< 1 Dnevnika 12 >

1 A ovo su koji doðoše k Davidu u Siklag dok se još krijaše od Saula sina Kisova, i bijahu meðu junacima pomažuæi u ratu,
Hawa ndio watu waliomjia Daudi huko Siklagi, wakati alikuwa amefukuzwa mbele ya Sauli mwana wa Kishi (walikuwa miongoni mwa mashujaa waliomsaidia Daudi vitani,
2 Naoružani lukom, iz desne ruke i iz lijeve gaðahu kamenjem i iz luka strijelama, izmeðu braæe Saulove, od plemena Venijaminova:
walikuwa na pinde na walikuwa na uwezo wa kupiga mishale au kutupa mawe kwa kombeo wakitumia mkono wa kushoto au wa kulia; hawa walikuwa ndugu zake Sauli kutoka kabila la Benyamini):
3 Poglavar Ahijezer i Joas sinovi Semaje iz Gavaje, Jezilo i Felet sinovi Azmavetovi, i Veraha i Juj iz Anatota,
Mkuu wao alikuwa Ahiezeri, na wa pili Yoashi, wote wana wa Shemaa Mgibeathi; pia Yezieli na Peleti wana wa Azmawethi; Beraka, Yehu Mwanathothi,
4 I Ismaja Gavaonjanin, junak meðu tridesetoricom i nad tridesetoricom, i Jeremija i Jazilo i Joanan i Jozavad od Gedirota,
na Ishmaya Mgibeoni, shujaa miongoni mwa wale Thelathini, ambaye alikuwa kiongozi wa wale Thelathini; Yeremia, Yahazieli, Yohanani, Yozabadi, Mgederathi,
5 Eluzaj i Jerimot i Valija i Semarija i Sefatija od Arufa,
Eluzai, Yeremothi, Bealia, Shemaria, Shefatia, Mharufi;
6 Elkana i Jesija i Azareilo i Joezer i Jasoveam Korijani,
Elikana, Ishia, Azareli, Yoezeri na Yashobeamu, wana wa Kora;
7 I Joila i Zevadija sinovi Jeroamovi iz Gedora.
Yoela na Zebadia, wana wa Yerohamu, kutoka Gedori.
8 I od plemena Gadova prebjegoše k Davidu u grad u pustinju hrabri junaci, vješti boju, naoružani štitom i kopljem, kojima lice bijaše kao lice lavovsko, i bijahu brzi kao srne po gorama:
Baadhi ya Wagadi wakajitenga na kujiunga na Daudi katika ngome yake huko jangwani. Walikuwa mashujaa hodari, waliokuwa tayari kwa vita na wenye uwezo wa kutumia ngao na mkuki. Nyuso zao zilikuwa nyuso za simba na walikuwa na wepesi kama paa milimani.
9 Eser prvi, Ovadija drugi, Elijav treæi,
Ezeri alikuwa mkuu wao, Obadia alikuwa wa pili katika uongozi, Eliabu wa tatu,
10 Mismana èetvrti, Jeremija peti,
Mishmana wa nne, Yeremia wa tano,
11 Ataj šesti, Elilo sedmi,
Atai wa sita, Elieli wa saba,
12 Joanan osmi, Elzaval deveti,
Yohanani wa nane, Elzabadi wa tisa,
13 Jeremija deseti, Mohvanaj jedanaesti.
Yeremia wa kumi, na Makbanai wa kumi na moja.
14 To bijahu izmeðu sinova Gadovijeh poglavari u vojsci, najmanji nad stotinom a najveæi nad tisuæom.
Hawa Wagadi walikuwa majemadari. Aliyekuwa wa mwisho kuliko wote aliweza kuongoza askari 100, na aliyekuwa na uweza zaidi ya wote aliongoza 1,000.
15 Oni prijeðoše preko Jordana prvoga mjeseca kad se razli preko svijeh bregova svojih, i otjeraše sve iz dolina na istok i na zapad.
Wao ndio walivuka Mto Yordani katika mwezi wa kwanza ukiwa umefurika hadi kwenye kingo zake zote na kusababisha watu wote waliokuwa wanaishi kwenye mabonde kukimbilia mashariki na wengine magharibi.
16 A doðoše i od sinova Venijaminovijeh i Judinijeh k Davidu u grad.
Wabenyamini wengine na baadhi ya watu kutoka Yuda pia walikuja kwa Daudi katika ngome yake.
17 I izide im David na susret, i govoreæi reèe im: ako mira radi idete k meni, da mi pomožete, srce æe se moje združiti s vama; ako li ste došli da me izdate neprijateljima mojim, nepravde nema na meni, neka vidi Gospod otaca naših i neka sudi.
Daudi akatoka nje kuwalaki na akawaambia, “Kama mmekuja kwangu kwa amani, kunisaidia, mimi niko tayari kuwaruhusu ninyi kuungana nami. Lakini kama mmekuja ili kunisaliti kwa adui zangu wakati mimi mikono yangu haina hatia, basi Mungu wa baba zetu aone na awahukumu.”
18 Tada duh doðe na Amasaja poglavara meðu vojvodama, te reèe: tvoji smo, Davide, i s tobom æemo biti, sine Jesejev; mir, mir tebi i pomagaèima tvojim, jer ti pomaže Bog tvoj. Tako ih primi David, i postavi ih meðu poglavare nad èetama.
Kisha Roho akaja juu ya Amasai, mkuu wa wale Thelathini, naye akasema: “Sisi tu watu wako, ee Daudi! Nasi tuko pamoja na wewe, ee mwana wa Yese! Ushindi, naam, ushindi uwe kwako, pia ushindi kwa wale walio upande wako, kwa kuwa Mungu wako atakusaidia.” Kwa hiyo Daudi akawapokea na kuwafanya viongozi wa vikosi vyake vya uvamizi.
19 I od sinova Manasijinih neki prebjegoše Davidu kad iðaše s Filistejima na Saula u boj, ali im ne pomogoše; jer knezovi Filistejski dogovorivši se vratiše ga govoreæi: na pogibao našu prebjegnuæe gospodaru svojemu Saulu.
Baadhi ya watu kutoka kabila la Manase wakajiunga na Daudi wakati alikwenda pamoja na Wafilisti, kupigana na Sauli. (Daudi na watu wake hawakuwasaidia Wafilisti kwa sababu, baada ya ushauri, watawala wao walimrudisha. Wakasema, “Itatugharimu vichwa vyetu kama Daudi atatuasi na kurudi kwa Sauli bwana wake.”)
20 Kad se vraæaše u Siklag, prebjegoše k njemu iz plemena Manasijina: Adna i Jozavad i Jediailo i Mihailo i Jozavad i Eliuj i Saltaj, tisuænici u plemenu Manasijinu.
Daudi alipokwenda Siklagi, hawa ndio watu wa kabila la Manase waliojiunga naye: Adna, Yozabadi, Yediaeli, Mikaeli, Yozabadi, Elihu na Silethai, viongozi wa vikosi vya watu 1,000 katika kabila la Manase.
21 I oni pomagahu Davidu protivu èeti, jer hrabri junaci bjehu svi, te postaše vojvode u njegovoj vojsci.
Walimsaidia Daudi dhidi ya makundi ya uvamizi, kwa kuwa wote walikuwa mashujaa hodari na walikuwa majemadari katika jeshi lake.
22 Jer svaki dan dolažahu k Davidu u pomoæ, dokle posta velika vojska kao vojska Božija.
Siku baada ya siku watu walikuja kumsaidia Daudi, mpaka akawa na jeshi kubwa, kama jeshi la Mungu.
23 A ovo je broj ljudi naoružanijeh za vojsku koji doðoše k Davidu u Hevron da prenesu carstvo Saulovo na nj po rijeèi Gospodnjoj:
Hawa ndio watu waliojiandaa kwa ajili ya vita waliokuja kwa Daudi huko Hebroni ili kumtwalia ufalme kutoka kwa Sauli, kama Bwana alivyokuwa amesema:
24 Sinova Judinijeh koji nošahu štit i koplje šest tisuæa i osam stotina naoružanijeh za vojsku;
watu wa Yuda, wanaochukua ngao na mikuki walikuwa 6,800 wote wakiwa tayari kwa vita.
25 Sinova Simeunovijeh hrabrijeh vojnika sedam tisuæa i sto;
Watu wa Simeoni, mashujaa waliokuwa tayari kwa vita walikuwa 7,100.
26 Sinova Levijevih èetiri tisuæe i šest stotina;
Watu wa Lawi walikuwa 4,600,
27 I Jodaj poglavar izmeðu sinova Aronovijeh i s njim tri tisuæe i sedam stotina;
pamoja na Yehoyada, kiongozi wa jamaa ya Aroni, aliyekuwa pamoja na watu 3,700,
28 I Sadok mladiæ, hrabar junak, i od doma oca njegova dvadeset i dva kneza;
na Sadoki, kijana shujaa na hodari, aliyekuwa pamoja na maafisa ishirini na wawili kutoka jamaa yake.
29 I sinova Venijaminovih, braæe Saulove, tri tisuæe; jer ih se mnogi još držahu doma Saulova;
Watu wa Benyamini, ndugu zake Sauli, walikuwa 3,000; wengi wao walikuwa wameendelea kuwa waaminifu kwa Sauli mpaka wakati huo.
30 I sinova Jefremovijeh dvadeset tisuæa i osam stotina hrabrijeh junaka, ljudi na glasu u porodicama otaca svojih;
Watu wa Efraimu, mashujaa hodari 20,800, watu waliokuwa maarufu katika koo zao.
31 A od polovine plemena Manasijina osamnaest tisuæa, koji biše imenovani poimence da doðu da postave Davida carem;
Watu wa nusu ya kabila la Manase, waliotajwa kwa majina ili waje kumweka Daudi kuwa mfalme, watu 18,000.
32 I sinova Isaharovijeh, koji dobro razumijevahu vremena da bi znali šta æe èiniti Izrailj, knezova njihovijeh dvjesta, i sva braæa njihova slušahu ih;
Watu wa Isakari, waliofahamu majira na kujua kile ambacho Israeli inapasa kufanya, walikuwa viongozi 200, pamoja na jamaa zao wote chini ya uongozi wao.
33 Sinova Zavulonovijeh, koji iðahu na vojsku i naoružani bijahu za boj svakojakim oružjem, pedeset tisuæa, koji se postavljahu u vrste pouzdana srca;
Watu wa Zabuloni, askari wenye uzoefu mkubwa walioandaliwa tayari kwa vita wakiwa na silaha za kila aina, ili kumsaidia Daudi kwa uaminifu thabiti, walikuwa 50,000.
34 A od plemena Neftalimova tisuæa poglavara i s njima trideset i sedam tisuæa sa štitovima i kopljima;
Watu wa Naftali, maafisa 1,000, pamoja na watu 37,000 waliochukua ngao na mikuki.
35 A od plemena Danova dvadeset i osam tisuæa i šest stotina naoružanijeh za boj;
Watu wa Dani 28,600 waliokuwa tayari kwa vita.
36 A od plemena Asirova èetrdeset tisuæa vojnika vještijeh postaviti se za boj;
Watu wa Asheri, askari 40,000 wenye uzoefu mkubwa waliondaliwa kwa ajili ya vita.
37 A onijeh ispreko Jordana, od plemena Ruvimova i Gadova i od polovine plemena Manasijina, sto i dvadeset tisuæa sa svakojakim oružjem ubojitijem.
Na pia watu kutoka mashariki ya Yordani, watu wa Reubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase, wakiwa na kila aina ya silaha, watu 120,000.
38 Svi ovi vojnici u vojnièkom redu doðoše cijela srca u Hevron da postave Davida carem nad svijem Izrailjem. A i ostali svi Izrailjci bijahu složni da carem postave Davida.
Wote hawa walikuwa watu wapiganaji waliojitolea kutumika katika safu zao. Walikuja Hebroni wakiwa wameamua kikamilifu kumfanya Daudi mfalme juu ya Israeli yote. Waisraeli wengine wote walikuwa pia na nia hiyo moja ya kumfanya Daudi kuwa mfalme.
39 I bijahu ondje s Davidom tri dana jeduæi i pijuæi, jer im braæa bijahu pripravila.
Watu hawa wakakaa huko na Daudi siku tatu, wakila na kunywa, kwa sababu jamaa zao zilikuwa zimewapatia mahitaji yao.
40 A i oni koji bijahu blizu njih, dori do Isahara i Zavulona i Neftalima, donošahu hljeba na magarcima i na kamilama i na mazgama i na volovima, jela, brašna, smokava i suhoga grožða i vina i ulja, volova, ovaca izobila; jer bijaše radost u Izrailju.
Pia, majirani zao hata wale walio mbali hadi Isakari, Zabuloni na Naftali, walikuja wakiwaletea vyakula walivyovibeba kwa punda, ngamia, nyumbu na maksai. Kulikuwepo na wingi wa unga, maandazi ya tini, maandazi ya zabibu kavu, divai, mafuta, ngʼombe na kondoo, kwa maana kulikuwa na furaha katika Israeli.

< 1 Dnevnika 12 >