< Ponovljeni Zakon 2 >

1 Potom se vratismo, i idosmo u pustinju k Crvenome Moru, kao što mi zapovjedi Gospod, i obilazismo goru Sir dugo vremena.
Kisha tuligeuka na kuanza safari kuelekea jangwani kwa njia ya Bahari ya Mianzi, kama Yahwe alivyosema nami, tulienda kuzunguka mlima wa Seir kwa siku nyingi.
2 I reèe mi Gospod:
Yahwe alizungumza nami, kusema,
3 Dosta ste obilazili tu goru, obrnite se na sjever.
Mmeuzungunga mlima huu kwa muda mrefu; geukeni kaskazini.
4 I zapovjedi narodu i reci: sada æete prijeæi preko meðe braæe svoje, sinova Isavovih, koji žive u Siru; i oni æe vas se bojati, ali se i vi dobro èuvajte.
Waamuru watu, kusema, “Mtapita kupitia mpaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau, ambao wanaishi Seir; watawaogopa ninyi. Kwa hiyo muwe makini
5 Nemojte zametati boja s njima, jer vam neæu dati zemlje njihove ni stope, jer sam dao Isavu goru Sir u našljedstvo.
msipigane nao, kwa kuwa sitawapa nchi yoyote yao, hapana, hakuna hata vya kutosheleza unyao wa mguu kukanyanga, kwa kuwa nimekwisha mpa Esau Mlima wa Seir kama miliki.
6 Jela kupujte od njih za novce, i jedite; i vodu kupujte od njih za novce, i pijte.
Mtanunua chakula kutoka kwao kwa pesa, ili kwamba muweze kula, pia mtanunua maji kutoka kwao kwa pesa, ili kwamba muweze kunywa. Kwa kuwa
7 Jer te je Gospod Bog tvoj blagoslovio u svakom poslu ruku tvojih; i zna put tvoj po ovoj velikoj pustinji, i ovo èetrdeset godina bijaše s tobom Gospod Bog tvoj, i ništa ti nije nedostajalo.
Yahwe Mungu wenu amewabariki katika kazi za mikono yenu, amejua kutembea kwenu kupitia jangwa hili kuu. Kwa hii miaka arobaini Yahwe Mungu wenu amekuwa pamoja nanyi, na hamjapungukiwa chochote.
8 I proðosmo braæu svoju, sinove Isavove, koji žive u Siru, poljem od Elata i od Gesion-Gavera; i odande savivši udarismo preko pustinje Moavske.
Basi tulipita karibu na ndugu zetu, wa wazao wa Esau, ambao wanaishi Seir, mbali na barabara la Arabah, kutoka Elathi, na kutoka Ezioni Geber. Na tuligeuka na kupita karibu na jangwa la Moabu.
9 I Gospod mi reèe: nemoj pakostiti Moavcima ni zametati boja s njima, jer ti neæu dati zemlje njihove u našljedstvo; jer dadoh sinovima Lotovijem u našljedstvo Ar.
Yahweh aliniambia mimi,'Usiisumbue Moabu, na usipigane nao katika vita. Kwa kuwa sitakupa nchi yake kwa miliki yako, kwa sababu nimewapa Ar wazao wa Lot, kuwa miliki yao'.
10 Preðe življahu ondje Emeji, narod velik i jak i visok kao Enakimi;
(Hapo awali waliishi Waemi, watu kama wakuu, wengi, na warefu kama Waanaki;
11 O njima se mislilo da su divovi kao i Enakimi; ali ih Moavci zvahu Emeji.
hawa pia wanafikiriwa kuwa Rephaimu, kama Waanaki, lakini Wamoabi huwaita Waemi.
12 I Horeji življahu preðe u Siru, ali ih sinovi Isavovi istjeraše i istrijebiše ispred sebe i naseliše se na njihovo mjesto, kao što uèini Izrailj u zemlji svojega našljedstva, koje mu dade Gospod.)
Wahori pia waliishi hapo awali Seiri, lakini wazao wa Esau waliwafuata. Waliwaharibu kutoka mbele yao na kuishi katika eneo lao, kama Israeli ilivyofanya kwa nchi ya umiliki wake ambayo Yahwe aliwapa.)
13 A sada ustanite i prijeðite preko potoka Zareda. I prijeðosmo preko potoka Zareda.
“Sasa inuka na uende kwenye kijito cha Zeredi”. Kwa hiyo tulienda kwenye kijito cha Zeredi.
14 A vremena za koje idosmo od Kadis-Varnije pa dokle prijeðosmo preko potoka Zareda, bješe trideset i osam godina, dokle ne izumrije u okolu sav onaj naraštaj, ljudi za vojsku, kao što im se bješe zakleo Gospod.
Sasa tangu siku ambapo tulikuja kutoka Kadesh Barnea mpaka tukavuka kijito cha Zeredi, ilikuwa miaka thelathini na nane. Ilikuwa kwa wakati huo kizazi chote cha watu waliofaa kupigana walikuwa wamekwisha ondoka kwa watu, kama Yahwe alivyokuwa ameapa kwao.
15 Jer i ruka Gospodnja bijaše protivu njih potiruæi ih iz okola dokle ne pomriješe.
Zaidi ya yote, mkono wa Yahwe ulikuwa kinyume na kizazi hicho ili kuweza kuwaangamiza kutoka kwa watu mpaka walipoondoka.
16 I kad svi ti ljudi za vojsku pomriješe u narodu,
Basi ilitokea, wakati watu wote waliofaa kwa kupigana walikuwa wamekufa, na kutoweka miongoni mwa watu,
17 Reèe mi Gospod govoreæi:
kwamba Yahwe alizungumza nami, kusema,
18 Ti æeš danas prijeæi preko meðe Moavske kod Ara;
Leo mtavuka Ar, mpaka wa Moabu.
19 I doæi æeš blizu sinova Amonovijeh; nemoj im pakostiti ni zametati boja sa njima, jer ti neæu dati zemlje Amonske u našljedstvo, jer je dadoh sinovima Lotovim u našljedstvo.
Wakati mtakapofika karibu na mkabala wa watu wa Ammoni, msiwasumbue au kupigana nao, kwa kuwa sitawapa nchi yoyote ya watu wa Ammoni kama miliki, kwa sababu nimekwisha wapa wazao wa Lutu kama miliki”.
20 I za nju se mislilo da je zemlja divovska; u njoj preðe življahu divovi, koje Amonci zvahu Zamzumi.
(Hiyo tena ilifikiriwa kuwa nchi ya Rephaimu. Warephaimu waliishi hapo awali-lakini Wammonites wanawaita Zamzummim,
21 Bijahu narod velik i jak i visok kao Enakimi; ali ih istrijebi Gospod ispred njih, te oni preuzeše zemlju njihovu i naseliše se na njihovo mjesto;
watu kama wakuu, wengi, na warefu kama Anakim. Lakini Yahwe aliwaharibu mbele ya Wammonites na waliwafuata na kuishi katika maeneo yao.
22 Kao što uèini sinovima Isavovijem, koji življahu u Siru, jer istrijebi Horeje ispred njih, i preuzeše zemlju njihovu i ostaše na njihovu mjestu do danas.
Yahwe huyu pia alifanya kwa watu wa Esau ambao wanaishi Seiri, wakati alipowangamiza Wahori kutoka mbele yao, na wazao wa Esau waliwafuata na waliishi katika maeneno yao mpaka leo.
23 I Aveje, koji življahu u Asirotu pa do Gaze, istrijebiše Kaftoreji, koji izaðoše od Kaftora, i naseliše se na njihovo mjesto.)
Na Waavi, walioishi katika vijiji vya mbali ya Gaza, Wakaftori, ambao wanatokana na Kaftori, waliwangamiza na kuishi katika maeneo yao.)
24 Ustanite, idite i prijeðite preko potoka Arnona; gle, dao sam ti u ruke Siona Amorejina cara Esevonskoga i zemlju njegovu; poèni uzimati našljedstvo, i zavojšti na nj.
Sasa inuka, nenda njia yako na uvuke bonde la Arnoni, tazama, nimekupa mkononi mwako Sihoni ya Amorite, mfalme wa Heshboni, na nchi yake. Anza kuimiliki na pigana naye katika vita.
25 Danas poèinjem zadavati strah i trepet od tebe narodima pod cijelijem nebom; koji god èuju za te, drktaæe i prepadaæe se od tebe.
Leo nitaanza kuweka woga na hofu yenu kwa watu ambao wako chini ya anga lote, watasikia habari kuhusu ninyi na watatemeka na kuwa na shida kwa sababu yenu'.
26 I poslah poslanike iz pustinje Kedamota k Sionu caru Esevonskom s mirnijem rijeèima govoreæi:
Nilituma wajumbe toka jangwa la Kedemothi kuelekea Sihoni, mfalme wa Heshbon, pamoja na maneno ya amani, kusema,
27 Da prijeðem preko tvoje zemlje; upravo æu putem iæi, neæu svrtati ni nadesno ni nalijevo.
Hebu nipite katika nchi yako; nitapita kwenye barabara kuu, sitageuka mkono wa kulia wala kushoto.
28 Hranu da mi daješ za novce da jedem, i vodu za novce da mi daješ da pijem, samo da proðem pješice,
Mtaniuzia mimi chakula kwa pesa, ili kwamba niweze kula, nipe maji kwa pesa, ili kwamba niweze kunywa, peke niruhusu kupitia kwa miguu yangu,
29 Kao što mi uèiniše sinovi Isavovi koji žive u Siru, i Moavci, koji žive u Aru, dokle ne prijeðem preko Jordana u zemlju koju nam daje Gospod Bog naš.
kama wazao wa Esau wanaoishi Seiri, na Moabu wanaoishi Ari, walifanya kwangu, mpaka nivuke Yordani ndani ya nchi ambayo Yahwe Mungu wetu anatupa sisi'.
30 Ali ne htje Sion car Esevonski pustiti da proðemo kroz njegovu zemlju, jer Gospod Bog tvoj uèini te otvrdnu duh njegov i srce njegovo posta uporno, da bi ga predao u tvoje ruke, kao što se vidi danas.
Lakini Sihon, mfalme wa Heshbon, asingeturuhusu kupitia kwake; kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ameifanya ngumu akili yake na kufanya moyo wake kuwa ukaidi, ili kwamba aweze kumshinda kwa nguvu zake, ambayo amekwisha kufanya leo.
31 I reèe mi Gospod: gledaj, poèeh predavati tebi Siona i zemlju njegovu; poèni uzimati zemlju njegovu da je naslijediš.
Yahwe alisema kwangu, “tazama, Nimeanza kumuokoa Sihoni na nchi yake mbele yako; kuanza kuimiliki, ili kusudi muweze kumiliki nchi yake.
32 I izide pred nas Sion i sav narod njegov na boj u Jasu.
Kisha Sihon alikuja dhidi yetu, yeye na watu wote wake, kupigana huko Jahazi.
33 I dade nam ga Gospod Bog naš, i ubismo ga sa sinovima njegovijem i svijem narodom njegovijem.
Yahwe Mungu wetu alimtoa kwetu na tulimshinda, tulimpiga mpaka kufa, watoto wake, na watu wake wote.
34 I uzesmo tada sve gradove njegove, i pobismo ljude po svijem tijem gradovima, i žene i djecu, ne ostavismo živa nijednoga.
Tulichukua miji yake yote kwa wakati huo na kuharibu kabisa kila mji- wanaume na wanawake na watoto wadogo; hatukuacha aliyenusurika.
35 Samo stoku zaplijenismo za se i plijen što bješe po gradovima koje uzesmo.
Ng'ombe peke tulichukua kama mateka kwa ajili yetu, sambamba na mateka ya miji tuliochukua.
36 Od Aroira koji je na potoku Arnonu, i od grada koji je u dolini, pa do Galada ne bješe grada koji bi nam odolio: sve to dade nam Gospod Bog naš.
Kutoka Aroer, ambayo iko kwenye ukingo wa bonde la Arnon, na kutoka kwenye mji ambao uko bondeni, yote kwa njia ya kuelekea Galeadi, hapakuwa na mji uliokuwa mrefu kwetu. Yahwe Mungu wetu alitupa ushindi dhidi ya maadui zetu mbele yetu.
37 Samo k zemlji sinova Amonovih nisi pristupio niti ka kojemu kraju na potoku Javoku, ni ka gradovima u gori niti kojemu mjestu što je zabranio Gospod Bog naš.
Ilikuwa nchi ya wazao wa Ammoni peke yake ambayo hamkuingia, sambamba na sehemu zote za mto Jabboki, na miji ya nchi ya milima- popote pale Yahwe Mungu wetu ametukataza sisi kwenda.

< Ponovljeni Zakon 2 >