< Chongphuong 6 >

1 Hanchu Belrite han mohôr sari ngei lâia inkhat changna hah a mo-ong lâi ku mua, male iring parân minli ngei lâia inkhat han a rôl khuonri ang dôrin, “Hong roh!” a ti ki rieta.
Kisha nikamwona Mwanakondoo anavunja mhuri mmojawapo wa ile mihuri saba. Nikasikia kimoja cha vile viumbe hai vinne kikisema kwa sauti kama ya ngurumo, “Njoo!”
2 Ko hong ena male mahan sakor ngoi ku mua. Achunga chuongpu han thalsâili a chôia, male ama hah rênglukhum pêkin aoma. Amenepu'n mene rang angin a jôkpai zoi.
Mimi nikatazama, na kumbe palikuwa na farasi mmoja mweupe hapo. Na mpanda farasi wake alikuwa na upinde, akapewa na taji. Basi, akatoka kama mshindi aendelee kushinda.
3 Hanchu Belrite han mohôr inikna a mo-onga; male iring parân inikna han, “Hong roh!” ti ki rieta.
Kisha, Mwanakondoo akavunja mhuri wa pili. Nikamsikia yule kiumbe hai wa pili akisema, “Njoo!”
4 Sakor dang asen inkhat ahong jôka. Achunga chuongpu kôm han miriemngei inkhat le inkhat an inthat inlôma pilchunga râl ahong suok theina rangin ranak an pêka. Ama hah khandai lienpa khom an pêk sa ani.
Nami nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mwingine hapo, mwekundu. Mpanda farasi wake alikabidhiwa jukumu la kuondoa amani duniani, watu wauane, akapewa upanga mkubwa.
5 Hanchu Belrite han mohôr inthumna a mo-onga; male iring parân inthumna ngei han, “Hong roh!” an ti ki rieta. Ko hong enin chu mahan sakor hâng aoma. Achunga chuongpu han pharla a kuta achôia.
Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tatu. Nikamsikia yule kiumbe hai wa tatu akisema, “Njoo!” Nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mmoja hapo, mweusi. Mpanda farasi wake alikuwa na vipimo viwili vya kupimia uzito mkononi mwake.
6 Iring parân minli ngei lâi renga rôl rahang angin, “Sukloibu tabong khat sûnkhat rathaman, male barley tabong thum sûnkhat rathaman. Aniatachu olive thingkungngei le theibilngei chu siet no roh!” ti ki riet.
Nikasikia kitu kama sauti itokayo kwa vile viumbe hai vinne. Nayo ilisema, “Kibaba kimoja cha unga wa ngano wa kiasi cha fedha dinari moja, na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja. Lakini usiharibu mafuta wala divai!”
7 Hanchu Belrite han mohôr minlina a mo-onga; male iring parân minlina renga, “Hong roh!” ti rôl ki rieta.
Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa nne. Nikamsikia yule kiumbe hai wa nne akisema, “Njoo!”
8 Ke enin chu, mahan sakor arông adôngzat ku mua. Achunga chuongpu riming hah Thina ania, male Mithi khuon anûk ajûi sa ani. Anni ngei hah pilchung hi phalminlin semin phalkhat chunga râlin, mâitâmin, ri-ngei le ram sângeiin that rangin rachamneina pêkin an om ani. (Hadēs g86)
Nami nikatazama, na kumbe alikuwapo farasi mmoja hapo, rangi yake kijivu. Na jina la mpanda farasi wake lilikuwa kifo, na Kuzimu alimfuata nyuma. Hao walipewa mamlaka juu ya robo moja ya dunia, wawaue watu kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia. (Hadēs g86)
9 Hanchu Belrite han mohôr rangngana a mo-onga. Pathien chong an misîr sika le Pathien rietpuipu an nina tienga taksônoma an om sika thata omngei ratha ha mâichâm nuoia ku mu ngei ani.
Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tano. Nikaona pale chini ya madhabahu ya kufukizia ubani roho za wale waliouawa kwa sababu ya ujumbe wa Mungu, na kwa sababu ya ushuhuda waliotoa.
10 Anni ngei han rôl inringtakin, “Râtinchung Pumapa, ânthieng le adik! Idôr sôt mo pilchung mingei chunga roijêk loiin le mi thatngei dûk tho loiin no om rang?” tiin an inieka.
Basi, wakalia kwa sauti kubwa: “Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu?”
11 Anni ngei hah puon ngoi an pêk ngei paka, tîrlâmngei le iempungei adang thata an lei om angdêna om rang ngei hah, an mijôn akip mâka chu la ngâktet rangin an rila.
Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watawaua kama wao wenyewe walivyouawa.
12 Male Belrite han mohôr urukna a mo-onga. Mahan ningnu râttak ahonga, male nisa hah thoilapuon ahâng angin ahong hângjêta, male thâ khom thisen angin ahong sen zoi ani.
Kisha nikatazama, na wakati Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa sita, kukawa na tetemeko kubwa la ardhi; jua likawa jeusi kama gunia; mwezi wote ukawa mwekundu kama damu;
13 Phâivuopuiin theichang kung anoknôia amara aselngei amathâkril anghan, invânlâia ârsingei ha pilchunga an tâk suo zoi.
nazo nyota za mbingu zikaanguka juu ya ardhi kama matunda ya mtini yasiyokomaa yaangukavyo wakati mti wake unapotikiswa na upepo mkali.
14 Invân hah lekhazuot angin ânzuota ânmangpai zoi, male muolngei le tuihuolngei murdi hah an omna renga thînpaiin an om zoi.
Anga likatoweka kama vile karatasi inavyokunjwakunjwa; milima yote na visima vyote vikaondolewa mahali pake.
15 Hanchu pilchunga rêngngei, roijêkpungei, râlmi ulienngei, mineingei le ranak dônngei, le midangngei murdi, suok le zalenngei murdi muolchungngeia rôlkuogeia, le lungnuoingeia an inthupa.
Kisha wafalme wa duniani, wakuu, majemadari, matajiri, wenye nguvu, kila mtumwa na mtu huru, wakajificha mapangoni na kwenye majabali milimani.
16 Muolngei le lungpuingei kôm han, “Mi del ungla, rêngsukmuna ânsung ngâipu mitngei renga le Belrite taksina renga mi thup roi!
Wakaiambia hiyo milima na hayo majabali, “Tuangukieni, mkatufiche mbali na yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na mbali na ghadhabu ya Mwanakondoo!
17 An taksina nikhuo chiomtak ahong tung zoi, male tumo adoi rangin ânding thei ranga?” tiin an koisama.
Maana siku maalum ya ghadhabu yao imefika. Nani awezaye kuikabili?”

< Chongphuong 6 >