< John 12 >

1 Kalkân kût rang sûnruk motona Jisua chu thina renga a kaithoi Lazarus omna Bethany khuoa a sea.
Siku sita kabla ya Pasaka, Yesu alienda Bethania, alipokuwapo Lazaro, yeye ambaye alimfufua kutoka katika wafu.
2 Ama rangin kholoibu nêk rang an mintuo pea, Martha hah bu-an, semin a san ngeia, Lazarus chu dosânga Jisua bukhalâi otpui ngei lâia inkhat ani.
Basi wakamwandalia chakula cha jioni huko, na Martha akamtumikia, wakati huo Lazaro alikuwa mmoja wapo wa wale walioketi chakulani pamoja na Yesu.
3 Hanchu Mary'n nard sariek mirimhoi man luttak liter in-ang a hong chôia, Jisua ke a buoka, a sam leh a ke a hûi pea. Ha sariek mirimhoi han insûng pumpui asip zit zoi.
Kisha Mariamu akachukua ratli ya manukato yaliyotengenezwa kwa nardo safi, yenye thamani kubwa, akampaka Yesu miguuni, na kumfuta miguu kwa nywele zake; nyumba yote ilijaa harufu ya manukato.
4 Jisua ruoisingei lâia inkhat Judas Iscariot, ama a minsûr rangpu han,
Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi wake, ambaye ndiye atakayemsaliti Yesu, akasema,
5 “Hi sariek mirimhoi hih ithomo duli razanthumin juorin male inrieng ngei kôm a pêk loi?” a tia.
“Kwanini manukato haya yasingeuzwa kwa dinari mia tatu na wakapewa maskini?”
6 Hi chong hih inrieng ngei rang lunghâng ân shak sika a ti nimaka, inru ani sika ani. Ha mi han sumkok a chôia asûnga sum hah ama rangin a lâk ngâi sikin ani.
Naye aliyasema hayo, si kwa kuwahurumia maskini, bali kwa sababu alikuwa mwizi: yeye ndiye aliyeshika mfuko wa fedha na alikuwa anachukua baadhi ya vilivyowekwa humo kwa ajili yake mwenyewe.
7 Aniatachu, Jisua'n a kôm, “Rokôk no roh! a dôn hih phûma ko om nia rangin rê rese.
Yesu alisema, “Mwache aweke alicho nacho kwa ajili ya siku ya maziko yangu.
8 Inrieng ngei chu nin kôma om tit rang an ni, kei chu nin kôm om bang no ning,” a tia.
Maskini mtakuwa nao siku zote; lakini hamtakuwa nami siku zote.”
9 Mi tamtakin Bethany khuoa Jisua a om ti an rietin chu Jisua mu rangin le Lazarus Jisua'n thina renga a kaithoi nôkpu mu sa rangin an sea.
Basi umati mkubwa wa Wayahudi walipata kujua ya kuwa Yesu yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili ya Yesu tu, ila wamwone na Lazaro ambaye Yesu alimfufua kutoka katika wafu.
10 Hanchu Ochaisingei han Lazarus khom that sa rangin an bôka,
Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri ili wamue Lazaro;
11 ama sika Juda tamtakin anni ngei hengin Jisua an iem zoi sikin.
maana kwa ajili yake wengi katika Wayahudi walienda zao na wakamwamini Yesu.
12 Anangtûka chu Kalkân kût khohoia hong loko tamtakin Jisua Jerusalema a hong ti an rieta.
Na siku ya pili yake umati mkubwa walikuja kwenye sikukuu. Waliposikia ya kuwa Yesu anakuja Yerusalemu,
13 Masikin letûmbuongei an chôia ama lamdon rangin an sea, “Hosanna! Pumapa riminga juongpu chu Pathien'n satvur rese! Pathien'n Israel Rêngpa satvur rese!” tiin an inieka.
walichukua matawi ya miti ya mitende na kutoka nje kwenda kumlaki na wakapiga kelele, “Hosana! Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana, Mfalme wa Israeli.”
14 Jisua'n sakuording inkhat a mua, a chunga a chuonga, Pathien Lekhabu'n ati anghan,
Yesu alimpata mwana-punda akampanda; kama vile ilivyoandikwa,
15 “Chi no roh, Zion khopuilien! Ne Rêng hah sakuordingte, chunga chuongin a hong ani.”
“Usiogope, binti Sayuni; tazama, Mfalme wako anakuja, amepanda mwana-punda.”
16 Ha chong hah aphut han chu a ruoisingeiin riet thei mak ngeia; aniatachu Jisua inlaltakin inthoiin a om suo tena chu Pathien Lekhabu'n ama chungroi a lei miziek ani ti le a chunga ha anga han an lei tho ti an riet zoi.
Wanafunzi wake hawakuyaelewa mambo haya hapo kwanza; lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka ya kuwa mambo haya aliandikiwa yeye na ya kwamba wametenda mambo haya kwake.
17 Jisua'n Lazarus thân renga a koi suoka, thina renga a kaithoi lâia mipui om ngei han a thurchi an misîr tir zoia.
Basi lile kundi la watu waliokuwepo pamoja na Yesu wakati alipomwita Lazaro kutoka kaburini, wakashuhudia kwa wengine.
18 Ha sininkhêl hah an riet sikin mipui ngeiin an lei don ani.
Na ilikuwa kwa sababu hii pia kwamba kundi la watu walikwenda kumlaki kwasababu walisikia ya kwamba ameifanya ishara hiyo.
19 Hanchu Phariseengei han, “En ta u, ite chang khâi mak me! En roi, rammuol pumpuiin ama kêng an jûi zoi hi!” an tia.
Mafarisayo wakasemezana wao kwa wao, “Tazama, sasa hamwezi kufanya lolote; tazama, ulimwengu umekwenda kwake.”
20 Khohoia Pathien chubaimûk ranga Jerusalema hong se ngei lâia han Greekngei senkhat an oma.
Sasa baadhi ya Wayunani walikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wakienda kuabudu kwenye sikukuu.
21 Anni ngei han Philip (Galilee rama Bethsaida khuo mi) kôm an sea, “Pu, Jisua mu kin nuom,” tiin an ngêna.
Hawa walimwendea Filipo, ambaye alitoka Bethsaida ya Galilaya, wakamwomba wakisema, “Bwana, sisi tunatamani kumwona Yesu.”
22 Philip a sea male Andrew ava rila, male anruonin an sea, Jisua an va rila.
Filipo akaenda akamwambia Andrea; Andrea na Filipo wakaenda na kumwambia Yesu.
23 Jisua'n an kôm, “Miriem Nâipasal inlaltaka a om zora atung zoi.
Yesu akawajibu akasema, “Saa imefika kwa ajili ya Mwana wa Adamu kutukuzwa.
24 Chongdiktak nangni ki ril: buhûm pila a tâka athi nônchu aramalin aom chien ngâi, athin vai kêng tamtakin ânra ngâi.
Amini, amini, nawaambia, chembe ya ngano isipoanguka katika nchi ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, itazaa matunda mengi.
25 Tukhom an ringna moroi kaiin machân an ta, tukhom rammuola an ringna min pâm loi kaiin kumtuong ringna dôn tit an tih. (aiōnios g166)
Yeye apendaye uhai wake ataupoteza; bali yeye auchukiaye uhai wake katika ulimemngu huu atausalimisha hata uzima wa milele. (aiōnios g166)
26 Tukhom ki sintho nuom kaiin chu mi jûi ngêt rese ngei, masikin ki sinthopu ngei chu ko omna an om sa theina rangin. Tukhom ki sintho ngâi kai chu ka Pa'n mirit tho ngei atih.
Mtu yeyote akinitumikia mimi, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Mtu yeyote akinitumikia, Baba atamheshimu.
27 “Atûn hin ku mulung akâng male imo ki ti rang ani zoi? ‘Pa, hi zora hih ku chunga mi mintung pe no roh ki ti rang mini’? Aniatachu, hi dûktuong rang piela juong ki ni, masika han hi dûktuongna zora hih palin ke se rang ani.
Sasa roho yangu imefadhaika: nami nisemeje? 'Baba, uniokoe katika saa hii'? Lakini ni kwa kusudi hii nimeifikia saa hii.
28 Pa, ni riming roiinpuina juong mintung roh!” a tia. Hanchu invân renga rôl ajuon ringa, “Ko roiinpuina ku juong mintung zoi, la juong mintung nôk ki tih,” a tia.
Baba, ulitukuze jina lako.” Kisha sauti ikaja kutoka mbinguni na kusema, “Nimelitukuza nami nitalitukuza tena.”
29 Lokongei a kôla ânding ngei han ma rôl hah an rieta, male an lâia senkhatin, khuonri kêng ani an tia, adangngeiin chu, “Vântîrtonin a chongpui kêng!” an tia.
Basi mkutano uliosimama karibu naye wakasikia, wakasema ya kwamba kumekuwa ngurumo. Wengine walisema, “Malaika amesema naye.”
30 Aniatachu Jisua'n an kôm, “Ma rôl ha keima ranga ajuon ring nimaka, nangni ngei rang kêng ani.
Yesu akajibu na kusema, “Sauti hii haikuja kwa ajili yangu, bali kwa ajili yenu.
31 Atûn hin hi rammuol roijêkin aom rang zora ani zoi; hi rammuol roijêkpu khom hi atûn, pai nîng atih.
Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo: Sasa mkuu wa ulimwngu huu atatupwa nje.
32 Pilchung renga makhâiin ko om tikin chu mi murdi ki tieng kaikuoi ki tih,” a tia.
Nami nikiinuliwa juu ya nchi, nitawavuta wote kwangu.”
33 (Hi chong hih thina a tuong rangtie riet theina ranga a ti ani.)
Aliyanena hayo akionesha ni mauti gani atakayokufa.
34 Mipuingeiin a kôm, “Kin Balam lekhabu'n Messiah chu tuonsôtin ring tit atih” tiin mi ril ngâi. Hanchu, kho angin mo nangman, “Miriem Nâipasal hi târin om atih, ni ti thei? Hi Miriem Nâipasal hih tumo ani?” tiin an thuona. (aiōn g165)
Mkutano wakamjibu, “Sisi tumesikia katika sheria ya kwamba Kristo atadumu hata milele. Nawe wasemaje, 'Mwana Adamu lazima ainuliwe juu'? Huyu Mwana wa Mtu ni nani?” (aiōn g165)
35 Jisua'n a thuona, “Vâr hi chomolte chu nin lâia la om nîng atih. Vâr nin dôn lâiin lêng roi, masika han ijîngin nangni adê loina rangin; tukhom ijînga a lônin chu a sena riet ngâi mak.
Basi Yesu akawaambia, “Nuru ingalipo pamoja nanyi muda kidogo. Enendeni maadamu mnayo nuru, ili kwamba giza lisije likawaweza. Yeye aendaye gizani hajui aendako.
36 Vâr nin dôn lâihin vâr hi iem ta roi, avâr mingei nin ni theina rangin,” a tia. Jisua'n hi chong hih a ti suole chu a thengpata, an mu thei loina ranga a vânthup zoi.
Mngali mnayo nuru, iaminini nuru hiyo ili mpate kuwa wana wa nuru.” Yesu aliyasema haya na kisha akaenda zake akajificha wasimwone.
37 An mitmua sininkhêlngei tamtak a sin suonûk khomin anni ngei han ama iem mak ngeia,
Ingawa Yesu alifanya ishara nyingi namna hiyo mbele yao, bado hawakumwamini
38 masikin dêipu Isaiah lei ti hah ahong tung adik theina rangin: “Pumapa, kin thurchi misîr tumo a iema? Tu chunga mo Pumapa'n arnak a minlang?”
ili litimie neno la nabii Isaya, alilosema: “Bwana, ni nani aliyezisadiki habari zetu? Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani?”
39 Male masika hi an iem thei loi ani, Isaiah nanâkin a tia:
Ndio sababu wao hawakuamini, maana Isaya alisema tena,
40 “Pathien'n an mit a mincho pe ngeia male an mulungbôkngei khom a min môl pe ngei sa, masikin an mitin an mu loina rang, le an mulungbôkngei khomin an rietthei loina rangin, male ko kôm an hônhei nôk duoia, ke lei mindam ngei theina rangin, Pathien'n a tia.”
“Amewapofusha macho, na ameifanya migumu mioyo yao; wasije wakaona kwa macho yao na wakafahamu kwa mioyo yao, na wakaongoka nami nikawaponya.”
41 Isaiah han Jisua roiinpuina a mu le a thurchi a misîr sikin hi chong hih a ti ani.
Isaya alisema maneno hayo kwa kuwa aliuona utukufu wa Yesu na akanena habari zake.
42 Nikhomsenla Juda rachamneipu tamtak ngeiin Jisua an iem zoia; hannirese Phariseengei sikin misîr minlang ngam mak ngeia, ma anghan ani nônchu synagog renga khâipaiin an om rang ani.
Walakini, hata wakuu wengi walimwamini Yesu; lakini kwa sababu ya Mafarisayo, hawakukiri ili wasije wakatengwa na sinagogi.
43 Pathien pomna nêkin munisi pomna an min lut uol ani.
Walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa zitokazo kwa Mungu.
44 Jisua'n rôl inringtakin a tia, “Tukhom mi iempu chu keima mi iem vai niloiin mi tîrpu khom a iem sa ani.
Yesu akapaza sauti na kusema, “Yeye aniaminiye mimi, haniamini mimi tu bali na yeye aliyenituma mimi,
45 Tukhom keima mi mu chu mi tîrpu khom a mu sa ani.
naye anionaye mimi anamuona yeye aliyenituma.
46 Rammuola hin vâr angin ku juong ani, masikin tukhom mi iem ngei murdi chu ijînga an om loina rangin.
Mimi nimekuja kama nuru ulimwenguni ili kila mtu aniaminiye mimi asikae gizani.
47 Tukhom ku thurchi misîr a rieta a jôm loi khom nisenla, keiman an roijêk no ning. Rammuol roijêk ranga juong ni mu unga, rammuol sanminring ranga juong kêng ki ni.
Ikiwa mtu yeyote atayasikia maneno yangu lakini asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja ili niuhukumu ulimwengu, bali niuokoe ulimwengu.
48 Tukhom keima me henga, ku thurchi misîr pomloi ngei chu anni ngei roijêk rangin mi inkhat aom. Ku thurchi misîr ha sûn nûktaka chu anni ngei roijêkpu la ning atih!
Yeye anikataye mimi na asiyeyakubali maneno yangu, anaye amhukumuye: neno hilo nililolinena ndilo litakalomhukumu siku ya mwisho.
49 Mahi adik ani, asikchu Keima ka rachamin ite misîr ngâi mu unga, ka Pa mi tîrpu'n kêng ki ti rang le ki misîr rang chong mi pêk ngâi ani.
Maana mimi sikunena kwa nafsi yangu tu. Bali ni Baba aliyenipeleka, yeye mwenyewe ameniagiza nitakayonena na nitakayosema.
50 Male a chongpêk ngei chu kumtuong ringna ani ti ki riet. Masikin ki ti ngei hi Pa'n mi ril lam angtakin ki misîr ani,” a tia. (aiōnios g166)
Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi - kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo kwao.” (aiōnios g166)

< John 12 >