< Mathayo 4 >
1 U Yesu ahalongozowilwe nu Mpepe mpaka hujangwa ili ajelwe nu setano.
Kisha Yesu akaongozwa na Roho Mtakatifu kwenda nyikani ili akajaribiwe na ibilisi.
2 Ahafunjile insiku arobaini nunsanya na nunsiku ahali ni nzala.
Baada ya kufunga siku arobaini usiku na mchana, hatimaye akaona njaa.
3 Uwinjelo ahinza ahamuzya, “Ahaga awe ukewe mwana wa Ngulubhi ugobhuzye amawe iga gabhe makati.”
Mjaribu akamjia na kumwambia, “Ikiwa wewe ndiye Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mikate.”
4 Lelo u Yesu ahaga ahamuzya, “Iyandihwilwe, 'Umuntu sangakhala munsi umu alyanje gamakati gini, hata hwizwi lyolyonti lyelifuma hwa Ngulubhi.”
Lakini Yesu akajibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.’”
5 Habhili usetano ahantwalile mpaka munsi nyinza na humishe pamwanya hani pinyumba iyishibhanza,
Ndipo ibilisi akamchukua Yesu mpaka mji mtakatifu na kumweka juu ya mnara mrefu wa Hekalu,
6 na humuzye, hujenkushe awe uli mwana wa Ngulubhi, yidomosye mpaka pansi, pipo isimbilwe bhakwe bhinze bhatone nantele bhasibhusye humakhono gabho nkusahabumile mu mawe.”
akamwambia, “Kama wewe ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini. Kwa kuwa imeandikwa: “‘Atakuagizia malaika zake, nao watakuchukua mikononi mwao ili usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.’”
7 U Yesu ahambula, “Ahaga habhili ahaga, 'Uganje hunjele u Ngulubhi waho.”
Yesu akamjibu, “Pia imeandikwa: ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’”
8 Habhili, usetano ahamwega na huntwale pigamba pamwanya hani ahanolesya insi zyontiinyinza.
Kwa mara nyingine, ibilisi akamchukua Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu na kumwonyesha falme zote za dunia na fahari zake,
9 Ahaga, “Inzahupele ivintu vyonti ivi nkewaninamila na humpute ani.”
kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.”
10 U Yesu ahabhula, “Sogolaga uyepe ipa, setano! Pipo isimbilwe ihwanziwa humpute Ungulubhi waho, umombele yuyo mwimi.”
Yesu akamwambia, “Ondoka mbele yangu, Shetani! Kwa maana imeandikwa, ‘Mwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.’”
11 Usetano ahaneha, nahabhalola, abhantumi bhahinza humpute na humbhombele.
Ndipo ibilisi akamwacha, nao malaika wakaja na kumhudumia.
12 U Yesu naahanvwa aje u Yohana akhitwe, ahasoguye mpaka hu Galilaya.
Yesu aliposikia kwamba Yohana Mbatizaji alikuwa ametiwa gerezani, alirudi Galilaya.
13 Ahasoguye Hunazareti ahabhalile akhale Hukapernaumu, yilimunshinji mu bahari ya Hugalilaya, mumpaha mmajimbo ga Zabuloni nu Naftali.
Akaondoka Nazareti akaenda kuishi Kapernaumu, mji ulioko karibu na bahari, katika mipaka ya nchi ya Zabuloni na Naftali,
14 Ili lyahafumiye aje likamiliswe lyelyahayangwile nu kuwa u Isaya,
ili kutimiza unabii wa nabii Isaya, kama alivyosema:
15 “Munsi iya Zabuloni na munsi iya Naftali, abhale munsumbi mwisyila ilya Huyorodani, Hugalilaya iya hubhinsi!
“Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, kwenye njia ya kuelekea baharini, ngʼambo ya Yordani, Galilaya ya watu wa Mataifa:
16 Abhantu bhebhakhiye muhisi bhabhulolile umwanga ungosi hawi, na bhala bhebhahakhiye mwidala ilyifwe pamwanya ulukhozyo lukhozizye.”
watu wale waliokaa gizani wameona nuru kuu; nao wale walioishi katika nchi ya uvuli wa mauti, nuru imewazukia.”
17 Afume ahabhalilizyo iho u Yesu ahandile alumbilile aje, “Mulambe pipo ubhumwini uwahumwanya bhusojeliye.”
Tangu wakati huo, Yesu alianza kuhubiri akisema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa Mbinguni umekaribia.”
18 Lwahajendaga mushinji munsunbi iya Hugalilaya, ahabhalola aholo bhabhili, u Simoni yebhahakwizyaga yu Petro, nu Andrea ukaka wakwe, bhahatega inyavu mwusumbi pipo bhahasukulaga inswi.
Yesu alipokuwa anatembea kando ya Bahari ya Galilaya, aliwaona ndugu wawili, Simoni aitwaye Petro, na Andrea ndugu yake. Walikuwa wakizitupa nyavu zao baharini kwa kuwa wao walikuwa wavuvi.
19 U Yesu ahabhabhula ahaga, “Inzaji munfwate, imbabhabhishe mubhebhasukule abhantu.”
Yesu akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.”
20 Pinipo bhahaluleha ulwelo bhaufwata u Yesu.
Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.
21 U Yesu lwahajendelelaga afume ipo ahabhalola aholobbhabhili abhamwabho, Yakobo umwana wa Zebedayo, nu Yohana ukaka wakwe. Bhahali mwitoli peka nu Zebedayo uyise wabho bhahasonaga ulwelo lwabho. Ahabhakwizwa,
Alipoendelea mbele kutoka pale, akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana nduguye, wakiwa wamekaa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo, wakizitengeneza nyavu zao. Yesu akawaita.
22 pinipo bhahalileha itoli nu yise wabho bhope bhahanfuata.
Nao mara wakaiacha mashua yao, pamoja na baba yao, wakamfuata.
23 U Yesu ahabhalile Mugalilaya yonti, ahamanyizyaga mu Masinagogi gabho, ahalumbililaga ibhangili ubhumuini aponye impungo ni mbina zyonti zya bhantu.
Yesu akapita katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, akihubiri habari njema za Ufalme, na akiponya kila ugonjwa na kila aina ya maradhi miongoni mwa watu.
24 Inongwa zyakwe zyahayeshile Isiria yonti na abhantu bhahaleta abhabhinu bhebhali ni inpungo zinyinji, bhebhahali ni mpepo izyi shifafa na bhebhapoozizye. U Yesu ahabhaponizye.
Kwa hiyo sifa zake zikaenea sehemu zote za Shamu, nao watu wakamletea wote waliokuwa na magonjwa mbalimbali na maumivu, waliopagawa na pepo wachafu, wenye kifafa na waliopooza, naye akawaponya.
25 Impuga ya bhantu yahali ngosi abhantu bhebhafuataga afume hu Galilaya, na Dekapoli, na Huyerusalemu na Huyahudi na afume mwisyila ilya hu Yorodani.
Makutano makubwa ya watu yakawa yanamjia kutoka Galilaya, Dekapoli, Yerusalemu, Uyahudi na kutoka ngʼambo ya Mto Yordani.