+ มถิ: 1 >
1 อิพฺราหีม: สนฺตาโน ทายูทฺ ตสฺย สนฺตาโน ยีศุขฺรีษฺฏสฺตสฺย ปูรฺวฺวปุรุษวํศเศฺรณีฯ
Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu:
2 อิพฺราหีม: ปุตฺร อิสฺหากฺ ตสฺย ปุโตฺร ยากูพฺ ตสฺย ปุโตฺร ยิหูทาสฺตสฺย ภฺราตรศฺจฯ
Abrahamu akamzaa Isaki, Isaki akamzaa Yakobo, Yakobo akawazaa Yuda na ndugu zake,
3 ตสฺมาทฺ ยิหูทาตสฺตามโร ครฺเภ เปรเสฺสรเหา ชชฺญาเต, ตสฺย เปรส: ปุโตฺร หิโษฺรณฺ ตสฺย ปุโตฺร 'รามฺฯ
Yuda akawazaa Peresi na Zera, ambao mama yao alikuwa Tamari, Peresi akamzaa Hesroni, Hesroni akamzaa Aramu,
4 ตสฺย ปุโตฺร 'มฺมีนาทพฺ ตสฺย ปุโตฺร นหโศนฺ ตสฺย ปุตฺร: สลฺโมนฺฯ
Aramu akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Nashoni, Nashoni akamzaa Salmoni,
5 ตสฺมาทฺ ราหโพ ครฺเภ โพยมฺ ชชฺเญ, ตสฺมาทฺ รูโต ครฺเภ โอเพทฺ ชชฺเญ, ตสฺย ปุโตฺร ยิศย: ฯ
Salmoni akamzaa Boazi, na mama yake Boazi alikuwa Rahabu, Boazi akamzaa Obedi, ambaye mama yake alikuwa Ruthu, Obedi akamzaa Yese,
6 ตสฺย ปุโตฺร ทายูทฺ ราช: ตสฺมาทฺ มฺฤโตริยสฺย ชายายำ สุเลมานฺ ชชฺเญฯ
Yese akamzaa Daudi ambaye alikuwa mfalme. Daudi akamzaa Solomoni, ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria.
7 ตสฺย ปุโตฺร ริหพิยามฺ, ตสฺย ปุโตฺร'พิย: , ตสฺย ปุตฺร อาสา: ฯ
Solomoni akamzaa Rehoboamu, Rehoboamu akamzaa Abiya, Abiya akamzaa Asa,
8 ตสฺย สุโต ยิโหศาผฏฺ ตสฺย สุโต ยิโหราม ตสฺย สุต อุษิย: ฯ
Asa akamzaa Yehoshafati, Yehoshafati akamzaa Yoramu, Yoramu akamzaa Uzia,
9 ตสฺย สุโต โยถมฺ ตสฺย สุต อาหมฺ ตสฺย สุโต หิษฺกิย: ฯ
Uzia akamzaa Yothamu, Yothamu akamzaa Ahazi, Ahazi akamzaa Hezekia,
10 ตสฺย สุโต มินศิ: , ตสฺย สุต อาโมนฺ ตสฺย สุโต โยศิย: ฯ
Hezekia akamzaa Manase, Manase akamzaa Amoni, Amoni akamzaa Yosia,
11 พาพิลฺนคเร ปฺรวสนาตฺ ปูรฺวฺวํ ส โยศิโย ยิขนิยํ ตสฺย ภฺราตฺฤํศฺจ ชนยามาสฯ
wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.
12 ตโต พาพิลิ ปฺรวสนกาเล ยิขนิย: ศลฺตีเยลํ ชนยามาส, ตสฺย สุต: สิรุพฺพาวิลฺฯ
Baada ya uhamisho wa Babeli: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli akamzaa Zerubabeli,
13 ตสฺย สุโต 'โพหุทฺ ตสฺย สุต อิลียากีมฺ ตสฺย สุโต'โสรฺฯ
Zerubabeli akamzaa Abiudi, Abiudi akamzaa Eliakimu, Eliakimu akamzaa Azori,
14 อโสร: สุต: สาโทกฺ ตสฺย สุต อาขีมฺ ตสฺย สุต อิลีหูทฺฯ
Azori akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Akimu, Akimu akamzaa Eliudi,
15 ตสฺย สุต อิลิยาสรฺ ตสฺย สุโต มตฺตนฺฯ
Eliudi akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Matani, Matani akamzaa Yakobo,
16 ตสฺย สุโต ยากูพฺ ตสฺย สุโต ยูษผฺ ตสฺย ชายา มริยมฺ; ตสฺย ครฺเภ ยีศุรชนิ, ตเมว ขฺรีษฺฏมฺ (อรฺถาทฺ อภิษิกฺตํ) วทนฺติฯ
naye Yakobo akamzaa Yosefu ambaye alikuwa mumewe Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo.
17 อิตฺถมฺ อิพฺราหีโม ทายูทํ ยาวตฺ สากเลฺยน จตุรฺทศปุรุษา: ; อา ทายูท: กาลาทฺ พาพิลิ ปฺรวสนกาลํ ยาวตฺ จตุรฺทศปุรุษา ภวนฺติฯ พาพิลิ ปฺรวาสนกาลาตฺ ขฺรีษฺฏสฺย กาลํ ยาวตฺ จตุรฺทศปุรุษา ภวนฺติฯ
Hivyo, kulikuwepo na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli hadi Kristo.
18 ยีศุขฺรีษฺฏสฺย ชนฺม กถฺถเตฯ มริยมฺ นามิกา กนฺยา ยูษเผ วาคฺทตฺตาสีตฺ, ตทา ตโย: สงฺคมาตฺ ปฺรากฺ สา กนฺยา ปวิเตฺรณาตฺมนา ครฺภวตี พภูวฯ
Basi Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama yake alikuwa ameposwa na Yosefu, lakini kabla hawajakutana kimwili, Maria alionekana kuwa na mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
19 ตตฺร ตสฺยา: ปติ รฺยูษผฺ เสาชนฺยาตฺ ตสฺยา: กลงฺคํ ปฺรกาศยิตุมฺ อนิจฺฉนฺ โคปเนเน ตำ ปาริตฺยกฺตุํ มนศฺจเกฺรฯ
Kwa kuwa Yosefu, mwanaume aliyekuwa amemposa alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha Maria hadharani, aliazimu kumwacha kwa siri.
20 ส ตไถว ภาวยติ, ตทานีํ ปรเมศฺวรสฺย ทูต: สฺวปฺเน ตํ ทรฺศนํ ทตฺตฺวา วฺยาชหาร, เห ทายูท: สนฺตาน ยูษผฺ ตฺวํ นิชำ ชายำ มริยมมฺ อาทาตุํ มา ไภษี: ฯ
Lakini mara alipoazimu kufanya jambo hili, malaika wa Bwana akamtokea katika ndoto na kusema, “Yosefu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
21 ยตสฺตสฺยา ครฺภ: ปวิตฺราทาตฺมโน'ภวตฺ, สา จ ปุตฺรํ ปฺรสวิษฺยเต, ตทา ตฺวํ ตสฺย นาม ยีศุมฺ (อรฺถาตฺ ตฺราตารํ) กรีษฺยเส, ยสฺมาตฺ ส นิชมนุชานฺ เตษำ กลุเษภฺย อุทฺธริษฺยติฯ
Naye atamzaa mwana, nawe utamwita Jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”
22 อิตฺถํ สติ, ปศฺย ครฺภวตี กนฺยา ตนยํ ปฺรสวิษฺยเตฯ อิมฺมานูเยลฺ ตทียญฺจ นามเธยํ ภวิษฺยติ๚ อิมฺมานูเยลฺ อสฺมากํ สงฺคีศฺวรอิตฺยรฺถ: ฯ
Haya yote yalitukia ili litimie lile Bwana alilokuwa amenena kupitia nabii, akisema:
23 อิติ ยทฺ วจนํ ปุรฺวฺวํ ภวิษฺยทฺวกฺตฺรา อีศฺวร: กถายามาส, ตตฺ ตทานีํ สิทฺธมภวตฺฯ
“Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita Jina lake Imanueli”: maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
24 อนนฺตรํ ยูษผฺ นิทฺราโต ชาคริต อุตฺถาย ปรเมศฺวรียทูตสฺย นิเทศานุสาเรณ นิชำ ชายำ ชคฺราห,
Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa Bwana, akamchukua Maria kuwa mke wake.
25 กินฺตุ ยาวตฺ สา นิชํ ปฺรถมสุตํ อ สุษุเว, ตาวตฺ ตำ โนปาคจฺฉตฺ, ตต: สุตสฺย นาม ยีศุํ จเกฺรฯ
Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanawe kifungua mimba akamwita Jina lake Yesu.