< 2 Kraljevima 14 >
1 Druge godine carovanja Joasa sina Joahazova nad Izrailjem zacari se Amasija sin Joasov nad Judom.
Katika mwaka wa pili wa Yehoashi mwana wa Yehoazi, mfalme wa Israeli, Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
2 Bijaše mu dvadeset i pet godina kad poèe carovati, i carova dvadeset i devet godina u Jerusalimu. Materi mu bješe ime Joadana, iz Jerusalima.
Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tanao wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu.
3 I èinjaše što je pravo pred Gospodom, ali ne kao David otac njegov; sasvijem èinjaše onako kako je èinio otac njegov Joas.
Mama yake alikuwa anaitwa Yehoyadani, wa Yerusalemu. Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa macho ya Yahwe, sio kama baba yake Daudi. Alifanya kila kitu ambacho Yoashi, baba yake, alichukuwa amekifanya.
4 Jer visine ne biše oborene: narod još prinošaše žrtve i kaðaše na visinama.
Lakini sehemu ya juu haikuondolewa. Watu wakaendelea kutoa dhabihu na kufukiza ubani katika sehemu mahala pa juu.
5 A kad se utvrdi carstvo u ruci njegovoj, on pobi sluge svoje koje su ubile cara oca njegova.
Ikawa mara utawala wake ulipokuwa imara, aliwaua watumishi ambao waliokuwa wamemuua baba yake, mfalme.
6 Ali sinova tijeh krvnika ne pobi, kao što piše u knjizi zakona Mojsijeva, gdje je zapovjedio Gospod govoreæi: ocevi da ne ginu za sinove niti sinovi za oceve, nego svaki za svoj grijeh neka gine.
Ila hakuwaweka watoto wa wale wauaji kwenye kifo; isipokuwa, alifanya kutokana na kile kilichokuwa kimeandikwa kwenye sheria, kwenye kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamuru, akisema, “Wababa wasife kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasife kwa ajili ya makosa ya wazazi wao. Isipokuwa, kila mtu atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”
7 On pobi deset tisuæa Edomaca u slanoj dolini, i uze Selu ratom, i prozva je Jokteil, koje osta do danas.
Aliua maaskari elfu kumi wa Edomi kwenye bonde la chumvi; pia alimchukua Sela kwenye vita na kuiita Yoktheeli, ndivyo paitwavyo hadi leo.
8 Tada posla Amasija poslanike k Joasu sinu Joahaza sina Jujeva, caru Izrailjevu, i reèe: doði da se ogledamo.
Kisha Amazia akatuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli, akisema, “Njoo, tuonane kila mmoja macho kwa macho kwenye mashinadano.”
9 A Joas car Izrailjev posla k Amasiji caru Judinu i poruèi mu: trn na Livanu posla ka kedru na Livanu, i poruèi: daj svoju kæer sinu mojemu za ženu; ali naiðe zvijerje Livansko, i izgazi trn.
Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akawatuma wajumbe kurudi kwa Amazia mfalme wa Yuda, akisema, “Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma kwa mwerezi katika Lebanuni, kusema, 'Mpatie mwanangu binti yako amuoe; lakini hayawani aliyekuwako Lebanoni akaukanyaga chini ule mbaruti.
10 Pobio si Edomce, pa se ponese srce tvoje; hvali se, i sjedi kod kuæe svoje; zašto bi se zapletao u zlo da padneš i ti i Juda s tobom?
Umempiga sana Edomu, na moyo wako umekuinua. Jisifu katika ushindi wako, lakini kaa nyumbani, kwa nini unataka kujisababishia mataizo na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?”
11 Ali ne posluša Amasija; i podiže se Joas car Izrailjev, i ogledaše se, on i Amasija car Judin, u Vetsemesu Judinu.
Lakini Amazia hakutaka kusikia. Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakutana uso kwa uso huko Beth Shemeshi, ambayo ilikuwa ya Yuda.
12 Ali Judu razbi Izrailj, te pobjegoše svaki k svojemu šatoru.
Yuda walishindwa mbele ya Israeli, na kila mtu akakimbia nyumbani.
13 A Amasiju cara Judina, sina Joasa sina Ohozijina, uhvati Joas car Izrailjev u Vetsemesu; potom doðe u Jerusalim i obori zid Jerusalimski od vrata Jefremovijeh do vrata na uglu, èetiri stotine lakata.
Yehoashi mfalme wa Israeli, akamchukua Amazia, mfalme wa Yuda mwana wa Yehoashi mwana wa Ahazia, huko Beth Shemeshi. Akaja Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kutoka lango la Efraimu mpaka kwenye pembe ya lango, urefu wa mbali wa dhiraa mia nne.
14 I uze sve zlato i srebro i sve posuðe što se naðe u domu Gospodnjem i u riznicama doma careva, i taoce, pa se vrati u Samariju.
Akachukua dhahabu na fedha zote, na vitu vyote ambavyo vilipatikana katika nyumba ya Yahwe, na vitu vya thamani kwenye nyumba ya mfalme, pamoja na mateka pia, na kurudi samaria.
15 A ostala djela Joasova, što je uèinio, i junaštva njegova, i kako je vojevao s Amasijom carem Judinijem, nije li to zapisano u dnevniku careva Izrailjevijeh?
Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoashi, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, na jinsi alivyopigana na Amazia mfalme wa Yuda, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Israeli?
16 I poèinu Joas kod otaca svojih, i bi pogreben u Samariji kod careva Izrailjevijeh, a na njegovo se mjesto zacari Jerovoam sin njegov.
Kisha Yehoashi akalala na wazee wake na ailizikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli, na Yeroboamu, mwanaye, akawa mfalme katika eneo lake.
17 Amasija pak sin Joasov car Judin poživje petnaest godina po smrti Joasa sina Joahazova, cara Izrailjeva.
Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, akaishi miaka kumi na tano baada ya Yehoashi mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
18 A ostala djela Amasijina nijesu li zapisana u dnevniku careva Judinijeh?
Kama ilivyo kwa mambo mengine yanayomhusu Amazia, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
19 I digoše bunu na nj u Jerusalimu, te pobježe u Lahis, a oni poslaše za njim u Lahis i ubiše ga ondje.
Wakafanya njama dhidi ya Amazia katika Yerusalimu, akakimbilia Lakishi. Akakimbia hadi Lakishi, lakini wakawatuma watu kumfuata hadi Lakishi na kumuua huko.
20 A odande ga donesoše na konjma, i bi pogreben u Jerusalimu kod otaca svojih u gradu Davidovu.
Wakamrudisha kwa farasi, na alizikwa pamoja na wazee wake katika mji wa Saudi.
21 Tada sav narod Judin uze Azariju, kome bijaše šesnaest godina, i zacariše ga na mjesto oca njegova Amasije.
Watu wote wa Yuda wakamchukua Uzaria, ambaye alikuwa na umri wa miaka kumi na minne, na walimfanya kuwa mfalme katika nyumba ya kifalme wa baba yake Uzaria.
22 On sazida Elat povrativ ga Judi pošto car poèinu kod otaca svojih.
Alikuwa Uzaria ambaye alijenga Elathi na kuirudisha kwa Yuda, baada ya mfalme Uzaria akalala pamoja na mababu zake.
23 Godine petnaeste carovanja Amasije sina Joasova nad Judom zacari se Jerovoam sin Joasov nad Izrailjem u Samariji, i carova èetrdeset i jednu godinu.
Katika mwaka wa kumi na tano wa Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu mwana wa Yoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka arobaini na moja.
24 I èinjaše što je zlo pred Gospodom i ne otstupi ni od jednoga grijeha Jerovoama sina Navatova kojima navede na grijeh Izrailja.
Akafanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi zake za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye aliisababisha Israeli kuasi.
25 On povrati meðe Izrailjeve od Emata do mora uz polje, po rijeèi Gospoda Boga Izrailjeva, koju reèe preko sluge svojega Jone sina Amatijina, proroka iz Gatefera.
Akairudisha mipaka ya Israeli kutoka Lebo Hamathi mpaka kwenye Bahari ya Araba, kufuata amri ya neno la Yahwe, Mungu wa Israeli, ambalo aliongea kupitia mtumishi wake Yona mwana wa Amitai, yule nabii, ambaye alitokea Gathi Heferi.
26 Jer Gospod vidje da je u ljutoj nevolji Izrailj, i da nema ništa ni od uhvaæenoga ni od ostavljenoga, i da nema nikoga da pomože Izrailju.
Kwa kuwa Yahwe aliyaona mateso ya Israeli, ambayo yalikuwa makali kwa kila mmoja, wote mtumwa na asyemtumwa, na kwamba hapakuwa na ulinzi kwa ajili ya Israeli.
27 I ne bješe rekao Gospod da zatre ime Izrailjevo pod nebom; zato ih izbavi preko Jerovoama sina Joasova.
Basi Yahwe akasema kwamba hatoweza kulifuta jina la Israeli chini ya mbingu; badala yake, aliwaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.
28 A ostala djela Jerovoamova, i sve što je èinio, i junaštva njegova, kako je vojevao i kako je povratio Damasak i Emat od Jude Izrailju, nije li to zapisano u dnevniku careva Izrailjevijeh?
Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yeroboamu, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, jinsi alivyo pigana vita na kuipata tena Damaskasi na Hamathi, ambayo ilikuwa ya Yuda, kwa Israeli, je hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
29 Potom poèinu Jerovoam kod otaca svojih, careva Izrailjevijeh, a na njegovo se mjesto zacari Zaharija sin njegov.
Yeroboamu akalala na mababu zake, pamoja na mfalme wa Israeli, na Zekaria mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.