< Mathayo 26 >
1 U Yesu lwabhamala ayanje inongwa ezyo zyonti, akhabhawozizye abhanafunzi wakwe,
Wakati Yesu alipomaliza kusema maneno yote hayo, aliwaambia wanafunzi wake,
2 “Mumenye aje baada yisiku zibhile huzabhe ishikulukulu ishi pasaka na umwana wa Adamu bhanza hufumye hukhobhehanye.”
“Mnajua kwamba baada ya siku mbili kutakuwa na sikukuu ya pasaka, na mwana wa Adamu atatolewa ili asulibiwe.”
3 Pamande abhagosi wi makuhani nabhagogolo bha bhantu, bhakhatangeni peka hwakhala ukukhani ugosi yakhakwiziwanga Kayafa.
Baadaye wakuu wa makuhani na wazee wa watu walikutana pamoja katika makao ya Kuhani Mkuu, aliye kuwa anaitwa Kayafa.
4 Bhahali peka bhakhapanga ishahukhate u Yesu husiri na hubude.
Kwa pamoja walipanga njama ya kumkamata Yesu kwa siri na kumuua.
5 Bhakhajili isakhawombeshe uwakati wa sikulukulu, aje isahafumile ivurugu hwabhantu.”
Kwa kuwa walisema, “Isifanyike wakati wa sikukuu, kusudi isije ikazuka ghasia miongoni mwa watu.”
6 U Yesu lwahali Hubethania hunyumba ya Simoni mkoma,
Wakati Yesu alipokuwa Bethania katika nyumba ya Simoni mkoma,
7 lwahaigolosizye pameza, ushi weka akhezele akhanyumuye umkembe wahali na mafuta igi samani ingosi, akhanyunyulizya pitwe lyakwe.
alipokuwa amejinyoosha mezani, mwanamke mmoja alikuja kwake akiwa amebeba mkebe wa alabasta iliyokuwa na mafuta yenye thamani kubwa, na aliyamimina juu ya kichwa chake.
8 Lakini abhanafunzi wakwe lwabhalola ijambo elyo bhakhavitilwe nayanje, “Yenu ihasala ine?
Lakini wanafunzi wake walipoona jambo hilo, walichukia na kusema, “Nini sababu ya hasara hii?
9 Ega tahabhajie ishiasi shigosi tibhapele abhapena.”
Haya yangeweza kuuzwa kwa kiasi kikubwa na kupewa maskini.”
10 Lakini u Yesu, akhamenye eli, akhabhawuzya, “Shunu muhunavya ushe uno? Maana awombile ishintuishinza huline.
Lakini Yesu, akiwa anajua hili, aliwaambia, “Kwa nini mnamsumbua mwanamke huyu? Kwa kuwa amefanya kitu kizuri kwangu.
11 Abhapena mlinao isiku zyonti, lakini sangamzabhe peka nane wila.
Masikini mnao siku zote, lakini hamtakuwa pamoja nami daima.
12 Hwapashile amafuta mpele gwana, awombile esho kwa ajili ya sielwe ane.
Kwa sababu alipomimina mafuta haya juu ya mwili wangu, alifanya hivyo kwa ajili ya maziko yangu.
13 Lyoli ihumbawozya, poponti izwi eli linzalimbelelwe munsi mwonti, ishitendo shawombile ushe uno, nantele shinzayangwa kwa ajili ya kumboshe.”
Kweli nawaambieni, popote Injili hii itakapohubiriwa katika ulimwengu mzima, kitendo alichofanya huyu mwanamke, pia kitakuwa kinasemwa kwa ajili ya kumkumbuka.”
14 Weka wa bhala kumi na bhabhile, yahakwiziwanga Yuda Iskariote, akhabhalile huwagosi bha makuhani
Ndipo mmoja wa wale Kumi na wawili, aliyeitwa Yuda Iskariote, alienda kwa wakuu wa makuhani
15 na yange, “Mnza hupeleshi nkisalinti?” Bhakhapimila u Yuda ivipande selathini ivihela.
na kusema, “Mtanipatia nini nikimsaliti?” Wakampimia Yuda vipande thelathini vya fedha.
16 Ahwande umuda ugo ahazile inafasi yahusaliti.
Tangu muda huo alitafuta nafasi ya kumsaliti.
17 Hata isiku iliahuande makate gasanga gaweshelwe ichachu, abhanafunzi bhahamalila u Yesu na yanje, “Uhwanza hwi tiweshele ishalye shi Pasaka?”
Hata siku ya kwanza ya mikate isiyotiwa chachu, wanafunzi walimwendea Yesu na kusema, “Wapi unataka tukuandalie ule chakula cha Pasaka?”
18 Akhabhawozya, “Bhalaji humjini hwa muntu fulani na mumwonzye, Umwalimu ayinga, “Umuda gwakwe ukalibiye. Ahwanza huimalezye ipasaka peka na bhanafunzi wakwe hu nyumba yakho.”
Akawaambia, “Nendeni mjini kwa mtu fulani na mwambieni, Mwalimu anasema, “Muda wangu umekaribia. Nitaitimiza Pasaka pamoja na wanafunzi wangu katika nyumba yako.””
19 Abhanafunzi bhakhawomba nazi u Yesu shabhalajizizye, na bhakhandaile ishalye ishi Pasaka.
Wanafunzi walifanya kama Yesu alivyowaagiza, na waliandaa chakula cha Pasaka.
20 Lwayafika iliewela, akhakheye alye ishalye peka na bhanafunzi wakwe kumi na bhabhile.
Ilipofika jioni, aliketi kula chakula pamoja na wale wanafunzi Kumi na Wawili.
21 Lwabhalianga ishalye ahabhawonzya, “Lyoli ihumbawozya aje weka kati yunyu anzahusaliti.”
Walipokuwa wanakula chakula, alisema, “Kweli nawaambia kwamba mmoja wenu atanisaliti.”
22 Bhakhazungumiye sana, weka weka bhahandile humwonzye, “Je, saga nene, Bwana?”
Walihuzunika sana, na kila mmoja alianza kumuuliza, “Je, hakika siyo mimi, Bwana?”
23 Ahabhawozya, “Ula yanzatobhele inyobhe yakwe peka nane humbakuli yanza husaliti.
Akawajibu, “Yule ambaye anachovya mkono wake pamoja nami katika bakuli ndiye atakaye nisaliti.
24 Umwana wa Adamu azasogole, nanzi shisimbililwe. Lakini umuntu yanza husaliti umwana wa Adamu! Indishinza hwa muntu uyo nkasanga ahapapwilwe.”
Mwana wa Adamu ataondoka, kama alivyoandikiwa. Lakini ole wake mtu ambaye atamsaliti Mwana wa Adamu! Ingekuwa vizuri kwa mtu huyo kama asingezaliwa.”
25 U Yuda, ula ahali msaliti akhayanga, “Je!, Nene Rabi?” U Yesu ahamonzya, “Uyanjile ijambo elyo awe wewe.”
Yuda, ambaye angemsaliti alisema, “Je!, Ni mimi Rabi?” Yesu akamwambia, “Umesema jambo hilo wewe mwenyewe.”
26 Lwabhalianga ishalye, u Yesu ahenjile ikate, alisaya na akhamenya. Ahabhapela abhanafunzi wakwe akhayanga, “Eji mlye. Ungu bele gwane.”
Walipokuwa wakila chakula, Yesu aliutwaa mkate, akaubariki, na kuumega. Akawapa wanafunzi wake akisema, “Chukueni, mle. Huu ni mwili wangu.”
27 Ahenga ishikombe ahasalipya, ahabhapela na yanje, “Mwelaji mwenti hweshi.
Akatwaa kikombe na kushukuru, akawapa na kusema, “Kunyweni wote katika hiki.
28 Ene danda yaindagano yane, yihwitikha kwa ajili ya winchi hubhasajile imbibhi zyao.
Kwa kuwa hii ni damu ya agano langu, inayomwagwa kwa ajili ya wengi kwa msamaha wa dhambi.
29 Lakini ihumbawhozya sanganahimwela antele amadondu ga mizabibu ega, hadi namwe huumwene wa Daada wane.”
Lakini nawaambieni, sitakunywa tena matunda ya mzabibu huu, hadi siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.”
30 Lwabhamalezya ahwembe ulwembo, bhakhasogola abhle hwigamba ilya mizeituni.
Walipokuwa wamemaliza kuimba wimbo, walitoka kwenda Mlima wa Mizeituni.
31 Nantele u Yesu akhawozya usiku uwhu amwe mwonti vitwe kwa ajili yane, kwa kuwa iyandihulilwe, Inzahukhome umchungaji ngole bhanza tabhanyishe.
Kisha Yesu aliwaambia, “Usiku huu ninyi nyote mtajikwaa kwa sababu yangu, kwa kuwa imeandikwa, Nitampiga mchungaji na kondoo wa kundi watatawanyika.
32 Lakini lwanazyokha ane nakhaibhata ngalila abhale Hugalilaya.”
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”
33 Lakini u Petro akhamwonzya, “Hata nkawonti bhakhane humambo gaganza hu hwaje, ane sangainza hukhane.”
Lakini Petro alimwambia, “Hata kama wote watakukataa kwa sababu ya mambo yatakayokupata, mimi sitakukataa.”
34 U Yesu akhamwonzya, “Lyoli ihuwonzya, usiku uwhu shisele ihanda akunte, anzahukhane mara hatatu.”
Yesu akamjibu, “kweli nakuambia, usiku huu kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.”
35 U Perto akhamwozya, “Hata nkimbajie afye nawe, sangaimbala hukhane.” Na bhanafunzi wonti bhayanga shishesho.
Petro akamwambia, “hata kama ingenipasa kufa na wewe, sitakukana.” Na wanafunzi wengine wote wakasema vivyo hivyo.
36 Pamande u Yesu ahabhala nao amahali papahwetwa Gethsemane na akhabhawonzya abhanafunzi bhakwe, “Khali epa wakati ane imbala ukho alabhe.”
Baadaye Yesu alienda nao mahali panapoitwa Gethsemane na aliwaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa wakati nikienda huko na kuomba.”
37 Akhamwenga u Petro na abhana bhabhile wa Zebedayo na akhanda azungumile na sononoshe.
Akamchukua Petro na wana wawili wa Zebedayo na akaanza kuhuzunika na kusononeka.
38 Nantele akhawonzya, “Umpepo ufinjile wane izungumie pangosi sana, hata ihwanza afye. Lakini epa mubhe masopeka nane.”
Kisha aliwaambia, “Roho yangu ina huzuni kubwa sana, hata kiasi cha kufa. Bakini hapa na mkeshe pamoja nami.”
39 Akhabhala pilongolela hadondo, angwa gubama na alabhe. Akhayanga, “Daada wane, nkashe bhajie ishikombe eshi shinepe. Isakhabhe shihwanza ane bali nanzishuhwanza awe.”
Akenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, na kuomba. Akasema, “Baba yangu, kama inawezekana, kikombe hiki kiniepuke. Isiwe kama ninavyotaka mimi, bali kama utakavyo wewe.”
40 Akhabhabhalila abhanafunzi ahaweje bhagonile utulo, akhabhawozya Petro, “Shunu sangamlimaso nane hata isala lyeka?
Akawaendea wanafunzi na akawakuta wamelala usingizi, na akamwambia Petro, “Kwa nini hamkuweza kukesha nami kwa saa moja?
41 Kesyanji na labhe ili msahahinjili mumajaribu. Iroho ili radhi, lakini ubele niwolo.”
Kesheni na kuomba kusudi msiingie majaribuni. Roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.”
42 Akhabhala wee imala ya bhele na labhe, akhayanga, “Daada wane, ijambo eli sagalibhajie hunepe ni lazima imwelele ishikombe eshe, amapenzi gakho gatimile.”
Akaenda zake mara ya pili na kuomba, akasema, “Baba yangu, kama jambo hili haliwezi kuepukika na ni lazima nikinywee kikombe hiki, mapenzi yako yatimizwe.”
43 Akhawela nantele akhabhaga wagonile utulo, amasogakho gakhali mamwamu.
Akarudi tena na kuwakuta wamelala usingizi, kwa kuwa macho yao yalikuwa mazito.
44 Nantele akhabhalekha akhabhala akhalabha amara ya utatu akhayanga inongwa zizila.
Kisha akawaacha tena akaenda zake. Akaomba mara ya tatu akisema maneno yaleyale.
45 Pamande u Yesu akhabhabhalila abhanafunzi wakwe na hubhawhuzye, “Mulisha mgonile tu natozye? Enyanji isaa ilikaribu, na umwana wa Adamu akhatwa mumakhono mwabha bhibhi.
Baadaye Yesu aliwaendea wanafunzi wake na kuwaambia, “Bado mmelala tu na kujipumzisha? Tazameni, saa imekaribia, na Mwana wa Adamu anasalitiwa mikononi mwa wenye dhambi.
46 Damulaji, tisongolanje. enyi ula yahusalinti akaribiye.”
Amkeni, tuondoke. Tazama, yule anaye nisaliti amekaribia.”
47 Lwakhali bado ayanga, u Yuda weka wa bhala kumi na bhabhile akhenza namapanga ni ndungu.
Wakati alipokuwa bado anaongea, Yuda mmoja wa wale Kumi na Wawili, akafika. Kundi kubwa lilifika pamoja naye likitokea kwa wakuu wa makuhani na wazee wa watu. Walikuja na mapanga na marungu.
48 Nantele umuntu wahusaliti u Yesu akhabhapelile ishara, ahayenje, ula yinza hubusu, ndiyo yuyo. Khante.”
Tena mtu aliyekusudia kumsaliti Yesu alikuwa amewapa ishara, akisema, “Yule nitakayembusu, ndiye yeye. Mkamateni.”
49 Papepo akhezele hwa Yesu akhayanga, “Salamu, Mwalimu!” Na akhabusu.
Mara hiyo alikuja kwa Yesu na kusema, “Salamu, Mwalimu!” Na akambusu.
50 U Yesu akhamwozya, “Kondani, liwhombe lila ulinalyo lililetile.” Ndipo bhahenza, nagolosye inyobhe hwa Yesu na hukhante.
Yesu akamwambia, “Rafiki, lifanye lile ambalo limekuleta.” Ndipo wakaja, na kumnyooshea mikono Yesu, na kumkamata.
51 Enyi, umuntu weka yakhalipeka nu Yesu, akhagolosesye inyonbhe yakwe, akhachomola ipanga lyakwe, akhakhoma umuomba mbombo wa kuhani ugosi, na hudumule ikutu lyakwe.
Tazama, mtu mmoja aliyekuwa pamoja na Yesu, alinyosha mkono wake, akachomoa upanga wake, na akampiga mtumishi wa kuhani mkuu, na kumkata sikio lake.
52 Ndipo u Yesu akhamuozya, wezya ipanga lyakho puyejile, kwa kuwa wonti bhabhatumila ipanga bhanza hwangamile ni panga.
Ndipo Yesu akamwambia, rudisha upanga wako pale ulipoutoa, kwa kuwa wote watumiao upanga wataangamizwa kwa upanga.
53 Myinga sangaimbajie hukwinzye udaada wane, nape angantumila abhalugu zaidi ya kumi na bhabhile ya awatumi?
Mnadhani kuwa siwezi kumwita Baba yangu, naye akanitumia majeshi zaidi ya kumi na mawili ya malaika?
54 Eshi shihwaziwa atokele ili amandiko katimile hwidala elyo?”
Lakini basi jinsi gani maandiko yangeweza kutimizwa, hivi ndivyo inapasa kutokea?”
55 Uwakati whuwho u Yesu akhabhawuzyo bhabhawungene, “Je! Mwenzele namapanga nidungu hukhante nazi yahupa? Kila lisiku nakhakheye namwe mshibhanza, nabhamayizyanga sanga mwakha kheute!
Wakati huo Yesu akauambia umati, “Je! Mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kama mnyang'anyi? Kila siku nilikaa hekaluni nikifundisha, na hamkunishika!
56 Lakini gonti enga gawombeshe ili amaandiko ga watumi gatimile.” Ndipo abhanafunzi wakwe bhakhanekha bhakhashembela.
Lakini yote haya yametendeka ili Maandiko ya manabii yatimie.” Ndipo wanafunzi wake wakamwacha na kukimbia.
57 Bhala bhabhakhate u Yesu bhakhatwala hua Kayafa, ukuhani ugosi, amahali epo abhasimbi na agogolo bhahawongene peka.
Wale waliomkamata Yesu alimpeleka kwa Kayafa, Kuhani Mkuu, mahali ambapo waandishi na wazee walikuwa wamekusanyika pamoja.
58 Lakini u Petro akhafuatle hwisinda huhutali mpaka hushumba sha kuhani ugosi. Ahinjila mhanti akhakhala peka nu ninzi alole shashinza fumile.
Lakini Petro alimfuata nyuma kwa mbali hadi katika ukumbi wa Kuhani Mkuu. Aliingia ndani na kukaa pamoja na walinzi aone kitakachotokea.
59 Basi abhagosi bha makuhani ni baraza lyonti liahazanga uushaidi wileukha juu ya Yesu, ili bhapate hubude.
Basi wakuu wa makuhani na Baraza lote walikuwa wakitafuta ushahidi wa uongo dhidi ya Yesu, kusudi wapate kumuua.
60 Bhakhafumie amashaidi winchi, lakini sangabhahayeje imbibhi yoyuti. Lakini pamandi amashahidi bhabhile bhakhafumila hwilongolela
Ingawa walijitokeza mashahidi wengi, Lakini hawakupata sababu yoyote. Lakini baadaye mashahidi wawili walijitokeza mbele
61 na bhayanga, “Umuntu uno akhayenje, “Imbajiye agwisye ishibhaza isha Ngolobhe na hushizenje nantele husiku zitatu.”
na kusema, “Mtu huyu alisema, ''Naweza kulivunja hekalu la Mungu na kulijenga tena kwa siku tatu.”'
62 Ukuhani ugosi ahemelela na humwonzye, “Saga ujibu? Ewa bhahuwhuzya wele juu yakho?”
Kuhani Mkuu alisimama na kumwuliza, “Hauwezi kujibu? Hawa wanakushuhudia nini dhidi yako?”
63 Lakini u Yesu akhapuma mye. Ukuhani ugosi ahamwozya, “Nanzi uNgolobhe shakhala ihulazimisya utawhuzye, awe wewe Klisiti, Umwana wa Ngolobhe.”
Lakini Yesu alikaa kimya. Kuhani Mkuu akamwambia, “Kama Mungu aishivyo, nakuamuru utwambie, kama wewe ni Kristo, Mwana wa Mungu.”
64 U Yesu ahabhawuzya, “Awe wewe uyanjele ijambo elyo. Lakini ihuwozyo, ahwande eshi nahwendelele, unza hunole Umwana wa Adamu akheye ukhono unelo uulinigovo, na ahuenza humawengo gahumwanya.”
Yesu akamjibu, “Wewe mwenyewe umesema jambo hilo. Lakini nakuambia, toka sasa na kuendelea utamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kulia wenye Nguvu, na akija katika mawingu ya mbinguni.”
65 Ndipo ukuhani ugosi akhazebula amenda gakwe nayanje, “Akhanile! Je, tihwanza washi nayanje uushahidi?
Ndipo Kuhani Mkuu alirarua mavazi yake na kusema, “Amekufuru! Je, twahitaji tena ushahidi wa nini? Angalia, tayari mmesikia akikufuru.
66 Je! Msebhashi bhayanga nahumwozye, “Ahuanziwa afye.”
Je! Mnawaza nini? Wakajibu na kusema, “Anastahili kifo.”
67 Nantele bhakhashelela amate humasona hukhome ingumi na huchete amakofi ni nyobhe zyao,
Kisha walimtemea mate usoni na kumpiga ngumi, na kumchapa makofi kwa mikono yao,
68 na bhakhamuozya, “Yanga, wewe Klisiti. Yunanu yachapile?”
na kusema, “Tutabirie, wewe Kristo. Ni nani amekuchapa?”
69 Isala izyo u Petro ahakheye huoze huu kumbi, umuomba mbombo wishishi ahamalila nahumuozye, “Awe nawe ulipeka nu Yesu wa Galilaua.”
Wakati huo Petro alikuwa amekaa nje katika ukumbi, na mtumishi wa kike alimwendea na kusema, “Wewe pia ulikuwa pamoja na Yesu wa Galilaya.”
70 Lakini ahakhanile hubele yao wonti, ahanga sangaimenye ahantu huyanga.”
Lakini alikana mbele yao wote, akisema, Sijui kitu unachosema.”
71 Lwabhala hunze huniango, umuomba mbombo uwamwao wishishi ahanola na hubhawhuzyebhabhahali epo, “Umuntu uno nope alipeka nu Yesu wa Nazareti.”
Alipoenda nje ya lango, mtumishi mwingine wa kike alimwona na kuwaambia waliokuwepo hapo, “Mtu huyu pia alikuwa pamoja na Yesu wa Nazareti.”
72 Akhakhana tena na lape, ana sangaimenye umuntu uno.”
Akakana tena kwa kiapo, “Mimi simjui mtu huyu.”
73 Umuda kidogo pamande, wala bhabhahemeleye karibu, bhakhamalila nahumuozye u Petro, “Na lyoli awe nawe ulipeka nao, hata njango yakho ilolesya.”
Muda mfupi baadaye, wale waliokuwa wamesimama karibu, walimwendea na kusema na Petro, “Kwa hakika wewe pia ni mmoja wao, kwa kuwa hata lafudhi yako inaonesha.”
74 Pahandile akhana na lape, ane sanga imenye umuntu uno,” papepo ihanda ikhakuta.
Ndipo alianza kulaani na kuapa, “Mimi simfahamu mtu huyu,” na mara hiyo jogoo akawika.
75 U Petro ahakumbukha inongwa yakhamuozezye u Yesu, kabla yihanda isele akute unza hukhane mara hatatu.”
Petro alikumbuka maneno aliyoambiwa na Yesu, “Kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu.”