< 2 Samuelova 14 >

1 A Joav sin Serujin opazi da se srce carevo obratilo k Avesalomu.
Yoabu mwana wa Seruya akatambua kwamba moyo wa mfalme ulitamani kumwona Absalomu.
2 I posla Joav u Tekuju te dozva otuda ženu lukavu, pa joj reèe: uèini se kao da si u žalosti, i obuci žalosne haljine, i nemoj se namazati uljem, nego budi kao žena koja odavna žali za mrtvijem.
Hivyo Yoabu akatuma neno huko Tekoa kumleta kwake mwanamke mwelevu. Akamwambia, “Tafadhari, vaa mavazi ya uombolezaji ujifanye kuwa mwombolezaji. Usijipake mafuta, lakini uwe kama mwanamke ambaye ameomboleza kwa muda mrefu kwa ajili yake aliyekufa.
3 I otidi k caru, i govori mu tako i tako. I nauèi je Joav šta æe govoriti.
Kisha ingia kwa mfalme na umwambiye maneno nitakayokueleza.” Hivyo Yoabu akamwambia maneno ambayo angeyasema kwa mfalme.
4 I kad otide žena Tekujanka k caru da govori, pade nièice na zemlju i pokloni se, i reèe: pomagaj, care!
Wakati mwanamke kutoka Tekoa alipoongea na mfalme, aliinamisha uso wake chini na kusema,
5 A car joj reèe: što ti je? A ona reèe: udovica sam, umro mi je muž.
“Mfalme, anisaidie.” Mfalme akamwambia, “Shida yako ni nini?” Akajibu, Ukweli ni kwamba mimi ni mjane, mme wangu alikufa.
6 A imaše sluškinja tvoja dva sina, pa se svadiše u polju, a ne bješe nikoga da ih razvadi, te jedan udari drugoga i ubi ga.
Mimi, mtumishi wako, nilikuwa na wana wawili, wakagombana shambani, na hakukuwa na wa kuwaachanisha. Mmoja wao akampiga mwenziwe na kumwua.
7 I gle, sav dom usta na sluškinju tvoju govoreæi: daj toga što je ubio brata svojega da ga pogubimo za dušu brata njegova, kojega je ubio, i da istrijebimo našljednika; i tako hoæe da ugase iskru koja mi je ostala, da ne ostave imena mužu mojemu ni ostatka na zemlji.
Na sasa ukoo wote umeinuka juu ya mtumishi wako, wanasema, 'Mtoe aliyempiga nduguye, ili tumwue kulipe uhai wa nduguye aliyeuawa.' Na hivyo watamwangamiza mrithi. Hivyo watalizima kaa liwakalo nililobakiwa, hata kumwondolea mme wangu jina na mzao juu ya uso wa nchi.”
8 A car reèe ženi: idi kuæi svojoj, a ja æu narediti za te.
Hivyo mfalme akamwambia mwanamke, “Nenda nyumbani kwako, nami nitaagiza jambo la kukufanyia.”
9 A žena Tekujanka reèe caru: care gospodaru! neka na me i na dom oca mojega padne krivica, a car i njegov prijesto neka je prav.
Mwanamke kutoka Tekoa akamjibu mfalme, “Bwana wangu mfalme, hatia na iwe juu yangu na juu ya familia ya baba yangu. Mfalme na kiti chake cha enzi hawana hatia.”
10 A car reèe: ko uzgovori na te, dovedi ga k meni, i neæe te se više dotaæi.
Mfalme akasema, “Yeyote atakayekwambia neno umlete kwangu, naye hatakugusa tena.”
11 A ona reèe: neka se opomene car Gospoda Boga svojega, da se ne umnože osvetnici koji ubijaju, i da ne ubiju sina mojega. A on reèe: tako živ bio Gospod, nijedna dlaka s tvojega sina neæe pasti na zemlju.
Kisha mwanamke akasema, “Tafadhari mfalme amkumbuke Yahwe Mungu wake, ili kwamba mlipa kisasi cha damu asiaribu zaidi, ili kwamba wasimwangamize mwanangu.” Mfalme akajibu, “Kama Mungu aishivyo, hakuna hata unywele mmoja wa mwanao utaanguka chini.”
12 A žena reèe: da kaže sluškinja tvoja nešto caru gospodaru. A on reèe: govori.
Kisha mwanamke akasema, “Tafadhari acha mtumishi wako anene neno moja zaidi kwa bwana wangu mfalme.” Akasema, “Sema.”
13 A žena reèe: a zašto si namislio taku stvar narodu Božijemu? jer car kao da je kriv govoreæi tako, jer neæe car da dozove natrag onoga koga je odagnao.
Hivyo mwanamke akasema, “Kwa nini basi umetenda kwa hila dhidi ya watu Mungu? Maana kwa kusema hivi, mfalme ni kama mtu mwenye hatia, kwa kuwa mfalme hamjamrudisha tena mwanaye aliyeondoka.
14 Jer æemo doista pomrijeti, i jesmo kao voda koja se prospe na zemlju i više se ne može skupiti; jer mu Bog nije uzeo života, nego je naumio da odagnani ne ostane odagnan od njega.
Kwa maana sisi sote tutakufa, kwa kuwa tu kama maji yamwagwayo juu ya ardhi na kwamba hayawezi kukusanywa tena. Lakini Mungu hatachukua uhai; badala yake, utafuta njia kwa walio mbali kurejeshwa.
15 I tako doðoh da kažem ovo caru gospodaru svojemu, jer me narod uplaši; zato reèe sluškinja tvoja: da govorim caru, može biti da æe uèiniti car što sluškinja njegova kaže.
Sasa basi, nimesema jambo hili kwa bwana wangu mfalme, kwa sababu watu wamenitisha. Hivyo mtumishi wako akajinenea nafsini mwake, 'Sasa nitaongea na mfalme. Huenda mfalme akampa mtumishi wake haja yake.
16 Jer æe car uslišiti i izbaviti sluškinju svoju iz ruke onoga koji hoæe da istrijebi mene i sina mojega iz našljedstva Božijega.
Kwa maana mfalme atanisikiliza, ili kwamba kumtoa mtumishi wake katika mikono ya mtu ambaye angeniangamiza mimi na mwanangu pamoja, tutoke katika urithi wa Mungu.
17 I sluškinja tvoja reèe: rijeè cara gospodara mojega biæe mi utjeha, jer je car gospodar moj kao anðeo Božji, te sluša i dobro i zlo, i Gospod æe Bog tvoj biti s tobom.
Kisha mtumishi wako akaomba, 'Yahwe, tafadhari ruhusu neno la bwana wangu mfalme linipe msaada, kwa maana bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu kwa kutofautisha wema na ubaya.' Yahwe, Mungu na awe pamoja nawe.”
18 A car odgovori i reèe ženi: nemoj tajiti od mene što æu te pitati. A žena reèe: neka govori car gospodar moj.
Ndipo mfalme akajibu na kumwambia yule mwanamke, Tafadhari usinifiche neno lolote nikuulizalo.” Mwanamke akajibu, “Basi bwana wangu mfalme na aseme sasa.
19 Tada car reèe: da nije Joavov posao u svemu tome što èiniš? A žena odgovori i reèe: tako da je živa duša tvoja, care gospodaru, ne može se ni nadesno ni nalijevo od svega što kaza car gospodar moj; jer sluga tvoj Joav zapovijedio mi je i nauèio sluškinju tvoju sve ovo da govorim.
Mfalme akasema, Je siyo mkono wa Yoabu ulio pamoja nawe katika haya yote? Mwanamke akajibu na kusema, “Kama uishivyo bwana wangu mfalme, hakuna awezae kuelekea mkono wa kulia wala wa kushoto kwa yale bwana wangu mfalme aliyosema. Ni mtumishi wako Yoabu aliyeniambia na kuniagiza kusema kile mtumishi wako alichokisema.
20 Sluga je tvoj Joav uèinio, te sam ovako izvila besjedu svoju; ali je gospodar moj mudar kao anðeo Božji, te zna sve što biva na zemlji.
Mtumishi wako Yoabu amefanya hivi ili kubadilisha hali ya kile kinachotendeka. Bwana wangu ni mwenye akili kama hekima ya malaika wa Mungu, ajuaye yote yatendekayo ndani ya nchi.”
21 Tada reèe car Joavu: evo, ti si uèinio to, idi, dovedi natrag dijete Avesaloma.
Hivyo mfalme akamwambia Yoabu, “Tazama, nitatenda jambo hili. Nenda na umrudishe huyo kijana Absalomu.”
22 Tada pade Joav licem na zemlju, i pokloni se i blagoslovi cara, i reèe Joav: danas vidi sluga tvoj da sam našao milost pred tobom, care gospodaru, kad je car uèinio što mu sluga njegov reèe.
HivyoYoabu akainamisha uso wake chini juu ya ardhi katika heshima na shukurani kwa mfalme. Yoabu akasema, “Mtumishi wako amejua kwamba amepata neema mbele zako, bwana wangu, mfalme, kwa vile mfalme amempa mtumishi wake haja ya moyo wake.
23 Potom se podiže Joav i otide u Gesur, i dovede natrag u Jerusalim Avesaloma.
Hivyo Yoabu akainuka na kwenda Geshuri, akamrejesha Absalomu Yerusalemu tena.
24 I car reèe: neka ide svojoj kuæi, a lica mojega da ne vidi. I otide Avesalom svojoj kuæi, i ne vidje lica careva.
Mfalme akasema, “Na arudi nyumbani kwake, lakini hasinione uso wangu.” Hivyo Absalomu akarudi katika nyumba yake mwenyewe, na hakuweza kuuona uso wa mfalme.
25 A ne bješe èovjeka tako lijepa kao Avesalom u svem Izrailju, da ga tako hvale; od pete do tjemena ne bješe na njemu mane.
Hakukuwa na mtu katika Israeli aliyesifiwa kwa uzuri kama Absalomu. Kutoka katika wayo wa mguu wake hadi katika utosi wake hakuwa na waa lolote.
26 I kad bi strigao glavu a imaše obièaj svake godine striæi je, jer mu bijaše teško mjerio bi kosu s glave svoje, i bivaše je dvjesta sikala carskom mjerom.
Alipokata nywele za kichwa chake mwishoni mwa kila mwaka, kwa sababu zilikuwa nzito juu yake, alipima nywele zake zaidi ya shekeli mia mbili, kwa kiwango cha kipimo cha mfalme.
27 I rodiše se Avesalomu tri sina i jedna kæi, kojoj bijaše ime Tamara, i ona bijaše lijepa.
Kwake Absalomu walizaliwa wana watatu na binti mmoja, jina lake Tamari. Alikuwa mwanamke mzuri.
28 I Avesalom osta cijele dvije godine u Jerusalimu, a lica careva ne vidje.
Absalomu akaishi Yerusalem miaka miwili pasipo kuona uso wa mfalme.
29 Tada posla Avesalom po Joava da ga pošlje k caru; ali on ne htje doæi k njemu; i posla opet drugi put, ali on ne htje doæi.
Kisha Absalome akatuma neno kwa Yoabu ili ampeleke kwa mfalme, lakini Yoabu hakwenda kwake. Hivyo Absalomu akatuma neno mara ya pili, lakini Yoabu hakuja bado.
30 Tada reèe slugama svojim: vidite li njivu Joavovu pored moje? na njoj je jeèam; idite i upalite je. I upališe sluge Avesalomove onu njivu.
Hivyo Absalomu akawambia watumishi wake, “Tazameni, shamba la Yoabu lipo karibu na langu, naye ana shayiri kule. Nendeni mkalichome moto” Hivyo watumishi wa Absalome wakalichoma moto lile shamba.
31 Tada se podiže Joav, i doðe k Avesalomu u kuæu, i reèe mu: zašto sluge tvoje upališe moju njivu?
Kisha Yoabu akainuka na kwenda nyumbani kwa Absalomu akamwambia, “Kwa nini watumishi wako wamelichoma moto shamba langu?
32 Avesalom reèe Joavu: eto slao sam k tebi govoreæi: hodi ovamo da te pošljem k caru da mu kažeš: zašto sam došao iz Gesura? bolje bi bilo da sam još ondje. Zato da vidim lice carevo; ako li ima kaka krivica na meni, neka me pogubi.
Absalomu akamjibu Yoabu, “Tazama nilituma neno kwako kusema, 'Njoo ili nikutume kwa mfalme kusema, “Kwa nini nilikuja kutoka Geshuri? Ingekuwa heri kwangu kama ningesalia huko. Kwa hiyo sasa niache niuone uso wa mfalme na kama nina hatia basi na aniue.”
33 I otide Joav k caru, i kaza mu. I dozva Avesaloma; a on došavši k caru pokloni se licem do zemlje pred carem, i car cjelova Avesaloma.
Hivyo Yoabu akaenda kwa mfalme na kumwambia. Mfalme alipomwita, Absalomu alikuja kwa mfalme na akainama hadi juu ya uso nchi mbele ya mfalme na mfalme akambusu Absalomu.

< 2 Samuelova 14 >