< 1 Dnevnika 3 >

1 A ovo su sinovi Davidovi koji mu se rodiše u Hevronu: prvenac Amnon od Ahinoame Jezraeljanke, drugi Danilo od Avigeje Karmilke,
Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
2 Treæi Avesalom, sin Mahe kæeri Talmaja cara Gesurskoga, èetvrti Adonija, sin Agitin,
watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
3 Peti Sefatija od Avitale, šesti Itram od Egle žene njegove.
watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
4 Šest mu se rodi u Hevronu, gdje carova sedam godina i šest mjeseca, a trideset i tri carova u Jerusalimu.
Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
5 A ovi mu se rodiše u Jerusalimu: Samaja i Sovav i Natan i Solomun, èetiri, od Vitsaveje kæeri Amilove.
Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
6 I Jevar i Elisama i Elifalet,
Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
7 I Noga i Nefeg i Jafija,
Noga, Nefegi, Yafia,
8 I Elisama i Elijada i Elifelet, devet,
Elishama, na Elifeleti.
9 Sve sinovi Davidovi osim sinova inoèa njegovijeh i osim Tamare sestre njihove.
Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
10 A sin Solomunov bijaše Rovoam, a njegov sin Avija, a njegov sin Asa, a njegov sin Josafat,
Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
11 A njegov sin Joram, a njegov sin Ohozija, a njegov sin Joas,
Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
12 A njegov sin Amasija, a njegov sin Azarija, a njegov sin Jotam,
Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
13 A njegov sin Ahaz, a njegov sin Jezekija, a njegov sin Manasija,
Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
14 A njegov sin Amon, a njegov sin Josija.
Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
15 A sinovi Josijini: prvenac Joanan, drugi Joakim, treæi Sedekija, èetvrti Salum.
Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
16 A sinovi Joakimovi: Jehonija sin mu, i njegov sin Sedekija.
Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
17 A sinovi Jehonije sužnja: Salatilo sin mu.
Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
18 A njegovi sinovi Malhiram i Fedaja i Senasar, Jekamija, Osama i Nedavija.
Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
19 A sinovi Fedajini: Zorovavelj i Simej; a sinovi Zorovaveljevi: Mesulam i Ananija i sestra im Selometa.
Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
20 A sinovi Mesulamovi: Asuva i Oilo i Varahija i Asadija i Jusavesed, pet.
Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
21 A sinovi Ananijini: Felatija i Jesaja, sinovi Refajini, sinovi Arnanovi, sinovi Ovadijini, sinovi Sehanijini.
Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
22 A sinovi Sehanijini: Semaja, i sinovi Semajini: Hatus i Igeal i Varija i Nearija i Safat, šest.
Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
23 A sinovi Nearijini: Elioinaj i Jezekija i Azrikam, tri.
Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
24 A sinovi Elioinajevi: Odaja i Eliasiv i Felaja i Akuv i Joanan i Dalaja i Anan, sedam.
Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.

< 1 Dnevnika 3 >