< ๒ กรินฺถิน: 6 >

1 ตสฺย สหายา วยํ ยุษฺมานฺ ปฺรารฺถยามเห, อีศฺวรสฺยานุคฺรโห ยุษฺมาภิ รฺวฺฤถา น คฺฤหฺยตำฯ
Kama watendakazi pamoja na Mungu, tunawasihi msipokee neema ya Mungu bure.
2 เตโนกฺตเมตตฺ, สํโศฺรษฺยามิ ศุเภ กาเล ตฺวทียำ ปฺรารฺถนามฺ อหํฯ อุปการํ กริษฺยามิ ปริตฺราณทิเน ตวฯ ปศฺยตายํ ศุภกาล: ปศฺยเตทํ ตฺราณทินํฯ
Kwa maana asema: “Wakati wangu uliokubalika nilikusikia, siku ya wokovu nilikusaidia.” Tazama, wakati uliokubalika ndio huu, siku ya wokovu ndiyo sasa.
3 อสฺมากํ ปริจรฺยฺยา ยนฺนิษฺกลงฺกา ภเวตฺ ตทรฺถํ วยํ กุตฺราปิ วิฆฺนํ น ชนยาม: ,
Hatuweki kitu cha kukwaza katika njia ya mtu yeyote, ili huduma yetu isionekane kuwa na lawama.
4 กินฺตุ ปฺรจุรสหิษฺณุตา เกฺลโศ ไทนฺยํ วิปตฺ ตาฑนา การาพนฺธนํ นิวาสหีนตฺวํ ปริศฺรโม ชาครณมฺ อุปวสนํ
Bali kama watumishi wa Mungu tuonyeshe kwa kila njia: katika saburi nyingi; katika dhiki, katika misiba, na katika shida;
5 นิรฺมฺมลตฺวํ ชฺญานํ มฺฤทุศีลตา หิไตษิตา
katika kupigwa, katika kufungwa gerezani na katika ghasia; katika kazi ngumu, katika kukesha na katika kufunga;
6 ปวิตฺร อาตฺมา นิษฺกปฏํ เปฺรม สตฺยาลาป อีศฺวรียศกฺติ
katika utakatifu, katika ufahamu, katika uvumilivu, na katika utu wema; katika Roho Mtakatifu na upendo wa kweli;
7 รฺทกฺษิณวามาภฺยำ กราภฺยำ ธรฺมฺมาสฺตฺรธารณํ
katika maneno ya kweli na katika nguvu za Mungu, kwa silaha za haki za mkono wa kuume na za mkono wa kushoto;
8 มานาปมานโยรขฺยาติสุขฺยาโตฺย รฺภาคิตฺวมฺ เอไต: สรฺไวฺวรีศฺวรสฺย ปฺรศํสฺยานฺ ปริจารกานฺ สฺวานฺ ปฺรกาศยาม: ฯ
katika utukufu na katika kudharauliwa; katika sifa mbaya na katika sifa nzuri; tukiwa kama wadanganyaji, lakini tukiwa wakweli;
9 ภฺรมกสมา วยํ สตฺยวาทิโน ภวาม: , อปริจิตสมา วยํ สุปริจิตา ภวาม: , มฺฤตกลฺปา วยํ ชีวาม: , ทณฺฑฺยมานา วยํ น หนฺยามเห,
tukiwa maarufu, lakini tukihesabiwa kama tusiojulikana; tukiwa kama wanaokufa, lakini tunaishi; tukipigwa, lakini hatuuawi;
10 โศกยุกฺตาศฺจ วยํ สทานนฺทาม: , ทริทฺรา วยํ พหูนฺ ธนิน: กุรฺมฺม: , อกิญฺจนาศฺจ วยํ สรฺวฺวํ ธารยาม: ฯ
tukiwa kama wenye huzuni, lakini siku zote tukifurahi; tukionekana maskini, lakini tukitajirisha wengi; tukiwa kama wasio na kitu, lakini tuna vitu vyote.
11 เห กรินฺถิน: , ยุษฺมากํ ปฺรติ มมาสฺยํ มุกฺตํ มมานฺต: กรณาญฺจ วิกสิตํฯ
Tumesema nanyi wazi, enyi Wakorintho na kuwafungulieni mioyo yetu wazi kabisa.
12 ยูยํ มมานฺตเร น สงฺโกจิตา: กิญฺจ ยูยเมว สงฺโกจิตจิตฺตา: ฯ
Sisi hatujizuii kuwapenda, bali ninyi mmeuzuia upendo wenu kwetu.
13 กินฺตุ มหฺยํ นฺยายฺยผลทานารฺถํ ยุษฺมาภิรปิ วิกสิไต รฺภวิตวฺยมฺ อิตฺยหํ นิชพาลกานิว ยุษฺมานฺ วทามิฯ
Sasa nasema, kama na watoto wangu: Ninyi pia ifungueni mioyo yenu kabisa.
14 อปรมฺ อปฺรตฺยยิภิ: สารฺทฺธํ ยูยมฺ เอกยุเค พทฺธา มา ภูต, ยสฺมาทฺ ธรฺมฺมาธรฺมฺมโย: ก: สมฺพนฺโธ'สฺติ? ติมิเรณ สรฺทฺธํ ปฺรภายา วา กา ตุลนาสฺติ?
Msifungiwe nira pamoja na watu wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa, kwa maana pana uhusiano gani kati ya haki na uovu? Au kuna ushirika gani kati ya nuru na giza?
15 พิลียาลเทเวน สากํ ขฺรีษฺฏสฺย วา กา สนฺธิ: ? อวิศฺวาสินา สารฺทฺธํ วา วิศฺวาสิโลกสฺยำศ: ก:?
Kuna mapatano gani kati ya Kristo na Beliari? Yeye aaminiye ana sehemu gani na yeye asiyeamini?
16 อีศฺวรสฺย มนฺทิเรณ สห วา เทวปฺรติมานำ กา ตุลนา? อมรเสฺยศฺวรสฺย มนฺทิรํ ยูยเมวฯ อีศฺวเรณ ตทุกฺตํ ยถา, เตษำ มเธฺย'หํ สฺวาวาสํ นิธาสฺยามิ เตษำ มเธฺย จ ยาตายาตํ กุรฺวฺวนฺ เตษามฺ อีศฺวโร ภวิษฺยามิ เต จ มโลฺลกา ภวิษฺยนฺติฯ
Kuna mapatano gani kati ya Hekalu la Mungu na sanamu? Kwa kuwa sisi tu Hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu alivyosema: “Nitakaa pamoja nao na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”
17 อโต เหโต: ปรเมศฺวร: กถยติ ยูยํ เตษำ มธฺยาทฺ พหิรฺภูย ปฺฤถคฺ ภวต, กิมปฺยเมธฺยํ น สฺปฺฤศต; เตนาหํ ยุษฺมานฺ คฺรหีษฺยามิ,
“Kwa hiyo tokeni miongoni mwao, mkatengwe nao, asema Bwana. Msiguse kitu chochote kilicho najisi, nami nitawakaribisha.”
18 ยุษฺมากํ ปิตา ภวิษฺยามิ จ, ยูยญฺจ มม กนฺยาปุตฺรา ภวิษฺยเถติ สรฺวฺวศกฺติมตา ปรเมศฺวเรโณกฺตํฯ
“Mimi nitakuwa Baba kwenu, nanyi mtakuwa wanangu na binti zangu, asema Bwana Mwenyezi.”

< ๒ กรินฺถิน: 6 >