< ๑ ปิตร: 3 >

1 เห โยษิต: , ยูยมปิ นิชสฺวามินำ วศฺยา ภวต ตถา สติ ยทิ เกจิทฺ วาเกฺย วิศฺวาสิโน น สนฺติ ตรฺหิ
Kadhalika enyi wake, watiini waume zenu, ili kama kunao wasioamini lile neno, wapate kuvutwa na mwenendo wa wake zao pasipo neno,
2 เต วินาวากฺยํ โยษิตามฺ อาจาเรณารฺถตเสฺตษำ ปฺรตฺยกฺเษณ ยุษฺมากํ สภยสตีตฺวาจาเรณากฺรษฺฏุํ ศกฺษฺยนฺเตฯ
kwa kuuona utakatifu na uchaji wa Mungu katika maisha yenu.
3 อปรํ เกศรจนยา สฺวรฺณาลงฺการธารโณน ปริจฺฉทปริธาเนน วา ยุษฺมากํ วาหฺยภูษา น ภวตุ,
Kujipamba kwenu kusiwe kwa nje tu, kama vile kusuka nywele, kuvalia vitu vilivyofanyizwa kwa dhahabu na kwa mavazi.
4 กินฺตฺวีศฺวรสฺย สากฺษาทฺ พหุมูลฺยกฺษมาศานฺติภาวากฺษยรตฺเนน ยุกฺโต คุปฺต อานฺตริกมานว เอวฯ
Badala yake, kujipamba kwenu kuwe katika utu wenu wa moyoni, yaani uzuri usioharibika wa roho ya upole na utulivu, ambayo ni ya thamani sana machoni pa Mungu.
5 ยต: ปูรฺวฺวกาเล ยา: ปวิตฺรสฺตฺริย อีศฺวเร ปฺรตฺยาศามกุรฺวฺวนฺ ตา อปิ ตาทฺฤศีเมว ภูษำ ธารยนฺโตฺย นิชสฺวามินำ วศฺยา อภวนฺฯ
Kwa kuwa hivi ndivyo walivyokuwa wakijipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu. Wao walikuwa ni watiifu kwa waume zao,
6 ตไถว สารา อิพฺราหีโม วศฺยา สตี ตํ ปติมาขฺยาตวตี ยูยญฺจ ยทิ สทาจาริโณฺย ภวถ วฺยากุลตยา จ ภีตา น ภวถ ตรฺหิ ตสฺยา: กนฺยา อาเธฺวฯ
kama Sara alivyomtii mumewe Abrahamu, hata akamwita bwana. Ninyi ni watoto wa Sara kama mkitenda yaliyo mema, bila kuogopa jambo lolote.
7 เห ปุรุษา: , ยูยํ ชฺญานโต ทุรฺพฺพลตรภาชไนริว โยษิทฺภิ: สหวาสํ กุรุต, เอกสฺย ชีวนวรสฺย สหภาคินีภฺยตาภฺย: สมาทรํ วิตรต จ น เจทฺ ยุษฺมากํ ปฺรารฺถนานำ พาธา ชนิษฺยเตฯ
Vivyo hivyo ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili, nanyi wapeni heshima mkitambua ya kuwa wao ni wenzi walio dhaifu, na kama warithi pamoja nanyi wa kipawa cha neema cha uzima, ili kusiwepo na chochote cha kuzuia maombi yenu.
8 วิเศษโต ยูยํ สรฺวฺว เอกมนส: ปรทุ: ไข รฺทุ: ขิตา ภฺราตฺฤปฺรมิณ: กฺฤปาวนฺต: ปฺรีติภาวาศฺจ ภวตฯ
Hatimaye, ninyi nyote kuweni na nia moja, wenye kuhurumiana, mkipendana kama ndugu, na mwe wasikitivu na wanyenyekevu.
9 อนิษฺฏสฺย ปริโศเธนานิษฺฏํ นินฺทายา วา ปริโศเธน นินฺทำ น กุรฺวฺวนฺต อาศิษํ ทตฺต ยโต ยูยมฺ อาศิรธิการิโณ ภวิตุมาหูตา อิติ ชานีถฯ
Msilipe ovu kwa ovu, au jeuri kwa jeuri, bali barikini, kwa maana hili ndilo mliloitiwa ili mpate kurithi baraka.
10 อปรญฺจ, ชีวเน ปฺรียมาโณ ย: สุทินานิ ทิทฺฤกฺษเตฯ ปาปาตฺ ชิหฺวำ มฺฤษาวากฺยาตฺ สฺวาธเรา ส นิวรฺตฺตเยตฺฯ
Kwa maana, “Yeyote apendaye uzima na kuona siku njema, basi auzuie ulimi wake usinene mabaya, na midomo yake isiseme hila.
11 ส ตฺยเชทฺ ทุษฺฏตามารฺคํ สตฺกฺริยาญฺจ สมาจเรตฺฯ มฺฤคยาณศฺจ ศานฺตึ ส นิตฺยเมวานุธาวตุฯ
Mtu huyo lazima aache uovu, akatende mema; lazima aitafute amani na kuifuatilia sana.
12 โลจเน ปรเมศโสฺยนฺมีลิเต ธารฺมฺมิกานฺ ปฺรติฯ ปฺรารฺถนายา: กฺฤเต เตษา: ตจฺโฉฺรเตฺร สุคเม สทาฯ โกฺรธาสฺยญฺจ ปเรศสฺย กทาจาริษุ วรฺตฺตเตฯ
Kwa maana macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, na masikio yake yako makini kusikiliza maombi yao. Bali uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu.”
13 อปรํ ยทิ ยูยมฺ อุตฺตมสฺยานุคามิโน ภวถ ตรฺหิ โก ยุษฺมานฺ หึสิษฺยเต?
Basi, ni nani atakayewadhuru mkiwa wenye juhudi katika kutenda mema?
14 ยทิ จ ธรฺมฺมารฺถํ กฺลิศฺยธฺวํ ตรฺหิ ธนฺยา ภวิษฺยถฯ เตษามฺ อาศงฺกยา ยูยํ น พิภีต น วิงฺกฺต วาฯ
Lakini mmebarikiwa hata kama ikiwalazimu kuteseka kwa ajili ya haki. “Msiogope vitisho vyao, wala msiwe na wasiwasi.”
15 มโนภิ: กินฺตุ มนฺยธฺวํ ปวิตฺรํ ปฺรภุมีศฺวรํฯ อปรญฺจ ยุษฺมากมฺ อานฺตริกปฺรตฺยาศายาสฺตตฺตฺวํ ย: กศฺจิตฺ ปฺฤจฺฉติ ตไสฺม ศานฺติภีติภฺยามฺ อุตฺตรํ ทาตุํ สทา สุสชฺชา ภวตฯ
Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana mioyoni mwenu. Siku zote mwe tayari kumjibu mtu yeyote atakayewauliza kuhusu sababu ya tumaini lililomo ndani yenu. Lakini fanyeni hivyo kwa upole na kwa heshima,
16 เย จ ขฺรีษฺฏธรฺมฺเม ยุษฺมากํ สทาจารํ ทูษยนฺติ เต ทุษฺกรฺมฺมการิณามิว ยุษฺมากมฺ อปวาเทน ยตฺ ลชฺชิตา ภเวยุสฺตทรฺถํ ยุษฺมากมฺ อุตฺตม: สํเวโท ภวตุฯ
mkizitunza dhamiri zenu ziwe safi, ili wale wasemao mabaya dhidi ya mwenendo wenu mzuri katika Kristo waaibike kwa ajili ya masingizio yao.
17 อีศฺวรสฺยาภิมตาทฺ ยทิ ยุษฺมาภิ: เกฺลศ: โสฒวฺยสฺตรฺหิ สทาจาริภิ: เกฺลศสหนํ วรํ น จ กทาจาริภิ: ฯ
Kwa maana ni afadhali kupata mateso kwa ajili ya kutenda mema, kama kuteseka huko ndiyo mapenzi ya Mungu, kuliko kuteseka kwa kutenda maovu.
18 ยสฺมาทฺ อีศฺวรสฺย สนฺนิธิมฺ อสฺมานฺ อาเนตุมฺ อธารฺมฺมิกาณำ วินิมเยน ธารฺมฺมิก: ขฺรีษฺโฏ 'เปฺยกกฺฤตฺว: ปาปานำ ทณฺฑํ ภุกฺตวานฺ, ส จ ศรีรสมฺพนฺเธ มาริต: กินฺตฺวาตฺมน: สมฺพนฺเธ ปุน รฺชีวิโต 'ภวตฺฯ
Kwa kuwa Kristo naye aliteswa mara moja tu kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili ya wasio haki, ili awalete ninyi kwa Mungu. Mwili wake ukauawa, lakini akafanywa hai katika Roho.
19 ตตฺสมฺพนฺเธ จ ส ยาตฺรำ วิธาย การาพทฺธานามฺ อาตฺมนำ สมีเป วากฺยํ โฆษิตวานฺฯ
Baada ya kufanywa hai, alikwenda na kuzihubiria roho zilizokuwa kifungoni:
20 ปุรา โนหสฺย สมเย ยาวตฺ โปโต นิรมียต ตาวทฺ อีศฺวรสฺย ทีรฺฆสหิษฺณุตา ยทา วฺยลมฺพต ตทา เต'นาชฺญาคฺราหิโณ'ภวนฺฯ เตน โปโตนาลฺเป'รฺถาทฺ อษฺฏาเวว ปฺราณินโสฺตยมฺ อุตฺตีรฺณา: ฯ
roho hizo ambazo zamani hazikutii, wakati ule uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja katika siku za Noa, wakati wa kujenga safina, ambamo watu wachache tu, yaani watu wanane, waliokolewa ili wasiangamie kwa gharika.
21 ตนฺนิทรฺศนญฺจาวคาหนํ (อรฺถต: ศารีริกมลินตายา ยสฺตฺยาค: ส นหิ กินฺตฺวีศฺวราโยตฺตมสํเวทสฺย ยา ปฺรตชฺญา ไสว) ยีศุขฺรีษฺฏสฺย ปุนรุตฺถาเนเนทานีมฺ อสฺมานฺ อุตฺตารยติ,
Nayo maji hayo ni kielelezo cha ubatizo ambao sasa unawaokoa ninyi pia: si kwa kuondoa uchafu kwenye mwili, bali kama ahadi ya dhamiri safi kwa Mungu, kwa njia ya ufufuo wa Yesu Kristo.
22 ยต: ส สฺวรฺคํ คเตฺวศฺวรสฺย ทกฺษิเณ วิทฺยเต สฺวรฺคียทูตา: ศาสกา พลานิ จ ตสฺย วศีภูตา อภวนฺฯ
Yeye ameingia mbinguni na amekaa mkono wa kuume wa Mungu; nao malaika, mamlaka na nguvu zote wametiishwa chini yake.

< ๑ ปิตร: 3 >