuu kwa Bwana.”
6 I sjutradan ustavši rano prinesoše žrtve paljenice i žrtve zahvalne; i posjeda narod, te jedoše i piše, a poslije ustaše da se igraju.
Kwa hiyo siku iliyofuata watu wakaamka asubuhi na mapema na kutoa sadaka za kuteketeza na sadaka za amani. Baadaye watu wakaketi kula na kunywa, nao wakasimama, wakajizamisha katika sherehe.
7 A Gospod reèe Mojsiju: idi, siði, jer se pokvari tvoj narod, koji si izveo iz zemlje Misirske.
Kisha Bwana akamwambia Mose, “Shuka, kwa sababu watu wako, uliowatoa Misri, wamepotoka.
8 Brzo zaðoše s puta, koji sam im zapovjedio; naèiniše sebi tele liveno, i pokloniše mu se, i prinesoše mu žrtvu, i rekoše: ovo su bogovi tvoji, Izrailju, koji te izvedoše iz zemlje Misirske.
Wamekuwa wepesi kugeuka na kuacha niliyowaamuru, na wamejitengenezea sanamu ya kuyeyusha yenye umbo la ndama. Wameisujudia na kuitolea dhabihu, nao wamesema, ‘Hii ndiyo miungu yenu, ee Israeli iliyokupandisha kutoka Misri.’”
9 Još reèe Gospod Mojsiju: pogledah narod ovaj, i eto je narod tvrda vrata.
Bwana akamwambia Mose, “Nimeona watu hawa, nao ni watu wenye shingo ngumu.
10 I sada pusti me, da se raspali gnjev moj na njih i da ih istrijebim; ali od tebe æu uèiniti narod velik.
Sasa niache ili hasira yangu ipate kuwaka dhidi yao, nami nipate kuwaangamiza. Kisha nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa.”
11 A Mojsije se zamoli Gospodu Bogu svojemu, i reèe: zašto se, Gospode, raspaljuje gnjev tvoj na narod tvoj, koji si izveo iz zemlje Misirske silom velikom i rukom krjepkom?
Lakini Mose akamsihi Bwana Mungu wake, akasema, “Ee Bwana, kwa nini hasira yako iwake dhidi ya watu wako, wale uliowatoa Misri kwa uweza mkuu na mkono wenye nguvu?
12 Zašto da govore Misirci i reku: na zlo ih izvede, da ih pobije po planinama i da ih istrijebi sa zemlje? Povrati se od gnjeva svojega, i požali narod svoj oda zla.
Kwa nini Wamisri waseme, ‘Ni kwa nia mbaya aliwatoa Misri, ili awaue milimani na kuwafuta usoni mwa dunia’? Achilia mbali hasira yako kali, waonee huruma na usilete maafa juu ya watu wako.
13 Opomeni se Avrama, Isaka i Izrailja, sluga svojih, kojima si se sobom zakleo i obrekao im: umnožiæu sjeme vaše kao zvijezde na nebu, i zemlju ovu, za koju govorih, svu æu dati sjemenu vašemu da je njihova dovijeka.
Wakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaki na Israeli, ambao uliwaapia kwa nafsi yako mwenyewe: ‘Nitawafanya uzao wako kuwa wengi kama nyota za angani, nami nitawapa wazao wako nchi hii yote ambayo niliwaahidia, nayo itakuwa urithi wao milele.’”
14 I ražali se Gospodu uèiniti zlo narodu svojemu, koje reèe.
Kisha Bwana akawaonea huruma, wala hakuleta juu ya watu wake maafa aliyokuwa amekusudia.
15 Tada se vrati Mojsije, i siðe s gore sa dvije ploèe svjedoèanstva u rukama svojim; i ploèe bjehu pisane s obje strane, otud i odovud pisane.
Mose akageuka, akashuka kutoka mlimani akiwa na vibao viwili vya Ushuhuda mikononi mwake. Vilikuwa vimeandikwa pande zote mbili, mbele na nyuma.
16 I bjehu ploèe djelo Božije, i pismo bješe pismo Božije, urezano na ploèama.
Vibao hivyo vilikuwa kazi ya Mungu; maandishi yalikuwa mwandiko wa Mungu, yaliyochorwa kama muhuri juu ya vibao.
17 A Isus èuvši viku u narodu, kad vikahu, reèe Mojsiju: vika ubojna u okolu.
Yoshua aliposikia sauti za watu wakipiga kelele, akamwambia Mose, “Kuna sauti ya vita kambini.”
18 A on reèe: nije to vika kako vièu koji su jaèi, niti je vika kako vièu koji su slabiji, nego èujem viku onijeh koji pjevaju.
Mose akajibu: “Si sauti ya ushindi, wala si sauti ya kushindwa; ni sauti ya kuimba ninayosikia.”
19 I kad doðe blizu okola, ugleda tele i igre, te se razgnjevi Mojsije, i baci iz ruku svojih ploèe, i razbi ih pod gorom.
Mose alipoikaribia kambi na kuona yule ndama na ile michezo, hasira yake ikawaka, akatupa vile vibao vilivyokuwa mikononi mwake, akavipasua vipande vipande pale chini ya mlima.
20 Pa uze tele koje bijahu naèinili i spali ga ognjem, i satr ga u prah, i prosu ga po vodi, i zapoji sinove Izrailjeve.
Kisha akamchukua yule ndama waliokuwa wamemtengeneza na kumchoma kwenye moto, kisha akamsaga kuwa unga, akanyunyiza kwenye maji na kuwafanya Waisraeli wanywe.
21 I reèe Mojsije Aronu: šta ti je uèinio ovaj narod, te ga uvali u toliki grijeh?
Mose akamwambia Aroni, “Watu hawa walikufanyia nini, hata ukawaongoza kufanya dhambi kubwa hivyo?”
22 A Aron mu reèe: nemoj se gnjeviti, gospodaru; ti znaš ovaj narod da je brz na zlo.
Aroni akamwambia, “Usikasirike bwana wangu. Unajua jinsi watu hawa walivyo tayari kwa maovu.
23 Jer rekoše mi: naèini nam bogove, koji æe iæi pred nama, jer tome Mojsiju koji nas izvede iz zemlje Misirske ne znamo šta bi.
Wao waliniambia, ‘Tufanyie miungu itakayotuongoza. Kwa kuwa huyu jamaa yetu Mose aliyetupandisha kutoka Misri, hatufahamu yaliyompata.’
24 A ja im rekoh: ko ima zlata, neka ga skida sa sebe. I dadoše mi, a ja ga bacih u vatru, i izaðe to tele.
Kwa hiyo nikawaambia, ‘Yeyote aliye na kito chochote cha dhahabu avue.’ Kisha wakanipa hiyo dhahabu, nami nikaitupa motoni, akatokea huyu ndama!”
25 A Mojsije videæi narod go, jer ga ogoli Aron na sramotu pred protivnicima njegovijem,
Mose akaona kuwa watu wameasi, kwa kuwa Aroni alikuwa amewaacha waasi, na hivyo kuwa kichekesho kwa adui zao.
26 Stade Mojsije na vrata od okola, i reèe: k meni ko je Gospodnji. I skupiše se pred njega svi sinovi Levijevi.
Kwa hiyo Mose akasimama kwenye ingilio la kambi, akasema, “Yeyote aliye upande wa Bwana, aje upande wangu.” Walawi wote wakamjia.
27 I reèe im: ovako kaže Gospod Bog Izrailjev: pripašite svaki svoj maè uz bedro svoje, pa proðite tamo i amo po okolu od vrata do vrata, i pobijte svaki brata svojega i prijatelja svojega i bližnjega svojega.
Ndipo alipowaambia, “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Kila mmoja wenu ajifunge upanga wake kiunoni aende huku na huko kambi yote mwisho hadi mwisho mwingine, kila mmoja amuue ndugu yake, na rafiki yake na jirani yake.’”
28 I uèiniše sinovi Levijevi po zapovijesti Mojsijevoj, i pogibe naroda u onaj dan do tri tisuæe ljudi.
Walawi wakafanya kama Mose alivyoamuru, siku ile wakafa watu wapatao 3,000.
29 Jer Mojsije reèe: posvetite danas ruke svoje Gospodu, svak na sinu svom i na bratu svom, da bi vam dao danas blagoslov.
Kisha Mose akasema, “Leo mmewekwa wakfu kwa Bwana, kwa kuwa mlikuwa kinyume na wana wenu wenyewe na ndugu zenu, naye Mungu amewabariki leo.”
30 A sjutradan reèe Mojsije narodu: vi ljuto sagriješiste; zato sada idem gore ka Gospodu, eda bih ga umolio da vam oprosti grijeh.
Siku iliyofuata Mose akawaambia watu, “Mmefanya dhambi kubwa. Lakini sasa nitapanda juu kwa Bwana, labda nitaweza kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.”
31 I vrati se Mojsije ka Gospodu, i reèe: molim ti se; narod ovaj ljuto sagriješi naèinivši sebi bogove od zlata.
Hivyo Mose akarudi kwa Bwana na kumwambia, “Lo! Hawa watu wamefanya dhambi kubwa namna gani! Wamejitengenezea miungu ya dhahabu.
32 Ali oprosti im grijeh: ako li neæeš, izbriši me iz knjige svoje, koju si napisao.
Lakini sasa nakusihi, wasamehe dhambi yao; lakini kama sivyo, basi nifute kutoka kwenye kitabu ulichoandika.”
33 A Gospod reèe Mojsiju: ko mi je zgriješio, onoga æu izbrisati iz knjige svoje.
Bwana akamjibu Mose, “Yeyote aliyenitenda dhambi ndiye nitakayemfuta kutoka kwenye kitabu changu.
34 A sada idi, vodi taj narod kuda sam ti kazao. Evo, moj æe anðeo iæi pred tobom, a kad ih pohodim, pohodiæu na njima grijeh njihov.
Sasa nenda, uongoze hao watu mpaka mahali nilipokuambia, naye malaika wangu atakutangulia. Pamoja na hayo, wakati utakapofika wa mimi kuwaadhibu, nitawaadhibu kwa ajili ya dhambi yao.”
35 I Gospod bi narod zato što naèiniše tele, koje sali Aron.
Ndipo Bwana akawapiga watu kwa ugonjwa wa tauni kwa sababu ya yale waliyoyafanya kwa ndama yule ambaye alitengenezwa na Aroni.