< 2 Dnevnika 4 >

1 I naèini oltar od mjedi, dvadeset lakata dug i dvadeset lakata širok, a deset lakata visok.
Vivile akatengeneza madhabahu ya shaba; urefu wake ulikuwa mikono ishirini, na upana wake ulikuwa mikono ishirini.
2 I sali more, deset lakata bješe mu od jednoga kraja do drugoga, okruglo unaokolo, pet lakata visoko; a unaokolo mu bješe trideset lakata.
Pia akatengeneza bahari ya mduara ya chuma cha kuyeyushwa, mikono kumi kutoka ukingo hadi ukingo. Urefu wake kwenda juu ulikuwa mikono mitano, na bahari ilikuwa na mzunguko wa mikono thelatinini.
3 A pod njim bijahu likovi volovski, koji stajahu svuda unaokolo, po deset na jednom laktu, te okružavahu more: dva reda bijaše tijeh volova, salivenijeh s morem.
Chini ya kingo kuzunguka bahari kulikuwapo ng'ombe dume, kumi kila mkono,
4 I stajaše more na dvanaest volova, tri gledahu na sjever, a tri gledahu na zapad, a tri gledahu na jug, a tri gledahu na istok, a more stajaše ozgo na njima, i zadnja strana svijeh njih bijaše unutra.
Bahari ilisimama juu ya ng'ombe wa kulima kumi na wawili, watatu wakiangalia kaskazini, watatu wakiangalia magharibi, na watatu wakiangalia kusini, na watatu wakiangalia mashariki. Bahari iliwekwa juu yao, na robo ya sehemu zao za nyuma zote zilikuwa ndani.
5 Debljina mu bijaše s podlanice, a kraj mu bijaše kao kraj u èaše, kao cvijet ljiljanov, a primaše tri tisuæe vata.
Bahari ilikuwa nene kama upana wa mkono, na ukingo wake ulikuwa kama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi. Bahari ilikuwa na mabafu elfu tatu ya maji.
6 I naèini deset umivaonica, i metnu ih pet s desne strane, a pet s lijeve, da se u njima pere, što god trebaše za žrtvu paljenicu, u njima prahu; a more bijaše za sveštenike da se u njemu umivaju.
Pia akatengeneza birika kumi kwa ajili ya kuoshea vitu; tano akaziweka mkono wa kulia, na tano akaziweka kushoto; vifaa vilivyotumika katika kufanayia sadaka za kuteketezwa zilipaswa kuoshwa ndani ya hizo birika. Bahari, vilevile ilikuwa kwa ajili ya makauhani kuoga humo.
7 I naèini deset svijetnjaka od zlata, oblika kaki im trebaše, i namjesti ih u crkvi, pet s desne strane a pet s lijeve.
Akatengeza vinara vya taa kumi vya dhahabu ambavyo vilitengenezwa kutokana na maelekezo ya jinsi vilivyopaswa kuwa; akaviweka hekaluni, vitanao mkno wa kulia, na vitano mkono wa kushoto.
8 I naèini deset stolova, i namjesti ih u crkvi, pet s desne strane a pet s lijeve; i naèini stotinu èaša od zlata.
Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kulia, na tano upande wa kushoto. Akatengeneza birika mia moja za dhahabu.
9 I naèini trijem sveštenièki i veliki trijem, i vrata na trijemu, i okova vrata u mjed.
Zaidi ya hayo akatengeneza mahakama ya makuhani na mahakama kuu, na milangu kwa ajili ya mahakama, akaifunika milango yake kwa shaba.
10 A more metnu na desnu stranu k istoku s juga.
Akaiweka bahari upande wa kulia wa nyumba, masharika, ikielekea upande wa kusini.
11 Još naèini Hiram lonce i lopate i kotliæe, i svrši Hiram posao, koji radi caru Solomunu za dom Božiji:
Huramu akayatengeza masufuria, majembe, na mabakuli ya kunyunyizia. Hivyo Huramu akamaliza kazi aliyofanya kwa ajili ya mfalme Selemani katika nyumba ya Mungu:
12 Dva stupa, i dva oglavlja okrugla navrh stupova, i pletenice dvije da pokrivaju dva oglavlja navrh stupova;
zile nguzo mbili, taji mfano wa upinde zilizo kuwa juu ya zile nguzo mbili, na nyavu mbili za za mapambo zilizofunika zile taji mbili mfano wa upinde zilizokuwa juu ya zile nguzo.
13 I èetiri stotine šipaka na dvije pletenice, dva reda šipaka na svakoj pletenici, da pokrivaju dva oglavlja navrh stupova;
Alikuwa ametengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu za mapambo: safu mbili za makomamanga kwa kila wavu ili kufunika vimbe mbili zilizo kuwa juu ya nguzo.
14 I naèini podnožja, i umivaonice naèini na podnožja;
Pia akavitengeneza vitako na mabirika juu ya kitako,
15 Jedno more, i dvanaest volova pod njim;
bahari moja na wale ng'ombe kumi na wawili chini yake,
16 I lonce i lopate i viljuške, i sve sprave za njih naèini Hiram Aviv caru Solomunu za dom Gospodnji od uglaðene mjedi.
pia masufuria, majembe, nyuma za nyama, na vyombo vingine vyote. Huramu mtaalamu akavifanya kwa ajili ya Mfalme Selemani, kwa ajili ya nyumba ya Yahwe, vya shaba iliyong'arishwa.
17 To je car saljevao u ravni Jordanskoj u zemlji ilovaèi izmeðu Sohota i Saridate.
Mfalme alikuwa amevisubu katika uwanda wa Yordani, katika udongo wa mfinyanzi kati kati ya Sukothi na Sereda.
18 I naèini Solomun svega ovoga posuða vrlo mnogo, da se nije tražila mjera mjedi.
Hivyo ndivyo Selemani alivyovitengeneza vyombo vyote kwa wingi; kwa kweli, uzito wa shaba haukuweza kujulikana.
19 Naèini Solomun i sve druge sprave za dom Božji, i oltar od zlata i stolove na kojima stajahu hljebovi postavljeni;
Selemani akazitengeza samani zote ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Mungu, pia madhabahu ya dhahabu, na meza ambazo juu yake mkate wa uwepo ulipaswa kuwekwa;
20 I svijetnjake sa žišcima njihovijem od èistoga zlata da gore pred svetinjom nad svetinjama po obièaju;
vinara pamoja na taa zake, ambazo zilitengezwa ili kumulika mbele ya chumba cha ndani—hivi vilitengenezwa kwa dhahabu halisi;
21 I cvijetove i žiške i usekaèe od zlata; a to zlato bijaše veoma dobro;
na maua, taa, na makoleo, ya dhahabu, dhahabu safi.
22 I noževe i kotliæe i kadionice i kliješta od èistoga zlata; i vrata od doma, vrata unutrašnja od svetinje nad svetinjama, i vrata od doma na koja se ulažaše u crkvu, bijahu od zlata.
Pia mikasi ya taa, na mabakuli, vijiko, na vikaango vya sadaka za kuteketezwa vyote vilitengenezwa kwa dhahabu safi. Kuhusu mlanago wa kuingilia kwenye nyumba, milango yake ya ndani kwenye patakatifu pa patakatifu na milango ya nyumba, ambayo ni, ya hekalu, ilitengenezwa kwa dhahabu.

< 2 Dnevnika 4 >