< Ponovljeni Zakon 5 >

1 I Mojsije sazva sav narod Izrailjev, i reèe im: èuj Izrailju uredbe i zakone, koje æu danas kazati da èujete, da ih nauèite i držite ih i tvorite.
Musa aliwaita Israeli yote na akasema nao, “Sikiliza, Israeli, kwa amri na sheria ambazo nitasema katika masikio yenu leo, muweze kujifunza na kuzishika.
2 Gospod Bog naš uèini s nama zavjet na Horivu.
Yahwe Mungu wetu alifanya agano nasi huko Horeb.
3 Nije s ocima našim uèinio taj zavjet, nego s nama, koji smo danas tu svi živi.
Yahwe hakufanya agano hili pamoja na mababu zetu, lakini na sisi, sisi wote tu hai hapa leo.
4 Licem k licu govorio vam je Gospod na ovoj gori isred ognja;
Yahwe alizungumza nawe uso kwa uso kwenye mlima toka katikati mwa moto
5 Ja tada stajah izmeðu Gospoda i vas, da vam javim rijeèi Gospodnje, jer vas bješe strah od ognja i ne izidoste na goru; i reèe:
(Nilisimama kati ya Yahwe na wewe kwa wakati huo, kukufunulia wewe neno lake, kwa kuwa ulikuwa umeogopa kwa sababu ya moto, na haukwenda juu ya mlima), Yahwe alisema,
6 Ja sam Gospod Bog tvoj, koji sam te izveo iz zemlje Misirske, iz doma ropskoga.
'Mimi ni Yahweh Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka nyumba ya utumwa.
7 Nemoj imati bogova drugih do mene.
Hautakuwa na miungu mingine mbele yangu.
8 Ne gradi sebi lika rezanoga, niti kakve slike od tvari koje su gore na nebu ili koje su dolje na zemlji ili koje su u vodi ispod zemlje.
Hautajifanyia mwenyewe sanamu ya kuchonga wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini ya dunia, au kilicho chini ya maji.
9 Nemoj im se klanjati niti im služiti, jer sam ja Gospod Bog tvoj, Bog revnitelj, koji na sinovima pohodim bezakonja otaca njihovijeh do treæega i do èetvrtoga koljena, onijeh koji mrze na me,
Hautavisujudia au kuvitumikia, kwa kuwa Mimi, Yahwe Mungu wako, ni Mungu wa wivu, Nawaadhibu uovu wa mababu kwa kuleta adhabu juu ya watoto, kwa kizazi cha tatu na cha nne cha wale wanichukiao,
10 A èinim milost na tisuæama onijeh koji me ljube i èuvaju zapovijesti moje.
na kuonesha agano la uaminifu kwa maelfu, kwa wale wanaonipenda na kushika amri zangu.
11 Ne uzimaj uzalud imena Gospoda Boga svojega, jer neæe pred Gospodom biti prav ko uzme ime njegovo uzalud.
Hautalichukua jina la Yahwe Mungu wako bure, kwa kuwa Yahwe hatamshikilia kuwa ana hatia yeye alichukuae jina bure.
12 Drži dan od odmora i svetkuj ga, kao što ti je zapovjedio Gospod Bog tvoj.
Zingantia siku ya Sabato kwa kuiweka takatifu, kama Yahwe Mungu wako alivyokuamuru.
13 Šest dana radi, i svršuj sve poslove svoje.
Kwa siku sita utafanya kazi na fanya kazi zako zote,
14 A sedmi je dan odmor Gospodu Bogu tvojemu; nemoj raditi nikakoga posla ni ti ni sin tvoj ni kæi tvoja ni sluga tvoj ni sluškinja tvoja, ni vo tvoj ni magarac tvoj, niti koje živinèe tvoje, ni došljak koji je kod tebe, da bi se odmorio sluga tvoj i sluškinja tvoja kao i ti.
lakini siku ya saba ni Sabato kwa Yahwe Mungu wako. Kwa siku hiyo hautafanya kazi yoyote- si wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mjakazi wako wa kiume, wala maksai wako, wala punda wako, wala mifugo wako, wala mgeni yeyote aliye katika malango yako. Hii ni kwamba mjakazi wako wa kiume na mjakazi wako wa kike wapate kumpuzika pamoja na wewe.
15 I pamti da si bio rob u zemlji Misirskoj, i Gospod Bog tvoj izvede te odande rukom krjepkom i mišicom podignutom. Zato ti je Gospod Bog tvoj zapovjedio da svetkuješ dan od odmora.
Utakumbuka katika akili yako kwamba ulikuo mtumwa katika nchi ya Misri, na Yahwe Mungu wako alikutoa kutoka huko kwa mkono wa uweza na mkono ulionyoshwa. Kwa hiyo Yahwe Mungu wako amekuamuru kuitunza siku ya Sabato.
16 Poštuj oca svojega i mater svoju, kao što ti je zapovjedio Gospod Bog tvoj, da bi se produljili dani tvoji i da bi ti dobro bilo na zemlji, koju ti daje Gospod Bog tvoj.
Mheshimu baba yako na mama yako, kama Yahwe Mungu wako alivyokuamuru kufanya, ili kwamba uweze kuishi muda mrefu katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako akupa, ili kwamba iende kwa uzuri kwako.
17 Ne ubij.
Hautaua,
18 Ne èini preljube.
hautazini,
19 Ne kradi.
hautaiba,
20 Ne svjedoèi lažno na bližnjega svojega.
hautashuhudia uongo dhidi ya ndugu yako.
21 Ne poželi žene bližnjega svojega, ne poželi kuæe bližnjega svojega, ni njive njegove, ni sluge njegova, ni sluškinje njegove, ni vola njegova, ni magarca njegova, niti išta što je bližnjega tvojega.
Hautamtamani mke wa jirani yako, hautatamani nyumba ya jirani yako, shamba lake, au mjakazi wake wa kiume, au mjakazi wake wa kike, maksai au punda wako, au chochote ambacho ni mali ya jirani yako.
22 Te rijeèi izgovori Gospod svemu zboru vašemu na gori isred ognja, oblaka i mraka, glasom velikim, i ništa više, nego ih napisa na dvije ploèe kamene koje mi dade.
Haya maneno Yahwe alisema kwa sauti kubwa kwa kusanyiko lako lote kwenye mlima toka katikati mwa moto, mawingu, giza zito, hakuongeza maneno yoyote zaidi. Na aliandika chini kwenye mbao mbili za mawe na akanipa mimi.
23 A vi kad èuste glas isred tame, jer gora ognjem goraše, pristupiste k meni, svi glavari od plemena vaših i starješine vaše,
Ilipokaribia, pindi uliposikia sauti toka katikati mwa giza, wakati mlima unawaka moto, kuwa mlikuja karibu nami, wazee wako wote, na wakuu wa makibila yako.
24 I rekoste: gle, pokaza nam Gospod Bog naš slavu i velièinu svoju, i èusmo glas njegov isred ognja; danas vidjesmo gdje Bog govori s èovjekom, i èovjek osta živ.
Ulisema, Tazama, Yahwe Mungu wetu ametuonesha utukufu wake na ukuu wake, na tumeisikia sauti yake toka katikati mwa moto, tumeona leo kwamba wakati Mungu azungumza na watu, wanaweza kuishi.
25 Pa sada zašto da pomremo? jer æe nas spaliti onaj oganj veliki; ako jošte èujemo glas Gospoda Boga svojega, pomrijeæemo.
Lakini kwanini tufe? Kwa kuwa mto huu mkuu utatutoshereza sisi; kama tutasikia sauti ya Yahwe Mungu wetu tena, tutakufa.
26 Jer koje je tijelo èulo glas Boga živoga gdje govori isred ognja, kao mi, i ostalo živo?
Kwa kuwa badala yetu kuna miongoni mwetu wa mwili ambao wamesikia sauti ya Mungu aliye hai akizungumza toka katikati mwa moto na kuishi, kama tulivyofanya?
27 Idi ti, i saslušaj sve što æe kazati Gospod Bog naš, pa onda ti kaži nama što ti god reèe Gospod Bog naš, a mi æemo slušati i tvoriti.
Kwenu ninyi, mnapaswa kwenda na kusikiliza kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema; rudia kwetu kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema kwenu; tutamsikiliza na kumtii.'
28 I Gospod èu glas od rijeèi vaših kad vi govoraste, i reèe mi Gospod: èuh glas od rijeèi toga naroda, koje rekoše tebi; što rekoše dobro rekoše.
Yahweh alisikia maneno yenu pindi mlipozungumza nami. Alisema na mimi, “Nimekwisha sikia maneno ya watu hawa, kile wanasema kwako. Kile walichosema kilikuwa kizuri.
29 O, kad bi im bilo srce svagda tako da me se boje i drže sve zapovijesti moje svagda, da bi dobro bilo njima i sinovima njihovijem dovijeka.
Oh, kulikuwa na moyo wa namba hiyo ndani yao, kwamba wataniheshimu na daima kushika amri zangu zote, ili iweze kuwa vizuri kwao na pamoja na watoto wao milele!
30 Idi, reci im: vratite se u šatore svoje.
Nenda useme nao, “Rudini kwenye mahema.”
31 A ti stani ovdje kod mene, i kazaæu ti sve zapovijesti i uredbe i zakone, koje æeš ih nauèiti da tvore u zemlji koju im dajem u našljedstvo.
Lakini kwenu, simama karibu nami, na nitakuambia amri zote, sheria, na maagizo ambayo mtawafundisha, ili kwamba waweze kuyashika katika nchi ambayo nitawapa kumiliki.'
32 Gledajte dakle da èinite kako vam je zapovjedio Gospod Bog vaš, ne svræite ni nadesno ni nalijevo.
Utashika, kwa hiyo, kile Yahwe Mungu wenu amewaamuru; hamtageukia mkono wa kulia au kushoto.
33 Cijelijem putem, koji vam je zapovjedio Gospod Bog vaš, idite, da biste živi bili i da bi vam dobro bilo, i da bi vam se produljili dani u zemlji koju æete naslijediti.
Mtatembea katika njia zote ambazo Yahwe Mungu wenu, amewaamuru ili kusudi muweze kuishi, na ili kwamba iweze kwenda vizuri kwenu, na kwamba muweze kuongeza siku zenu katika nchi ambayo mtaimiliki.

< Ponovljeni Zakon 5 >