< Galatia 4 >

1 Nikhomsenla, keiman ki ti nuom chu, nâi, a pa rochon murdi luo rangpu hah nâipang a lani kâr chu suok leh ite tei uol mak, neinun murdi a ta ni let khom rese.
Basi, nasema hivi: mrithi, akiwa bado mtoto, hawi tofauti na mtumwa ingawaje mali yote ni yake.
2 Nâipang a lani sûng kâr chu, a pa zora khâm atung mâka chu a donsûipu le a rochon jêkpepu a om ngâi ani.
Wakati huo wote yuko chini ya walezi na wadhamini mpaka wakati ule uliowekwa na baba yake.
3 Ma anghan eini khom ratha tieng ulien eini mân chu, rammuol ratha saloi ruoina nuoia suok ei chang ani.
Hali kadhalika na sisi tulipokuwa bado watoto, tulikuwa watumwa wa pepo watawala wa ulimwengu.
4 Aniatachu, zora khâm a hong tung tik han, Pathien'n a nâipasal a juongtîr ani. Mahan nupang sûnga inzirin, Juda balam nuoia a lênga;
Lakini wakati ule maalumu ulipotimia, Mungu alimtuma Mwanawe aliyezaliwa na mwanamke, akaishi chini ya Sheria
5 Pathien nâingei ni theina ranga Balam nuoia om ngei murdi mirtan rangin.
apate kuwakomboa wale waliokuwa chini ya Sheria ili sisi tufanywe wana wa Mungu.
6 Hanchu, a nâingei nin ni ti rietnân, Pathien'n a Nâipasal Ratha hah ei mulungrîla a juongtîra, Ratha han, “Abba” O Pa tiin ei iniek ngâi ani.
Kwa vile sasa ninyi ni wana, Mungu amemtuma Roho wa Mwanae mioyoni mwenu, Roho ambaye hulia “Aba,” yaani “Baba.”
7 Masika han, suok ni khâi mak cheia, nâi nin ni zoi. Hanchu, nâi nin nina sikin Pathien'n a nâingei ranga ânkhâm murdi hah nangni pêk a tih.
Basi, wewe si mtumwa tena, bali mwana. Na ikiwa ni mwana, basi, wewe utapokea yote Mungu aliyowawekea watoto wake.
8 Tienlâi hanchu Pathien la riet mak cheia, masikin pathien ni ngâiloi ngei suoka nin om ngâi.
Zamani hamkumjua Mungu na hivyo mkatumikia miungu isiyo miungu kweli.
9 Ania atûn chu Pathien nin hong riet zoia, nônchu Pathien'n nangni riet suonûkin, inmo adok le inrieng om ratha ngei ruoina dikloi tieng inhei nôk rang nin nuoma? Inmo an suok chang nôkrêk rangin nin nuoma?
Lakini sasa, kwa vile mnamjua Mungu, au tuseme mnajulikana na Mungu, mnawezaje tena kurudi kwa wale pepo maskini na dhaifu hata kutaka kuwatumikia tena?
10 Nangnin nikhuongei, thâ ngei, kumtentana ngei, kumngei, nin ser ngâia.
Bado mnaadhimisha siku, miezi na miaka!
11 Nin chungroi nangni ka kamâm sabak ani! Ninta ranga ki sin murdi mangmunboi achang rang mini?
Nahofu kwamba labda kazi niliyoifanya kwa ajili yenu imepotea bure!
12 Ka malngei, nangni anga ko om anghin nangni khom keima anghin om roi, tiin nangni ke ngên. Nangnin adikloiin ite mi lo mak chei.
Ndugu, nawasihi muwe kama mimi, kwa vile hata mimi nimekuwa kama ninyi. Hamkunitendea ubaya wowote.
13 Ka damloina sikin motontaka thurchisa nangni ki ril hah nangnîn nin rieta.
Mnajua kwamba ugonjwa wangu ndio ulionipatia fursa ya kuwahubirieni Habari Njema kwa mara ya kwanza.
14 Ka taksa dingmun hah nangni ranga minsinna lientak khom nisenla, mi mumâkin ni hengpai mak chei. Ma-ang nêkhan invâna vântîrton anghan le Khrista Jisua anghan mi nin modôm ani.
Hata hivyo, wakati ule hamkunidharau wala kunikataa kwa sababu ya udhaifu wangu ingawa mlishawishiwa kufanya hivyo; lakini mlinipokea kama malaika wa Mungu, kama vile ningekuwa Kristo Yesu mwenyewe.
15 Nin râiasân bâka! itho mo? thei nisenla chu nin mitngei khom kêlpai nin ta mipêk nin tih ki ti thei.
Mlikuwa wenye furaha; sasa kumetokea nini? Naapa kwamba wakati ule mngaliweza hata kuyang'oa macho yenu na kunipa mimi.
16 Chongdik hah nangni ki ril sikin nin râl ka chang zoi mo?
Je, sasa nimekuwa adui yenu kwa sababu ya kuwaambieni ukweli?
17 Midangngei han lunghâng nangni an tho sabak, ania an mindona sa mak. An nuom tak chu keima leh nangni minsen rang, hanke lunghâng nangni an tho anghan, nangni khomin lunghâng nin tho ngei rang hah ani.
Hao watu wengine wanawahangaikia ninyi, lakini nia zao si njema. Wanataka kuwatenganisha nami ili ninyi muwahangaikie wao.
18 Mindonna asa anîn chu ma anga lunghângna hi khotik khom asa ani, nin kôma ko om lâi vai niloiin.
Kwa kweli ni jambo jema daima kuwahangaikia wengine katika mambo mema, na si tu wakati mimi nipo pamoja nanyi.
19 Ka nâi moroingei! avêllin voikhat, Khrista nina hah nin kôm sin mindetin a om mâka chu nupang nâiha phut anape ngâi anga na han nin rang sikin ku tuong ani.
Watoto wangu, kama vile mama mja mzito anavyotaabika wakati wa kujifungua, mimi nataabika tena kwa ajili yenu mpaka hapo hali yake Kristo itakapoundwa ndani yenu.
20 Male atûn hin nin kôm honga chong rôlûm dangin thurchi misîr ku nuoma; ithomo ei tiin chu nin chungroi ka kângdoi sabak ani.
Laiti ningekuwa pamoja nanyi sasa, maana ningalipata msimamo ufaao juu yenu! Nina wasiwasi sana nanyi!
21 Balam nuoia om nuomngei hah, nangni rekel rong; Balamin ai ti hah nin rietloi mo?
Niambieni, enyi mnaopenda kutawaliwa na sheria: Je, mnasikia isemavyo Sheria?
22 Ma anghin a ti, Abraham'n nâipasal inik a dôna inkhat chu a suoknu nâi ania, inkhat chu suok niloinu nâi ani.
Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu kwamba Abrahamu alikuwa na watoto wawili: mmoja kwa mwanamke mtumwa, na wa pili kwa mwanamke huru.
23 Suoknu leh an nâi hah chu taksa balam anghan ânzira, suok niloinu leh an nâi ha chu Pathien chongkhâm sikin ânzir iti hih.
Yule wa mwanamke mtumwa alizaliwa kama kawaida, lakini yule wa mwanamke huru alizaliwa kutokana na ahadi ya Mungu.
24 Ma chong hah chongmintêka riet thei ani; ma nupang inik ngei hah chonginkhit inik an ni. A nâingei suoknu renga ânzir a nu hah Hagar ania, Sinai tânga chonginkhit hah ani.
Mambo hayo yamekuwa mfano; mama hao wawili ni mfano wa maagano mawili; la kwanza ni lile lililofanyika mlimani Sinai, mwakilishi wake ni Hagari, na watoto wake wanazaliwa utumwani.
25 Male Hagar hah Arabia rama Sinai tâng hah ania, atûnlâia Jerusalem khuopuiliena mi murdi ngei le suoka omngei leh hin munkhat an ni.
Hagari anawakilisha mlima Sinai ulioko Arabia, na ni mfano wa Yerusalemu ya sasa, ulio mtumwa pamoja na watoto wake.
26 Hannirese, suok niloinu hah chu chung tieng Jerusalem ania, suok nimaka, hanu hah ei nû ani.
Lakini Yerusalemu ya juu mbinguni ni mji ulio huru, nao ni mama yetu.
27 Pathien lekhabu'n; “Nangma aching nâi nei ngâi loi, Na râiminsân roh! Nangma nâiha la doi tet ngâiloi, Râisânin tânghâi roh! Nupang a pasalin ai mathân tet ngâiloi nu Nêkin nupang mi imâknu han nâi nei mintam uol a tih,” tiin ânziek sikin.
Maana imeandikwa: “Furahi, ewe uliye tasa usiyezaa; paaza sauti wewe usiyepata kujifungua mtoto; maana watoto wa yule aliyeachwa ni wengi zaidi kuliko wa yule aliye na mume.”
28 Atûn nangni ka malngei, eini khom Isaac anghan Pathien chongkhâm nâingei eini.
Sasa, basi, ndugu zangu, ninyi ni watoto wa Mungu kutokana na ahadi yake kama alivyokuwa Isaka.
29 Ma zora lâihan, taksa balama suokpu han Pathien Ratha lama suokpu hah deng-amintheia, atûn hin khom ma anghan ani.
Lakini kama vile siku zile yule mtoto aliyezaliwa kwa njia ya kawaida alimdhulumu yule aliyezaliwa kwa uwezo wa Roho wa Mungu, vivyo hivyo na siku hizi.
30 Aniatachu Pathien lekhabu'n imo ai ti hah? “Suoknu le a nâipasal chu rujûlpai roh; suoknu nâipasal han suok niloinu nâipasal leh a pa rochon luopui thei no nih.
Lakini Maandiko Matakatifu yasemaje? Yasema: “Mfukuze mama mtumwa pamoja na mwanawe; maana mtoto wa mtumwa hatarithi pamoja na mtoto wa mama huru.”
31 Masikin, ka malngei, suoknu nâingei ni mak mea, suok niloinu nâingei kêng eini.”
Kwa hiyo, basi, ndugu, sisi si watoto wa mtumwa bali wa mama huru.

< Galatia 4 >