< 1 Dnevnika 25 >

1 I odvoji David s vojvodama za službu sinove Asafove i Emanove i Jedutunove, koji æe prorokovati uz gusle i psaltire i kimvale; i biše izmeðu njih izbrojeni ljudi za posao u svojoj službi:
Daudi na viongozi wa wafanyakazi wa hema la kuabudia walichaguliwa kwa kazi baadhi walikuwa wana wa Asafu, Hemani, na Yeduthuni. Wanaume hawa walitabiri kwa vinubi, vifaa vya uzi, na upatu. Hii ni orodha ya wanaume walioifanya hii kazi:
2 Od sinova Asafovijeh: Zahur i Josif i Netanija i Asarila, sinovi Asafovi, pod rukom Asafa, koji prorokovaše po naredbi carevoj;
Kutoka wana wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Nethania, na Asharela, wana wa Asafu, chini ya mwongozo wa Asafu, ambaye alitabiri chini ya uwangalizi wa mfalme.
3 Od Jedutuna: šest sinova Jedutunovijeh: Gedalija i Sorije i Jesaija, Asavija i Matatija i Simej pod rukom oca svojega Jedutuna, koji prorokovaše uz gusle hvaleæi i slaveæi Gospoda;
Kutoka wana wa Yeduthuni: Gedalia, Zeri, Yeshaia, Shimei, Hashabia, na Matithia, sita kwa ujumla, chini ya mwongozo wa baba yao Yeduthuni, ambaye alipiga kinubi kwa kutoa shukurani na kumsifu Yahweh.
4 Od Emana: sinovi Emanovi: Vukija, Matanija, Ozilo, Sevuilo i Jerimot, Ananija i Ananije, Elijata, Gidaltija i Romamti-Ezer, Josvekasa, Malotije, Otir i Maziot.
Kutoka wana wa Hemani: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na yerimothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, Romamti Ezeri, yoshibekasha, Mallothi, Hothiri, na Mahaziothi.
5 Ti svi bijahu sinovi Emana vidioca careva u rijeèima Božijim da se uzvišuje rog; jer Bog dade Emanu èetrnaest sinova i tri kæeri.
Hawa wote walikuwa wana wa Hemani mfalme wa manabii. Mungu alimpa Hemani wana kumi na nne na mabinti watatu kwa ajili ya kumpa heshima.
6 Svi oni bijahu pod rukom oca svojega pjevajuæi u domu Gospodnjem uz kimvale i psaltire i gusle za službu u domu Božijem, kako car nareðivaše Asafu i Jedutunu i Emanu.
Hawa wote walikuwa chini ya mwongozo wa baba yao. Walikuwa ni waimbaji katika nyumba ya Yahweh, pamoja na upatu na vifaa vya uzi walivyohudumu katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni, na Hemani walikuwa chini ya uwangalizi wa mfalme.
7 I bješe ih na broj s braæom njihovom obuèenom pjesmama Gospodnjim, dvjesta i osamdeset i osam, samijeh vještaka.
Wao na kaka zao walikuwa na uwelewa na walifundishwa kutengeneza muziki kwa Yahweh walikuwa na idadi ya 288.
8 I baciše ždrijeb za službu svoju, mali kao veliki, uèitelj kao uèenik;
Walirusha kura kwa majukumu yao, wote sawa, sawa kwa vijana na kwa wazee, kwa walimua na kwa wanafunzi.
9 I pade prvi ždrijeb za Asafa na Josifa, drugi na Gedaliju s braæom i sinovima njegovijem, njih dvanaest;
Sasa kuhusu wana wa Asafu: kura ya kwanza iliangukia katika familia ya Yusufu; ya pili iliangukia katika familia ya Gedalia, idadi ya watu kumi na mbili;
10 Treæi na Zahura, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya tatu iliangukia kwa Zakuri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
11 Èetvrti na Iserija, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya nne iliangukia kwa Izri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
12 Peti na Netaniju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya tano iliangukia kwa Nethania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
13 Šesti na Vukiju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya sita iliangukia kwa Bukia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
14 Sedmi na Jesarilu, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya saba iliangukia kwa Yesharela, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
15 Osmi na Jesaiju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya nane iliangukia kwa Yeshaia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
16 Deveti na Mataniju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya tisa iliangukia kwa Matania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
17 Deseti na Simeja, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya kumi iliangukia kwa Shimei, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
18 Jedanaesti na Azareila, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya kumi na moja iliangukia kwa Azareli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
19 Dvanaesti na Asaviju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya kumi na mbili iliangukia kwa Hashabia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
20 Trinaesti na Savuila, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya kumi na tatu iliangukia kwa Shubaeli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
21 Èetrnaesti na Matatiju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya kumi na nne iliangukia kwa Matithia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
22 Petnaesti na Jeremota, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya kumi na tano iliangukia kwa Yeromothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
23 Šesnaesti na Ananiju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya kumi na sita iliangukia kwa Hanania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
24 Sedamnaesti na Josvekasu, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya kumi na saba iliangukia kwa Yoshibekasha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
25 Osamnaesti na Ananija, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya kumi na nane iliangukia kwa Hanani, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
26 Devetnaesti na Malotija, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya kumi na tisa iliangukia kwa Malothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
27 Dvadeseti na Elijatu, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya ishirini iliangukia kwa Eliatha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
28 Dvadeset prvi na Otira, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya ishirini na moja iliangukia kwa Hothiri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
29 Dvadeset drugi na Gidaltiju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya ishirini na mbili iliangukia kwa Gidalti, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
30 Dvadeset treæi na Maziota, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
ya ishirini na tatu iliangukia kwa Mahaziothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
31 Dvadeset èetvrti na Romamti-Ezera, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest.
ya ishirini na nne iliangukia kwa Romamti Eza, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili.

< 1 Dnevnika 25 >