< Walumi 9 >
1 Eyanga elyoli hwa Kilisiti. Seyangailenga, humwoyo gwene eshudila pandwemo nane hwidala Opepo Ofinjile,
Nasema ukweli katika Kristo. Sisemi uongo, na dhamira yangu hushuhudia pamoja nami katika Roho Mtakatifu,
2 huje huli azugumile ohogosi abhawe hwa saga humaliha muhati yemwoyo gwane.
kwamba kuna huzuni kubwa na maumivu yasiyo koma ndani ya moyo wangu.
3 Nezagazilishe ane nemwene alogwe abhehwe hutali nu Kilisiti huje aholo bhane, bhala abheshikholo shane ashilile obele.
Kwamba ningetamani mimi mwenyewe kulaaniwa na kutengwa mbali na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, wale wa jamii yangu katika mwili.
4 Abhene bha Israeli. Bhabhehwelwe huje bhana, abhe tufiwe ayangane, ezawadi eya logwe, hupute Ongolobhe, na malagano.
Wao ni Waisraeli. Walio na hali ya kufanyika watoto, wa utukufu, wa maagano, na zawadi ya sheria, kumwabudu Mungu, na ahadi.
5 Ebhene bhabhatagalizizye ohwo Kilisiti ahenzele enshinshi akwate obele oguu - huje oyo uo Ngolobhe wa bhoti. Wope ayeme hwaje wilawila. Amina. (aiōn )
Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima kuvaa mwili huu - ambaye yeye ni Mungu wa vyote. Naye asifiwe milele. Amina. (aiōn )
6 Sehuje amalagano ga Ngolobhe hujezikunilwe afishe. Sehuje kila mutu wali Israeli nasebha Israeli bhebho.
Lakini si kwamba ahadi za Mungu zimeshindwa kutimia. Maana si kila mtu aliye Israeli ni Mwiisraeli halisi.
7 Sehuje bhoti bhali bhana bha Abulahamu huje bhali bhana bhakwe bhebho. Lakini, “naashilile u Isaka abhana bhaho waikwiziwa.”
Sivyo hata kwa uzao wa Abrahamu kuwa ni watoto wake halisi. Lakini, “ni kupitia Isaka uzao wako utaitwa.”
8 Hweli hwahuje, abhana abha mbele sagabhana bha Ngolobhe. Lakini abhana abhe ahadi bhahwenyezewa huje ebha ndabhana.
Hii ni kwamba, watoto wa mwili si watoto wa Mungu. Lakini watoto wa ahadi wanatazamwa kuwa kama uzao.
9 Elilizuu elyahadi: “Nane majira ego naye hweza, nu Sala aipata omwana.”
Maana hili ndilo neno la ahadi: “Katika majira haya nitakuja, na Sara atapewa mtoto.”
10 Sagalyalyeli tu, lakini pamaade u Lebeka abhapate evyanda hwa mtu omo, o Isaka udaada wetu-
Si hili tu, lakini baada ya Rebeka kupata mimba kwa mtu mmoja, Isaka baba yetu-
11 hwahuje abhana bhali nsele apapwe na alibado abhombe ijambo lyolyonti elinza au ibhibhi, huje ikusudi elya Ngolobhe alengane nachagule lyemelele, wala sehuje humiza, lakini sehwahuje yola wahukwizya.
kwamba watoto walikuwa bado hawajazaliwa na alikuwa hajafanya jambo lolote zuri au baya, ili kwamba kusudi la Mungu kulingana na uchaguzi lisimame, wala si kwa matendo, lakini ni kwa sababu ya yule aitae.
12 Lyayagwilwe huje, “Ogosi abhahutumishile ododo.”
Ilinenwa kwake, “Mkubwa atamtumikia mdogo.”
13 Nashi sashili huje lyahandihwe: “U Yakobo nagene, lakini u Esau navitilwe.”
Kama ilivyo kwisha andikwa: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”
14 Hwa huje tiyanje yenu? Huje lihweli ilenga hwa Ngolobhe? Huje dadi
Basi tena tutasema nini? Je kuna udhalimu kwa Mungu? La hasha.
15 Hwa huje eyaanga ahusu oMusa, “embabhe neisajilo hula wembahusajile, na ebhabhe ne sajilo hwola wembahusajile.”
Kwa kuwa anasema kwa Musa, “nitakuwa na rehema kwa yule nitakayemrehemu, na nitakuwa na huruma kwa yule nitakayemhurumia.”
16 Hwa huje bhasi, saga yuyo oyo wabhahwanze, wala sagayuyo oyo wanyila, lakini hwa huje yu Ngolobhe, hwa huje abhonesha asajile.
Kwa hiyo basi, si kwa sababu ya yeye atakaye, wala si kwa sababu ya yeye ambaye hukimbia, lakini kwa sababu ya Mungu, ambaye huonesha rehema.
17 Hwa huje aamazu gayanga hwa Falao, “Hwa huje ega goti galinsini ambuinule, huje ebhoneshe aguvu zyane ashilile wewe, nahuje iitawa lyane lirumbelelwe ensi yoti.”
Kwa kuwa maandiko husema kwa Farao, “Kwa kusudi hili maalumu nilikuinua, ili kwamba nioneshe nguvu zangu katika wewe, na ili kwamba jina langu litangazwe katika nchi yote.”
18 Huje bhasi, Ongolobhe abhane sajilohwa wowoti wagene, nahwola wahugana, ahubheha abhe hali.
Hivyo basi, Mungu huwa na rehema kwa yeyote ampendaye, na kwa ambaye humpenda, humfanya kuwa mkaidi.
19 Nantele ubhayanje hwalini, “Yenu alola ikosa? Yo lihu wagamalile agajimbile amambo gakwe?”
Kisha utasema kwangu, “Kwa nini bado anaona kosa? Ni yupi ambaye alikwisha kustahimili matakwa yake?”
20 Ahosi yakwe, omwanadamu, awewe nanu woyanga kinyume nu Ngolobhe? Huhweli aweze hane lyolyoti lya hahabhombelwe hayanga hwula wahabhombele, “Huje yenu wambombele eshi ane?”
Kinyume chake, mwanadamu, wewe ni nani ujibue kinyume na Mungu? Kuna uwezekano wowote wa kilichofinyangwa kusema kwa mfinyanzi, “Kwanini ulinifanya hivi mimi?”
21 Je wabhomba sagali nehaki hwilongo elyaleganyizye evyombo humatumizi gega hweli afumilane nuvilima ulaula, ne shombo esha mwabho shibha na matumizi kila siku?
Je mfinyazi huwa hana haki juu ya udongo kutengeneza chombo kwa matumizi maalumu kutokana na bonge lile lile, na chombo kingine kwa matumizi ya kila siku?
22 Wole nashi Ongolobhe, umwene alitayali wabhonesye enkuni yakwe naabhombe amaha gakwe amanyishe, ajimbile navumilile huiye evyombo evya enkumi vyevibhehwelwe kwajili ya goje?
Vipi kama Mungu, ambaye ana utayari wa kuonesha gadhabu yake na kufanya nguvu yake kujulikana, alistahimili kwa uvumilivu wa kutosha vyombo vya gadhabu vilivyoandaliwa kwa kuangamiza?
23 Woole nkashile abhombile enga abhonesye ohwinji we utukufu wakwe hu vyombo evya rehema, avibeshele tayali kwajili yeutukufu?
Vipi kama alifanya hivi ili kwamba aoneshe wingi wa utukufu wake juu ya vyombo vya rehema, ambavyo alikwisha kuviandaa kwa ajili ya utukufu?
24 Wole kashile abhombile eli, je hulitu, hwa huje nate alitwizizye sagahuje afume Wayahudi, nantele afume nahwa bhantu bha Mataifa?
Vipi kama alifanya hii pia kwetu, ambaye pia alituita, si tu kutoka kwa Wayahudi, lakini pia kutoka kwa watu wa Mataifa?
25 Nashi sayanga mwa Oseya: “Embabhakwizye abhantu bhane bhabhali saga bhantu bhane, nuula wagene natele nuula wasaga agenwe.
Kama asemavyo pia katika Hosea: “Nitawaita watu wangu ambao hawakuwa watu wangu, na mpendwa wake ambaye hakupendwa.
26 Na abhabhe huje pala palyayagwilwe hwa bhene, 'amwesagamlibhantu bhane,' pala bhezekwiziwe 'abhana bha Ngolobhe wali mwomi.”'
Na itakuwa kwamba pale iliposemwa kwao, 'Ninyi si watu wangu,' pale wataitwa 'wana wa Mungu aliye hai.”'
27 O Isaya alila ashilile nebha Israeli, “Huje abhazye abhana bha Israeli engelinashi usanga gwa mbahali, ebabhe nashi bhebhasageye bhazabhe nashi bhabhahwokolewe.
Isaya analia kuhusiana na Israeli, “Kama hesabu ya wana wa Israeli ingekuwa kama mchanga wa bahari, itakuwa ni masalia ambao wataokolewa.
28 Hwa huje Ogosi abhahweje izuu lyakwe hwumwanya na pansi, sasele nahwa utimilifu.
Kwa kuwa Bwana atalichukua neno lake juu ya nchi, mapema na kwa utimilifu.
29 Nashi oIsaya sayanjile ehale, “Nashi Ogosi owemanjeshi sagatilesheye akhosi ouzao kwaajili yaliti, angatili nashi e Sodoma, nangatibhombilwe nashi e Gomora.
Na kama jinsi Isaya alivyosema awali, “Kama Bwana wa majeshi hakutuachia nyuma uzao kwa ajili yetu, tungekuwa kama Sodoma, na tungefanywa kama Gomora.
30 Tibhayanje genu lelo? huje abhantu abhe Mataifa huje bhahali sagabhahwanza elyoli bhapente elyoli, elyoli huimani.
Tutasema nini basi? kwamba watu wa Mataifa ambao walikuwa hawatafuti haki, walipata haki, haki kwa imani.
31 Lakini abha Israeli, bhahazile ikalata elyelyoli, sagayiifishie.
Lakini Israeli, ambaye alitafuta sheria ya haki, hakuifikia.
32 Yenu yalyesho? Hwa huje sagabhaiyazile huimani, bali huu matendo. Wabomele pamwanya yiwee na bhabomelee,
Kwanini si hivyo? Kwa sababu hawakuitafuta kwa imani, bali kwa matendo. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa,
33 nashi seyagwilwe enyenye, endigonizye iee elya abomelee, hu Sayuni nahuje owakose. Omwene wahuposhela hwelii sagabhakenyesewe.
kama ilivyo kwisha andikwa, “Tazama, nimelaza jiwe la kujikwaa katika Sayuni na mwamba wa kukosa. Yeye ambaye huamini katika hili hataaibika.”