< 1 Kraljevima 14 >
1 U to vrijeme razbolje se Avija sin Jerovoamov.
Wakati huo Abiya mwana wa Yeroboamu akawa mgonjwa sana.
2 I Jerovoam reèe ženi svojoj: ustani i preobuci se da te ne poznadu da si žena Jerovoamova; pak idi u Silom. Eto, ondje je Ahija prorok, koji mi je kazao da æu biti car nad ovijem narodom.
Yeroboamu akamwambia mke wake, “amka ujibadilishe, ili wasikutambue kuwa wewe ndiye mke wangu, na uende Shilo, kwa sababu nabii Ahiya yuko huko, yeye ndiye aliyeninea mimi kuwa nitakuwa mfalme juu ya watu hawa.
3 I ponesi deset hljebova i kolaèa i žban meda, pa otidi k njemu; on æe ti kazati šta æe biti od djeteta.
Uchukue mikate kumi, na kaki na mtungi wa asali, na uende kwa Ahiya. Naye atakuambia kitakachotokea kwa mtoto.”
4 I uèini tako žena Jerovoamova, i ustavši otide u Silom i uðe u kuæu Ahijinu. Ahija pak ne mogaše vidjeti, jer mu oèi bijahu potamnjele od starosti.
Mke wa Yeroboamu akafanya hivyo; akaenda Shilo mpaka kwenye nyumba ya Ahiya. Wakati huo Ahiya alikuwa hawezi kuona, kwa kuwa macho yake yalikuwa yameishiwa nguvu kwa sababu ya umri wake.
5 Ali Gospod reèe Ahiji: eto ide žena Jerovoamova da te pita za sina svojega, jer je bolestan; ti joj kaži to i to; a ona kad doðe uèiniæe se da je druga.
BWANA akamwambia Ahiya, “Tazama mke wa Ahiya anakuja kutafuta kutaka ushauri toka kwako kuhusiana na mwanae, kwa kuwa ni mgonjwa. Mwambie hivi na hivi, kwa sababu atakapofika atajifanya kuwa ni mwanamke mwingine.”
6 I Ahija èuvši šuštanje nogu njezinijeh kad uðe na vrata, reèe: hodi, ženo Jerovoamova; što se èiniš da si druga? Ja sam poslan k tebi da ti zlo kažem.
Naye Ahiya aliposikia sauti za miguu yake alipokuwa akiukaribia mlango, akasema, “karibu, mke wa Yeroboamu. Kwa nini unajifanya kuwa mtu mwingine? Nimetumwa kwako nikiwa na habaari mbaya.
7 Idi, reci Jerovoamu: ovako veli Gospod Bog Izrailjev: što sam te podigao izmeðu naroda i postavio te voðem narodu svojemu Izrailju,
Nenda ukamwambia Yeroboamu kwamba BWANA, Mungu wa Israeli, anasema, 'Nilikuinua kutoka kati ya watu na kukufanya uwe kiongozi wa watu wangu Israeli.
8 I otrgav carstvo od doma Davidova dadoh tebi, a ti ne bi kao sluga moj David, koji je držao zapovijesti moje i hodio za mnom svijem srcem svojim èineæi samo što je pravo preda mnom;
Niliugawa ufalme kutoka kwa Daudi na kukupa wewe, lakini bado hutaki kuwa kama mtumishi wangu Daudi, ambaye alizishika amri zangu na kunifuata kwa moyo wake wote, na kufanya kilichokuwa sawa mbele ya macho yangu.
9 Nego si radio gore od svijeh koji biše prije tebe, i otišao si i naèinio sebi druge bogove i likove livene da bi me dražio, pa si me bacio za leða svoja;
Badala yake, umefanya maovu, zaidi ya wote waliokutangulia. Umetengeneza miungu mingine, na umetengeneza sanamu za kuyeyushwa ili kunikasirisha na kunitupa nyuma yako.
10 Zato, evo, ja æu pustiti zlo na dom Jerovoamov, i istrijebiæu Jerovoamu i ono što mokri uza zid, i uhvaæenoga i ostavljenoga u Izrailju, i dom æu Jerovoamov omesti kao što se mete kao, da ga ne ostane ništa.
Kwa hiyo, tazama, Nitaleta majanga kwenye familia yako; Nitawatupilia mbali watoto wako wote wa kiume katika Israeli, kama ni mtumwa au ni huru, na nitaiondoa familia yako, kama mtu anayechoma mavi mpaka yaishe.
11 Ko Jerovoamov pogine u gradu, izješæe ga psi, a ko pogine u polju, izješæe ga ptice nebeske; jer Gospod reèe.
Yeyote ambaye ni mwanafamilia yako atakayefia mjini ataliwa na mbwa, na yeyote atakayefia shamabani ataliwa na ndege wa angani, kwa kuwa Mimi BWANA, nimesema;
12 A ti ustani, idi kuæi svojoj; i kad stupiš nogama svojim u grad, odmah æe umrijeti dijete.
Kwa hiyo inuka wewe mke wa Yeroboamu, na uende nyumbani kwako; na mguu wako utakapokanyaga mjini, yule mtoto wa Abiya atakufa.
13 I sav æe Izrailj plakati za njim, i pogrepšæe ga; jer æe on sam od doma Jerovoamova doæi u grob, jer se na njemu samom u domu Jerovoamovu naðe nešto dobra pred Gospodom Bogom Izrailjevijem.
Na Israeli yote itamwombolezea na kumzika. Ni yeye pekee katika familia ya Abiya atakayepelekwa makaburini, kwa sababu ni yeye pekee yake kutoka kwenye nyumba ya Abiya, ambaye BWANA, Mungu wa Israeli alimwona kuwa ni mwema.
14 A Gospod æe podignuti sebi cara nad Izrailjem, koji æe istrijebiti dom Jerovoamov u onaj dan; da, šta? sad veæ.
Pia BWANA atainua mfalme katika Israeli ambaye ataifutilia mbali familia ya Yeroboamu katika siku hiyo. Leo ndiyo siku hiyo, sasa hivi.
15 I udariæe Gospod Izrailja da æe se zaljuljati kao što se ljulja trska u vodi, i išèupaæe Izrailja iz ove dobre zemlje, koju je dao ocima njihovijem, i razasuæe ih daleko preko rijeke zato što naèiniše sebi lugove gnjeveæi Gospoda.
Kwa kuwa BWANA ataishambulia Israeli kama vile majani yanavyotikiswa majini, na ataing'oa Israeli katika nchi hii njema ambayo aliwpa mababu. Atawatawanya hata ng'ambo ya Mto Frati, kwa sababu wamefanya nguzo za Ashera kumkasirisha BWANA.
16 I napustiæe Izrailja za grijehe Jerovoamove, kojima je griješio i na grijeh naveo Izrailja.
Ataiacha Israeli kwa sababu ya dhambi ya Yeroboamu, dhambi ambazo ametenda, na kwa hizo ameifanya Israeli kufanya dhambi.
17 Tada usta žena Jerovoamova, i otide i doðe u Tersu; i kad stupi na prag kuæni umrije dijete.
Kwa hiyo mke wa Yeroboamu akainuka na akaondoka na akaenda mpaka Tirza. Naye alipofika kizingitini kwa nyumba yake, yule mtoto akafa.
18 I pogreboše ga, i sav Izrailj plaka za njim po rijeèi Gospodnjoj, koju reèe preko sluge svojega Ahije proroka.
Isareli wote wakamzika na kumwombolezea, kama vile alivyokuwa ameambiwa kwa neno la BWANA ambalo amelisema kupitia mtumishi wake nabii Ahiya.
19 A ostala djela Jerovoamova, kako je vojevao i kako je carovao, eno zapisana su u dnevniku careva Izrailjevijeh.
Na kwa mambo mengine yanayOmhusu Yeroboamu, jinsi alivyopigana vita na jinsi alivyotawala, tazama yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
20 A carova Jerovoam dvadeset i dvije godine; i poèinu kod otaca svojih, a Nadav sin njegov zacari se na njegovo mjesto.
Yeroboamu alitawala kwa miaka ishirini na mbili naye akalala na babu zake, na Nadabu mwanawe akawa mfalme mahali pake.
21 A Rovoam sin Solomunov carovaše nad Judom; bješe Rovoamu èetrdeset i jedna godina kad poèe carovati, i carova sedamnaest godina u Jerusalimu gradu, koji izabra Gospod izmeðu svijeh plemena Izrailjevijeh da ondje namjesti ime svoje. Materi njegovoj bješe ime Nama Amonka.
Sasa Rehoboamu mwana wa Sulemani alikuwa mtawala wa Yuda. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka arobaini na moja alipokuwa mfalme, na akatawala kwa miaka kumi na saba kule Yerusalemu, mji ambao BWANA alikuwa ameuchagua kati ya makabila yote ya Israeli ili aweke jina lake kule. Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori.
22 I Juda èinjaše što je zlo pred Gospodom; i grijesima svojim kojim griješahu dražiše ga veæma nego oci njihovi svijem što èiniše.
Yuda ikafanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA; wakamtia wivu kwa makosa yao, zaidi ya yote ambayo baba zao walikuwa wamefanya
23 Jer i oni naèiniše sebi visine i stupove i lugove na svakom visokom humu i pod svakim zelenim drvetom.
Kwa kuwa walijijengea wenyewe mahali pa juu, nguzo za mawe, na nguzo za Ashera katika kila mahali pa juu na katika kila mti wenye majani mabichi.
24 A bijaše i adžuvana u zemlji, i èinjahu sve gadove naroda koje bješe istjerao Gospod ispred sinova Izrailjevijeh.
Pia kulikuwepo na ukahaba wa kipagani katika nchi. Walifanya machukizo yaleyale kama wa mataifa yale ambayo BWANA alikuwa amewafukuza kutoka kwa watu wa Israeli.
25 A pete godine carovanja Rovoamova doðe Sisak car Misirski na Jerusalim.
Ilitokea wakati wa mwaka wa tano wa mfalme Rehoboamu wakati Shishaki akiwa mfalme wa Misri, akaja kinyume na Yerusalemu.
26 I uze blago iz doma Gospodnjega i blago iz doma careva, sve to uze; i uze sve štitove zlatne koje naèini Solomun.
Akaichukua hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya BWANA, na ile hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya Mfalme. Akachukua kila kitu; Pia alizichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.
27 I na njihovo mjesto naèini car Rovoam štitove od mjedi, i predade ih starješinama nad stražarima, koji èuvahu vrata doma careva.
Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba mahali pake na akazikabidhi kwa wakuu wa walinzi, ambao walilinda malango ya kuingia kwa mfalme.
28 I kad car iðaše u dom Gospodnji, nošahu ih stražari, a poslije ih opet ostavljahu u riznicu svoju.
Na ikawa kila mfalme alipoingia kwenye nyumba ya BWANA, wale walinzi walizibeba na baadaye walizirudisha katika chumba cha walinzi.
29 A ostala djela Rovoamova, i sve što je èinio, nije li zapisano u dnevniku careva Judinijeh?
Lakini katika mambo mengine kuhusiana na Rehoboamu, na yote yale aliyofanya, je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
30 A bijaše rat izmeðu Rovoama i Jerovoama jednako.
Kulikuwa na mapigano yasiyokoma kati ya nyumba ya Rehoboamu na nyumba ya Yeroboamu.
31 I poèinu Rovoam kod otaca svojih, i bi pogreben kod otaca svojih u gradu Davidovu. A ime materi njegovoj bješe Nama Amonka. A na mjesto njegovo zacari se Avijam sin njegov.
Kwa hiyo Rehoboamu akalala na mababu zake naye akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori. Abiya mwanawe akawa mfalme mahali pake