< 1 Kraljevima 4 >

1 A car Solomun carovaše nad svijem Izrailjem.
Basi Mfalme Solomoni akatawala Israeli yote.
2 A ovo bijahu knezovi njegovi: Azarija, sin Sadokov, namjesnik;
Hawa ndio waliokuwa maafisa wake wakuu: Kuhani: Azaria mwana wa Sadoki;
3 Elioref i Ahija, sinovi Sisini, pisari; Josafat, sin Ahiludov, pametar;
Elihorefu na Ahiya, wana wa Shisha: waandishi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi: karani;
4 Venaja, sin Jodajev, vojvoda; a Sadok i Avijatar sveštenici;
Benaya mwana wa Yehoyada: jemadari mkuu wa jeshi; Sadoki na Abiathari: makuhani;
5 A Azarija, sin Natanov, bješe nad pristavima; a Zavud, sin Natanov, prvi vijeænik, prijatelj carev;
Azaria mwana wa Nathani: kiongozi wa maafisa wa wilaya; Zabudi mwana wa Nathani: kuhani na mshauri binafsi wa mfalme;
6 A Ahisar upravitelj dvorski; a Adoniram sin Avdin nad carskim poslenicima.
Ahishari: msimamizi wa jumba la kifalme; Adoniramu mwana wa Abda: msimamizi wa kazi za kulazimisha.
7 I imaše Solomun dvanaest pristava po svemu Izrailju, koji hranjahu cara i sav dom njegov; po mjesec dana u godini svaki bijaše dužan hraniti.
Pia Solomoni alikuwa na watawala kumi na wawili wa wilaya katika Israeli yote, walioleta mahitaji kwa mfalme na kwa watu wa nyumbani kwa mfalme. Kila mmoja alitoa chakula kwa mwezi mmoja katika mwaka.
8 A ovo su im imena: sin Urov u gori Jefremovoj;
Majina yao ni haya: Ben-Huri: katika nchi ya vilima ya Efraimu;
9 Sin Dekerov u Makasu i u Salvimu i Vetsemesu i Elonu Vet-ananskom;
Ben-Dekeri: katika Makasi, Shaalbimu, Beth-Shemeshi na Elon-Bethhanani;
10 Sin Esedov u Aruvotu; pod njim bijaše Sohot i sva zemlja Eferova;
Ben-Hesedi: katika Arubothi (Soko na nchi yote ya Heferi zilikuwa zake);
11 Sin Avinadavov nad svijem krajem Dorskim; žena mu bješe Tafata kæi Solomunova;
Ben-Abinadabu: katika Nafoth-Dori (alimwoa Tafathi binti Solomoni);
12 Vana sin Ahiludov nad Tenahom i Megidonom i svijem Vet-Sanom, koji je do Sartane pod Jezraelom, od Vet-Sana do Avel-Meola, do preko Jok-Meama;
Baana mwana wa Ahiludi: katika Taanaki na Megido, na katika Beth-Shani yote karibu na Sarethani chini ya Yezreeli, kuanzia Beth-Shani hadi Abel-Mehola kupita hadi Yokmeamu;
13 Sin Geverov u Ramotu Galadskom; imaše sela Jaira sina Manasijina u Galadu i kraj Argovski u Vasanu, šezdeset velikih gradova sa zidovima i prijevornicama mjedenijem;
Ben-Geberi: katika Ramoth-Gileadi (makao ya Yairi mwana wa Manase katika Gileadi ilikuwa miji yake, pamoja na wilaya ya Argobu katika Bashani na miji yake mikubwa sitini yenye kuzungukwa na kuta zenye makomeo ya shaba);
14 Ahinadav sin Idov u Mahanajimu;
Ahinadabu mwana wa Ido: katika Mahanaimu;
15 Ahimas u Neftalimu; i on bješe oženjen kæerju Solomunovom Vasematom;
Ahimaasi: katika Naftali (alikuwa amemwoa Basemathi binti Solomoni);
16 Vana sin Husajev u Asiru i u Alotu;
Baana mwana wa Hushai: katika Asheri na katika Bealothi;
17 Josafat sin Farujin u Isaharu;
Yehoshafati mwana wa Parua: katika Isakari;
18 Simej sin Ilin u Venijaminu;
Shimei mwana wa Ela: katika Benyamini;
19 Gever sin Urijev u zemlji Galadskoj, u zemlji Siona cara Amorejskoga i Oga cara Vasanskoga; jedan bješe pristav u toj zemlji.
Geberi mwana wa Uri: katika Gileadi (nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na nchi ya Ogu mfalme wa Bashani). Naye alikuwa ndiye mtawala pekee katika eneo hilo.
20 Jude i Izrailja bijaše mnogo kao pijeska pokraj mora; i jeðahu i pijahu i veseljahu se.
Watu wa Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani; walikula, wakanywa na kufurahi.
21 A Solomun vladaše svijem carstvima od rijeke do zemlje Filistejske i do meðe Misirske, i donošahu dare i služahu Solomunu svega vijeka njegova.
Mfalme Solomoni akatawala katika falme zote kuanzia Mto Frati hadi nchi ya Wafilisti, hadi kwenye mpaka wa Misri. Nchi hizi zilileta ushuru na zilikuwa chini ya Solomoni, siku zote za maisha yake.
22 A hrana Solomunova bijaše na dan trideset kora bijeloga brašna, i šezdeset kora drugoga brašna;
Mahitaji ya Solomoni ya kila siku yalikuwa kori thelathini za unga laini, kori sitini za unga wa kawaida.
23 Deset volova ugojenijeh i dvadeset s paše, i sto ovaca, osim jelena i srna i divokoza i ugojenijeh ptica.
Ngʼombe kumi wa zizini, ngʼombe ishirini wa malisho, kondoo na mbuzi mia moja, pamoja na ayala, paa, kulungu na kuku wazuri sana.
24 Jer on vladaše svuda s ovu stranu rijeke od Tapse do Gaze, nad svijem carevima s ovu stranu rijeke, i bješe miran sa sviju strana unaokolo.
Kwa kuwa Solomoni alitawala falme zote magharibi ya mto, kuanzia Tifsa hadi Gaza, naye akawa na amani pande zote.
25 I življahu Juda i Izrailj bez straha, svaki pod svojom lozom i pod svojom smokvom, od Dana do Virsaveje, svega vijeka Solomunova.
Wakati wa maisha ya Solomoni Yuda na Israeli, kuanzia Dani mpaka Beer-Sheba, wakaishi salama kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake.
26 I imaše Solomun èetrdeset tisuæa konja za jaslima za kola svoja, i dvadeset tisuæa konjika.
Solomoni alikuwa na mabanda 4,000 ya magari ya vita, na farasi 12,000.
27 I pristavi hranjahu cara Solomuna i sve koji dolažahu za sto cara Solomuna, svaki svoga mjeseca, i ne dadijahu da se èega premakne.
Maafisa wa eneo hilo, kila mmoja katika mwezi wake, walileta mahitaji kwa ajili ya Mfalme Solomoni na wote waliokula mezani mwa mfalme. Walihakikisha kuwa hakuna chochote kilichopungua.
28 A jeèam i slamu za konje i za mazge donošahu na mjesto gdje bijahu, svaki kako mu bijaše odreðeno.
Pia walileta sehemu walizopangiwa za shayiri na majani kwa ajili ya farasi wavutao magari na farasi wengine mahali palipostahili.
29 I Bog dade mudrost Solomunu i razum vrlo velik i srce prostrano kao pijesak na brijegu morskom.
Mungu akampa Solomoni hekima na akili kubwa, pia ufahamu mpana usiopimika kama mchanga ulioko pwani ya bahari.
30 Jer mudrost Solomunova bijaše veæa od mudrosti svijeh istoènijeh naroda i od sve mudrosti Misirske.
Hekima ya Solomoni ilikuwa kubwa kuliko hekima ya watu wote wa Mashariki na kubwa kuliko hekima yote ya Misri.
31 Mudriji bijaše od svakoga èovjeka, i od Etana Ezraita i od Emana i od Halkola i od Darde, sinova Maolovijeh; i razglasi se ime njegovo po svijem narodima unaokolo.
Alikuwa na hekima kuliko kila mwandishi, akiwemo Ethani Mwezrahi: kuliko Hemani, Kalkoli na Darda, wana wa Maholi. Umaarufu wake ukaenea kwa mataifa yote yaliyomzunguka.
32 I izgovori tri tisuæe prièa, i bijaše pjesama njegovijeh tisuæa i pet.
Akanena mithali 3,000 na nyimbo zake zilikuwa 1,005.
33 Govorio je i o drveæu, od kedra na Livanu do isopa koji nièe iz zida; govorio je i o stoci i o pticama i o bubinama i o ribama.
Akaelezea maisha ya mimea kuanzia mwerezi wa Lebanoni hadi hisopo iotayo ukutani. Pia akafundisha kuhusu wanyama na ndege, wanyama wenye damu baridi, wakiwemo samaki.
34 I dolažahu iz svijeh naroda da èuju mudrost Solomunovu, od svijeh careva na zemlji, koji èuše za mudrost njegovu.
Watu wa mataifa yote wakaja kusikiliza hekima ya Solomoni, waliotumwa na wafalme wote wa ulimwengu, waliokuwa wamesikia juu ya hekima yake.

< 1 Kraljevima 4 >