< Ephesi 4 >

1 Hanchu, keima Pumapa sintho sika intângmi hin: Pathien'n nangni a koi lâia nangni a dar lam angtaka om rangin nangni ke ngên ani.
Kwa hiyo, kama mfungwa kwa ajili ya Bwana, nawasihi mtembee sawasawa na wito ambao Mungu aliwaita.
2 Khotiklâi khom nunnêmna, rangâiinchîna le tuongtheina ngei dôn tit ngâi roi, nin lungkhamna hah tuongdiernân inkhat le inkhat chunga minlang roi.
Muishi kwa unyenyekevu mkuu na upole na uvumilivu. Mkichukuliana katika upendo.
3 Inngêina han inpumkhatna nangni akhitlomna ngei sika Ratha nangni a pêk inpumna hah dôn tit rangin nin theidôr pûtrît roi.
Fanyeni bidii kuutunza umoja wa Roho katika kifungo cha amani.
4 Pathien'n nangni a koina taka sabeina inkhat ani anghan takpum inkhat le Ratha inkhat mamang aom.
Kuna mwili mmoja na Roho moja, kama ambavyo pia mlikuwa mmeitwa katika uhakika wa taraja moja la wito wenu.
5 Pumapa inkhat, taksônna inkhat, baptisma inkhat aoma;
Na kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja,
6 mitinngei Pathien le Pa inkhat aoma, ama hah neinun murdi Pumapa ania, neinun murdi chunga sin a thoa, neinun murdi chunga aom ani.
na Mungu mmoja na Baba wa wote. Yeye yuko juu ya yote, na katika yote na ndani ya yote.
7 Khrista'n ei rangtum mi pêk lamtakin ei sika neinun manboipêk satak ei chang ani.
Kwa kila mmoja wetu amepewa kipawa kulingana na kipimo cha kipawa cha Kristo.
8 Pathien lekhabu'n, “Chungtieng insângtaka a kal lâihan, suok intângngei tamtak a tuonga; Miriemngei kôm neinunpêkngei a pêk,” ati anghan.
Ni kama maandiko yasemavyo: “Alipopaa juu sana, aliongoza mateka katika utumwa. Akatoa vipawa kwa watu.”
9 “Chungtieng a kal” ti hih khoimo aomzie? Pilchung innuoitaka hin a juong chum bak tina ani.
Ni nini maana ya, “Alipaa,” isipokuwa kwamba alishuka pia pande za chini za dunia?
10 Masikin, a juong chumpu nanâk hah pil le invân murdia aom let theina rangin invân chunga le invân pênah a se nôk ani.
Yeye ambaye alishuka ni mtu yuleyule ambae pia alipaa mbali juu ya mbingu zote. Alifanya hivi ili uwepo wake uwe katika vitu vyote.
11 “Miriemngei kôma neinunpêk a pêkpu” hah ama ania, mi senkhat chu tîrtonin a phuna, senkhat chu dêipu'n a phuna, senkhat chu Thurchisa misîrpu'n a phuna, senkhat chu koiindang enkolpu'n a phuna, senkhat chu mi minchupu'n a phun ani.
Kristo alitoa vipawa kama hivi: mitume, manabii, wainjilisti, wachungaji, na waalimu.
12 Khrista takpum sinmindingna rangin Pathien mingei murdi Khristien sinthona taka an inchel theina rangin maha a tho ani.
Alifanya hivi kuwawezesha waumini kwa ajili ya kazi ya huduma, kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo.
13 Male Pathien Nâipasal ei rietna le ei taksônna lama han ei rêngin ma inkhatnina han ei hong intûp rang ani; mitungsuo nîng ei ta, Khrista ulien nina insângtak hah phâk ei tih zoi.
Anafanya hivi hadi sisi sote tufikie umoja wa imani na maarifa ya mwana wa Mungu. Anafanya hivi hadi tuweze kukomaa kama wale waliofikia kimo kamili cha Kristo.
14 Hanchu miriem milaknangei, an milak mang sika midangngei minvâi ngâi ngei, minchuna dikloi sika tuilien insôn ranak le sêm inmang anga nâipang nikhâi no ih.
Hii ni ili kwamba tusiwe tena kama watoto, tusirushwerushwe huku na huko. Ili kwamba tusichukuliwe na kila aina ya upepo wa fundisho, kwa hila za watu katika ujanja wa udanganyifu uliopotoka.
15 Manêkin, ratha lungkhamna chongtak misîrin Khrista ei lu tieng lamtina hong insôn ei tih u.
Badala yake, tutaongea ukweli katika upendo na kukua zaidi katika njia zote ndani yake ambaye ndiye kichwa, Kristo.
16 Ama enkolna nuoia takpuma abâkngei murdi minsûk khomin rolotin sin atho chit anghan, takpumpui chu a sûr minding ani; Masikin abâk chitin sin an tho rang lamtakin an tho inchu takpumpui hah lungkhamna sikin insônin ândingsuok ngâi ani.
Kristo ameunganisha, kwa pamoja, mwili wote wa waumini. Umeungamanishwa pamoja na kila kiungo ili kwamba mwili wote ukue na kujijenga wenyewe katika upendo.
17 Hanchu, mahih Pumapa rimingin nangni ki minriet; sonongngei angin om khâi no roi, ha ngei mindonna ha chu asenaboi ania,
Kwa hiyo, nasema hili, na nawasihi katika Bwana: Msitembee tena kama watu wa mataifa wanavyotembea katika ubatili wa akili zao.
18 an mulungrîlngei khom ijînga om ani. An sêt sik le an mulungrîl inngar sika han Pathien pêk ringna han rangtum dôn makngei.
Wametiwa giza katika mawazo yao. Wamefukuzwa kutoka katika uzima wa Mungu kwa ujinga ulio ndani yao kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao.
19 Inzak rietnangei murdi an minmanga, hurna le neinun innim murdi an nuom dôra tho rangin an inpêk zoi.
Hawajisikii aibu. Wamejikabidhi wenyewe kwa ufisadi katika matendo machafu, katika kila aina ya uchoyo.
20 Khrista roi nin inchu ha chu ma anghan nimak.
Lakini, hivi sivyo mlivyojifunza kuhusu Kristo.
21 Ama roi nin riet zoia, ama nûkjûipu ngei anghan Jisua chongtaka aom hah minchu nin ni zoia.
Nadhani kwamba mmesikia kuhusu yeye. Nadhani kwamba mmekuwa mkifundishwa katika yeye, kama tu ukweli ulivyo ndani ya Yesu.
22 Masikin nin mi nina muruoa, milak ôina saloia, nin lei om lam muruo asietsai hah nûksong ta roi.
Lazima mvue mambo yote yanayoendana na mwenendo wenu wa zamani, utu wa zamani. Ni utu wa zamani unaooza kwa sababu ya tamaa za udanganyifu.
23 Nin mulungrîlngei le nin mulungbôkngei sin mintharin aom ngêt rang ani,
Vueni utu wenu wa zamani ili kwamba mfanywe upya katika roho ya akili zenu.
24 male mi nina thar, Pathien angna dôna sin ringna dik minlang le ânthienga han invo ngêt roi.
Fanyeni hivi ili muweze kuvaa utu mpya, unaoendana na Mungu. Umeumbwa katika haki na utakatifu wa kweli.
25 Hanchu milak om khâi nonia, mitinin a iempuipu kôma chongtak ril an tih zoi, Khrista takpuma mingei eini chit sikin.
Kwa hiyo, weka mbali udanganyifu. “Ongeeni ukweli, kila mmoja na jirani yake,” kwa sababu tu washirika kwa kila mmoja kwa mwenzake.
26 Nin taksi khomin ma nin taksina han nunsie tieng nangni tuonglût no senla, sûntuonin taksi pumin om no roi.
Mwe na hasira, lakini msitende dhambi.” Jua lisizame mkiwa katika hasira zenu.
27 Diabol hah zorânchum pêk no roi.
Msimpe Ibilisi nafasi.
28 Inru ngâipu han inru tho khâi no senla, ama rang le inriêngngei a san theina rangin sin asa hah tho ta rese.
Yeyote aibaye lazima asiibe tena. Badala yake ni lazima afanye kazi. Afanye kazi yenye manufaa kwa mikono yake, ili kwamba aweze kumhudumia mtu aliye na hitaji.
29 Mi siet thei chong mang no ungla, nin chong rangâi ngeiin satna an man theina rangin akâmom chong mi sinminding ngâi le an nâng a pêk ngâi moroina chong vai hah mang roi.
Kauli mbaya isitoke kinywani mwenu. Badala yake, maneno lazima yatoke katika vinywa vyenu yafaayo kwa mahitaji, kuwapa faida wale wanaosikiliza.
30 Pathien Ratha Inthieng hah min ngûi no roi; asikchu Ratha hah Pathien nangni mojôk rang Nikhuoa ama ta nin nina sînthona ani.
Na msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu. Ni kwa Yeye kwamba mmewekewa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi.
31 Mulungkhana, ngalna, taksina, êrona, inmumâkna ngei murdi hah mâk ngêt ta roi.
Lazima muweke mbali uchungu wote, ghadhabu, hasira, ugomvi, na matusi, pamoja na kila aina ya uovu. Iweni wema ninyi kwa ninyi.
32 Manêkin, lungkham inlômin le mulungbôk minmun ungla, Pathien'n Khrista sikin nangni ngâidam angin inkhat le inkhat in ngâidam inlôm roi.
Mwe na huruma. Msameheane ninyi kwa ninyi, kama vile Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.

< Ephesi 4 >