< Walumi 15 >

1 Eshi atee tetili nedadi tihwaziwa ahweje ulembezu wabhala alembezu, satihwaziwa ahwilole tete.
Sasa sisi tulio na nguvu tunapaswa kuuchukua udhaifu wa walio dhaifu, na hatupaswi kujipendeza wenyewe.
2 Kila omo wetu asogwaje upalamani wakwe hweli ega minza, hwidala lya hulengange.
Kila mmoja wetu ampendeze jirani yake kwani ni jambo jema, kwa lengo la kumjenga.
3 Hata oyo Kilisiti saga ahwilolaga yuyo mwene. Hwa huje alinashi sagasimbilwe, “Esnundo zyabhala bhabhalijile ganajile nene.”
Kwani hata Kristo hakujipendeza mwenyewe. Badala yake, ilikuwa kama ilivyoandikwa, “Matusi ya wale waliokutukana yamenipata mimi.”
4 Hwa hohonti hahatagaliye asimbwe, hasimbilwe hwutilogozye, hwa huje ashilile ajimbe naashilile apelwe umwoyo nendajizyo angatili nelyomi.
Kwa chochote kilichotangulia kuandikwa, kiliandikwa kwa kutuelekeza, kwa kusudi kwamba kupitia uvumilivu na kupitia kutiwa moyo na maandiko tungekuwa na ujasiri.
5 Eshi Ongolobhe umwene wajimbe nawatipele omwoyo naabhapele abhe nensebho sawa nahwakila omo alengane nu Yesu uKilisti.
Sasa Mungu wa uvumilivu na wa kutia moyo awape kuwa na nia sawa kwa kila mmoja kulingana na Yesu Kristo.
6 Awezizye abhombe eshi husebho emo muwezye humwinyile hwiilomu limo Ongolobhe nu baada hwa Gosi wetu uYesu Kilisti.
Aweze kufanya hivi kwa nia moja muweze kumsifu kwa kinywa kimoja Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
7 Hweeli posheli kila oomo, nashishila uKilisti nabhaposheye, hwatafihwe hwa Ngolobhe.
Kwa hiyo mpokeeni kila mmoja, kama vile Kristo alivyowapokea, kwa utukufu wa Mungu.
8 Huje eyanga huje uKilisti abhehwelwe tumwahwa tohala hwidala elilyoli hwa Ngolobhe. Abhombile eshi huje awezye abhonesye endajizyo zye zyafumile hwa madaada,
Kwani nasema kwamba Kristo amefanywa mtumishi wa tohara kwa niaba ya ukweli wa Mungu. Alifanya hivi ili kwamba aweze kuthibitisha ahadi zilizotolewa kwa mababa,
9 na hwa mataifa humwembele Ongolobhe hwuwenee yakwe. Nashi salyandihwe, hwa huje embafumwe esifa huliwe nalengane nabhe mataifa nahwembe esifa ashilile itawa lyakwe.”
na kwa mataifa kumtukuza Mungu kwa neema yake. Kama ambavyo imeandikwa, “Kwa hiyo nitatoa sifa kwako miongoni mwa mataifa na kuimba sifa katika jina lako.”
10 Nantele eyanga, “Shanji, amwee mubhatu bhemataifa, pandwemo na bhantu bhakwe.”
Tena inasema, “Furahini, ninyi watu wa mataifa, pamoja na watu wake.”
11 Nantele, “Mtofyaje Ogosi, amwe mmataifa mwetileshi bhemataifa; goti bamwinulaje umwe.”
Na tena, “Msifuni Bwana, ninyi mataifa yote; acha watu wa mataifa yote wamsifu yeye.”
12 Nantele oIsaya ayanga, “Hwaibha izii elya Yese, na oomo aibhomba atabhale amwanya yemataifa. Amataifa bhaibha nulusobhelo ashilile omwene.”
Tena Isaya asema, “Kutakuwa na shina la Yese, na mmoja atakayeinuka kutawala juu ya mataifa. Mataifa watakuwa na tumaini katika yeye.”
13 Eshi Ongolobhe owe sobhezyo abhamemwe nashee hwoti nulweteho hwa mweteshele, huje muwezye ahojelele ashilile esobhezyo, hwidandi elya Ompepo Ofinjile.
Sasa Mungu wa tumaini awajaze na furaha yote na amani kwa kuamini, ili kwamba muweze kuzidi katika tumaini, kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.
14 Nene nimwene evutililwe namwe, mwaholo bhane. Evitulilwe namwe mmemile uwinza, mmemile enjele zyonti. Evutililwe huje amwe muwenza apelane kila oomo nuwamwabho.
Mimi mwenyewe pia nimeshawishiwa nanyi, ndugu zangu. Nimeshawishiwa kwamba pia ninyi wenyewe mmejazwa na wema, mmejazwa na maarifa yote. Ninashawishiwa kwamba, ninyi mwaweza pia kuhimizana kila mmoja na mwenzake.
15 Lakini ewandiha hwelyomi nsini hulimwi humwanya yemambo gagahweli huje ebhakomboshe nantele, husababu yeshipawa shepewilwe nu Ngolobhe.
Lakini ninaandika kwa ujasiri zaidi kwenu juu ya mambo fulani ili kuwakumbusha tena, sababu ya kipawa nilichopewa na Mungu.
16 Eshipawa eshishali huje embetumwa wa Yesu Kilisti watumwilwe hwa mataifa, ahwifumwe nashi oodimi we bhangili lya Ngolobhe. Nezagawezye abhombe eshi ahwifumwe hwane hwamataifa hubhe hukondelwe, nahubhehwelwe hu Ngolobhe hwidala lya Opepo Ofinjile.
Kipawa hiki kilikuwa kwamba niweze kuwa mtumishi wa Yesu Kristo aliyetumwa kwa mataifa, kujitoa kama kuhani wa injili ya Mungu. Ningeweza kufanya hivi ili kujitoa kwangu kwa mataifa kuwe kumekubaliwa, kumetengwa na Mungu kwa njia ya Roho Mtakatifu.
17 Huje ashee hwane huli mwidala lya Kilisti nu Yesu nashilile hwa Ngolobhe.
Hivyo furaha yangu iko katika Kristo Yesu na katika mambo ya Mungu.
18 Huje sembwezizye alombelele wala ayanje lyolyonti huje uKilisti andengenye ashilile hwane ahwishe hwa mataifa. Eega amambo gamalishe hwizuu nidala,
Kwani sitaweza kuthubutu kunena lolote isipokuwa kwamba Kristo amekamilisha kupitia kwangu utii wa mataifa. Haya mambo yametimizwa kwa neno na tendo,
19 hwilyomi ololesyo wemagosi, nahwilyomi elya Ompepo Ufinjile. Eli lyali hufume hu Yelusalemu, na zyogolele ohutali nashi iliriko, ebwezye ahweje hwoze humalisho wibhangili lya Kilisti.
kwa nguvu za ishara na maajabu, na kwa nguvu za Roho Mtakatifu. Hii ilikuwa ili kwamba kutoka Yerusalem, na kuzungukia mbali kama Iliriko, niweze kuichukua nje kwa ukamilifu injili ya Kristo.
20 Hwidala eli, esebhozyane elilumbelele ibhagili, lakini sepala uKilisti pamanyishe hwitawa, huje esiwezye azenje pamwanya yesingi gwa muntu owamwabho.
Kwa njia hii, nia yangu imekuwa kuitangaza injili, lakini si mahali Kristo anajulikana kwa jina, ili kwamba nisiweze kujenga juu ya msingi wa mtu mwingine.
21 Nashi sagasimbilwe: “Eebho hwamwene sebhali nalyolyoti lyamwene ahenzele bhaihulola, nabhala bhasagabhamwovwezye bhenzehumanye.”
Kama ilivyoandikwa: “Ambao kwa yeye hawana habari zake alikuja watamwona, na wale ambao hawakumsikia watamfahamu.”
22 Hweli naliezigwilwe marahaminji ahwenze mwenyu.
Kwahiyo nilikuwa pia nimezuiliwa mara nyingi kuja kwenu.
23 Lakini esalezi, sendinesehemu yoyoti ashile amikoa egaa, naendiieziliha hwumaha minji ahweze hwulimwi.
Lakini sasa, sina tena sehemu yoyote katika mikoa hii, na nimekuwa nikitamani kwa miaka mingi kuja kwenu.
24 Huje mara zyoti nkembale Hispania etegemela abhalole nkeshile, etwalwe hwidala lyane namwe, baada yasogwe akhale namwe humdaa.
Hivyo mara zote nikienda Hispania, ninatumaini kuwaona nikipita, na kuweza kupelekwa njia yangu na ninyi, baada ya kuwa nimefurahia ushirika na ninyi kwa muda.
25 Lakini esalezi embala hu Yelusalemu abhalishe aumini.
Lakini sasa ninakwenda Yerusalemu kuwahudumia waumini.
26 Maana bhasogwelwe abhantu bha hu Makedonia na bha hu Akaya abhombe osanguzi welyoli hwabhala bhabhasagali nahantu bhamobhamo mwaumini ohwo hu Yeslusalemu.
Maana iliwapendeza watu wa Makedonia na Akaya kufanya changizo maalumu kwa masikini miongoni mwa waumini huko Yerusalemu.
27 Lyoli, lwalilugano lwabho, nalyoli bhalinebha madeni gabho. Maana nkashile amataifa bhashilikile ashilile amambo gabho age mpepo, bhanamadeni bhope natele nabhalishe evitu vyesagabhali navyo.
Ndiyo, ilikuwa kwa upendo wao, na hakika, wamekuwa wadeni wao. Maana ikiwa mataifa wameshiriki katika mambo yao ya kiroho, wanadaiwa na wao pia kuwahudumia katika mahitaji ya vitu.
28 Eshi, natele amalezyezye evi nabhene nayerane humandodo ega hwabhene, anenaibhala mwidala padwemo namwee ooho hu Hispania.
Kwahiyo, wakati nimekamilisha hivi na kuwa na utoshelevu wa tunda hili kwao, mimi nitakwenda njiani pamoja nanyi huko Hispania.
29 Emenye huje, nantele nkenenze hulimwi, naihweza ekamilishe hwuwinji wa Kilisti.
Najua kwamba, wakati nikija kwenu, nitakuja katika utimilifu wa baraka za Kristo.
30 Esalezi embasunda, bhaholo, hwa Gosi wetu uYesu Kilisiti, nahwigane lya Umpepo, huje mubhe padwemo nane ashirile apute hwenyu hwa Ngolobhe hwa ajili yalini.
Sasa ninawasihi, ndugu, kwa Bwana wetu Yesu Kristo, na kwa upendo wa Roho, kwamba mshiriki pamoja nami katika maombi yenu kwa Mungu kwa ajili yangu.
31 Putaji huje epone afume hwa bhene bhasaga bhane nshinshi ashilile hu Yudea, na huje embombo yane ohwo hu Yelusalemu ewezye aposhelelwe nalokole.
Ombeni kwamba niweze kuokolewa kutoka kwao wasio na utii katika Yudea, na kwamba huduma yangu huko Yerusalemu iweze kupokelewa na waumini.
32 Putaji huje engenza hulimwi seshiye ashilile huwinza wa Ngolobhe, na huje embepadwemo namwe, embwezye antoye.
Ombeni kwamba ninaweza kuja kwenu kwa furaha kupitia mapenzi ya Mungu, na kwamba niweze kuwa pamoja nanyi, kupata kupumzika.
33 Nu Ngolobhe owewene abhe padwemo namwe mwentii. Amina.
Na Mungu wa amani awe pamoja nanyi nyote. Amina

< Walumi 15 >