< Amos 7 >

1 Ovo mi pokaza Gospod Gospod: gle, sazdavaše skakavce kad poèinjaše nicati otava, i gle, bijaše otava po carevoj kosidbi.
Hivi ndivyo ambavyo Bwana Yahwe alivyonionyesha. Tazama, aliumba kundi kubwa la nzige wakati wa kuchipuka kwa mmea, na, tazama, ulikuwa ni mmea wa mwisho baada ya mavuno ya mfalme.
2 A kad pojedoše travu zemaljsku, tada rekoh: Gospode, Gospode, smiluj se; kako æe se podignuti Jakov? jer je mali.
Wakati walipomaliza kula mbogamboga za nchi, kisha nikasema, “Bwana Yahwe, tafadhali nisamehe; Je Yakobo ataishije? kwa kuwa yeye ni mdogo sana.”
3 Gospod se raskaja za to: neæe biti, reèe Gospod.
Yahwe akapunguza hasira kuhusu hili. “Haitatokea,” akasema.
4 Tada mi pokaza Gospod Gospod, i gle, Gospod Gospod povika da æe suditi ognjem; i oganj proždrije veliku bezdanu i proždrije dio zemlje.
Hivi ndivyo ambavyo Bwana Yahwe alivyonionyesha: Tazama, Bwana Yahwe aliita juu ya moto kuhukumu. Nao ukakausha sana, kilindi chini ya dunia na kutaka kuitekeza nchi, pia.
5 A ja rekoh: Gospode, Gospode, prestani; kako æe se podignuti Jakov? jer je mali.
Lakini nikasema, “Bwana Yahwe, acha tafadhali; Yakobo ataishije? Kwa kuwa yeye ni mdigo sana.”
6 Gospod se raskaja za to: ni to neæe biti, reèe Gospod Gospod.
Yahwe akagairi kuhusiana na hili, “Hili halitajitokeza pia,” asema Bwana Yahwe.
7 Tada mi pokaza, i gle, Gospod stajaše na zidu sazidanu po mjerilima, i u ruci mu bjehu mjerila.
Hivi ndivyo ambavyo Yahwe alivyo nionyesha: Tazama, Bwana amesimama karibu na ukuta, pamoja na uzi wa timiza kwenye mkono wake.
8 I reèe mi Gospod: što vidiš, Amose? I rekoh: mjerila. A Gospod mi reèe: evo, ja æu metnuti mjerila posred naroda svojega Izrailja, neæu ga više prolaziti.
Yahwe akanambia, “Amosi, unaona nini?” nikasema, “Uzi wa timazi.” Kisha Bwana akasema, “Tazama, nitaweka uzi wa timazi miongoni mwa watu wangu Israeli. Sintowaharibu tena.
9 Jer æe se razoriti visine Isakove, i svetinje æe Izrailjeve opustjeti, i ustaæu na dom Jerovoamov s maèem.
Mahala pa juu pa Isaka pataharibiwa, patakatifu pa Israeli pataangamia, na nitainuka juu ya nyumba ya Yeroboamu kwa upanga.”
10 Tada Amasija sveštenik Vetiljski posla k Jerovoamu caru Izrailjevu i poruèi mu: Amos diže bunu na te usred doma Izrailjeva, zemlja ne može podnijeti svijeh rijeèi njegovijeh.
Kisha Amazia, yule kuhani wa Betheli, akatuma ujumbe kwa Yeroboamu, mfalme wa Israeli: “amosi amefanya njama dhidi yako katikati ya nyumba ya Israeli. Nchi haiwezi kubeba maneno yote haya.
11 Jer ovako govori Amos: Jerovoam æe poginuti od maèa, a Izrailj æe se odvesti iz zemlje svoje u ropstvo.
Kwa kuwa hivi ndivyo asemavyo Amosi, 'Yeroboamu atakufa kwa upanga, na hakika Israeli itakwenda utumwani kutoka nchi yake.”'
12 Potom reèe Amasija Amosu: vidioèe, idi, bježi u zemlju Judinu, i ondje jedi hljeb i ondje prorokuj;
Amazia akamwambia Amosi, “Mwonaji, nenda, kimbia irudie nchi ya Yuda, na hapo ule mkate na kutabiri.
13 A u Vetilju više ne prorokuj, jer je svetinja careva i dom je carski.
Lakini usitabiri tena hapa katika Betheli, kwa kuwa ni patakatifu pa mfalme na nyumba ya kifalme.”
14 A Amos odgovori i reèe Amasiji: ne bjeh prorok ni proroèki sin, nego bjeh govedar i brah dudove;
Kisha Amosi akamwambia Amazia, “Mimi sio nabii wala mwana wa nabii. Mimi ni mchungaji wa mifugo, na mtunza mikuyu.
15 A Gospod me uze od stada i reèe mi Gospod: idi, prorokuj narodu mojemu Izrailju.
Lakini Yahwe akanichukua kutoka kuchunga mifugo na kunambia, 'Nenda, katabiri kwa watu wangu Israeli.'
16 Sada dakle èuj rijeè Gospodnju. Ti kažeš: ne prorokuj u Izrailju, i ne kropi po domu Isakovu.
Sasa sikia neno la Yahwe. Wewe usemaye, 'Usitabiri juu ya Israeli, na usiongee juu ya nyumba ya Isaka.
17 Zato ovako veli Gospod: žena æe ti se kurvati u gradu, i sinovi æe tvoji i kæeri tvoje pasti od maèa, i zemlja æe se tvoja razdijeliti užem, i ti æeš umrijeti u neèistoj zemlji, a Izrailj æe se odvesti iz svoje zemlje u ropstvo.
Kwa hiyo hivi ndivyo Yahwe asemavyo, 'Mke wako atakuwa kahaba katika mji; wana wako waume na binti zako wataanguka kwa upanga; nchi yako itapimwa na kugawanywa; utakufa katika nchi najisi, na Israeli hakika itakwenda utumwani kutoka nchi yake.”'

< Amos 7 >