< Izlazak 25 >

1 I Gospod reèe Mojsiju govoreæi:
Bwana akamwambia Mose,
2 Reci sinovima Izrailjevim da mi skupe prilog: od svakoga koji drage volje da uzmite prilog meni.
“Waambie Waisraeli waniletee sadaka. Utapokea sadaka kwa niaba yangu kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake wapenda kutoa.
3 A ovo je prilog što æete uzimati od njih, zlato i srebro i mjed,
Hizi ndizo sadaka utakazozipokea kutoka kwao: dhahabu, fedha na shaba;
4 I porfiru i skerlet i crvac i tanko platno i kostrijet,
nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu, pamoja na kitani safi; singa za mbuzi;
5 I kože ovnujske crvene obojene, i kože jazavèje, i drvo sitim,
ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo; mbao za mshita;
6 Ulje za vidjelo, mirise za ulje pomazanja i za mirisavi kad,
mafuta ya zeituni kwa ajili ya taa; vikolezi kwa ajili ya mafuta ya upako, pamoja na uvumba wa harufu nzuri;
7 Kamenje onihovo i kamenje za ukivanje na opleæak i naprsnik.
na vito vya shohamu na vito vingine vya thamani vya kuweka kwenye kisibau na kile kifuko cha kifuani.
8 I neka mi naèine svetinju, da meðu njima nastavam;
“Kisha uwaamuru wanitengenezee mahali patakatifu, nami nitakaa miongoni mwao.
9 Kao što æu ti pokazati sliku od šatora i sliku od svijeh stvari njegovijeh, tako da naèinite.
Tengeneza hema hili na vyombo vyake vyote sawasawa na kielelezo nitakachokuonyesha.
10 Neka naèine kovèeg od drveta sitima, u dužinu od dva lakta i po, a u širinu od podrug lakta, i u visinu od podrug lakta.
“Nao watatengeneza Sanduku la mbao za mshita, lenye urefu wa dhiraa mbili na nusu, upana wa dhiraa moja na nusu, na kimo cha dhiraa moja na nusu.
11 I pokuj ga èistim zlatom, iznutra i spolja pokuj ga; i ozgo mu naèini zlatan vijenac unaokolo.
Utalifunika hilo Sanduku kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu juu yake kulizunguka.
12 I salij mu èetiri bioèuga od zlata, i metni mu ih na èetiri ugla, da mu s jedne strane budu dva bioèuga i s druge strane dva bioèuga.
Utalisubu kwa pete nne za dhahabu na kuzifungia kwenye miguu yake minne, pete mbili kwa upande mmoja na pete mbili kwa upande mwingine.
13 I naèini poluge od drveta sitima, i okuj ih u zlato.
Kisha utatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu.
14 I provuci poluge kroz bioèuge s obje strane kovèegu, da se o njima nosi kovèeg;
Utaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba.
15 U bioèuzima na kovèegu neka stoje poluge, da se ne vade iz njih.
Hiyo mipiko itabakia daima katika hizo pete za hilo Sanduku; haitaondolewa.
16 Pa u kovèeg metni svjedoèanstvo, koje æu ti dati.
Kisha weka ndani ya hilo Sanduku ule Ushuhuda nitakaokupa.
17 I naèini zaklopac od èistoga zlata, u dužinu od dva lakta i po, a u širinu od podrug lakta.
“Tengeneza kifuniko cha upatanisho cha dhahabu safi, chenye urefu wa dhiraa mbili na nusu, na upana wa dhiraa moja na nusu.
18 I naèini dva heruvima zlatna, jednostavne ih naèini, na dva kraja zaklopcu.
Tengeneza makerubi wawili wa dhahabu iliyofuliwa katika miisho ya hicho kifuniko.
19 I naèini heruvima jednoga na jednom kraju a drugoga heruvima na drugom kraju; na zaklopcu naèinite dva heruvima na oba kraja.
Tengeneza kerubi mmoja kwenye mwisho mmoja, na kerubi mwingine kwenye mwisho mwingine; watengeneze makerubi hao wawe kitu kimoja na hicho kifuniko katika miisho hiyo miwili.
20 I neka heruvimi rašire krila u vis da zaklanjaju krilima zaklopac, i neka budu licem okrenuti jedan drugom, prema zaklopcu neka su okrenuta lica heruvimima.
Makerubi hao watakuwa wametandaza mabawa kuelekea juu, yakitia kivuli hicho kifuniko. Makerubi hao wataelekeana, wakitazama hicho kifuniko.
21 I metnuæeš zaklopac ozgo na kovèeg, a u kovèeg æeš metnuti svjedoèanstvo, koje æu ti dati.
Weka huo Ushuhuda nitakaokupa ndani ya hilo Sanduku la Agano, na uweke hicho kifuniko juu ya hilo Sanduku.
22 I tu æu se sastajati s tobom i govoriæu ti ozgo sa zaklopca izmeðu dva heruvima, koji æe biti na kovèegu od svjedoèanstva, sve što æu ti zapovijedati za sinove Izrailjeve.
Hapo juu ya hicho kifuniko, kati ya hao makerubi wawili walioko juu ya hilo Sanduku la Ushuhuda, hapo ndipo nitakapokutana nawe na kukupa maagizo yangu kwa ajili ya Waisraeli.
23 Naèini i sto od drveta sitima, u dužinu od dva lakta, a u širinu od jednog lakta, a u visinu od podrug lakta.
“Tengeneza meza ya mbao za mshita yenye urefu wa dhiraa mbili, upana wa dhiraa moja, na kimo cha dhiraa moja na nusu.
24 I pokuj ga èistijem zlatom, i naèini mu vijenac zlatan unaokolo.
Ifunike kwa dhahabu safi, na kuitengenezea ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
25 I naèini mu oplatu unaokolo s podlanice, i naèini zlatan vijenac oko oplate.
Kisha tengeneza upapi wenye upana wa nyanda nne, na ufanyie ule upapi ukingo wa dhahabu kuuzunguka pande zote.
26 I naèini mu èetiri bioèuga od zlata, i metni mu te bioèuge na èetiri ugla koji æe mu biti kod èetiri noge.
Tengeneza pete nne za dhahabu kwa ajili ya meza hiyo, na uzifungie kwenye pembe nne, pale penye miguu yake minne.
27 Pod oplatom neka budu bioèuzi, da u njima stoje poluge da se nosi sto.
Pete hizo zitakuwa karibu na ukingo ule ili kuishikilia ile mipiko itakayotumika kuibebea hiyo meza.
28 A poluge naèini od drveta sitima, i okuj ih zlatom da se o njima nosi sto.
Tengeneza mipiko hiyo kwa mbao za mshita, uifunike na dhahabu, uitumie kubeba hiyo meza.
29 I naèini mu zdjele i èaše i vijedra i kutliæe, kojima æe se preljevati, a naèiniæeš ih od èistoga zlata.
Tengeneza sahani zake na masinia yake kwa dhahabu safi, pamoja na bilauri na bakuli zake kwa ajili ya kumiminia sadaka.
30 I metaæeš na sto hljebove, da su postavljeni svagda preda mnom.
Utaweka mikate ya Wonyesho juu ya meza hii iwe mbele yangu daima.
31 I naèini svijetnjak od èistoga zlata, jednostavan neka bude svijetnjak; stup i grane i èašice, jabuke i cvjetovi neka budu u njega.
“Tengeneza kinara cha taa cha dhahabu safi iliyofuliwa vizuri katika kitako chake na ufito wake; vikombe vyake vinavyofanana na ua, matovu yake na maua yake viwe kitu kimoja.
32 A šest grana neka mu izlazi sa strana, tri grane s jedne strane svijetnjaka a tri grane s druge strane svijetnjaka.
Matawi sita yatatokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine.
33 Tri èašice kao badem neka budu na jednoj grani i jabuka i cvijet, i tri èašice kao badem i jabuka i cvijet na drugoj grani; tako neka bude na šest grana što izlaze iz svijetnjaka.
Vikombe vitatu vya mfano wa maua ya mlozi yenye matovu na maua vitakuwa katika tawi moja, vikombe vitatu katika tawi jingine, na vivyo hivyo kwa matawi yote sita yanayotokeza kwenye kile kinara cha taa.
34 I na samom svijetnjaku neka budu èetiri èašice kao badem i jabuke i cvjetovi.
Juu ya kinara chenyewe vitakuwepo vikombe vinne vya mfano wa maua ya mlozi yakiwa na matovu yake na maua yake.
35 Jedna jabuka pod dvije grane što izlaze iz njega, i jedna jabuka pod druge dvije grane što izlaze iz njega, i jedna jabuka pod druge dvije grane što izlaze iz njega; tako æe biti pod šest grana što æe izlaziti iz svijetnjaka;
Tovu moja litakuwa chini ya jozi ya kwanza ya matawi yaliyotokeza kwenye kinara cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, nalo tovu la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani matawi sita kwa jumla.
36 Jabuke i grane njihove iz njega neka izlaze; sve jednostavno od èistoga zlata.
Matovu na matawi yote yatakuwa kitu kimoja na kile kinara cha taa, yakifuliwa kwa dhahabu safi.
37 I naèiniæeš mu sedam žižaka, i paliæeš ih da svijetle sa svake strane;
“Kisha tengeneza taa zake saba na uziweke juu ya kinara hicho ili ziangaze mbele yake.
38 I usekaèi i spremice za gar neka budu od èistoga zlata.
Mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote zitakuwa za dhahabu safi.
39 Od talanta èistoga zlata neka bude naèinjen sa svijem tijem spravama.
Utatumia talanta moja ya dhahabu safi kutengeneza hicho kinara na vifaa vyake vyote.
40 I gledaj, te naèini sve ovo po slici koja ti je pokazana na gori.
Hakikisha kuwa umevitengeneza sawasawa na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani.

< Izlazak 25 >