< Mathayo 8 >
1 U Yesu lwahiha pansi afume mwigamba, impuga ya bhantu yahasojeliye.
Wakati Yesu aliposhuka chini kutoka mlimani, umati mkubwa ulimfuata.
2 Umukoma umo ahasugamiye hwilongolela lyakwe ahaga gosi inlabha umponye.”
Tazama, mkoma alikuja na kusujudu mbele yake, akasema, “Bwana, ikiwa uko tayari, unaweza kunifanya niwe safi”.
3 U Yesu agolosyaa inyabhe yakwe ankhata amponya apona unkoma wepa.
Yesu akanyoosha mkono wake na kumgusa, akasema, “Niko tayari. Uwe msafi.” Hapo hapo alitakaswa ukoma wake.
4 Uyesu amuuzya aga, “Usahayanje hwa muntu wowonti. Bhalaga uyilolesye hwa mputi ufumye ni sadaka ye u Musa ahalajizizye ajili yiushuhuda hubhabhinu bhebhaponile mbina”
Yesu akamwambia, “Angalia kwamba usiseme kwa mtu yeyote. Shika njia yako, na jioneshe mwenyewe kwa kuhani na utoe zawadi ambayo Musa aliagiza, kwa ajili ya ushuhuda kwao”
5 U Yesu lwahafiha hu Kapernaumu, un'gosi umo ahinza ahamuuzya
Wakati Yesu alipofika Kapernaumu, Jemedari akaja kwake akamuuliza
6 ahaga, “Gosi uwimbombo wani agonile hukhaya apoozizye ivinama vibhabha haani.”
akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani amepooza na ana maumivu ya kutisha.”
7 U Yesu aga ishi, “Imbahwinze humponye.”
Yesu akamwambia, “Nitakuja na kumponya”.
8 Ugosi ayanga aga, 'Yesu, ani si ndinithamani mapaka uyinjile muhati munyumba yani yanga izwi lwene uwimbombo abhapone.
Jemedari akajibu na kumwambia, “Bwana, mimi si wathamani hata uje na kuingia ndani ya dari yangu, sema neno tu na mtumishi wangu ataponywa.
9 Pipo ani indi na mamlaka, indina sikari bhebhali pansi yani. Nkenaga bhala 'nkenaga inza ahwinza nuuwimbo wani abhomba shinisho.'
Kwa kuwa mimi pia ni mtu niliye na mamlaka, na ninao askari walio chini yangu. Nikisema kwa huyu “Nenda' na huenda, na kwa mwingine 'Njoo' na yeye huja, na kwa mtumishi wangu, 'Fanya hivi,' na yeye anafanya hivyo”
10 U Yesu lwaahinvwa iga, ahaswijile nahubha bhuzye bhala bhebhahafwataga, “Lyoli ihumbabhuzya sindolile nkalumo umuntu uwilwitiho mu Israeli.
Wakati Yesu aliposikia haya, alishangazwa na kuwaambia wale waliokuwa wakimfuata, “Kweli ninawaambia, Sijapata kuona mtu mwenye imani kama huyu katika Israel.
11 Ihubhabhuzya, bhinji bhahayiyinza afume humashariki na humagharibi, bhabhakhale pameza peka nu Abrahimu, Isaka, nu Yakobo, hu bhumwini uwahumwanya.
Ninawambieni, wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, wataketi katika meza pamoja na Abrahimu, Isaka, na Yakobo, katika ufame wa mbinguni.
12 Lelo abhana bhibhumwini bhahayitagwa huhisi ha hunzi, hwehwaha yibha na lile na sye amino.”
Lakini watoto wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ambapo kutakuwa na kilio na kusaga meno.”
13 U Yesu ahamuzya ugosi, “Bhalaga! ndeshe shuyitishe zibhombeshe shinisho huliwe uwimbombo ahaponile isaa yiyila.
Yesu akamwambia Jemadari, “Nenda! Kama ulivyokwisha amini, na itendeke hivyo kwako”. Na mtumishi aliponywa katika saa hiyo.
14 U Yesu lwahafiha hukhaya hwa Petro, ahanola umayivyala wakwe wa Petro agonile abhinile inzegema.
Wakati Yesu alipofika kwenye nyumba ya Petro, alimwona mama mkwe wake na Petro amelala akiwa mgonjwa wa homa.
15 U Yesu ahakhata inyobhe yakwe ni nzegema yepa apona. Adamuha ahande humpute hubhombele imbombo.
Yesu akamgusa mkono wake, na homa yake ikamwacha. kisha akaamka akaanza kumhudumia.
16 Lwe hwabha lyabhela, bhahabhaleta hwa Yesu abhantu abhimpepo. Abhaputila impepo zyepa bhapona.
Na ilipofika jioni, watu wakamletea Yesu wengi waliotawaliwa na pepo. Akawafukuza pepo na wale walio wagonjwa akawaponya.
17 Pepinipo gahaloleshe gala gegahayangwilwe nu ukuwa u Isaya aje, “U Yesu ahejile inpungo zyitu na ahazibhusizye imbina zyitu”
Kwa jinsi hii yalitimia yale yaliyo kwisha kunenwa na Isaya nabii, “Yeye mwenyewe alichukua magonjwa yetu na alibeba maradhi yetu”
18 U Yesu lwahalola abhantu bhabhungine bhanzyunguliye, ahajile bhabhale uupande uwinji uwi nsumbi iya hu Galilaya.
Kisha Yesu alipoliona kusanyiko limemzunguka, alitoa maelekezo ya kwenda upande mwingine wa Bahari ya Galilaya.
19 Unsimbi ahinza hwa Yesu ahaga, “Mwalimu, imbahufwate poponti pubhala.”
Kisha mwandishi akaja kwake na kumwambia, “Mwalimu, nitakufuata popote utakapoenda.”
20 U Yesu amuzya imbweha zilina mina ni uyonyi zilinivyanswi, lakini u Yesu sali ni nyumba na pagone na pamo.”
Yesu akamwambia, “Mbweha wana mashimo, na ndege wa angani wana viota, lakini mwana wa Adamu hana sehemu ya kulaza kichwa chake.”
21 Umwanafunzi uwamwabho ahamwuzya ahaga, “Gosi ilabha uruhusa imbale insyile uyise wani.”
Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende kumzika baba yangu.”
22 Lakini u Yesu ahamuzya ahaga, “Unifwate, bhaleshe abhafwe bhasyilane bhibho.”
Lakini Yesu akamwambia, “Nifuate, na uwaache wafu wazike wafu wao.”
23 U Yesu na ahinjila mwitooli, abhanafunzi bhakwe bhahinjiye mwitooli.
Yesu alipoingia kwenye mtumbwi, wanafunzi wake wakamfuata mtumbwini.
24 Aminzi, gaha yingana munsumbi mpaka itooli lyahagubishilwe na minzi, lakini u Yesu ahagonile.
Tazama, ikainuka dhoruba kuu juu ya bahari, kiasi kwamba mtumbwi ulifunikwa na mawimbi. Lakini Yesu alikuwa amelala.
25 Abhanafunzi bhakwe bhahinza hudamusye bhahaga twokole tihwanda afwe!”
Wanafunzi wakaja kwake na kumwamsha wakisema, “Bwana, tuokoe sisi, tunaelekea kufa!”
26 U Yesu ahaga, “Muhwogopanshi, mubhilwitiho uludodo?” Ahadamuha na huyikhajile impepo ni nsumbi pamandi hwabha myee,
Yesu akawaambia, “kwa nini mnaogopa, ninyi wenye imani ndogo?” Ndipo akaamka na kuukemea upepo na bahari. Kisha kukawa na utulivu mkuu,
27 abhalume bhahaswijile bhaga, “Umuntu unu alibhulibhuli huje ni mpepo izya munsumbi zihumwitiha umwene?”
wanaume wakashikwa na mshangao wakasema, “Huyu mtu niwa namna gani, kwamba hata pepo na bahari vinamtii yeye?”
28 U Yesu lwa ahinza hunsi iya Magadala, abhalume bhabhili bhahali ni mpepo bhahakhomana nawo. Bhahafumiye humbipa bhahali bhakhali haani numo umuntu wahashilaga idala lila.
Wakati Yesu alipokuwa amekuja upande mwingine wa nchi ya Magadala, wanaume wawili waliotawaliwa na pepo walikutana naye. Walikuwa wakitokea makaburini na walikuwa wakifanya vurugu sana, kiasi kwamba hakuna msafiri angeweza kupita njia ile.
29 Bhahakholile na jeishi, tilinahenu nawe mwana wa Ngulubhi? Uyinzile ipa hutiyinvye ahabhalilizyo she hasili?”
Tazama, walipaza sauti na kusema, “Tuna nini cha kufanya kwako, mwana wa Mungu? Umekuja hapa kututesa kabla ya wakati kufika?”
30 Ishi hwahali impuga ingosi iyingurubhi lyahadimaga sepahali patali hani pebhahali,
Sasa kundi kubwa la nguruwe lilikuwa likichunga, hapakuwa mbali sana walipokuwa,
31 impepo zyahalilaga hwa Yesu naje, “Tifume titwale mumpuga yingurubhi.”
pepo waliendelea kulalamika kwa Yesu na kusema. “Ikiwa utatuamuru kutoka, tupeleke kwenye kundi la nguruwe.”
32 U Yesu ahazibhuzya impepo ahaga, bhalaji mungurubhi. Impepo zila lwezyahinjila mungurubhi, ingurubhi zyahashimbiliye munsumbi afume, mwigamba zyahafwila muminzi.
Yesu akawaambia, “Nendeni!” Pepo wakawatoka na kwenda kwa nguruwe. Na tazama, kundi lote likashuka kutoka mlimani kuteremkia baharini na lote likafia majini.
33 Abhalume bhebhahadimaga ingurubhi bhashimbiye. Lwe bhahala humujini bhahayinje zyonti zyezyahafuniye hwa alume bhebhahali nimpepo.
Wanaume waliokuwa wakichunga nguruwe walikimbia. Na walipoenda mjini wakaelezea kila kitu, hususani kilichotokea kwa wanaume waliotawaliwa na mapepo.
34 Ikhaya yonti yahinza atangane nu Yesu. Lwe bhahanola u Yesu bhahamuzya aje ayepe mumpaha zyabho.
Tazama, mji mzima ukaja kukutana na Yesu. Walipomwona, walimsihi aondoke kwenye mkoa wao.