< 2 Kraljevima 1 >
1 A po smrti Ahavovoj odmetnuše se Moavci od Izrailja.
Moabu aliasi dhidi ya Israeli baada ya kifo cha Ahabu.
2 A Ohozija pade kroz rešetku iz gornje sobe svoje u Samariji, i razbolje se; pa posla poslanike i reèe im: idite, pitajte Velzevula boga Akaronskoga hoæu li ozdraviti od ove bolesti.
Baada hapo Ahazi akaanguka chini ya dirisha lenye waya zinazikinzana kwenye chumba chake juu katika Samaria, na alikuwa amejeruhiwa. Kwa hiyo alituma wajumbe na kuwaambia, “Nendeni, muulizeni Baal Zebubu, mungu wa Ekroni, kama nitapona hili jeraha.”
3 Ali anðeo Gospodnji reèe Iliji Tesviæaninu: ustani, izidi na susret poslanicima cara Samarijskoga i reci im: eda li nema Boga u Izrailju, te idete da pitate Velzevula boga u Akaronu?
Lakini malaika wa Yahwe wakamwambia Eliya Mtishbi, “Inuka, nenda ukaonane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, na uwaulize, 'Je ni kwasababu hakuna Mungu katika israeli ambaye mnayekwenda kuuliza pamoja na Zebebu, mungu wa Ekroni?
4 A zato ovako veli Gospod: neæeš se dignuti sa postelje na koju si legao, nego æeš umrijeti. Potom otide Ilija.
Kwa hiyo Yahwe anasema, “Hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ambacho ulichokipanda; badala yake, utakufa hakika."”” Baada ya hapo Eliya akaondoka.
5 A sluge se vratiše k Ohoziji, i on im reèe: što ste se vratili?
wakati wale wajumbe waliporudi kwa Ahazia, akawaambia, “Kwa nini mmerudi?”
6 A oni mu rekoše: srete nas jedan èovjek, i reèe nam: idite, vratite se k caru koji vas je poslao, i recite mu: ovako veli Gospod: eda li nema Boga u Izrailju, te šalješ da pitaš Velzevula boga u Akaronu? Zato neæeš se dignuti s postelje na koju si legao, nego æeš umrijeti.
Wakamwambia, “mtu amekuja kuonana na sisi ambaye ametuambia, 'Turudi kwa mfalme ambaye aliyewatuma, na mkamwambie, Yahwe amesema hivi: 'Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli mpaka mmewatuma watu kwenda kumuuliza kwa Baal Zabubu, mungu wa Ekron? Kwa hiyo hutashuka kutoka kitanda ulichokipanda; badala yake, utakufa hakika."””
7 A on im reèe: kakav bješe na oèi taj èovjek koji vas srete i to vam reèe?
Ahazi akawaambia wajumbe wake, “'Alikuwa mtu wa aina gani, yule ambaye alikuja kuonana na ninyi na akasema haya maneno kwenu?”
8 A oni mu odgovoriše: bješe sav kosmat i opasan kožnijem pojasom. A on reèe: to je Ilija Tesviæanin.
Wakamjibu, “Alikuwa amevaa kanzu yenye manyaya na alikuwa na mkanda wa ngozi kiunanoni kwake.'” Hivyo mfalme akajibu, '“Yule alikuwa Eliya Mtishbi.”
9 Tada posla k njemu pedesetnika s njegovom pedesetoricom; i on otide k njemu; i gle, on sjeðaše navrh gore; i pedesetnik mu reèe: èovjeèe Božji, car je zapovjedio, siði.
Ndipo mfalme akatuma nahodha wa askari hamsini kwa Elya. Nahodha akaenda mpaka kwa Eliya ambapo alipokuwa amekaa juu ya mlima. Nahodha akamwambia Eliya, “Wewe, mtu wa Mungu, mfalme amesema, 'shuka chini.'”
10 A Ilija odgovarajuæi reèe pedesetniku: ako sam èovjek Božji, neka siðe oganj s neba i proždre tebe i tvoju pedesetoricu. I siðe oganj s neba i proždrije njega i njegovu pedesetoricu.
Eliya akajibu na kusema kwa nahodha, “Kama mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke chini kutoka mbinguni na kukula wewe na watu wako hamsini.” Kisha moto ukashuka chini kutoka mbinguni na kumla yeye na watu wake hamsini.
11 Opet posla k njemu drugog pedesetnika s njegovom pedesetoricom, koji progovori i reèe mu: èovjeèe Božji, car je tako zapovjedio, siði brže.
Tena Mfalme Ahazi akamtuma nahodha mwingine pamoja na maaskari wengine hamsini. Huyu nahodha pia akasema kwa Eliya, “Wewe, mtu wa Mungu, mfalme anasema, teremka chini haraka.”'
12 A Ilija odgovori i reèe im: ako sam èovjek Božji, neka siðe oganj s neba i proždre tebe i tvoju pedesetoricu. I siðe oganj Božji s neba i proždrije njega i njegovu pedesetoricu.
Eliya akajibu na kuwaambia, “Kama mimi ni mtu wa Mungu, ngoja moto ushuke kutoka mbinguni na ukule wewe na watu wako hamsini.” Moto wa Mungu ukashuka chini tena kutoka mbinguni na kumla yeye na watu wake hamsini.
13 Tada opet posla treæega pedesetnika s njegovom pedesetoricom. A ovaj treæi pedesetnik kad doðe, kleèe na koljena svoja pred Ilijom, i moleæi ga reèe mu: èovjeèe Božji, da ti je draga duša moja i duša ove pedesetorice, sluga tvojih.
Bado tena mfalme alituma kundi la tatu la wapiganaji hamsini. Huyu nahodha akaenda, akaanguka mbele ya miguu ya Eliya, na kumsihi na kumwambia, “Wewe, mtu wa Mungu, Nakuomba, acha uzima wangu na uzima wa hawa watumishi wako hamsini uwe na thamani machoni kwako.
14 Eto, sišao je oganj s neba i proždro prva dva pedesetnika s njihovom pedesetoricom; ali sada da ti je draga duša moja.
Ndipo, moto ukashuka chini kutoka mbinguni na kuwala wale manahodha wawili wa kwanza pamoja na watu wao, bali sasa acha uzima wangu uwe na thamani machoni kwako.”
15 A anðeo Gospodnji reèe Iliji: idi s njim, i ne boj ga se. I usta Ilija i otide s njim k caru.
Malaika wa Yahwe akamwambia Eliya, “'Nenda chini pamoja naye. Usimwogope.”' Hivyo Eliya akainuka na kwenda chini pamoja naye kwenda kwa mfalme.
16 I reèe mu: ovako veli Gospod: zato što si slao poslanike da pitaju Velzevula boga u Akaronu kao da nema Boga u Izrailju da bi ga pitao, neæeš se dignuti s postelje na koju si legao, nego æeš umrijeti.
Baadye Eliya akamwambia Ahazia, '“Hivi ndivyo Yahwe asemavyo, Umewatuma wajumbe kuzungumza pamoja na Baal-Zebubu, mungu wa Ekron. Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ambaye unayeweza kumuuliza habari? Kwa hiyo sasa, hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ulichokipanda; utakufa hakika.'”
17 I umrije po rijeèi Gospodnjoj, koju reèe Ilija, a na njegovo se mjesto zacari Joram druge godine carovanja Jorama sina Josafatova nad Judom, jer on nema sina.
Hivyo Mfalme Ahazia alikufa kulingana na neno la Yahwe ambalo Eliya alilisema. Yoramu alianza kutawala katika eneo lake, katika mwaka wa pili Yoramu mwana wa Yohoshafati mfalme wa Yuda, kwa sababu Ahazia hakuwa na mtoto.
18 A ostala djela Ohozijina što je èinio, nijesu li zapisana u dnevniku careva Izrailjevih?
Kama mambo mengine yanayomuhusu Ahazia, je hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?