< 1 Samuelova 10 >
1 Tada Samuilo uze uljanicu, i izli mu ulje na glavu, pa ga cjelova, i reèe mu: eto, nije li te pomazao Gospod nad našljedstvom svojim da mu budeš voð?
Ndipo Samweli akachukua chupa ya mafuta, akayamimina juu ya kichwa cha Sauli, na akambusu. Akasema, “Je, Mungu hajakutia mafuta uwe mtawala juu ya urithi wake?
2 Kad otideš danas od mene, naæi æeš dva èovjeka kod groba Rahiljina u kraju Venijaminovu u Selsi, koji æe ti reæi: našle su se magarice, koje si pošao da tražiš, i evo otac tvoj ne mareæi za magarice zabrinuo se za vas govoreæi: šta æu èiniti poradi sina svojega?
Utakapoondoka kwangu leo, utawaona wanaume wawili na kaburi la Raheli, katika nchi ya Benyamini hapo Selsa. Watu hao watakuambia, 'Wale punda mliokuwa mkiwatafuta wamepatikana. Sasa, Baba yako ameacha kuwatunza punda, na ana hofu juu yenu, anasema, “Nitafanya nini kuhusu mwanangu?”
3 I otišavši odande dalje kad doðeš u ravnicu Tavorsku, srešæe te ondje tri èovjeka iduæi k Bogu u Vetilj, noseæi jedan tri jareta, a drugi noseæi tri hljeba, a treæi noseæi mješinu vina.
Kisha utakwenda mbele kutoka hapo, na utafika katika mwaloni wa Tabori. Utakutana na watu watatu hapo wakienda kwa Mungu huko Betheli, mmoja akibeba wana-mbuzi watatu, mwingine akibeba mikate mitatu, na mwingine akibeba kiriba cha divai.
4 Pa æe te upitati za zdravlje, i daæe ti dva hljeba, koje primi iz ruku njihovijeh.
Watawasalimu na watawapatia mikate miwili, kutoka mikononi mwao.
5 Potom æeš doæi na hum Božji, gdje je straža Filistejska, i kad uðeš u grad, srešæe te gomila proroka slazeæi s gore, a pred njima psaltiri i bubnji i svirale i gusle; i oni æe prorokovati.
Baada ya hayo, utafika katika mlima wa Mungu, mahali ilipo ngome ya Wafilisti. Utakapofika mjini, utakutana na kundi la manabii wakiteremka chini kutoka mahali pa juu wakiwa na kinanda, tari, kinubi na filimbi mbele yao; na watakuwa wakitabiri.
6 I siæi æe na te duh Gospodnji, te æeš prorokovati s njima, i postaæeš drugi èovjek.
Roho ya BWANA itakujaza, nawe utatabiri pamoja nao, na utabadilishwa na kuwa mtu tofauti.
7 I kad ti doðu ti znaci, èini što ti doðe na ruku, jer je Bog s tobom.
Basi, ishara hizi zikikufikia, fanya lolote ambalo mikono yako itaona ifanye, kwa sababu Mungu yu pamoja nawe.
8 Potom æeš otiæi prije mene u Galgal, i gle, ja æu doæi k tebi da prinesem žrtve paljenice i da prinesem žrtve zahvalne. Sedam dana èekaj dokle doðem k tebi i kažem ti šta æeš èiniti.
Nenda ushuke mbele yangu hadi Gilgali. Kisha nitakufuata huko nitoe dhabihu za kuteketezwa na kutoa dhabihu za amani. Nisubiri kwa muda wa siku saba hadi nije kwako na nikuoneshe unachopaswa kufanya.”
9 I kad se okrete da ide od Samuila, Bog mu dade drugo srce; i svi se oni znaci zbiše onaj dan.
Sauli alipotega mgongo amuache Samweli, Mungu akampa moyo mwingine. Ndipo ishara zote hizi zikatimia siku hiyo.
10 I kad doðoše na hum, gle, srete ga gomila proroka, i doðe na nj duh Božji, i prorokova meðu njima.
Walipofika mlimani, kundi la manabii lilikutana naye, na Roho ya Mungu ikamjilia kwa nguvu ili atabiri pamoja nao.
11 I kad ga vidješe svi koji ga poznavahu od preðe gdje prorokuje s prorocima, rekoše jedan drugome: šta to bi od sina Kisova? eda li je i Saul meðu prorocima?
Kila mtu aliyemfahamu kabla hajamwona akitabiri pamoja na manabii, watu waliambizana wao kwa wao:”Kitu gani kimempata mtoto wa Kishi? Hivi Sauli ni mmoja wa manabii siku hizi?”
12 A jedan odande odgovori i reèe: ko li im je otac? Otuda posta prièa: eda li je i Saul meðu prorocima?
Mtu mmoja kutoka eneo hilo akajibu, “Na ni nani baba yao?” Kwa sababu ya jambo hili, ukawapo msemo, “Hivi Sauli naye ni mmoja wa manabii?”
13 I prestavši prorokovati doðe na goru.
Alipomaliza kutabiri, akafika mahali pa juu.
14 A stric Saulov reèe njemu i momku njegovu: kuda ste išli? A on odgovori: da tražimo magarice; i kad vidjesmo da ih nigdje nema, otidosmo k Samuilu.
Ndipo baba yake mdogo na akamuuliza Sauli na mtumishi wake, “Mlienda wapi?” Naye akamjibu, “Kuwatafuta punnda; tulipoona kwamba hatuwezi kuwapata, tukaenda kwa Samweli.”
15 A stric Saulov reèe: kaži mi šta vam je rekao Samuilo?
Baba yake mdogo akasema, “Tafadhali niambie kile alichosema kwako Samweli,”
16 A Saul reèe stricu svojemu: kazao nam je da su se našle magarice. Ali mu ne reèe za carstvo što mu je kazao Samuilo.
Sauli akamjibu baba yake mdogo, “Alituambia waziwazi kwamba punda wamepatikana.” Lakini kuhusu swala la ufalme alilosema Samweli hakumwambia.
17 A Samuilo sazva narod u Mispu ka Gospodu.
Basi Samweli aliwaita watu pamoja huko Mispa.
18 I reèe sinovima Izrailjevijem: ovako veli Gospod Bog Izrailjev: ja izvedoh Izrailja iz Misira, i izbavih vas iz ruku Misirskih i iz ruku svijeh carstava koja vas muèahu.
Akwaambia watu wa Israeli, “Hivi ndivyo BWANA, Mungu wa Israeli asemavyo: 'Niliwatoa Israeli kutoka Misri, na niliwaokoa kutoka nchi ya Wamisri, na kutoka mkono wa falme zote zilizowaonea.'
19 A vi danas odbaciste Boga svojega, koji vas sam izbavlja od svijeh zala vaših i nevolja vaših, i rekoste mu: postavi cara nad nama. Sada dakle stanite pred Gospodom po plemenima svojim i po tisuæama svojim.
Lakini leo mmemkataa Mungu wenu, awaokoaye kutoka kwenye majanga na mahangaiko; na mmemwambia, ' Tuwekee mfalme juu yetu; Sasa jihudhurisheni wenyewe mbele za BWANA kwa kabila na jamaa zenu.”
20 I privede Samuilo sva plemena Izrailjeva, i pade na pleme Venijaminovo.
Kisha Samweli akawaleta kabila zote za Isareli karibu, na kulichagua kabila la Benyamini.
21 Potom privede pleme Venijaminovo po porodicama njegovijem, i pade na porodicu Matrijevu; potom pade na Saula sina Kisova. I tražiše ga, ali se ne naðe.
Akawasogeza karibu kabila la Benyamini kwa kufuata jamaa zao; na jamaa ya Wamatri ikachaguliwa; na Sauli mwana wa Kishi akachaguliwa. Lakini walipokwenda kumtafuta, hakuweza kuonekana.
22 Tada opet upitaše Gospoda: hoæe li još doæi ovamo taj èovjek? A Gospod reèe: eto sakrio se za prtljagom.
Kisha watu walitaka kumuuliza Mungu maswali zaidi, “Bado yupo mtu mwingine ajaye?” BWANA akajibu, “Yeye mwenyewe kajificha kwenye mizigo.”
23 Tada otrèaše, i dovedoše ga odande. I stade usred naroda, i bijaše glavom viši od svega naroda.
Wakaenda mbio na kumleta Sauli kutoka humo. Aliposimama kati yao, alikuwa mrefu kuliko watu wote kuanzia mabega yake kwenda juu.
24 I reèe Samuilo svemu narodu: vidite li koga je izabrao Gospod da niko nije kao on u svemu narodu? I sav narod povika i reèe: da živi car!
Kisha Samweli akawaambia watu, “Je, mnamuona mtu ambaye BWANA amemchagua? Hakuna mtu kama yeye kati ya watu wote.” Watu wote wakapiga Kelele, “Mfalme na aishi”
25 Tada Samuilo kaza narodu prava carska i napisa u knjigu, i metnu je pred Gospodom. Potom Samuilo raspusti narod da ide svak svojoj kuæi.
Ndipo Samweli akawaambia watu desturi na sheria za ufalme, akaziandika katika kitabu, na kuziweke mbele za BWANA. Baadaye Samweli akawaruhusu watu waondoke kila mtu aende nyumbani kwake.
26 I Saul takoðer otide svojoj kuæi u Gavaju, i s njim otidoše vojnici, kojima Bog taknu srca.
Sauli pia alienda nyumbani kwake huko Gibea, akiwa na baadhi ya watu wenye nguvu, wenye mioyo iliyoguswa na Mungu.
27 A ljudi nevaljali rekoše: taj li æe nas izbaviti? I prezirahu ga, niti mu donesoše dara. Ali se on uèini kao da nije èuo.
Lakini baadhi ya watu wasiofaa walisema, “Huyu mtu atatuokoaje?” Watu hawa walimdharau Sauli na hawakumletea zawadi zozote. Lakini Sauli alinyamaza kimya.