< luuka.h 12 >
1 tadaanii. m lokaa. h sahasra. m sahasram aagatya samupasthitaastata ekaiko. anye. saamupari patitum upacakrame; tadaa yii"su. h "si. syaan babhaa. se, yuuya. m phiruu"sinaa. m ki. nvaruupakaapa. tye vi"se. se. na saavadhaanaasti. s.thata|
Wakati watu kwa maelfu walipokuwa wamekusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu aliwaambia kwanza wanafunzi wake, “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, yaani unafiki.
2 yato yanna prakaa"sayi. syate tadaacchanna. m vastu kimapi naasti; tathaa yanna j naasyate tad gupta. m vastu kimapi naasti|
Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa.
3 andhakaare ti. s.thanato yaa. h kathaa akathayata taa. h sarvvaa. h kathaa diiptau "sro. syante nirjane kar. ne ca yadakathayata g. rhap. r.s. thaat tat pracaarayi. syate|
Kwa hiyo, kila mliyosema gizani, watu watayasikia katika mwanga, na kila mliyonong'ona faraghani milango imefungwa, yatatangazwa juu ya nyumba.
4 he bandhavo yu. smaanaha. m vadaami, ye "sariirasya naa"sa. m vinaa kimapyapara. m karttu. m na "sakruvanti tebhyo maa bhai. s.ta|
“Nawaambieni ninyi rafiki zangu: msiwaogope wale wanaoua mwili, wasiweze kufanya kitu kingine zaidi.
5 tarhi kasmaad bhetavyam ityaha. m vadaami, ya. h "sariira. m naa"sayitvaa naraka. m nik. septu. m "saknoti tasmaadeva bhaya. m kuruta, punarapi vadaami tasmaadeva bhaya. m kuruta| (Geenna )
Nitawaonyesheni yule ambaye ni lazima kumwogopa: mwogopeni yule ambaye baada ya kuua ana uwezo wa kumtupa mtu katika moto wa Jehanamu. Naam, ninawaambieni, mwogopeni huyo. (Geenna )
6 pa nca ca. takapak. si. na. h ki. m dvaabhyaa. m taamrakha. n.daabhyaa. m na vikriiyante? tathaapii"svaraste. saam ekamapi na vismarati|
Inajulikana kwamba shomoro watano huuzwa kwa senti kumi, au sivyo? Lakini mbele ya Mungu hasahauliki hata mmoja.
7 yu. smaaka. m "sira. hke"saa api ga. nitaa. h santi tasmaat maa vibhiita bahuca. takapak. sibhyopi yuuya. m bahumuulyaa. h|
Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope, basi, ninyi mna thamani zaidi kuliko shomoro wengi!
8 apara. m yu. smabhya. m kathayaami ya. h ka"scin maanu. saa. naa. m saak. saan maa. m sviikaroti manu. syaputra ii"svaraduutaanaa. m saak. saat ta. m sviikari. syati|
“Nawaambieni kweli, kila mtu anayekiri hadharani kwamba yeye ni wangu, Mwana wa Mtu naye atakiri mbele ya malaika wa Mungu kwamba mtu huyo ni wake.
9 kintu ya. h ka"scinmaanu. saa. naa. m saak. saanmaam asviikaroti tam ii"svarasya duutaanaa. m saak. saad aham asviikari. syaami|
Lakini, mtu yeyote anayenikana mbele ya watu, naye atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.
10 anyacca ya. h ka"scin manujasutasya nindaabhaavena kaa ncit kathaa. m kathayati tasya tatpaapasya mocana. m bhavi. syati kintu yadi ka"scit pavitram aatmaana. m nindati tarhi tasya tatpaapasya mocana. m na bhavi. syati|
“Yeyote anayesema neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa; lakini anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.
11 yadaa lokaa yu. smaan bhajanageha. m vicaarakart. rraajyakart. r.naa. m sammukha nca ne. syanti tadaa kena prakaare. na kimuttara. m vadi. syatha ki. m kathayi. syatha cetyatra maa cintayata;
“Watakapowapeleka ninyi mbele ya masunagogi na mbele ya wakuu na watawala msiwe na wasiwasi juu ya jinsi mtakavyojitetea au jinsi mtakavyosema.
12 yato yu. smaabhiryad yad vaktavya. m tat tasmin samayaeva pavitra aatmaa yu. smaan "sik. sayi. syati|
Kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisheni kile mnachopaswa kusema.”
13 tata. h para. m janataamadhyastha. h ka"scijjanasta. m jagaada he guro mayaa saha pait. rka. m dhana. m vibhaktu. m mama bhraataramaaj naapayatu bhavaan|
Mtu mmoja katika ule umati wa watu akamwambia, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba.”
14 kintu sa tamavadat he manu. sya yuvayo rvicaara. m vibhaaga nca karttu. m maa. m ko niyuktavaan?
Yesu akamjibu, “Rafiki, ni nani aliyeniweka mimi mwamuzi au msuluhishi kati yenu?”
15 anantara. m sa lokaanavadat lobhe saavadhaanaa. h satarkaa"sca ti. s.thata, yato bahusampattipraaptyaa manu. syasyaayu rna bhavati|
Basi, akawaambia wote, “Jihadharini na kila aina ya tamaa; maana uzima wa mtu hautegemei wingi wa vitu alivyo navyo.”
16 pa"scaad d. r.s. taantakathaamutthaapya kathayaamaasa, ekasya dhanino bhuumau bahuuni "sasyaani jaataani|
Kisha akawaambia mfano: “Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi.
17 tata. h sa manasaa cintayitvaa kathayaambabhuuva mamaitaani samutpannaani dravyaa. ni sthaapayitu. m sthaana. m naasti ki. m kari. syaami?
Tajiri huyo akafikiri moyoni mwake: Nitafanyaje nami sina mahali pa kuhifadhia mavuno yangu?
18 tatovadad ittha. m kari. syaami, mama sarvvabhaa. n.daagaaraa. ni bha"nktvaa b. rhadbhaa. n.daagaaraa. ni nirmmaaya tanmadhye sarvvaphalaani dravyaa. ni ca sthaapayi. syaami|
Nitafanya hivi: nitabomoa ghala zangu na kujenga kubwa zaidi, na humo nitahifadhi mavuno yangu yote na mali yangu.
19 apara. m nijamano vadi. syaami, he mano bahuvatsaraartha. m naanaadravyaa. ni sa ncitaani santi vi"sraama. m kuru bhuktvaa piitvaa kautuka nca kuru| kintvii"svarastam avadat,
Hapo nitaweza kuiambia roho yangu: sasa unayo akiba ya matumizi kwa miaka na miaka. Ponda mali, ule, unywe na kufurahi.
20 re nirbodha adya raatrau tava praa. naastvatto ne. syante tata etaani yaani dravyaa. ni tvayaasaaditaani taani kasya bhavi. syanti?
Lakini Mungu akamwambia: Mpumbavu wewe; leo usiku roho yako itachukuliwa. Na vitu vile vyote ulivyojilundikia vitakuwa vya nani?”
21 ataeva ya. h ka"scid ii"svarasya samiipe dhanasa ncayamak. rtvaa kevala. m svanika. te sa ncaya. m karoti sopi taad. r"sa. h|
Yesu akamaliza kwa kusema “Ndivyo ilivyo kwa mtu anayejilundikia mali kwa ajili yake mwenyewe, lakini si tajiri mbele ya Mungu.”
22 atha sa "si. syebhya. h kathayaamaasa, yu. smaanaha. m vadaami, ki. m khaadi. syaama. h? ki. m paridhaasyaama. h? ityuktvaa jiivanasya "sariirasya caartha. m cintaa. m maa kaar. s.ta|
Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kwa sababu hiyo nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula mnachohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu.
23 bhak. syaajjiivana. m bhuu. sa. naacchariira nca "sre. s.tha. m bhavati|
Kwa sababu uzima ni bora kuliko chakula, na mwili ni bora kuliko mavazi.
24 kaakapak. si. naa. m kaaryya. m vicaarayata, te na vapanti "sasyaani ca na chindanti, te. saa. m bhaa. n.daagaaraa. ni na santi ko. saa"sca na santi, tathaapii"svarastebhyo bhak. syaa. ni dadaati, yuuya. m pak. sibhya. h "sre. s.thataraa na ki. m?
Chukueni kwa mfano, kunguru: hawapandi, hawavuni wala hawana ghala yoyote. Hata hivyo, Mungu huwalisha. Ninyi mna thamani zaidi kuliko ndege!
25 apara nca bhaavayitvaa nijaayu. sa. h k. sa. namaatra. m varddhayitu. m "saknoti, etaad. r"so laako yu. smaaka. m madhye kosti?
Ni nani kati yenu kwa kuwa na wasiwasi anaweza kuongeza urefu wa maisha yake?
26 ataeva k. sudra. m kaaryya. m saadhayitum asamarthaa yuuyam anyasmin kaaryye kuto bhaavayatha?
Basi, kama hamwezi kufanya jambo dogo kama hilo, kwa nini kuwa na wasiwasi juu ya yale mengine?
27 anyacca kaampilapu. spa. m katha. m varddhate tadaapi vicaarayata, tat ka ncana "srama. m na karoti tantuu. m"sca na janayati kintu yu. smabhya. m yathaartha. m kathayaami sulemaan bahvai"svaryyaanvitopi pu. spasyaasya sad. r"so vibhuu. sito naasiit|
Angalieni maua jinsi yanavyomea. Hayafanyi kazi wala hayafumi. Hata hivyo, nawahakikishieni kwamba hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri kama ua mojawapo.
28 adya k. setre varttamaana. m "sva"scuullyaa. m k. sepsyamaana. m yat t. r.na. m, tasmai yadii"svara ittha. m bhuu. sayati tarhi he alpapratyayino yu. smaana ki. m na paridhaapayi. syati?
Lakini, kama Mungu hulivika vizuri jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, hatawafanyia ninyi zaidi? Enyi watu wenye imani haba!
29 ataeva ki. m khaadi. syaama. h? ki. m paridhaasyaama. h? etadartha. m maa ce. s.tadhva. m maa sa. mdigdhva nca|
“Basi, msivurugike akili, mkihangaika daima juu ya mtakachokula au mtakachokunywa.
30 jagato devaarccakaa etaani sarvvaa. ni ce. s.tanate; e. su vastu. su yu. smaaka. m prayojanamaaste iti yu. smaaka. m pitaa jaanaati|
Kwa maana hayo yote ndiyo yanayohangaikiwa na watu wasiomjua Mungu. Baba yenu anajua kwamba mnahitaji vitu hivyo.
31 ataeve"svarasya raajyaartha. m sace. s.taa bhavata tathaa k. rte sarvvaa. nyetaani dravyaa. ni yu. smabhya. m pradaayi. syante|
Shughulikieni kwanza Ufalme wa Mungu, na hayo yote mtapewa kwa ziada.
32 he k. sudrame. savraja yuuya. m maa bhai. s.ta yu. smabhya. m raajya. m daatu. m yu. smaaka. m pitu. h sammatirasti|
“Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni Ufalme.
33 ataeva yu. smaaka. m yaa yaa sampattirasti taa. m taa. m vikriiya vitarata, yat sthaana. m cauraa naagacchanti, kii. taa"sca na k. saayayanti taad. r"se svarge nijaartham ajare sampu. take. ak. saya. m dhana. m sa ncinuta ca;
Uzeni mali yenu mkawape maskini misaada. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, na jiwekeeni hazina mbinguni ambako haitapungua. Huko wezi hawakaribii, wala nondo hawaharibu.
34 yato yatra yu. smaaka. m dhana. m varttate tatreva yu. smaaka. m mana. h|
Pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
35 apara nca yuuya. m pradiipa. m jvaalayitvaa baddhaka. tayasti. s.thata;
“Muwe tayari! Jifungeni mkanda kiunoni, na taa zenu ziwe zinawaka;
36 prabhu rvivaahaadaagatya yadaiva dvaaramaahanti tadaiva dvaara. m mocayitu. m yathaa bh. rtyaa apek. sya ti. s.thanti tathaa yuuyamapi ti. s.thata|
muwe kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka arusini, ili wamfungulie mara atakapobisha hodi.
37 yata. h prabhuraagatya yaan daasaan sacetanaan ti. s.thato drak. syati taeva dhanyaa. h; aha. m yu. smaan yathaartha. m vadaami prabhustaan bhojanaartham upave"sya svaya. m baddhaka. ti. h samiipametya parive. sayi. syati|
Heri yao watumishi wale ambao bwana wao atakaporudi atawakuta wanakesha! Nawaambieni hakika, huyo bwana atajifunga mkanda kiunoni, atawaketisha mezani na kuwahudumia.
38 yadi dvitiiye t. rtiiye vaa prahare samaagatya tathaiva pa"syati, tarhi taeva daasaa dhanyaa. h|
Heri yao watumishi hao ikiwa bwana wao atawakuta wanakesha hata ikiwa atarudi usiku wa manane au alfajiri.
39 apara nca kasmin k. sa. ne cauraa aagami. syanti iti yadi g. rhapati rj naatu. m "saknoti tadaava"sya. m jaagran nijag. rhe sandhi. m karttayitu. m vaarayati yuuyametad vitta|
Jueni kwamba, kama mwenye nyumba angejua saa ambayo mwizi atakuja, angekesha, wala hangeiacha nyumba yake ivunjwe.
40 ataeva yuuyamapi sajjamaanaasti. s.thata yato yasmin k. sa. ne ta. m naaprek. sadhve tasminneva k. sa. ne manu. syaputra aagami. syati|
Nanyi, kadhalika muwe tayari, maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia.”
41 tadaa pitara. h papraccha, he prabho bhavaan kimasmaan uddi"sya ki. m sarvvaan uddi"sya d. r.s. taantakathaamimaa. m vadati?
Petro akamwambia, “Bwana, mfano huo ni kwa ajili yetu tu, au ni kwa ajili ya watu wote?”
42 tata. h prabhu. h provaaca, prabhu. h samucitakaale nijaparivaaraartha. m bhojyaparive. sa. naaya ya. m tatpade niyok. syati taad. r"so vi"svaasyo boddhaa karmmaadhii"sa. h kosti?
Bwana akajibu, “Ni nani basi, mtumishi aliye mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watumishi wake ili awape chakula wakati ufaao?
43 prabhuraagatya yam etaad. r"se karmma. ni prav. rtta. m drak. syati saeva daaso dhanya. h|
Heri yake mtumishi huyo ikiwa bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.
44 aha. m yu. smaan yathaartha. m vadaami sa ta. m nijasarvvasvasyaadhipati. m kari. syati|
Hakika atampa madaraka juu ya mali yake yote.
45 kintu prabhurvilambenaagami. syati, iti vicintya sa daaso yadi tadanyadaasiidaasaan praharttum bhoktu. m paatu. m maditu nca praarabhate,
Lakini, kama mtumishi huyo atafikiri moyoni mwake: na kusema: Bwana wangu amekawia sana kurudi halafu aanze kuwapiga watumishi wenzake, wa kiume au wa kike, na kula, kunywa na kulewa,
46 tarhi yadaa prabhu. m naapek. si. syate yasmin k. sa. ne so. acetana"sca sthaasyati tasminneva k. sa. ne tasya prabhuraagatya ta. m padabhra. s.ta. m k. rtvaa vi"svaasahiinai. h saha tasya a. m"sa. m niruupayi. syati|
bwana wake atarudi siku asiyoitazamia na saa asiyoijua; atamkatilia mbali na kumweka fungu moja na wasioamini.
47 yo daasa. h prabheraaj naa. m j naatvaapi sajjito na ti. s.thati tadaaj naanusaare. na ca kaaryya. m na karoti sonekaan prahaaraan praapsyati;
Mtumishi ambaye anajua matakwa ya bwana wake lakini hajiweki tayari kufanya anavyotakiwa, atapigwa sana.
48 kintu yo jano. aj naatvaa prahaaraarha. m karmma karoti solpaprahaaraan praapsyati| yato yasmai baahulyena datta. m tasmaadeva baahulyena grahii. syate, maanu. saa yasya nika. te bahu samarpayanti tasmaad bahu yaacante|
Lakini yule afanyaye yanayostahili adhabu bila kujua, atapigwa kidogo. Aliyepewa vingi atatakiwa vingi; aliyekabidhiwa vingi zaidi atatakiwa kutoa vingi zaidi.
49 aha. m p. rthivyaam anaikyaruupa. m vahni nik. septum aagatosmi, sa ced idaaniimeva prajvalati tatra mama kaa cintaa?
“Nimekuja kuwasha moto duniani, laiti ungekuwa umewaka tayari!
50 kintu yena majjanenaaha. m magno bhavi. syaami yaavatkaala. m tasya siddhi rna bhavi. syati taavadaha. m katika. s.ta. m praapsyaami|
Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike!
51 melana. m karttu. m jagad aagatosmi yuuya. m kimittha. m bodhadhve? yu. smaan vadaami na tathaa, kintvaha. m melanaabhaava. m karttu. mm aagatosmi|
Mnadhani nimekuja kuleta amani duniani? Hata kidogo; si amani bali utengano.
52 yasmaadetatkaalamaarabhya ekatrasthaparijanaanaa. m madhye pa ncajanaa. h p. rthag bhuutvaa trayo janaa dvayorjanayo. h pratikuulaa dvau janau ca trayaa. naa. m janaanaa. m pratikuulau bhavi. syanti|
Na tangu sasa, jamaa ya watu watano itagawanyika; watatu dhidi ya wawili, na wawili dhidi ya watatu.
53 pitaa putrasya vipak. sa. h putra"sca pitu rvipak. so bhavi. syati maataa kanyaayaa vipak. saa kanyaa ca maatu rvipak. saa bhavi. syati, tathaa "sva"sruurbadhvaa vipak. saa badhuu"sca "sva"srvaa vipak. saa bhavi. syati|
Baba atakuwa dhidi ya mwanawe, mwana dhidi ya baba yake; mama dhidi ya bintiye, binti dhidi ya mama yake; mama mkwe dhidi ya mke wa mwanawe na huyo dhidi ya mama mkwe wake.”
54 sa lokebhyoparamapi kathayaamaasa, pa"scimadi"si meghodgama. m d. r.s. tvaa yuuya. m ha. thaad vadatha v. r.s. ti rbhavi. syati tatastathaiva jaayate|
Yesu akayaambia tena makundi ya watu, “Mnapoona mawingu yakitokea upande wa magharibi, mara mwasema: Mvua itanyesha, na kweli hunyesha.
55 apara. m dak. si. nato vaayau vaati sati vadatha nidaagho bhavi. syati tata. h sopi jaayate|
Mnapoona upepo wa kusi unavuma, mwasema Kutakuwa na hali ya joto na ndivyo inavyokuwa.
56 re re kapa. tina aakaa"sasya bhuumyaa"sca lak. sa. na. m boddhu. m "saknutha,
Enyi wanafiki! Mnajua kutabiri hali ya hewa kwa kuangalia dunia na anga; kwa nini basi, hamwezi kujua maana ya nyakati hizi?
57 kintu kaalasyaasya lak. sa. na. m kuto boddhu. m na "saknutha? yuuya nca svaya. m kuto na nyaa. sya. m vicaarayatha?
“Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?
58 apara nca vivaadinaa saarddha. m vicaarayitu. h samiipa. m gacchan pathi tasmaaduddhaara. m praaptu. m yatasva nocet sa tvaa. m dh. rtvaa vicaarayitu. h samiipa. m nayati| vicaarayitaa yadi tvaa. m praharttu. h samiipa. m samarpayati praharttaa tvaa. m kaaraayaa. m badhnaati
Maana kama mshtaki wako anakupeleka mahakamani, ingekuwa afadhali kwako kupatana naye mkiwa bado njiani, ili asije akakupeleka mbele ya hakimu, naye hakimu akakutoa kwa polisi, nao wakakutia ndani.
59 tarhi tvaamaha. m vadaami tvayaa ni. h"se. sa. m kapardake. su na pari"sodhite. su tva. m tato mukti. m praaptu. m na "sak. syasi|
Hakika hutatoka huko nakwambia, mpaka utakapomaliza kulipa senti ya mwisho.”