< prakaasita.m 9 >
1 tata. h para. m saptamaduutena tuuryyaa. m vaaditaayaa. m gaganaat p. rthivyaa. m nipatita ekastaarako mayaa d. r.s. ta. h, tasmai rasaatalakuupasya ku njikaadaayi| (Abyssos )
Kisha malaika wa tano alipiga tarumbeta yake. Niliona nyota kutoka mbinguni iliyokuwa imeanguka kwenye dunia. Nyota ilipewa ufunguo wa shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos )
2 tena rasaatalakuupe mukte mahaagniku. n.dasya dhuuma iva dhuumastasmaat kuupaad udgata. h| tasmaat kuupadhuumaat suuryyaakaa"sau timiraav. rtau| (Abyssos )
Alifungua shimo lisilo na kikomo, na moshi ukapanda juu kwa safu kutoka ndani ya shimo kama moshi kutoka katika tanuru kubwa. Jua na anga vilibadilika vikawa giza kwa sababu ya moshi uliotoka shimoni. (Abyssos )
3 tasmaad dhuumaat pata"nge. su p. rthivyaa. m nirgate. su naralokasthav. r"scikavat bala. m tebhyo. adaayi|
Ndani ya moshi nzige walitoka kuja juu ya dunia, nao walipewa nguvu kama ile ya nge juu ya dunia.
4 apara. m p. rthivyaast. r.naani haridvar. na"saakaadayo v. rk. saa"sca tai rna si. mhitavyaa. h kintu ye. saa. m bhaale. svii"svarasya mudraayaa a"nko naasti kevala. m te maanavaastai rhi. msitavyaa ida. m ta aadi. s.taa. h|
Waliambiwa kutokudhuru majani katika nchi au mmea wowote wa kijani au mti, isipokuwa tu watu ambao hawakuwa na muhuri wa Mungu katika paji za nyuso zao.
5 parantu te. saa. m badhaaya nahi kevala. m pa nca maasaan yaavat yaatanaadaanaaya tebhya. h saamarthyamadaayi| v. r"scikena da. s.tasya maanavasya yaad. r"sii yaatanaa jaayate tairapi taad. r"sii yaatanaa pradiiyate|
Hawakupewa ruhusa ya kuwaua hao watu, bali kuwatesa tu kwa miezi mitano. Uchungu wao ulikuwa kama ule wa kuumwa na nge amwumapo mtu.
6 tasmin samaye maanavaa m. rtyu. m m. rgayi. syante kintu praaptu. m na "sak. syanti, te praa. naan tyaktum abhila. si. syanti kintu m. rtyustebhyo duura. m palaayi. syate|
Katika siku hizo watu watatafuta kifo, lakini hawatakipata. Watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.
7 te. saa. m pata"ngaanaam aakaaro yuddhaartha. m susajjitaanaam a"svaanaam aakaarasya tulya. h, te. saa. m "sira. hsu suvar. nakirii. taaniiva kirii. taani vidyante, mukhama. n.dalaani ca maanu. sikamukhatulyaani,
Nzige walifanana na farasi walioandaliwa kwa vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji ya dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
8 ke"saa"sca yo. sitaa. m ke"saanaa. m sad. r"saa. h, dantaa"sca si. mhadantatulyaa. h,
Walikuwa na nywele kama za wanawake na meno yao yalikuwa kama ya simba.
9 lauhakavacavat te. saa. m kavacaani santi, te. saa. m pak. saa. naa. m "sabdo ra. naaya dhaavataama"svarathaanaa. m samuuhasya "sabdatulya. h|
Walikuwa na vifua kama vifua vya chuma na sauti ya mabawa yao ilikuwa kama sauti ya magari mengi ya vita na farasi wakimbiao kwenda vitani.
10 v. r"scikaanaamiva te. saa. m laa"nguulaani santi, te. su laa"nguule. su ka. n.takaani vidyante, apara. m pa nca maasaan yaavat maanavaanaa. m hi. msanaaya te saamarthyapraaptaa. h|
Walikuwa na mikia inayouma kama nge; katika mikia yao walikuwa na nguvu ya kudhuru watu kwa miezi mitano.
11 te. saa. m raajaa ca rasaatalasya duutastasya naama ibriiyabhaa. sayaa abaddon yuunaaniiyabhaa. sayaa ca apalluyon arthato vinaa"saka iti| (Abyssos )
Walikuwa naye kama mfalme juu yao malaika wa shimo lisilokuwa na mwisho. Jina lake katika Kiebrania ni Abadoni, na katika Kiyunani ana jina Apolioni. (Abyssos )
12 prathama. h santaapo gatavaan pa"sya ita. h paramapi dvaabhyaa. m santaapaabhyaam upasthaatavya. m|
Ole ya kwanza imepita. Angalia! Baada ya hili kuna maafa mawili yaja.
13 tata.h para.m.sa.s.thaduutena tuuryyaa.m vaaditaayaam ii"svarasyaantike sthitaayaa.h suvar.navedyaa"scatu"scuu.daata.h kasyacid ravo mayaa"sraavi|
Malaika wa sita alipiga tarumbeta yake, na nikasikia sauti ikitoka katika pembe ya madhabahu ya dhahabu ambayo iko mbele za Mungu.
14 sa tuuriidhaari.na.m.sa.s.thaduutam avadat, pharaataakhye mahaanade ye catvaaro duutaa baddhaa.h santi taan mocaya|
Sauti ilimwambia malaika wa sita aliyekuwa na tarumbeta, “Waachie malaika wanne ambao wamefungwa katika mto mkubwa Efrata.”
15 tatastadda. n.dasya taddinasya tanmaasasya tadvatsarasya ca k. rte niruupitaaste catvaaro duutaa maanavaanaa. m t. rtiiyaa. m"sasya badhaartha. m mocitaa. h|
Malaika wale wanne waliokuwa wameandaliwa kwa saa hiyo maalumu, siku hiyo, mwezi huo, na mwaka huo, waliachiwa wawaue theluthi ya wanadamu.
16 aparam a"svaarohisainyaanaa. m sa. mkhyaa mayaa"sraavi, te vi. m"satiko. taya aasan|
Idadi ya maaskari waliokuwa juu ya farasi ilikuwa 200, 000, 000. Nilisikia idadi yao.
17 mayaa ye. a"svaa a"svaarohi. na"sca d. r.s. taasta etaad. r"saa. h, te. saa. m vahnisvaruupaa. ni niilaprastarasvaruupaa. ni gandhakasvaruupaa. ni ca varmmaa. nyaasan, vaajinaa nca si. mhamuurddhasad. r"saa muurddhaana. h, te. saa. m mukhebhyo vahnidhuumagandhakaa nirgacchanti|
Hivi ndivyo nilivyoona farasi katika maono yangu na wale waliopanda juu yao: Vifua vyao vilikuwa vyekundu kama moto, bluu iliyoiva na njano isiyoiva. Vichwa vya farasi vilifanana na vichwa vya simba, na midomoni mwao ulitoka moto, moshi na salfa.
18 etaistribhi rda. n.dairarthataste. saa. m mukhebhyo nirgacchadbhi rvahnidhuumagandhakai rmaanu. saa. naa. m tutiiyaa. m"so. aghaani|
Theluthi ya wanadamu waliuawa na haya mapigo matatu: moto, moshi, na salfa iliyotoka katika midomo yao.
19 te. saa. m vaajinaa. m bala. m mukhe. su laa"nguule. su ca sthita. m, yataste. saa. m laa"nguulaani sarpaakaaraa. ni mastakavi"si. s.taani ca taireva te hi. msanti|
Kwa kuwa nguvu ya farasi ilikuwa katika midomo yao na katika mikia yao—kwa kuwa mikia yao ilikuwa kama nyoka, na walikuwa na vichwa ambavyo walitumia kuwatia majeraha wanadamu.
20 aparam ava"si. s.taa ye maanavaa tai rda. n.dai rna hataaste yathaa d. r.s. ti"srava. nagamana"saktihiinaan svar. naraupyapittalaprastarakaa. s.thamayaan vigrahaan bhuutaa. m"sca na puujayi. syanti tathaa svahastaanaa. m kriyaabhya. h svamanaa. msi na paraavarttitavanta. h
Watu waliobaki, wale ambao walikuwa hawajauawa na mapigo haya, hawakutubia matendo yao waliyokuwa wamefanya, wala hawakuacha kuabudu mapepo na miungu ya dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti—vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia au kutembea.
21 svabadhakuhakavyabhicaaracauryyobhyo. api manaa. msi na paraavarttitavanta. h|
Wala hawakutubia uuaji wao, uchawi wao, uasherati wao au njia zao za wizi.