< Luke 2 >

1 Malâiahan, Rêng Caesar Augustus Rom sorkar ramop murdi riming miziek rangin chong a pêka.
Siku zile, tangazo rasmi lilitolewa na Kaisari Augusto kuwataka watu wote chini ya utawala wake wajiandikishe.
2 Hi intelnapui motontak hi syria rama Kuirinius governor chang lâitak ani.
Kuandikishwa huku kulikuwa mara ya kwanza, wakati Kirenio alipokuwa mkuu wa mkoa wa Siria.
3 Mitinin anni khopui chita riming miziek rangin an sea.
Basi, wote waliohusika walikwenda kujiandikisha, kila mtu katika mji wake.
4 Joseph khom David inkuo le a richia mi ani sikin, a lômnu biek Mary inrâidîm lehan Galilee ram Nazareth khopui renga Judea ram, David suokna, Bethlehem khopuia riming miziek rangin an sea.
Yosefu pia alifanya safari kutoka mjini Nazareti mkoani Galilaya. Kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa Daudi alikwenda mjini Bethlehemu mkoani Yuda alikozaliwa Mfalme Daudi.
5
Alikwenda kujiandikisha pamoja na mchumba wake Maria ambaye alikuwa mja mzito.
6 Hanchu, Bethlehem'a an om lâitakin nâi nei zorân a hong de zoia.
Walipokuwa huko, siku yake ya kujifungua ikawadia,
7 Nâilutîr pasal a neia, puon leh a thoma, khuol tung in an keng khâiloi sikin sa bukhênga a min jâl zoi.
akajifungua mtoto wake wa kwanza wa kiume, akamvika nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.
8 Ma rama han, belrihôlngei jâna an belri ngâkin rajâia an oma.
Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.
9 Pumapa vântîrton a juong inlâra, Pumapa roiinpuina vârin a êla, rolo innîkin an chia.
Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukawaangazia pande zote. Wakaogopa sana.
10 Vântîrtonin, “chi no roi, Thurchisa râisân omtak ninta rang le mitin ta rang ku juong mintung kêng.
Malaika akawaambia, “Msiogope! Nimewaleteeni habari njema ya furaha kuu kwa watu wote.
11 Avien hin David khopuia Minringpu, Pumapa Khrista a suok zoi.
Kwa maana, leo hii katika mji wa Daudi, amezaliwa Mwokozi kwa ajili yenu, ndiye Kristo Bwana.
12 Sîn nin tho theina rang chu, nâitesen, puona thom sakhênga jâlin mûng nin tih,” a tia.
Na hiki kitakuwa kitambulisho kwenu: mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto, amelazwa horini.”
13 Harenghan, vântîrton kôma han, invân râlmingei tamtak an juong oma, Pathien an minpâka.
Mara kundi kubwa la jeshi la mbinguni likajiunga na huyo malaika, wakamsifu Mungu wakisema:
14 “Invân Ânchung taka Pathien Roiinpui rese. Philchunga a râisânna ngei chunga inngêina lêng rese,” an tia.
“Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu aliopendezwa nao!”
15 Hanchu, vântîrtonngeiin an mâk ngei lechu, belrihôlngei han, Pumapa'n mi ril, neinun juongtung a en rangin, Bethlehem'a se ei ti u, an tia.
Baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: “Twendeni moja kwa moja mpaka Bethlehemu tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha.”
16 Hanchu, an se laia, Mary le Joseph le sakhênga jâl nâite hah an va mua.
Basi, wakaenda mbio, wakamkuta Maria na Yosefu na yule mtoto mchanga amelazwa horini.
17 Vântîrtonin, nâite chungroi ai rilngei hah belrihôlngeiin an ril ngeia,
Hao wachungaji walipomwona mtoto huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu yake.
18 a riet ngei murdi'n kamâm a om tatak an tia.
Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.
19 Mary'n ha chong ngei hah a mulungrîla mindonin a vong tita.
Lakini Maria aliyaweka na kuyatafakari mambo hayo yote moyoni mwake.
20 Vântîrtonin a rilngei lam takin jâttinrêng an va mua, an riet sikin Pathien minpâk pumin an kîr nôk zoi.
Wale wachungaji walirudi makwao huku wakimtukuza na kumsifu Mungu kwa yote waliyokuwa wamesikia na kuona; yote yalikuwa kama walivyokuwa wameambiwa.
21 Hanchu sertan rang ni sûn riet a hong chukin chu, sûnga a om lâia vântîrtonin ai phuo sai, a riming, Jisua an phuo zoia.
Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.
22 Moses balam chongpêk angin minthieng rang ni ahong chukin chu, Joseph le Mary'n an nâite Pumapa kôma minlang rangin Jerusalem Biekina an hong puia.
Siku zilipotimia za Yosefu na Maria kutakaswa kama walivyotakiwa na Sheria ya Mose, wazazi hao walimchukua mtoto, wakaenda naye Yerusalemu ili wamweke mbele ya Bwana.
23 Balam lekhabua, “Nâilutîr pasal kai chu Pumapa ta rang ani,” itia ânziek anghan.
Katika Sheria ya Bwana imeandikwa: “Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atawekwa wakfu kwa Bwana.”
24 Pumapa balam anghan vasu bop khat mo, pharvali bop khat mo, an pêk sa rang ani.
Pia walikwenda ili watoe sadaka: hua wawili au makinda wawili ya njiwa, kama ilivyotakiwa katika Sheria ya Bwana.
25 Ma zora han Jerusalema a riming Simeon an ti a oma, ha mi hah mi sa, Pathien minlut mi tak ania, Isreal jôk rang ni ngâkin, a chunga Ratha Inthieng a oma.
Wakati huo huko Yerusalemu kulikuwa na mtu mmoja, mwema na mcha Mungu, jina lake Simeoni. Yeye alikuwa akitazamia kwa hamu ukombozi wa Israeli. Roho Mtakatifu alikuwa pamoja naye.
26 Pumapa chonginkhâm, Messiah a mu mâka thi no nih, itia inkhâm ani.
Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona Masiha wa Bwana.
27 Ratha ruoiin Simeon hah Biekina a sea. Balam anga achunga sin rangin a nû le a pa'n nâite Jisua, Biekina an hong puia.
Basi, akiongozwa na Roho Mtakatifu, Simeoni aliingia Hekaluni; na wazazi wa Yesu walipomleta Hekaluni mtoto wao ili wamfanyie kama ilivyotakiwa na Sheria,
28 Simeon'n nâite a poma, Pathien kôm râisânchong a rila;
Simeoni alimpokea mtoto Yesu mikononi mwake huku akimtukuza Mungu na kusema:
29 “Pumapa, atûn chu no chongkhâm angin, Ni tîrlâm hih rathangamin ni na man se rang ani zoi.
“Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, waweza kumruhusu mtumishi wako aende kwa amani.
30 Ki mit lelên na sanminringna a mu zoi,
Maana kwa macho yangu nimeuona wokovu utokao kwako,
31 Mitin mu ranga ni mintuo hah.
ambao umeutayarisha mbele ya watu wote:
32 Nu lungdo, Jentailngei kôma inlang rang vâr le Ni mi Isrealngei roiinpuina rang chu” a tia.
Mwanga utakaowaangazia watu wa mataifa, na utukufu kwa watu wako Israeli.”
33 Nâite chungroi Simeon'n ai misîr hah a nu le a pa'n an kamâm sabak ani.
Baba na mama yake Yesu walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.
34 Hanchu Simeon'n, sat a vura, a nu Mary kôma, “Hi nâite hih Pathien ithang, Isreal lâia mi tamtak inmangna rang le jôkna rang ani. Pathien sînthona mi tamtak ngei makhal rang nîng a tih.
Simeoni akawabariki, akamwambia Maria mama yake, “Mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika Israeli. Naye atakuwa ishara itakayopingwa na watu;
35 Mi mindonna inthup minlang a ta, khandai angai angin ngâisietnân na mulung sunkhoi a tih,” a tipea.
na hivyo mawazo ya watu wengi yataonekana wazi. Nawe mwenyewe, uchungu ulio kama upanga mkali utauchoma moyo wako.”
36 Mahan dêipu meithâi atar inkhat, a riming Anna an ti, Asher rûia mi, Phanuel nâinupang a oma. kum sari vai inneiin a oma, kum sômriet minli meithâiin a oma. Biekin mâk loiin a sûn a jânin bu ngêia Pathien Biekina, chubai thôn a om ngâia.
Palikuwa na nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa ameishi na mumewe kwa miaka saba tangu alipoolewa.
Halafu alibaki mjane hadi wakati huo akiwa mzee wa miaka themanini na minne. Wakati huo wote alikaa Hekaluni akifunga na kusali usiku na mchana.
38 Ma zora taka han a hongtunga, Pathien kôm râisânchong a rila, Jerusalem jôkna ranga Pathien lei ngâk ngei kôma khom nâipang Jisua thurchi a misîr pe sa zoi.
Saa hiyohiyo alijitokeza mbele, akamshukuru Mungu, na akaeleza habari za huyo mtoto kwa watu wote waliokuwa wanatazamia ukombozi wa Yerusalemu.
39 Pumapa balam chongpêka, an thotum an tho zoiin chu Joseph le Mary hah Galilee rama, an khuo Nazareth'a an kîr nôk zoi.
Hao wazazi walipokwisha fanya yote yaliyoamriwa na Sheria ya Bwana, walirudi makwao Nazareti, mkoani Galilaya.
40 Hanchu, nâite hah a hong liena a hong rât tira, vârnân a sipa, Pathien satvurnangei a chunga a oma.
Mtoto akakua, akazidi kupata nguvu, akajaa hekima, na neema ya Mungu ilikuwa pamoja naye.
41 Kumtin, Jisua nû le pa Kalkân kût mang rangin Jerusalema an se ngâia.
Wazazi wa Yesu walikuwa na desturi ya kwenda Yerusalemu kila mwaka wakati wa sikukuu ya Pasaka.
42 Jisua hah kum sômleinik a hong nîn chu, kûta an hong se puia.
Mtoto alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, wote walikwenda kwenye sikukuu hiyo kama ilivyokuwa desturi.
43 Kût aheka anîn chu an juongkîr pui nôka, ania Jisua chu Jerusalema ala châma, a nû le a pa lakin riet mak ngeia.
Baada ya sikukuu, walianza safari ya kurudi makwao, lakini Yesu alibaki Yerusalemu bila wazazi wake kuwa na habari.
44 A lômngei lâia se nîng a tih, tiin an mindona, sûnkhat lam an se suoleh, a ruolngei le an sûngsuokngei kâra an rok titira,
Walidhani alikuwa pamoja na kundi la wasafiri, wakaenda mwendo wa kutwa, halafu wakaanza kumtafuta miongoni mwa jamaa na marafiki.
45 anitachu, mu mak ngeia, a rok rangin Jerusalema an kîr nôka.
Kwa kuwa hawakumwona, walirudi Yerusalemu wakimtafuta.
46 A sûnthum nin chu, Biekina Juda minchupungei kôma insungin, an chong rangâi le chong rekelin an va mu zoia.
Siku ya tatu walimkuta Hekaluni kati ya walimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
47 A vâr taka a chongthuon lam a riet murdi'n an kamâma,
Wote waliosikia maneno yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya hekima.
48 A nû le a pan an va mûn chu an kamâma, a nûn a kôma, “Nâia khoithomo hi anga mi no tho, kângdoi takin na pa leh nang kin lei rok bang kêng ani zoi” a tipea.
Wazazi wake walipomwona walishangaa. Maria, mama yake, akamwuliza, “Mwanangu, kwa nini umetutenda hivyo? Baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa huzuni.”
49 “Ithomo minin rok? Ka Pa ina ko om rang hih nin riet loi mini?” tiin a thuona.
Yeye akawajibu, “Kwa nini mlinitafuta? Hamkujua kwamba inanipasa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?”
50 Hannisenla a thuonna hah a mindona chang riet mak ngeia.
Lakini wazazi wake hawakuelewa maana ya maneno aliyowaambia.
51 Hanchu, an kôm Nazareth'a a sea, an chong jômin a oma, a nûn chu neinun omtie ngei nâm a mulungrîla a vong tit ani.
Basi, akarudi pamoja nao hadi Nazareti, akawa anawatii. Mama yake akaweka mambo hayo yote moyoni mwake.
52 Hanchu Jisua hah taksa tieng le vârna tieng a hong insôn tir tira, Pathien le miriem mitlûtin a hong om tir zoi.
Naye Yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na Mungu na watu.

< Luke 2 >