< མཐིཿ 14 >

1 ཏདཱནཱིཾ རཱཛཱ ཧེརོད྄ ཡཱིཤོ ཪྻཤཿ ཤྲུཏྭཱ ནིཛདཱསེཡཱན྄ ཛགཱད྄,
Wakati huo, Mfalme Herode, mtawala wa Galilaya, alisikia habari za Yesu,
2 ཨེཥ མཛྫཡིཏཱ ཡོཧན྄, པྲམིཏེབྷཡསྟསྱོཏྠཱནཱཏ྄ ཏེནེཏྠམདྦྷུཏཾ ཀརྨྨ པྲཀཱཤྱཏེ།
akawaambia watumishi wake, “Huyu ni Yohana Mbatizaji; amefufuka kutoka kwa wafu! Hii ndiyo sababu nguvu za kutenda miujiza zinafanya kazi ndani yake.”
3 པུརཱ ཧེརོད྄ ནིཛབྷྲཱཏུ: ཕིལིཔོ ཛཱཡཱཡཱ ཧེརོདཱིཡཱཡཱ ཨནུརོདྷཱད྄ ཡོཧནཾ དྷཱརཡིཏྭཱ བདྡྷཱ ཀཱརཱཡཱཾ སྠཱཔིཏཝཱན྄།
Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga na kumweka gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo, ndugu yake,
4 ཡཏོ ཡོཧན྄ ཨུཀྟཝཱན྄, ཨེཏྶཡཱཿ སཾགྲཧོ བྷཝཏོ ནོཙིཏཿ།
kwa kuwa Yohana alikuwa amemwambia Herode: “Si halali kwako kuwa na huyo mwanamke.”
5 ཏསྨཱཏ྄ ནྲྀཔཏིསྟཾ ཧནྟུམིཙྪནྣཔི ལོཀེབྷྱོ ཝིབྷཡཱཉྩཀཱར; ཡཏཿ སཪྻྭེ ཡོཧནཾ བྷཝིཥྱདྭཱདིནཾ མེནིརེ།
Herode alitaka sana kumuua Yohana, lakini akaogopa watu, kwa maana walimtambua kuwa ni nabii.
6 ཀིནྟུ ཧེརོདོ ཛནྨཱཧཱིཡམཧ ཨུཔསྠིཏེ ཧེརོདཱིཡཱཡཱ དུཧིཏཱ ཏེཥཱཾ སམཀྵཾ ནྲྀཏིཏྭཱ ཧེརོདམཔྲཱིཎྱཏ྄།
Katika siku ya kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa kwa Herode, binti wa Herodia alicheza mbele ya watu waliohudhuria, akamfurahisha sana Herode,
7 ཏསྨཱཏ྄ བྷཱུཔཏིཿ ཤཔཐཾ ཀུཪྻྭན྄ ཨིཏི པྲཏྱཛྙཱསཱིཏ྄, ཏྭཡཱ ཡད྄ ཡཱཙྱཏེ, ཏདེཝཱཧཾ དཱསྱཱམི།
kiasi kwamba aliahidi kwa kiapo kumpa huyo binti chochote angeomba.
8 སཱ ཀུམཱརཱི སྭཱིཡམཱཏུཿ ཤིཀྵཱཾ ལབྡྷཱ བབྷཱཥེ, མཛྫཡིཏུཪྻོཧན ཨུཏྟམཱངྒཾ བྷཱཛནེ སམཱནཱིཡ མཧྱཾ ཝིཤྲཱཎཡ།
Huyo binti, akiwa amechochewa na mama yake, akasema, “Nipe kichwa cha Yohana Mbatizaji kwenye sinia.”
9 ཏཏོ རཱཛཱ ཤུཤོཙ, ཀིནྟུ བྷོཛནཱཡོཔཝིཤཏཱཾ སངྒིནཱཾ སྭཀྲྀཏཤཔཐསྱ ཙཱནུརོདྷཱཏ྄ ཏཏ྄ པྲདཱཏུམ ཨཱདིདེཤ།
Mfalme akasikitika, lakini kwa sababu ya viapo alivyoapa mbele ya wageni, akaamuru kwamba apatiwe ombi lake.
10 པཤྩཱཏ྄ ཀཱརཱཾ པྲཏི ནརཾ པྲཧིཏྱ ཡོཧན ཨུཏྟམཱངྒཾ ཚིཏྟྭཱ
Hivyo akaagiza Yohana Mbatizaji akatwe kichwa mle gerezani.
11 ཏཏ྄ བྷཱཛན ཨཱནཱཡྻ ཏསྱཻ ཀུམཱཪྻྱཻ ཝྱཤྲཱཎཡཏ྄, ཏཏཿ སཱ སྭཛནནྱཱཿ སམཱིཔཾ ཏནྣིནཱཡ།
Kichwa chake kikaletwa kwenye sinia, akapewa yule binti, naye akampelekea mama yake.
12 པཤྩཱཏ྄ ཡོཧནཿ ཤིཥྱཱ ཨཱགཏྱ ཀཱཡཾ ནཱིཏྭཱ ཤྨཤཱནེ སྠཱཔཡཱམཱསུསྟཏོ ཡཱིཤོཿ སནྣིདྷིཾ ཝྲཛིཏྭཱ ཏདྭཱརྟྟཱཾ བབྷཱཥིརེ།
Wanafunzi wa Yohana wakaja na kuuchukua mwili wake kwenda kuuzika. Kisha wakaenda wakamwambia Yesu.
13 ཨནནྟརཾ ཡཱིཤུརིཏི ནིཤབྷྱ ནཱཝཱ ནིརྫནསྠཱནམ྄ ཨེཀཱཀཱི གཏཝཱན྄, པཤྩཱཏ྄ མཱནཝཱསྟཏ྄ ཤྲུཏྭཱ ནཱནཱནགརེབྷྱ ཨཱགཏྱ པདཻསྟཏྤཤྩཱད྄ ཨཱིཡུཿ།
Yesu aliposikia yaliyokuwa yametukia, aliondoka kwa chombo akaenda mahali pasipo na watu ili awe peke yake. Lakini watu walipopata habari, wakamfuata kwa miguu kupitia nchi kavu kutoka miji.
14 ཏདཱནཱིཾ ཡཱིཤུ རྦཧིརཱགཏྱ མཧཱནྟཾ ཛནནིཝཧཾ ནིརཱིཀྵྱ ཏེཥུ ཀཱརུཎིཀཿ མན྄ ཏེཥཱཾ པཱིཌིཏཛནཱན྄ ནིརཱམཡཱན྄ ཙཀཱར།
Yesu alipofika kando ya bahari, aliona makutano makubwa ya watu, akawahurumia na akawaponya wagonjwa wao.
15 ཏཏཿ པརཾ སནྡྷྱཱཡཱཾ ཤིཥྱཱསྟདནྟིཀམཱགཏྱ ཀཐཡཱཉྩཀྲུཿ, ཨིདཾ ནིརྫནསྠཱནཾ ཝེལཱཔྱཝསནྣཱ; ཏསྨཱཏ྄ མནུཛཱན྄ སྭསྭགྲཱམཾ གནྟུཾ སྭཱརྠཾ བྷཀྵྱཱཎི ཀྲེཏུཉྩ བྷཝཱན྄ ཏཱན྄ ཝིསྲྀཛཏུ།
Ilipofika jioni, wanafunzi wake walienda kwake, wakamwambia, “Mahali hapa ni nyikani, na muda sasa umekwisha. Waage makutano ili waende zao vijijini wakajinunulie chakula.”
16 ཀིནྟུ ཡཱིཤུསྟཱནཝཱདཱིཏ྄, ཏེཥཱཾ གམནེ པྲཡོཛནཾ ནཱསྟི, ཡཱུཡམེཝ ཏཱན྄ བྷོཛཡཏ།
Yesu akawaambia, “Hakuna sababu ya wao kuondoka. Ninyi wapeni chakula.”
17 ཏདཱ ཏེ པྲཏྱཝདན྄, ཨསྨཱཀམཏྲ པཱུཔཔཉྩཀཾ མཱིནདྭཡཉྩཱསྟེ།
Wakamjibu, “Tuna mikate mitano na samaki wawili tu.”
18 ཏདཱནཱིཾ ཏེནོཀྟཾ ཏཱནི མདནྟིཀམཱནཡཏ།
Akawaambia, “Nileteeni hivyo vitu hapa.”
19 ཨནནྟརཾ ས མནུཛཱན྄ ཡཝསོཔཪྻྱུཔཝེཥྚུམ྄ ཨཱཛྙཱཔཡཱམཱས; ཨཔར ཏཏ྄ པཱུཔཔཉྩཀཾ མཱིནདྭཡཉྩ གྲྀཧླན྄ སྭརྒཾ པྲཏི ནིརཱིཀྵྱེཤྭརཱིཡགུཎཱན྄ ཨནཱུདྱ བྷཾཀྟྭཱ ཤིཥྱེབྷྱོ དཏྟཝཱན྄, ཤིཥྱཱཤྩ ལོཀེབྷྱོ དདུཿ།
Yesu akaagiza makutano wakae chini kwenye nyasi. Akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akainua macho yake akatazama mbinguni, akavibariki na kuimega ile mikate. Kisha akawapa wanafunzi, nao wanafunzi wakawagawia makutano.
20 ཏཏཿ སཪྻྭེ བྷུཀྟྭཱ པརིཏྲྀཔྟཝནྟཿ, ཏཏསྟདཝཤིཥྚབྷཀྵྱཻཿ པཱུརྞཱན྄ དྭཱདཤཌལཀཱན྄ གྲྀཧཱིཏཝནྟཿ།
Wote wakala, wakashiba. Nao wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu kumi na viwili.
21 ཏེ བྷོཀྟཱརཿ སྟྲཱིརྦཱལཀཱཾཤྩ ཝིཧཱཡ པྲཱཡེཎ པཉྩ སཧསྲཱཎི པུམཱཾས ཨཱསན྄།
Idadi ya watu waliokula walikuwa wanaume wapatao 5,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.
22 ཏདནནྟརཾ ཡཱིཤུ རློཀཱནཱཾ ཝིསརྫནཀཱལེ ཤིཥྱཱན྄ ཏརཎིམཱརོཌྷུཾ སྭཱགྲེ པཱརཾ ཡཱཏུཉྩ གཱཌྷམཱདིཥྚཝཱན྄།
Mara Yesu akawaambia wanafunzi wake waingie kwenye mashua watangulie kwenda ngʼambo ya bahari, wakati yeye alikuwa akiwaaga wale makutano.
23 ཏཏོ ལོཀེཥུ ཝིསྲྀཥྚེཥུ ས ཝིཝིཀྟེ པྲཱརྠཡིཏུཾ གིརིམེཀཾ གཏྭཱ སནྡྷྱཱཾ ཡཱཝཏ྄ ཏཏྲཻཀཱཀཱི སྠིཏཝཱན྄།
Baada ya kuwaaga, akaenda zake mlimani peke yake kuomba. Jioni ilipofika, Yesu alikuwa huko peke yake.
24 ཀིནྟུ ཏདཱནཱིཾ སམྨུཁཝཱཏཏྭཱཏ྄ སརིཏྤཏེ རྨདྷྱེ ཏརངྒཻསྟརཎིརྡོལཱཡམཱནཱབྷཝཏ྄།
Wakati huo ile mashua ilikuwa mbali kutoka nchi kavu ikisukwasukwa na mawimbi, kwa sababu upepo ulikuwa wa mbisho.
25 ཏདཱ ས ཡཱམིནྱཱཤྩཏུརྠཔྲཧརེ པདྦྷྱཱཾ ཝྲཛན྄ ཏེཥཱམནྟིཀཾ གཏཝཱན྄།
Wakati wa zamu ya nne ya usiku, Yesu akawaendea wanafunzi wake akiwa anatembea juu ya maji.
26 ཀིནྟུ ཤིཥྱཱསྟཾ སཱགརོཔརི ཝྲཛནྟཾ ཝིལོཀྱ སམུདྭིགྣཱ ཛགདུཿ, ཨེཥ བྷཱུཏ ཨིཏི ཤངྐམཱནཱ ཨུཙྩཻཿ ཤབྡཱཡཱཉྩཀྲིརེ ཙ།
Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji, waliingiwa na hofu kuu, wakasema, “Ni mzimu.” Wakapiga yowe kwa kuogopa.
27 ཏདཻཝ ཡཱིཤུསྟཱནཝདཏ྄, སུསྠིརཱ བྷཝཏ, མཱ བྷཻཥྚ, ཨེཥོ྅ཧམ྄།
Lakini mara Yesu akasema nao, akawaambia, “Jipeni moyo! Ni mimi. Msiogope.”
28 ཏཏཿ པིཏར ཨིཏྱུཀྟཝཱན྄, ཧེ པྲབྷོ, ཡདི བྷཝཱནེཝ, ཏརྷི མཱཾ བྷཝཏྶམཱིཔཾ ཡཱཏུམཱཛྙཱཔཡཏུ།
Petro akamjibu, “Bwana, ikiwa ni wewe, niambie nije kwako nikitembea juu ya maji.”
29 ཏཏཿ ཏེནཱདིཥྚཿ པིཏརསྟརཎིཏོ྅ཝརུཧྱ ཡཱིཤེརནྟིཀཾ པྲཱཔྟུཾ ཏོཡོཔརི ཝཝྲཱཛ།
Yesu akamwambia, “Njoo.” Basi Petro akatoka kwenye chombo, akatembea juu ya maji kumwelekea Yesu.
30 ཀིནྟུ པྲཙཎྜཾ པཝནཾ ཝིལོཀྱ བྷཡཱཏ྄ ཏོཡེ མཾཀྟུམ྄ ཨཱརེབྷེ, ཏསྨཱད྄ ཨུཙྩཻཿ ཤབྡཱཡམཱནཿ ཀཐིཏཝཱན྄, ཧེ པྲབྷོ, མཱམཝཏུ།
Lakini alipoona upepo mkali aliingiwa na hofu, naye akaanza kuzama, huku akipiga kelele, “Bwana, niokoe!”
31 ཡཱིཤུསྟཏྐྵཎཱཏ྄ ཀརཾ པྲསཱཪྻྱ ཏཾ དྷརན྄ ཨུཀྟཝཱན྄, ཧ སྟོཀཔྲཏྱཡིན྄ ཏྭཾ ཀུཏཿ སམཤེཐཱཿ?
Mara Yesu akaunyoosha mkono wake na kumshika, akamwambia, “Wewe mwenye imani haba, kwa nini uliona shaka?”
32 ཨནནྟརཾ ཏཡོསྟརཎིམཱརཱུཌྷཡོཿ པཝནོ ནིཝཝྲྀཏེ།
Nao walipoingia ndani ya mashua, upepo ukakoma.
33 ཏདཱནཱིཾ ཡེ ཏརཎྱཱམཱསན྄, ཏ ཨཱགཏྱ ཏཾ པྲཎབྷྱ ཀཐིཏཝནྟཿ, ཡཐཱརྠསྟྭམེཝེཤྭརསུཏཿ།
Ndipo wote waliokuwa ndani ya ile mashua wakamwabudu Yesu, wakisema, “Hakika, wewe ndiwe Mwana wa Mungu.”
34 ཨནནྟརཾ པཱརཾ པྲཱཔྱ ཏེ གིནེཥརནྣཱམཀཾ ནགརམུཔཏསྠུཿ,
Walipokwisha kuvuka, wakafika nchi ya Genesareti.
35 ཏདཱ ཏཏྲཏྱཱ ཛནཱ ཡཱིཤུཾ པརིཙཱིཡ ཏདྡེཤྶྱ ཙཏུརྡིཤོ ཝཱརྟྟཱཾ པྲཧིཏྱ ཡཏྲ ཡཱཝནྟཿ པཱིཌིཏཱ ཨཱསན྄, ཏཱཝཏཨེཝ ཏདནྟིཀམཱནཡཱམཱསུཿ།
Watu wa eneo lile walipomtambua Yesu, walipeleka habari sehemu zote za jirani. Watu wakamletea wagonjwa wao wote,
36 ཨཔརཾ ཏདཱིཡཝསནསྱ གྲནྠིམཱཏྲཾ སྤྲཥྚུཾ ཝིནཱིཡ ཡཱཝནྟོ ཛནཱསྟཏ྄ སྤརྴཾ ཙཀྲིརེ, ཏེ སཪྻྭཨེཝ ནིརཱམཡཱ བབྷཱུཝུཿ།
wakamsihi awaruhusu wagonjwa waguse tu pindo la vazi lake, nao wote waliomgusa, wakaponywa.

< མཐིཿ 14 >