< Walumi 16 >

1 Eembapela hulimwi o Fibi oilombo wenyu, oyoo tumwa webhanza lyelili ohwo Kenkrea,
Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
2 ili huje muwezizye huposhele ashilile hwa Gosi. Bhombaji eshi ashilile itawa elye tabhalo elyabhoziwa, na mwemelele padwemo nu mwene ashilile lyolyoti lyabhabhe hwanza umwene. Maana umwene yuyo aalintumwa wa bhinji, nahwaajili yalini nemwene.
Naomba mpokeeni katika Bwana ipasavyo watakatifu na kumpa msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, kwa maana yeye amekuwa msaada kwa watu wengi, mimi nikiwa miongoni mwao.
3 Mlamshe Priska nu Akila, wabhomba embombo nane ashilile uKilisiti uYesu,
Wasalimuni Prisila na Akila, watumishi wenzangu katika Kristo Yesu.
4 ebhoo hutubhalo yane bhahandilefwe na huntabhalo yabho bhene. Na efumiya asalifwe hwabhene, nasaga nene nimwene, nahwabhala humabhanza goti age mataifa.
Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu; wala si mimi tu ninayewashukuru bali pia makanisa yote ya watu wa Mataifa.
5 Lilamshi ibhanza lyalili mnyumba yabho. Lamshi Epanieto omwinza wane, oyowepapwe wahwade hwa Kilisti ashilile hu Asia.
Lisalimuni pia kanisa linalokutana nyumbani mwao. Msalimuni rafiki yangu mpendwa Epaineto, aliyekuwa mtu wa kwanza kumwamini Kristo huko Asia.
6 Lamshe u Maliamu abhombile embombo hwilyomi hwaajili yalimwii.
Msalimuni Maria, aliyefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu.
7 Mlamshe Androniko nu Yunia, bhamwetu, nabhabhapinyilwe padwemo nane. Nabhapapepe padwemo natumwa, bhabhatagaliye humanye uKilisti sesele aane.
Wasalimuni Androniko na Yunia, jamaa zangu ambao wamekuwa gerezani pamoja nami. Wao ni maarufu miongoni mwa mitume, nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.
8 Mlamshe Ampliato, omwinza wane ashilile Ogosi.
Msalimuni Ampliato, yeye nimpendaye katika Bwana.
9 Mlamshe Urbano, ubhomba mbombo padwemo nane ashilile uKilisti nu Stakisi omwinza wane.
Msalimuni Urbano, mtendakazi mwenzetu katika Kristo, pamoja na rafiki yangu mpendwa Stakisi.
10 Mlamshe Apele, umwene ahweteshelwa ashile uKilistii. Bhalamshi bhoti bhabhali mnyumba ya Aristobulo.
Msalimuni Apele aliyejaribiwa na akaithibitisha imani yake katika Kristo. Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Aristobulo.
11 Mndamshile Helodioni, ono wa mwentu. Mndamshile bhoti bhabhali mnyumba ya Narkiso, bhabha hweli ashilile Ogosi.
Msalimuni ndugu yangu Herodioni. Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Narkisi walio katika Bwana.
12 Mndamshile Trifaina nu Trifosa, bhabhabhomba eembombo hwilyomi ashilile Ogosi. mlamshe Persisi omwinza wabhombile embombo shinza hwa Gosi,
Wasalimuni Trifaina na Trifosa, wale wanawake wanaofanya kazi kwa bidii katika Bwana. Msalimuni rafiki yangu mpendwa Persisi, mwanamke mwingine aliyefanya kazi kwa bidii katika Bwana.
13 Mndamshile o Rufo, wasalulilwe ashilile Ogosi inunyina wakwe nu walini.
Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana, pamoja na mama yake, ambaye amekuwa mama kwangu pia.
14 Mlamshe Asinkrito, Flegoni, Herime, Patroba, Herima, na hola bhoti bhabhali padwemo nabhene.
Wasalimuni Asinkrito, Flegoni, Herme, Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.
15 Nisalimie Filologo na Yulia, Nerea na dada yake, na Olimpa, na waumini wote walio pamoja nao.
Wasalimuni Filologo, Yulia, Nerea na dada yake, na Olimpa na watakatifu wote walio pamoja nao.
16 Mndamshile omoomo hubusu ifinjile. Amabhanza goti ashilile uKilisti gabhalamhaa.
Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa busu takatifu. Makanisa yote ya Kristo yanawasalimu.
17 Salezi embasunda, mwaholo, asebhanye amwanya yebho bhabhasababisha anyapane nyapane nazijilwe. Bhabhala shenje nendajizyo zyebhalajiziwe. Galushi mfume hwa bhene.
Ndugu zangu, nawasihi mjihadhari na kujiepusha na wale watu waletao matengano na kuweka vikwazo mbele yenu dhidi ya mafundisho mliyojifunza.
18 Hwa huje abhantu nashebha sebhatumwa bha Kilisiti Ogosi, bhalisha amavyanda gabho bhebho. Hunogwa zyabho enyololo nasalifye hwilega bhabhakhopela omoyo gasaga galogwe.
Kwa maana watu kama hao hawamtumikii Bwana Kristo, bali wanatumikia tamaa zao wenyewe. Kwa kutumia maneno laini na ya kubembeleza, hupotosha mioyo ya watu wajinga.
19 Hweli elenjesya hunshinshi yenyu muhufishila kila omo. Huje, esoywelwe humwanya yenyu, lakini embaza aamwe mubhenagolele ashilile na minza, namgajebhe nalogwe hwitagalila lye mbibhi.
Kila mtu amesikia juu ya utii wenu, nami nimejawa na furaha tele kwa ajili yenu. Lakini nataka mwe na hekima katika mambo mema na bila hatia katika mambo maovu.
20 Ongolobhe owewinza sagabhakhale hugoje usyetano pansi yenyayo zyenyu. Ewene eya Gosi uYesu Kilisti ebhe padwemo namwe.
Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi. Neema ya Bwana wetu Yesu iwe nanyi. Amen.
21 Timotheo, obhomba mbombo nane, abhalamha nu Lukio, Yasoni nu Sospeter, bhamwetu bhane.
Timotheo, mtendakazi mwenzangu anawasalimu. Vivyo hivyo Lukio, Yasoni, na Sosipatro, ndugu zangu.
22 Nene, Tertio, nahandishe ikalata elii, embalamuha ashilile itawa lya Gosi.
Mimi, Tertio, niliye mwandishi wa waraka huu, nawasalimu katika Bwana.
23 Gayo, aandelile nahwibhanza lyoti, libhalamhaa. Erasto, wakhata evintu vye shijiji, abhalamhaa, padwemo nu Kwarto wali holo.
Gayo, ambaye ni mwenyeji wangu na wa kanisa lote, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto ndugu yetu pia wanawasalimu. [
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi nyote. Amen.]
25 Esalezi hwamwene yuyo wali nikhone agabhomba huje mwemelele alengane ne bhangili namamanyisizyo ya Yesu Kilisti, alengane nalolesewe husili yefisilwe humahaminji, (aiōnios g166)
Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale. (aiōnios g166)
26 lakini esalezi gamalishe nagaloleshe nabhehwe apazelu nagagasimbilwe nakhohwa alengane nadame hwa Ngolobhe uwewilawila hunshinshi eyelweteho lumo lwebhamataifa goti? (aiōnios g166)
Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii (aiōnios g166)
27 Hwa Ngolobhe mwene uwe nshinshi, ashilile uYesu Kilisti, hubhe neutukufu ugwe wilawila yoti. Amina (aiōn g165)
Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen. (aiōn g165)

< Walumi 16 >