< โรมิณ: 5 >

1 วิศฺวาเสน สปุณฺยีกฺฤตา วยมฺ อีศฺวเรณ สารฺทฺธํ ปฺรภุณาสฺมากํ ยีศุขฺรีษฺเฏน เมลนํ ปฺราปฺตา: ฯ
Kwa hiyo, kwa kuwa tumekwisha kuhesabiwa haki kwa imani, tuna amani na Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,
2 อปรํ วยํ ยสฺมินฺ อนุคฺรหาศฺรเย ติษฺฐามสฺตนฺมธฺยํ วิศฺวาสมารฺเคณ เตไนวานีตา วยมฺ อีศฺวรียวิภวปฺราปฺติปฺรตฺยาศยา สมานนฺทาม: ฯ
ambaye kwa kupitia kwake tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo ndani yake sasa tunasimama, nasi twafurahia katika tumaini letu la kushiriki utukufu wa Mungu.
3 ตตฺ เกวลํ นหิ กินฺตุ เกฺลศโภเค'ปฺยานนฺทาโม ยต: เกฺลศาทฺ ไธรฺยฺยํ ชายต อิติ วยํ ชานีม: ,
Si hivyo tu, bali twafurahi pia katika mateso, kwa sababu tunajua kuwa mateso huleta saburi,
4 ไธรฺยฺยาจฺจ ปรีกฺษิตตฺวํ ชายเต, ปรีกฺษิตตฺวาตฺ ปฺรตฺยาศา ชายเต,
nayo saburi huleta uthabiti wa moyo, na uthabiti wa moyo huleta tumaini,
5 ปฺรตฺยาศาโต วฺรีฑิตตฺวํ น ชายเต, ยสฺมาทฺ อสฺมภฺยํ ทตฺเตน ปวิเตฺรณาตฺมนาสฺมากมฺ อนฺต: กรณานีศฺวรสฺย เปฺรมวาริณา สิกฺตานิฯ
wala tumaini halitukatishi tamaa, kwa sababu Mungu amekwisha kumimina pendo lake mioyoni mwetu kwa njia ya Roho Mtakatifu ambaye ametupatia.
6 อสฺมาสุ นิรุปาเยษุ สตฺสุ ขฺรีษฺฏ อุปยุกฺเต สมเย ปาปินำ นิมิตฺตํ สฺวียานฺ ปฺรณานฺ อตฺยชตฺฯ
Kwa maana hata tulipokuwa dhaifu, wakati ulipowadia, Kristo alikufa kwa ajili yetu sisi wenye dhambi.
7 หิตการิโณ ชนสฺย กฺฤเต โกปิ ปฺรณานฺ ตฺยกฺตุํ สาหสํ กรฺตฺตุํ ศกฺโนติ, กินฺตุ ธารฺมฺมิกสฺย กฺฤเต ปฺราเยณ โกปิ ปฺราณานฺ น ตฺยชติฯ
Hakika, ni vigumu mtu yeyote kufa kwa ajili ya mwenye haki, ingawa inawezekana mtu akathubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema.
8 กินฺตฺวสฺมาสุ ปาปิษุ สตฺสฺวปิ นิมิตฺตมสฺมากํ ขฺรีษฺฏ: สฺวปฺราณานฺ ตฺยกฺตวานฺ, ตต อีศฺวโรสฺมานฺ ปฺรติ นิชํ ปรมเปฺรมาณํ ทรฺศิตวานฺฯ
Lakini Mungu anaudhihirisha upendo wake kwetu kwamba: Tulipokuwa tungali wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.
9 อเตอว ตสฺย รกฺตปาเตน สปุณฺยีกฺฤตา วยํ นิตานฺตํ เตน โกปาทฺ อุทฺธาริษฺยามเหฯ
Basi, kwa kuwa sasa tumehesabiwa haki kwa damu yake, si zaidi sana tutaokolewa kutoka ghadhabu ya Mungu kupitia kwake!
10 ผลโต วยํ ยทา ริปว อาสฺม ตเทศฺวรสฺย ปุตฺรสฺย มรเณน เตน สารฺทฺธํ ยทฺยสฺมากํ เมลนํ ชาตํ ตรฺหิ เมลนปฺราปฺตา: สนฺโต'วศฺยํ ตสฺย ชีวเนน รกฺษำ ลปฺสฺยามเหฯ
Kwa kuwa kama tulipokuwa adui wa Mungu tulipatanishwa naye kwa njia ya kifo cha Mwanawe, si zaidi sana tukiisha kupatanishwa, tutaokolewa kwa uzima wake.
11 ตตฺ เกวลํ นหิ กินฺตุ เยน เมลนมฺ อลภามหิ เตนาสฺมากํ ปฺรภุณา ยีศุขฺรีษฺเฏน สามฺปฺรตมฺ อีศฺวเร สมานนฺทามศฺจฯ
Lakini zaidi ya hayo, pia tunafurahi katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia kwake tumepata upatanisho.
12 ตถา สติ, เอเกน มานุเษณ ปาปํ ปาเปน จ มรณํ ชคตีํ ปฺราวิศตฺ อปรํ สรฺเวฺวษำ ปาปิตฺวาตฺ สรฺเวฺว มานุษา มฺฤเต รฺนิฆฺนา อภวตฺฯ
Kwa hiyo kama vile dhambi ilivyoingia ulimwenguni kupitia kwa mtu mmoja, na kupitia dhambi hii mauti ikawafikia watu wote, kwa sababu wote wamefanya dhambi:
13 ยโต วฺยวสฺถาทานสมยํ ยาวตฺ ชคติ ปาปมฺ อาสีตฺ กินฺตุ ยตฺร วฺยวสฺถา น วิทฺยเต ตตฺร ปาปสฺยาปิ คณนา น วิทฺยเตฯ
kwa maana kabla sheria haijatolewa, dhambi ilikuwepo ulimwenguni. Lakini dhambi haihesabiwi wakati hakuna sheria.
14 ตถาปฺยาทมา ยาทฺฤศํ ปาปํ กฺฤตํ ตาทฺฤศํ ปาปํ ไย รฺนาการิ อาทมมฺ อารภฺย มูสำ ยาวตฺ เตษามปฺยุปริ มฺฤตฺยู ราชตฺวมฺ อกโรตฺ ส อาทมฺ ภาวฺยาทโม นิทรฺศนเมวาเสฺตฯ
Hata hivyo, tangu wakati wa Adamu hadi wakati wa Mose, mauti ilitawala watu wote, hata wale ambao hawakutenda dhambi kwa kuvunja amri, kama alivyofanya Adamu, ambaye alikuwa mfano wa yule atakayekuja.
15 กินฺตุ ปาปกรฺมฺมโณ ยาทฺฤโศ ภาวสฺตาทฺฤคฺ ทานกรฺมฺมโณ ภาโว น ภวติ ยต เอกสฺย ชนสฺยาปราเธน ยทิ พหูนำ มรณมฺ อฆฏต ตถาปีศฺวรานุคฺรหสฺตทนุคฺรหมูลกํ ทานญฺไจเกน ชเนนารฺถาทฺ ยีศุนา ขฺรีษฺเฏน พหุษุ พาหุลฺยาติพาหุเลฺยน ผลติฯ
Lakini ile karama iliyotolewa haikuwa kama lile kosa. Kwa maana ikiwa watu wengi walikufa kwa sababu ya kosa la mtu mmoja, zaidi sana neema ya Mungu na ile karama iliyokuja kwa neema ya mtu mmoja, yaani, Yesu Kristo, imezidi kuwa nyingi kwa ajili ya wengi.
16 อปรมฺ เอกสฺย ชนสฺย ปาปกรฺมฺม ยาทฺฤกฺ ผลยุกฺตํ ทานกรฺมฺม ตาทฺฤกฺ น ภวติ ยโต วิจารกรฺมฺไมกํ ปาปมฺ อารภฺย ทณฺฑชนกํ พภูว, กินฺตุ ทานกรฺมฺม พหุปาปานฺยารภฺย ปุณฺยชนกํ พภูวฯ
Tena, ile karama ya Mungu si kama matokeo ya ile dhambi. Hukumu ilikuja kwa njia ya mtu mmoja, ikaleta adhabu, bali karama ya neema ya Mungu ilikuja kwa njia ya makosa mengi, ikaleta kuhesabiwa haki.
17 ยต เอกสฺย ชนสฺย ปาปกรฺมฺมตเสฺตไนเกน ยทิ มรณสฺย ราชตฺวํ ชาตํ ตรฺหิ เย ชนา อนุคฺรหสฺย พาหุลฺยํ ปุณฺยทานญฺจ ปฺราปฺนุวนฺติ ต เอเกน ชเนน, อรฺถาตฺ ยีศุขฺรีษฺเฏน, ชีวเน ราชตฺวมฺ อวศฺยํ กริษฺยนฺติฯ
Kwa maana ikiwa kutokana na kosa la mtu mmoja, mauti ilitawala kupitia huyo mtu mmoja, zaidi sana wale wanaopokea wingi wa neema ya Mungu na karama yake ya kuhesabiwa haki, watatawala katika uzima kwa njia ya huyo mtu mmoja, yaani, Yesu Kristo.
18 เอโก'ปราโธ ยทฺวตฺ สรฺวฺวมานวานำ ทณฺฑคามี มารฺโค 'ภวตฺ ตทฺวทฺ เอกํ ปุณฺยทานํ สรฺวฺวมานวานำ ชีวนยุกฺตปุณฺยคามี มารฺค เอวฯ
Kwa hiyo, kama vile kosa la mtu mmoja lilivyoleta adhabu kwa watu wote, vivyo hivyo pia kwa tendo la haki la mtu mmoja lilileta kuhesabiwa haki ambako huleta uzima kwa wote.
19 อปรมฺ เอกสฺย ชนสฺยาชฺญาลงฺฆนาทฺ ยถา พหโว 'ปราธิโน ชาตาสฺตทฺวทฺ เอกสฺยาชฺญาจรณาทฺ พหว: สปุณฺยีกฺฤตา ภวนฺติฯ
Kwa maana kama vile kwa kutokutii kwa yule mtu mmoja wengi walifanywa wenye dhambi, vivyo hivyo kwa kutii kwa mtu mmoja wengi watafanywa wenye haki.
20 อธิกนฺตุ วฺยวสฺถาคมนาทฺ อปราธสฺย พาหุลฺยํ ชาตํ กินฺตุ ยตฺร ปาปสฺย พาหุลฺยํ ตไตฺรว ตสฺมาทฺ อนุคฺรหสฺย พาหุลฺยมฺ อภวตฺฯ
Zaidi ya hayo, sheria ilikuja, ili uvunjaji wa sheria uongezeke. Lakini dhambi ilipoongezeka, neema iliongezeka zaidi,
21 เตน มฺฤตฺยุนา ยทฺวตฺ ปาปสฺย ราชตฺวมฺ อภวตฺ ตทฺวทฺ อสฺมากํ ปฺรภุยีศุขฺรีษฺฏทฺวารานนฺตชีวนทายิปุเณฺยนานุคฺรหสฺย ราชตฺวํ ภวติฯ (aiōnios g166)
ili kwamba kama vile dhambi ilivyotawala kwa njia ya mauti, vivyo hivyo neema iweze kutawala kwa njia ya kuhesabiwa haki hata kuleta uzima wa milele katika Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios g166)

< โรมิณ: 5 >