< Sinthongei 12 >

1 Hanchu, ma zora han, Rêng Herod'n koiindanga mi senkhat ngei a nunuom a lo zoia.
Wakati huo mfalme Herode akanyosha mkono wake kwa baadhi ya wale wanaotoka kwenye kusanyiko ili kuwatesa.
2 Jacob, John nâipa hah khandaiin a tuk thata.
Akamwuua Yakobo nduguye Yohana kwa upanga.
3 Ama han Judangei an râiasân ok ti a rietin chu Peter khom sûr rang a bôk tita. (Ma zora hah cholboivâipôl ruolhoi zora ani).
Baada ya kuona kuwa inawapendeza Wayahudi, akamkamata na Petro tena. Hii ilikuwa wakati wa mikate isiyochachwa.
4 Peter hah a sûr suole chu intâng ina a khuma, râlmi pâl minli minlin angâk an inthâklîpa. Kalkân kût ruolhoi chumin mipui makunga kai suoa jêk rangin a mintuo ani.
Alipomkamata, akamweka gerezani na akaweka vikosi vinne vya askari ili kumlinda, alikuwa akitarajia kumpeleka kwa watu baada ya Pasaka.
5 Masikin Peter hah intâng ina a khum rapa, hannirese, ama ta rangin koiindangngeiin ningsiettakin Pathien kôm chubai an thope ngâi.
Petro akawekwa gerezani, lakini maombi yakafanywa kwa bidii na kusanyiko kwa ajili yake kwa Mungu.
6 Herod'n a kai suoa, a jêk rang nijân tak han chu Peter hah rungpungei inik kâra rênrokol inik bunin a jâla, a ngâkngei khom mokot bula an oma, an ngâk chiena.
Siku kabla Herode hajaenda kumtoa, Usiku huo Petro alikuwa amelala katikati ya maaskari wawili, akiwa amefungwa na minyororo miwili, na walinzi mbele ya mlango walikuwa wakilinda gereza.
7 Inningloiin vântîrton inkhat a kôla ajuong indinga intâng in sûnga han vâr ajuong inlanga. Vântîrton han Peter dâra anîk min hara, “Inrangin! inthoi roh!” a tia. Hanchu, voikhatrengin Peter kuta rênrokolngei hah a kutngei renga a tâkrila.
Tazama, malaika wa Bwana ghafla akamtokea na nuru ikang'aa ndani. Akampiga Petro ubavuni na kumwamsha akisema, “Amka haraka.”ndipo minyororo aliyokuwa amefungwa ikafunguka kutoka mikononi mwake.
8 Masuole Vântîrton han a kôm, “No kongkhit mindên inla, ne kekok bun roh,” a tia. Peter'n ha anghan a thoa, hanchu vântîrton han a kôm, “Na kâncholiinchuol inhak inla, mi jûi roh,” a tia.
Malaika akamwambia, “Vaa nguo zako na vaa viatu vyako.” Petro akafanya hivyo. Malaika akamwambia, “Vaa vazi lako na unifuate.”
9 Peter intâng in renga a jôka, a jûi zoia; nikhomrese a tak ani ti riet mak, Vântîrton hah inlârna a mu mini kêng a bôka.
Hivyo Petro akamfuata Malaika na akatoka nje. Hakuamini kilichofanywa na malaika kama ni cha kweli. Alidhani anaona maono.
10 A rungngei inkhatna le inikna an khêlin chu khopuiliena lûtna thîr mokot an va tunga. Mokot hah athethenin alei in-onga, an jôka, lamlien inkhat an khêlin chu voikhatrengin vântîrton han Peter a mâk zoia.
Baada ya kupita lindo la kwanza na la pili, wakafika kwenye geti la chuma la kuingilia kwenda mjini, likafunguka lenyewe kwa ajili yao. Wakatoka nje wakashuka kwenye mtaa, mara Malaika akamwacha.
11 Hanchu Peter hah a harin chu, “Pumapa'n a vântîrton a juongtîra, Herod kut renga le Judangei sabeina murdi renga mi mojôk ti adiktakin ki riet zoi,” a tia.
Petro alipojitambua, akasema, “Sasa nimeamini kuwa Bwana alimtuma Malaika wake ili kunitoa katika mikono ya Herode, na kwa matarajio ya watu wote wa uyahudi.”
12 A mulung a min chong zoiin chu John Mark nû Mary ina a sea, mahan mi tamtak lên bûmin an lei chubaia.
Baada ya kujua haya, akaja kwenye nyumba ya Mariamu mama yake Yohana ambaye ni Marko; Wakristo wengi walikusanyika wakiomba.
13 Peter'n bokrop inkhâr a tôk lehan, tîrlâm inkhat Rhoda dôngmate han mo-ong rangin a sea.
Alipobisha kwenye mlango wa kizuizi, mtumishi mmoja msichana anayeitwa Roda akaja kufungua.
14 Peter rôl a riet lechu a râisân rai sikin inkhâr mo ong loiin a tân nôka, “Peter inkot bula son ânding,” tiin a va rila.
Alipotambua ni sauti ya Petro, kwa furaha akashindwa kuufungua mlango; badala yake, akakimbia ndani ya chumba; na kuwajulisha kuwa Petro amesimama mbele ya Mlango.
15 Anni han a kôm, “Na châng ani zoi hi!” an tia. Ama'n chu adik tatak kêng? a ti tita. Anni han “a vântîrton nîng atih,” an tia.
Hivyo, Wakasema kwake, “Wewe ni mwendawazimu” lakini alikazia kuwa ni kweli ni yeye. Wakasema “Huyo ni malaika wake.”
16 Nikhomrese Peter'n a tôk tita nûktaka chu an va mo onga, ama hah an mua kamâm aom an ti tataka.
Lakini Petro aliendelea kubisha, na walipofungua mlango, wakamwona na wakashangaa sana. Petro akawanyamazisha kwa mkono kimya kimya na akawaambia jinsi Bwana alivyomtoa kutoka Gerezani. akasema,
17 Ama han an dâirekna rangin a kut a jâpa, Pumapa'n intâng in renga a kêlsuo tie hah a misîr zoia. Hanchu, “Hi chong hih Jacob le iempu dangngei va ril roi,” a tia. Masuole chu a jôka ram danga a se zoi.
“Wajulishe haya mambo Yakobo na ndugu zake.” Kisha akaondoka akaenda sehemu nyingine.
18 Hanchu, jîng ahongni lechu rungpungei hah, Peter imo a chang zoi? tiin asân an mulung ajîng zoia.
Kulipokuwa mchana, kukawa na huzuni kubwa kati ya askari, kuhusiana na kilichotokea kwa Petro.
19 Herod han a rok rangin chong a pêk ngeia, hannirese mu mak ngeia a ngâkngei hah a rekela, that ngei rangin chong a pêk ngei zoi. Masuole chu, Herod judea khuo a mâka Caesarea khuoa môrkhat ava om zoi.
Baada ya Herode kumtafuta na hakumwona akawauliza walinzi na akaamuru wauawe. Akaenda kutoka uyahudi mpaka Kaisaria na kukaa huko.
20 Hanchu, Herod hah Tyre le Sidon khuo mingei chunga a taksi sabaka. Anni han inruolin ama kôm se rangin an honga, rêng milien Blastus hah an malin an sin baka. Masuole Herod kôm an sea, an ram hah rêngpa ram renga sâk, nêk an man ngâi ani sikin inngêi rangin an ngêna.
Herode alikuwa na hasira juu ya watu wa Tiro na Sidoni. Wakaenda kwa pamoja kwake. Wakawa na urafiki na Blasto msaidizi wa mfalme, ili awasaidie. Kisha wakaomba amani, kwa sababu nchi yao ilipokea chakula kutoka katika nchi ya mfalme.
21 A nikhuo khâm nîn chu Herod hah puon inlal insilin rêngsukmuna ânsunga, mipuingei kôm chong a misîra.
Siku iliyokusudiwa Herode alivaa mavazi ya kifalme na kukaa kwenye kiti chake cha kifalme, na akawahutubia.
22 Mi murdi'n, “Miriem rôl nimak, Pathien rôl kêng,” an tia, an inieka.
Watu wakapiga kelele, “Hii ni sauti ya mungu wala si sauti ya mwanadamu!”
23 Voikhatrengin ama han Pathien kôm miritna a pêk loi sikin Pumapa vântîrtonin voikhatrengin Herod chunga a kut a musuma, rûlkûtin a sâka, athi zoi.
Mara ghafla malaika akampiga, kwa sababu alikuwa hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na chango na akafa
24 Ma lâia han Pathien chong ânzara an pung tir zoi.
Lakini neno la Mungu likakua na kusambaa.
25 Barnabas le Saul'n an sintum an sin suole chu Jerusalem renga an kîr nôk zoia, John Mark hah an kôm an tuong sa.
Baada ya Barnaba na Sauli kukamilisha huduma yao wakatoka pale wakarejea Yerusalemu, wakamchukua na Yohana ambaye jina la kuzaliwa ni Marko.

< Sinthongei 12 >