< Hebrew 9 >

1 Chonginkhit masa khom chubaimûkna balamngei le miriem sin chubaimûkna mun a lei dôn ani.
Sasa hata agano la kwanza lilikuwa na sehemu ya ibada hapa duniani na taratibu za ibada.
2 Puon-in an sina, khâltan pêninta hah Mun Inthieng an tia. Ma sûnga han meiserdarna le dosâng leh Pathiena an pêksai vâipôlngei hah an oma.
Kwani katika hema kulikuwa na chumba kimeandaliwa, chumba cha nje, paliitwa mahali patakatifu. Katika eneo hili palikuwa na kinara cha taa, meza na mikate ya wonyesho.
3 Puondûng inikna nûktieng han Mun Inthiengtak an ti hah aom.
Na nyuma ya pazia la pili kulikuwa na chumba kingine, paliitwa mahali patakatifu zaidi.
4 Asûnga han mirimhoi hâlna mun rângkachak mâichâm le rângkachaka minluon Chonginkhit sumduk a oma, Ma sûnga han “Manna” omna rângkachak sungkola ngei, Aaron sunrol abuo hôn cher ngei le chongpêkngei a chunga ânziek lungpêk inik ngei hah an om.
Mlikuwemo madhabahu ya dhahabu kwa kuvukizia uvumba. Pia mlikuwemo sanduku la agano, ambalo lilikuwa limejengwa kwa dhahabu tupu. Ndani yake kulikuwa na bakuli la dhahabu lenye manna, fimbo ya Haruni iliyoota majani, na zile mbao za mawe za agano.
5 Ma sumduk chunga han Pathien roiinpuina minlangin iringparân mantha dôn ngei hah sietnangei ngâidamna muna an mantha pharin an om sa. Aniatachu, atûn chu ma thurchi ha chu akip akôiin rilsensâi zora la ni mak.
Juu ya sanduku la agano maumbo ya maserafi wa utukufu wafunika mabawa yao mbele ya kiti cha upatanisho, ambacho kwa sasa hatuwezi kuelezea kwa kina.
6 Ha neinunngei hah hi anghin an lei minsûk ani. Ochai ngei hah anîngtin apêninta puon-in sûng han an sintum sin rangin an se ngâia,
Baada ya vitu hivi kuwa vimekwisha andaliwa, Makuhani kawaida huingia chumba cha nje cha hema kutoa huduma zao.
7 aniatachu asûnginta Puon-in han chu Ochai Inlaltak vai kêng akuma voikhat thisen chôi ngêtin a lût ngâi. Ma thisen a chôi hah ama rang le mipui ngeiin an riet loi kâra sietna an sinngei ruthûlin Pathien kôm an pêk ngâi.
Lakini kuhani mkuu huingia kile chumba cha pili pekee mara moja kila mwaka, na pasipo kuacha kutoa dhabihu kwa ajili yake binafsi, na kwa dhambi za watu walizozitenda pasipo kukusudia.
8 Hi minsûkna ngei murdi renga hin Ratha Inthiengin ânthârtakin a minchu ngâia; apêninta Puon-in hah a la omsûng kâr chu Mun Inthiengtak lampui hah lân ong mak.
Roho Mtakatifu anashuhudia kwamba, njia ya mahali patakatifu zaidi bado haijafunuliwa kwa vile ile hema la kwanza bado linasimama.
9 Maha atûnlâi mintêkna ani. Aomtie chu neinunpêkngei le sa inbôlnangei Pathien kôma pêk han a biekpu ngei mulungrîl min chukphar thei maka,
Hili ni kielelezo cha muda huu wa sasa. Vyote zawadi na dhabihu ambavyo vinatolewa sasa haviwezi kukamilisha dhamiri ya anayeabudu.
10 sâk rang, nêk rang le minthieng-minthârna balam tamtak roi ngei vai ani sikin. Mangei murdi hah pêntienga balam korong an nia, Pathien'n chongpêk athar a pêk mâka mang rang ani.
Ni vyakula na vinywaji pekee vimeunganishwa katika namna ya taratibu za ibada ya kujiosha. Vyote hivi vilikuwa taratibu za kimwili vilivyokuwa vimeandaliwa hadi ije amri mpya itakayowekwa mahali pake.
11 Aniatachu Khrista chu neinun sa ngei hi taka lei omsai piel Ochai Inlaltakin a juong ani. Puon-ina sin a thona ngâi ha a roiinpui uol le achukphara; miriem sin puon-in nimak, ma hih rammuola sinngei lâia nimak tina ani.
Kristo alikuja kama kuhani mkuu wa mambo mazuri ambayo yamekuja. kupitia ukuu na ukamilifu wa hema kuu ambayo haikufanywa na mikono ya watu, ambayo si wa ulimwengu huu ulioumbwa.
12 Khrista hah Mun Inthiengtaka voikhatin a lûtpat lâihan, inbôlna rangin kêlngei le sielngei thisen chôi maka, ama thisen nanâk chôiin eita rangin kumtuong sanminringna a man zoi ani. (aiōnios g166)
Ilikuwa si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe kwamba Kristo aliingia mahali patakatifu zaidi mara moja kwa kila mmoja na kutuhakikishia ukombozi wetu wa milele. (aiōnios g166)
13 Kêlngei le sechalngei le setuoi ngei hâlminvâmin mi innim chunga an rethe luon an taksa innimna a minsâi pe ngei theia a minthieng thei ngeiin te,
Kama kwa damu ya mbuzi na mafahari na kunyunyiziwa kwa majivu ya ndama katika hao wasiosafi walitengwa kwa Mungu na kufanya miili yao safi,
14 Khrista thisen vangin te athei uol ok rang na! Kumtuong Ratha ruoinân Pathien kôm ama nanâkin inbôlna achukpharin ânpêk zoi sikin, Pathien ring sin ei tho theina rangin a thisenin thina mintung ngâi ngei sin renga ei sielesarietna minthieng a tih. (aiōnios g166)
Je si zaidi sana damu ya Kristo ambaye kupitia Roho wa milele alijitoa mwenyewe bila mawaa kwa Mungu, kuosha dhamiri zetu kutoka matendo mafu kumtumikia Mungu aliye hai? (aiōnios g166)
15 Hi sika hin Khrista hih chonginkhit athar minsûkpu ani, Pathien'n a koi ngei hah kumtuong satvurna ânkhâm an man theina ranga ani. Maha anitheina chu chonginkhit masa a la om sûnga miriemngei minchâina renga kelsuoa, thina a lei omsai sikin ani. (aiōnios g166)
Kwa sababu hiyo, Kristo ni mjumbe wa agano jipya. Hii ndiyo sababu mauti imewaacha huru wote walio wa agano la kwanza kutoka katika hatia ya dhambi zao, ili kwamba wote walioitwa na Mungu waweze kupokea ahadi ya urithi wao wa milele. (aiōnios g166)
16 Chongmâk roi chu a mâkpu hah athi le thiloi enmindik bak anâng,
Kama kuna agano linadumu, ni lazima kuthibitishwa kwa kifo cha mtu yule aliyelifanya.
17 chongmâkpu a la ringsûngin chu ite amangna la om loiin a thi suonûkin kêng amangna a la om ngâi.
Kwani agano linakuwa na nguvu mahali kunatokea mauti, kwa sababu hakuna nguvu wakati mwenye kulifanya akiwa anaishi.
18 Ma sika han chonginkhit masa khom hah thisen an mang tena kêng mang a la chang ani.
Hivyo hata si lile agano la kwanza lilikuwa limewekwa pasipo damu.
19 Amotona Moses'n Balam Chongpêkngei hah mipui ngei kôm a phuong baka. Masuole chu sechalngei le kêlngei thisen hah tui leh minpolin, hyssop machang le samul sen mangin Balam Lekhabu le mipui ngei murdi hah a thika.
Wakati Musa alipokuwa ametoa kila agizo la sheria kwa watu wote, alichukua damu ya ng'ombe na mbuzi, pamoja na maji, kitambaa chekundu, na hisopo, na kuwanyunyizia gombo lenyewe na watu wote.
20 An kôm, “Mahi Pathien'n nin jôm ranga nangni a pêk Chonginkhit nammindetpu thisen hah ani” a tia.
Kisha alisema, “Hii ni damu ya agano ambayo Mungu amewapa amri kwenu”.
21 Ma angdên han Moses'n Puon-in Inthieng le biekna mangruongei murdi khom hah thisen a thik sa.
Katika hali ileile, aliinyunyiza damu juu ya hema na vyombo vyote vilivyotumiwa kwa huduma ya ukuhani.
22 Adiktakin, Balam dungjûiin neinunngei murdi hih thisenin a minthieng thei leta, male sietnangei chu thisen suok vaiin kêng ngâidam ani thei.
Na kulingana na sheria, karibu kila kitu kinatakaswa kwa damu. Pasipo kumwaga damu hakuna msamaha.
23 Ma neinunngei, invâna a taktaka a om rimilngei hah ma anghan minthieng an ni rang ani. Aniatachu invâna neinunngei ha chu inbôlna sa uol ok an nâng ani.
Kwa hiyo ilikuwa lazima kwamba nakala za vitu vya mbinguni sharti visafishwe kwa hii dhabihu ya wanyama. Hata hivyo, vitu vya mbinguni vyenyewe vilipaswa kusafishwa kwa dhabihu iliyo bora zaidi.
24 Asikchu Khrista chu miriem sin Mun Inthieng atak rimila han lût mak. Atûna Pathien makunga ei ruthûla ân dingna invân khin a lût kelen ani.
Kwani Kristo hakuingia mahali patakatifu sana palipofanywa na mikono, ambayo ni nakala ya kitu halisi. Badala yake aliingia mbingu yenyewe, mahali ambapo sasa yuko mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.
25 Juda Ochai Inlaltak han sa thisen chôiin Mun Inthiengtak han kumtin a se ngâia. Aniatachu Khrista chu ama nanâk inpêk rangin voi tamtak lût maka,
Hakuingia kule kwa ajili ya kujitoa sadaka kwa ajili yake mara kwa mara, kama afanyavyo kuhani mkuu, ambaye huingia mahali patakatifu zaidi mwaka baada ya mwaka pamoja na damu ya mwingine,
26 ma anghan nino senla chu rammuol sinphut renga voi tamtak a tuong rang ani zoi. Manêkin, atûn zora mong rangtoa hin ânbôlna sika sietna a minhek theina rangin voikhatin a juon lang ani. (aiōn g165)
kama hiyo ilikuwa kweli, basi ingekuwa lazima kwake kuteswa mara nyingi zaidi tangu mwanzo wa ulimwengu. Lakini sasa ni mara moja hadi mwisho wa miaka aliyojifunua kuiondoa dhambi kwa dhabihu yake mwenyewe. (aiōn g165)
27 Mitin voikhat chu thi ngêt an ta, masuole Pathien'n an chungroi jêkin om an tih.
Kama ilivyo kwa kila mtu kufa mara moja, na baada ya hiyo huja hukumu,
28 Ma angdên han Khrista khom ha mi tamtakngei sietna min hek rangin voikhat inbôlnân pêk ani zoi. Sietna min hek rang ni khâi loiin ama lei ngakngei sanminring rangin avoi niknân juon lang nôk atih.
ndivyo hivyo Kristo naye ambaye alitolewa mara moja kuziondoa dhambi za wengi, atatokea mara ya pili, si kwa kusudi la kushughulikia dhambi, bali kwa ukombozi kwa wale wamgojeao kwa saburi.

< Hebrew 9 >