< 2 Dnevnika 18 >

1 I Josafat imajuæi veliko blago i slavu oprijatelji se s Ahavom.
Sasa Yehoshafati alikauwa na utajiri mwingi na heshima kubwa; alifanya undugu na Ahabu mmoja wa watu wa familia yake akamuo binti yake.
2 I poslije nekoliko godina otide k Ahavu u Samariju; i nakla mu Ahav mnogo ovaca i volova i narodu koji bijaše s njim, i nagovaraše ga da poðe na Ramot Galadski.
Baada ya miaka kadhaa, akashsuka chini kwa Ahabu huko Samaria. Ahabu akachinja kondoo na ngo'mbe wengi kwa ajili ya yake na watu waliokuwa pamoja naye. Ahabu pia akamshawishi kuivamia Ramothi-gileadi pamoja naye.
3 I reèe Ahav car Izrailjev Josafatu caru Judinu: hoæeš li iæi sa mnom na Ramot Galadski? A on reèe: ja kao ti, narod moj kao tvoj narod; hoæemo s tobom na vojsku.
Ahabu, mfalme wa Israeli, akamwambia Yehoshafati, mfalme wa Yuda, “Utakwenda Ramothi-gileadi pamoja nami?” Yehoshafati akamjibu, “Mimi ni kama wewe, na watu wangu ni kama watu wako; tutakuwa pamoja nawe katika vita.”
4 Još reèe Josafat caru Izrailjevu: pitaj danas šta æe Gospod reæi.
Yehoshafati akamwambia mfalme wa Israeli, Tafadhali litafute neno la Yahwe kwanza kwa ajili ya jibu lako”
5 Tada sazva car Izrailjev proroke svoje, èetiri stotine ljudi, i reèe im: hoæemo li iæi na vojsku na Ramot Galadski, ili æu se okaniti? A oni rekoše: idi, jer æe ga Gospod dati u ruke caru.
Kisha mfale wa Israeli akawakusanya manabii pamoja, wanauame mia nne, na akasema akwao, Tutaenda vitani Ramothi-gileadi, au nisiende?” Wakasema, “Vamia, kwa maana Mungu ataitia mkononi mwa mfalme.”
6 A Josafat reèe: ima li tu još koji prorok Gospodnji da ga pitamo?
Lakini Yehoshafati akasema, “Hakuna nabii mwingine hapa wa Yahwe ambaye kwake tunapaswa kutafuta ushauri?”
7 A car reèe Josafatu: ima još jedan èovjek preko kojega bismo mogli upitati Gospoda; ali ja mrzim na nj, jer mi ne prorièe dobra nego svagda zlo; to je Miheja sin Jemlin. A Josafat reèe: neka car ne govori tako.
Mfale wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Bado kuna mtu mmoja amabaye kwake lazima tuutafute ushauri wa Yahwe, Mikaya mwana wa Imla, lakini namchukia kwa sababu yeye huwa hatabiri mema kamwe kuhusu mimi, bali kila mara maovu,” Lakini Yehoshafati akasema, “Mfalme hapaswi kusema hivyo.”
8 Tada car Izrailjev dozva jednoga dvoranina, i reèe mu: brže dovedi Miheju sina Jemlina.
Kisha mfalme wa Israeli akamwita akida na kusema, Haraka mlete Mikaya mwana wa Imla.”
9 A car Izrailjev i Josafat car Judin sjeðahu svaki na svom prijestolu obuèeni u carske haljine, sjeðahu na poljani kod vrata Samarijskih, i svi proroci prorokovahu pred njima.
Sasa Ahabu mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wamekaa kila mmoja katika kiti cha enzi, wamevalia kanzu zao, katika sehemu ya uwazi katika maingilia ya lango la Samaria, na manabii wote walikuwa wakitabairi mbele zao.
10 I Sedekija sin Hananin naèini sebi gvozdene rogove, i reèe: ovako veli Gospod: ovijem æeš biti Sirce dokle ih ne istrijebiš.
Zedekia mwana wa Kenaani akajitengenezea pembe za chuma na kusema, Yahwe anasema hivi: Kwa kutumia hizi pembe mtawasukuma Waaramu hadi waangamie.”
11 Tako i svi proroci prorokovahu govoreæi: idi na Ramot Galadski, i biæeš sreæan, jer æe ga Gospod predati caru u ruke.
Manabii wote wakatabiri kitu kile kile, wakisema, “Vamia Raamothi-gleadi na shinda. kwa maana Yahwe ameutia kwenye mkono wa mfalme.”
12 A poslanik koji otide da dozove Miheju reèe mu govoreæi: evo proroci prorièu svi jednijem glasom dobro caru; neka i tvoja rijeè bude kao njihova, i govori dobro.
Mjumbe aliyeenda kumuita Mikaya akasema kwake, akisema, “Sasa angalia, maneno ya manabii yanatangaza mambo mema kwa ajili ya mfalme kwa kinywa kimoja. Tafadhali maneno yako yawe kama maneno ya mmoja wao na sema mambo mema.”
13 A Miheja reèe: tako da je živ Gospod, govoriæu ono što reèe Bog moj.
Mikaya akajibu, “Kama Yahwe aishivyo, mimi nitasema kile mbacho Mungu anasema.”
14 I kad doðe k caru, reèe mu car: Miheja! hoæemo li iæi na vojsku na Ramot Galadski, ili æu se okaniti? A on reèe: idite, biæete sreæni, i daæe vam se u ruke.
Alipokuja kwa mfalme, mfamle akamwambaia, “Mikaya, tutaenda Ramothi -gileadi kwa ajili ya vita, au la?” Mikaya akamjibu, “Vamia na utashinda! kwa maana utakuwa ushinda mkuu.”
15 A car mu reèe: koliko æu te puta zaklinjati da mi ne govoriš nego istinu u ime Gospodnje?
Kisha mfalme akasema kwake, “Ni mara ngapi ninapaswa kukutaka kuapa kutoniambia kitu chochote sispokuwa kweli katika jina la Yahwe?
16 Tada reèe: vidio sam sav narod Izrailjev razasut po planinama kao ovce koje nemaju pastira, jer reèe Gospod: ovi nemaju gospodara, neka se vrate svak svojoj kuæi s mirom.
Kwa hiyo Mikaya akasema, “Niliwaoana Israeli wametawanyika ktika mlima, kama kondoo wasio na mchungaji, na Yahwe akasema, hawa hawana mchungaji. Ebu kila mtu arudi nyumbani kwake kwa amani.”
17 Tada reèe car Izrailjev Josafatu: nijesam li ti rekao da mi neæe prorokovati dobra nego zlo?
Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba asingeweza kutabiri mema juu yangu, bali majanga tu?
18 A Miheja reèe: zato èujte rijeè Gospodnju: vidjeh Gospoda gdje sjedi na prijestolu svom, a sva vojska nebeska stajaše mu s desne i s lijeve strane;
Kisha Mikaya akasema, “Kwa hiyo ninyi nyote mnapashwa kulisikia neno la Yahwe: Nilimuon Yahwe amekaa juu ya kiti chake cha enzi, na majeshi yote ya mbinguni yalikauwa yamekaa mkono wake wa kulia na mkono wake wa kushoto.
19 I Gospod reèe: ko æe prevariti Ahava cara Izrailjeva da otide i padne kod Ramota Galadskoga? Još reèe: jedan reèe ovo a drugi ono.
Yahwe akasema, Ni nani atakayemrubuni Ahabu, mfalme wa Israeli, ili kwamba aende na kuanguka huko Ramothi-gileadi?' Mmoja alisema hivi na mwingine hivi.
20 Tada izide jedan duh, i stavši pred Gospoda reèe: ja æu ga prevariti. A Gospod mu reèe: kako?
Kisha roho ikaja moja kwa maja na kusimama mbele ya Yahwe na kusema, 'Nitamrubuni.' Yahwe akamwambia, 'Kivipi?'
21 Odgovori: iziæi æu, i biæu lažljiv duh u ustima svijeh proroka njegovijeh. A Gospod mu reèe: prevariæeš ga i nadvladaæeš, idi i uèini tako.
Roho ikajibu, “nitatoka nje na nitakuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.' Yahwe akajibu, 'utamrubuni, na pia utafanikiwa. nenda sasa na fanya hivyo.'
22 Zato sada eto, Gospod je metnuo lažljiv duh u usta tijem prorocima tvojim; a Gospod je izrekao zlo po te.
Sasa ona, Yahwe ameweka roho ya uongo katika midomo ya manabii wako hawa, na Yahwe ametangaza majanga kwa ajili yako.”
23 Tada pristupi Sedekija sin Hananin, i udari Miheju po obrazu govoreæi: kojim je putem otišao duh Gospodnji od mene da govori s tobom?
Kisha Zedekia mwana wa Kenaana, akaja, akampiga kofi mika juu ya shavu, na kusema, “Kwa njia gani Roho wa Yahwe alitoka kwangu ili aseme nawe?”
24 A Miheja mu reèe: eto, vidjeæeš u onaj dan kad otideš u najtajniju klijet da se sakriješ.
Mika akasema, Angalia, utalijua hilo katika siku hiyo, mtakapokimbia katika baadhi ya vyumba vya ndani kwa ajili ya kujificha.”
25 Tada car Izrailjev reèe: uhvatite Miheju, i odvedite ga k Amonu zapovjedniku gradskom i k Joasu sinu carevu.
Mfalme wa Israeli akasema kwa baadhi ya watumishi, “Enyi watu mkamateni Mikaya na mmpeleke hadi Amoni, mkuu wa mji na, na kwa Yoashi, mwanangu.
26 I recite im: ovako veli car: metnite ovoga u tamnicu, a dajite mu po malo hljeba i po malo vode dokle se ne vratim u miru.
Nanyi mtamwambia, 'Mfalme anasema: Mweke gerezanai huyu mtu na umlishe kwa mkate kiogo tu na maji kidogo tu, mpaka nitakaporudi salama.”
27 A Miheja reèe: ako se vratiš u miru, nije Gospod govorio preko mene. Još reèe: èujte svi narodi.
Kisha Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, Yahwe hajasema nami.”Kisha akaongeza, “Sikiliza haya, enyi watu wote.”
28 I otide car Izrailjev s Josafatom carem Judinijem na Ramot Galadski.
Kwa hiyo Ahabu, mfalme wa Israeli, na Yehoshafati, mfalme wa Yuda, wakaenda juu ya Ramothi-giledi.
29 I reèe car Izrailjev Josafatu: ja æu se preobuæi kad poðem u boj, a ti obuci svoje odijelo. I preobuèe se car Izrailjev, i otidoše u boj.
Mfalme wa Israeli akamwamabia Yehoshafati, “Nitajibadilisha mwenyewe na kwenda vitani, lakini wewe vaa mavazi yako ya kifalme.” Kwa hiyo mfalame wa Israeli akajibalisha, na wakaenda vitani.
30 A car Sirski zapovjedi vojvodama od kola svojih govoreæi: ne udarajte ni na maloga ni na velikoga nego na samoga cara Izrailjeva.
Sasa mfalme wa Aramu alikuwa amewaamuru maakida wa magari yake, akisema, Msiwavamie wanajeshsi wasio wa muhimu wala wanajeshsi muhimu. Badala yake, mvamieni mfalme wa Israeli pekee,”
31 A kad vojvode od kola vidješe Josafata, rekoše: to je car Izrailjev. I okrenuše se na nj da udare. Ali Josafat povika, i Gospod mu pomože, i odvrati ih Bog od njega.
Ikawa kwamba maakida wa magari walipomuona Yehoshafati wakasema, “Yule ni mfalme wa Israeli.” Wakageka kumzunguka wamvamie, lakini Yehoshafati akalia, na Yahwe akamsaidia. Mungu akawageza nyuma kutoka kwake.
32 Jer vidjevši vojvode od kola da nije car Izrailjev, otstupiše od njega.
Ikawa kwamba maakida wa magari walipoona ya kuwa hakuwa mfalme wa Israeli, wakarudi nyuma wasimfukuze.
33 A jedan zastrijeli iz luka nagonom i ustrijeli cara Izrailjeva gdje spuèa oklop. A on reèe svojemu vozaèu: savij rukom svojom i izvezi me iz boja, jer sam ranjen.
Lakini mtu mmoja akauvuta upinde wake kwa kubahatisha na kumpiga mfalme wa Israeli kati kati ya maungio ya mavazi yake. Kisha Ahabu akamwambia dereva wa gari lake, “Geuza nyuma na nitoe nje ya mapigano, kwa maana nimejeruhiwa vibaya sana.”
34 I boj bi žestok onoga dana, a car Izrailjev zaosta na kolima svojim prema Sircima do veèera, i umrije o sunèanom zahodu.
Mapigano yakazidi kuwa makali siku hiyo, na mfalme wa israeli akashikiliwa katika gari lake kuwaelekea Waaramu hadi jioni. Muda jua lilipokaria kwenda chini, akafa.

< 2 Dnevnika 18 >