< mathi.h 16 >

1 tadaanii. m phiruu"sina. h siduukina"scaagatya ta. m pariik. situ. m nabhamiiya. m ki ncana lak. sma dar"sayitu. m tasmai nivedayaamaasu. h|
Mafarisayo na Masadukayo wakamjia Yesu na kumjaribu kwa kumwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.
2 tata. h sa uktavaan, sandhyaayaa. m nabhaso raktatvaad yuuya. m vadatha, "svo nirmmala. m dina. m bhavi. syati;
Yesu akawajibu, “Ifikapo jioni, mnasema, ‘Hali ya hewa itakuwa nzuri, kwa kuwa anga ni nyekundu.’
3 praata. hkaale ca nabhaso raktatvaat malinatvaa nca vadatha, jha nbh"sadya bhavi. syati| he kapa. tino yadi yuuyam antariik. sasya lak. sma boddhu. m "saknutha, tarhi kaalasyaitasya lak. sma katha. m boddhu. m na "saknutha?
Nanyi wakati wa asubuhi mnasema, ‘Leo kutakuwa na dhoruba, kwa sababu anga ni nyekundu na mawingu yametanda.’ Mnajua jinsi ya kupambanua kule kuonekana kwa anga, lakini hamwezi kupambanua dalili za nyakati.
4 etatkaalasya du. s.to vyabhicaarii ca va. m"so lak. sma gave. sayati, kintu yuunaso bhavi. syadvaadino lak. sma vinaanyat kimapi lak. sma taan na dar"sayiyyate| tadaanii. m sa taan vihaaya pratasthe|
Kizazi kiovu na cha uzinzi kinatafuta ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ishara ya Yona.” Yesu akawaacha, akaenda zake.
5 anantaramanyapaaragamanakaale tasya "si. syaa. h puupamaanetu. m vism. rtavanta. h|
Wanafunzi wake walipofika ngʼambo ya bahari, walikuwa wamesahau kuchukua mikate.
6 yii"sustaanavaadiit, yuuya. m phiruu"sinaa. m siduukinaa nca ki. nva. m prati saavadhaanaa. h satarkaa"sca bhavata|
Yesu akawaambia, “Jihadharini. Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na ya Masadukayo.”
7 tena te paraspara. m vivicya kathayitumaarebhire, vaya. m puupaanaanetu. m vism. rtavanta etatkaara. naad iti kathayati|
Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.”
8 kintu yii"sustadvij naaya taanavocat, he stokavi"svaasino yuuya. m puupaanaanayanamadhi kuta. h parasparametad vivi. mkya?
Yesu, akifahamu majadiliano yao, akauliza, “Enyi wa imani haba! Mbona mnajadiliana miongoni mwenu kuhusu kutokuwa na mikate?
9 yu. smaabhi. h kimadyaapi na j naayate? pa ncabhi. h puupai. h pa ncasahasrapuru. se. su bhojite. su bhak. syocchi. s.tapuur. naan kati. dalakaan samag. rhliita. m;
Je, bado hamwelewi? Je, hamkumbuki ile mikate mitano iliyolisha watu 5,000 na idadi ya vikapu vingapi vya mabaki mlivyokusanya?
10 tathaa saptabhi. h puupai"scatu. hsahasrapuru. se. su bhejite. su kati. dalakaan samag. rhliita, tat ki. m yu. smaabhirna smaryyate?
Au ile mikate saba iliyolisha watu 4,000 na idadi ya vikapu vingapi vya mabaki mlivyokusanya?
11 tasmaat phiruu"sinaa. m siduukinaa nca ki. nva. m prati saavadhaanaasti. s.thata, kathaamimaam aha. m puupaanadhi naakathaya. m, etad yuuya. m kuto na budhyadhve?
Inakuwaje mnashindwa kuelewa kwamba nilikuwa sisemi nanyi habari za mikate? Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.”
12 tadaanii. m puupaki. nva. m prati saavadhaanaasti. s.thateti noktvaa phiruu"sinaa. m siduukinaa nca upade"sa. m prati saavadhaanaasti. s.thateti kathitavaan, iti tairabodhi|
Ndipo wakaelewa kwamba alikuwa hasemi juu ya chachu ya kutengeneza mikate, bali juu ya mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo.
13 apara nca yii"su. h kaisariyaa-philipiprade"samaagatya "si. syaan ap. rcchat, yo. aha. m manujasuta. h so. aha. m ka. h? lokairaha. m kimucye?
Basi Yesu alipofika katika eneo la Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake, “Watu husema kwamba mimi Mwana wa Adamu ni nani?”
14 tadaanii. m te kathitavanta. h, kecid vadanti tva. m majjayitaa yohan, kecidvadanti, tvam eliya. h, kecicca vadanti, tva. m yirimiyo vaa ka"scid bhavi. syadvaadiiti|
Wakamjibu, “Baadhi husema ni Yohana Mbatizaji; wengine husema ni Eliya; na bado wengine husema ni Yeremia au mmojawapo wa manabii.”
15 pa"scaat sa taan papraccha, yuuya. m maa. m ka. m vadatha? tata. h "simon pitara uvaaca,
Akawauliza, “Je, ninyi mnasema mimi ni nani?”
16 tvamamare"svarasyaabhi. siktaputra. h|
Simoni Petro akamjibu, “Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.”
17 tato yii"su. h kathitavaan, he yuunasa. h putra "simon tva. m dhanya. h; yata. h kopi anujastvayyetajj naana. m nodapaadayat, kintu mama svargasya. h pitodapaadayat|
Naye Yesu akamwambia, “Heri wewe, Simoni Bar-Yona, kwa maana hili halikufunuliwa kwako na mwanadamu, bali na Baba yangu aliye mbinguni.
18 ato. aha. m tvaa. m vadaami, tva. m pitara. h (prastara. h) aha nca tasya prastarasyopari svama. n.dalii. m nirmmaasyaami, tena nirayo balaat taa. m paraajetu. m na "sak. syati| (Hadēs g86)
Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya Kuzimu hayataweza kulishinda. (Hadēs g86)
19 aha. m tubhya. m svargiiyaraajyasya ku njikaa. m daasyaami, tena yat ki ncana tva. m p. rthivyaa. m bha. mtsyasi tatsvarge bha. mtsyate, yacca ki ncana mahyaa. m mok. syasi tat svarge mok. syate|
Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni, na lolote utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa Mbinguni, nalo lolote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.”
20 pa"scaat sa "si. syaanaadi"sat, ahamabhi. sikto yii"suriti kathaa. m kasmaicidapi yuuya. m maa kathayata|
Kisha akawakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo.
21 anya nca yiruu"saalamnagara. m gatvaa praaciinalokebhya. h pradhaanayaajakebhya upaadhyaayebhya"sca bahudu. hkhabhogastai rhatatva. m t. rtiiyadine punarutthaana nca mamaava"syakam etaa. h kathaa yii"sustatkaalamaarabhya "si. syaan j naapayitum aarabdhavaan|
Tangu wakati huo, Yesu alianza kuwaeleza wanafunzi wake kwamba hana budi kwenda Yerusalemu na kupata mateso mengi mikononi mwa wazee, viongozi wa makuhani, na walimu wa sheria, na kwamba itampasa auawe lakini siku ya tatu kufufuliwa.
22 tadaanii. m pitarastasya kara. m gh. rtvaa tarjayitvaa kathayitumaarabdhavaan, he prabho, tat tvatto duura. m yaatu, tvaa. m prati kadaapi na gha. ti. syate|
Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea akisema, “Haiwezekani, Bwana! Jambo hili kamwe halitakupata!”
23 kintu sa vadana. m paraavartya pitara. m jagaada, he vighnakaarin, matsammukhaad duuriibhava, tva. m maa. m baadhase, ii"svariiyakaaryyaat maanu. siiyakaaryya. m tubhya. m rocate|
Lakini Yesu akageuka na kumwambia Petro, “Rudi nyuma yangu, Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Moyo wako hauwazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.”
24 anantara. m yii"su. h sviiya"si. syaan uktavaan ya. h ka"scit mama pa"scaadgaamii bhavitum icchati, sa sva. m daamyatu, tathaa svakru"sa. m g. rhlan matpa"scaadaayaatu|
Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mtu yeyote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
25 yato ya. h praa. naan rak. situmicchati, sa taan haarayi. syati, kintu yo madartha. m nijapraa. naan haarayati, sa taan praapsyati|
Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.
26 maanu. so yadi sarvva. m jagat labhate nijapra. naan haarayati, tarhi tasya ko laabha. h? manujo nijapraa. naanaa. m vinimayena vaa ki. m daatu. m "saknoti?
Kwa maana, je, itamfaidi nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akayapoteza maisha yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?
27 manujasuta. h svaduutai. h saaka. m pitu. h prabhaave. naagami. syati; tadaa pratimanuja. m svasvakarmmaanusaaraat phala. m daasyati|
Kwa maana Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
28 aha. m yu. smaan tathya. m vacmi, saraajya. m manujasutam aagata. m na pa"syanto m. rtyu. m na svaadi. syanti, etaad. r"saa. h katipayajanaa atraapi da. n.daayamaanaa. h santi|
Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hawataonja mauti kabla ya kumwona Mwana wa Adamu akija katika Ufalme wake.”

< mathi.h 16 >