< Luke 21 >
1 Jisua'n a en titira, Biekina chôiruol dôngna, minei ngeiin an chôiruol thâk a mua.
Yesu alipoinua macho yake, aliwaona matajiri wakiweka sadaka zao kwenye sanduku la hazina ya Hekalu.
2 Meithâi inriengte'n sumdâr chînte inik a thâklâi khom a mu saa.
Akamwona pia mjane mmoja maskini akiweka humo sarafu mbili ndogo za shaba.
3 “Mi dadangngei nêkin hi meithâi inriengte hin a thâk mintam uol.
Yesu akasema, “Amin, nawaambia, huyu mjane maskini ameweka humo zaidi ya watu wengine wote.
4 Mi dangngei chu an nei minieng kêng an pêk, ania, ama'n chu ai dônsunte, kêng ai pêkrip,” a tia.
Hawa watu wengine wote wametoa sadaka kutokana na wingi wa mali zao. Lakini huyu mjane ametoa kutokana na umaskini wake vyote alivyokuwa navyo, hata kile alichohitaji ili kuishi.”
5 Ruoisi senkhat ngeiin Biekin lung ânvo enhoi tie le Pathien kôma an neinunpêk an misîr lâiin, Jisua'n an kôma,
Baadhi ya wanafunzi wake wakawa wanamwonyesha jinsi Hekalu lilivyopambwa kwa mawe mazuri na kwa vitu vilivyotolewa kuwa sadaka kwa Mungu. Lakini Yesu akawaambia,
6 “Nikhuo la hong tung a tih, nin mu ngei murdi amuna oma, lung inchuon reng om no nih,” a tipe ngeia.
“Kuhusu haya mnayoyaona hapa, wakati utafika ambapo hakuna jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, bali kila moja litabomolewa.”
7 Anni han a kôma, “Minchupu, mahah tika mo ai ni rang? Ahongtung rang zora rietna minsinna imo a om rang?” tiin an rekela.
Wakamuuliza, “Mwalimu, mambo haya yatatukia lini? Ni dalili gani itaonyesha kwamba yanakaribia kutendeka?”
8 Jisua'n, “Nangni an huong loina rangin singthei roi. Mi tamtakin Khrista ki ni, azora atung zoi kêng, keima riming pêlin hong an ta, ha mingei hah jûi no roi.
Yesu akawajibu, “Jihadharini msije mkadanganywa. Maana wengi watakuja kwa Jina langu, wakidai, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati umekaribia.’ Msiwafuate.
9 Hanchu, indoi, insuol roi nin riet tikin chi no roi, mahah a tung masa ngêt rang ani, a zoinatak chu la tung kelen no nih,” a tia.
Lakini msikiapo habari za vita na machafuko, msiogope. Kwa maana hayo ni lazima yatokee kwanza, ila ule mwisho hautakuja wakati huo.”
10 Nam dang le nam dang, ram dang le ram dang indoi an ta;
Kisha akawaambia: “Taifa litainuka dhidi ya taifa jingine, na ufalme mmoja dhidi ya ufalme mwingine.
11 Muntina ningnupui, mâitâm, ripui lêng a ta, invâna neinun kamâmruoi le ichiom ngei inlang a tih.
Kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, na njaa kali, na magonjwa ya kuambukiza katika sehemu mbalimbali. Pia kutakuwa na matukio ya kutisha na ishara kuu kutoka mbinguni.
12 Nikhomrese, ma ngei tungmân han nangni sûr an ta, an nuom nangni lông an ta, synagog taka nin roijêk rangin pêng an ta, lung ina nangni khum an tih. Keima sikin rêngngei, roijêkpungei makunga nangni tuong an tih.
“Lakini kabla yote hayajatokea, watawakamata ninyi na kuwatesa. Watawatia mikononi mwa wakuu wa masinagogi na kuwafunga magerezani. Nanyi mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya Jina langu.
13 Mahah nin ranga Thurchi Sa rilna zora sa nîng a tih.
Hii itawapa nafasi ya kushuhudia.
14 Lei riet roi, inmo ênpiel rang, inmo ei thuon rangtie tiin nin kângmindoi no roi.
Lakini kusudieni mioyoni mwenu msisumbuke awali kuhusu mtakalosema mbele ya mashtaka.
15 Nin râlngeiin an sût theiloi rang dôrin chong theina le vârna nangni pêng ki tih.
Kwa maana nitawapa maneno na hekima ambayo hakuna hata adui yenu mmoja atakayeweza kushindana nayo wala kuipinga.
16 Nin nû, nin pa, nin lâibung, nin sûngsuok, nin ruolngeiin nangni minsûr an ta, senkhat chu nangni that an tih.
Mtasalitiwa hata na wazazi, ndugu, jamaa na marafiki, na baadhi yenu watawaua.
17 Keima sikin mitinin nangni mumâk an tih.
Mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya Jina langu.
18 Ania, nin sam sangkhat te luo inmang no nih,
Lakini hapatakuwa na unywele mmoja wa kichwa chenu utakaoangamia.
19 Adetin inding ungla insaninjôk nin tih.
Kwa kuvumilia mtaokoa roho zenu.
20 “Hanchu, râlmingeiin Jerusalem an huol nin mu tikin chu a siet rang ani zoi iti riet ta roi.
“Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, basi fahamuni kwamba kuharibiwa kwake kumekaribia.
21 Matikin chu Judea rama om ngei chu tânga rot rese ngei, asûnga om ngeiin chu suoksan rese ngei, rama om ngei chu khopuiliena lût no rese ngei.
Wakati huo, wale walio Uyahudi wakimbilie milimani, walio mjini Yerusalemu watoke humo, nao wale walioko mashambani wasiingie mjini.
22 Lekhabua ânziek atung indikna rangin ha nikhuongei chu, ‘Phuba luok ni nîng a tih.’
Kwa sababu huu utakuwa ni wakati wa adhabu ili kutimiza yote yaliyoandikwa.
23 Nupang nâivongngei le nû nâi rununêk dônngei rangin chu nikhuo intak inthangtak nîng a tih, dûktongna inthang, hi rama hin a juong tung rang sik le Pathien taksina hi mingei chunga atung rang sikin.
Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha watoto siku hizo! Kutakuwa na dhiki kuu katika nchi na ghadhabu juu ya hawa watu.
24 Senkhat khandaiin thîng an ta, Adangngei ram tina suokin tuongin om an tih. Hanchu an zora achuk mâka Jerusalem chu Jentailngei sirdênin om a tih.”
Wataanguka kwa makali ya upanga, na wengine watachukuliwa kuwa mateka katika mataifa yote. Nao mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa Mataifa hadi muda wa hao watu wa Mataifa utimie.
25 “Hanchu, nisa, thâ, ârsi ngeia khin minsinna om a ta, tuikhanglien rahang le tui insôn sikin pilchunga khom jâttin dengthei, lungjîng mintung a tih.
“Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na nyota. Hapa duniani, mataifa yatakuwa katika dhiki na fadhaa kutokana na ngurumo na misukosuko ya bahari.
26 Pilchung pumpuia ichi juong tung mindonin mingei jâmzalin inzal neng an ta, invân-lâijôla neinun bulpui ngei rujûlpai nîng a tih.
Watu watazimia roho kutokana na hofu kuu na kuyaona yale mambo yanayotokea duniani, kwa maana nguvu za angani zitatikisika.
27 Male Miriem Nâipasal inlang a ta, roineina le roiinpui takin sûm lâia juong a tih.
Wakati huo ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni pamoja na uweza na utukufu mkuu.
28 Hanchu, ha ngei hah a juong tung phutin chu inding ungla, tang roi, nin jôkna rang anâi zoi sikin.”
Mambo haya yatakapoanza kutendeka, simameni na mkaviinue vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umekaribia.”
29 Hanchu, hi chongmintêk hih Jisua'n a rila, “Theichang kung le thingkung dadang ngei mindon roi.
Akawaambia mfano huu: “Uangalieni mtini na miti mingine yote.
30 A hong incher innoi nin mûn chu, kholum anâi iti nin riet ngâi.
Inapochipua majani, ninyi wenyewe mnaweza kuona na kutambua wenyewe ya kuwa wakati wa kiangazi umekaribia.
31 Ha anghan, ha ngei hong tung nin mûn chu, Pathien Rêngram a juong tung rang ani zoi iti rieng nin tih.
Vivyo hivyo, myaonapo mambo haya yakitukia, mnatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
32 Atûnlâi mingei an thi riei mân ngêtin hi neinunngei hih juongtung a tih, iti riet roi.
“Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia.
33 Pil le invân boi a ta, ko chong chu boi no nih.”
Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.”
34 “Singthei roi, aninon chu, sâk akhoprai le ju inrûi le ringlâi nunkhohoi mindonnân nin mulung sip rai a ta, ha nikhuo hah juong tungrak a tih,
“Jihadharini mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na fadhaa za maisha haya, nayo siku ile ikawakuta ninyi bila kutazamia kama vile mtego unasavyo.
35 chânga inôk anghan. Ha anghan pilchung muntina mi murdi chunga tung a tih
Kwa maana kama vile mtego unasavyo, ndivyo siku hiyo itakavyowapata wanadamu wote waishio katika uso wa dunia yote.
36 Ha intakna juong tung rang adamriema nin pal theina rang, ranak nin dôn theina rang le Miriem Nâipasal makunga nin inding theina rangin indînin khotiklâi khomin chubai tho tit ngâi roi,” a tia.
Kesheni daima na mwombe ili mweze kuokoka na yale yote yatakayotokea na kusimama mbele ya Mwana wa Adamu.”
37 Jisua'n ha sûnngei hah Biekina minchûn a minhek ngâia, kholoi a hong nin chu Olive muola a jân mang rangin a se ngâi.
Kila siku Yesu alikuwa akifundisha Hekaluni, na jioni ilipofika, alikwenda zake kwenye Mlima wa Mizeituni na kukaa huko usiku kucha.
38 Anîngtin, jînga a chongril rangâi rangin a kôma Biekina mi murdi an hong ngâi.
Nao watu wote walikuja asubuhi na mapema Hekaluni ili kumsikiliza.