< Maluko 10 >
1 U Yesu ashila amali pala na habhala katika ukowa ugwa Huyahudi ni eneo ilya witanzi ili Soho Yorodani, amakutano gadagaga na tyena. Abhamanyizwe tyena, nishi pibha kawaida yamwene abhombe.
Yesu akaondoka huko, akavuka Mto Yordani, akaenda sehemu za Uyahudi. Umati mkubwa wa watu ukaenda kwake tena, naye kama ilivyokuwa desturi yake, akawafundisha.
2 Na Amafalisayo bhaheza hujele bhahabhuzwa, “Ni halali wa muntu ulume aleha nushi awakwe?”
Baadhi ya Mafarisayo wakaja ili kumjaribu kwa kumuuliza, “Je, ni halali mtu kumwacha mke wake?”
3 U Yesu abhajibula, “U Mose amulile yenu?”
Yesu akawajibu, “Je, Mose aliwaamuru nini?”
4 Bhayanga, “Mose aruhusu ahusimbile ikalata iyalene nahunyizywe ushi.”
Wakajibu, “Mose aliruhusu kwamba mume anaweza kumwandikia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”
5 “Pipo amoyo nginyu makhome shashisho abhasimbila ishalia ini, “U Yesu ahabhala.
Yesu akawaambia, “Mose aliwaandikia sheria hiyo kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu.
6 “Afume huwandilo wiumbaji, 'Ungulubhi aumba ulume nushi.'
Lakini tangu mwanzo wa uumbaji, ‘Mungu aliwaumba mwanaume na mwanamke.
7 Inamuna ini ulume aileha uyise wakwe nu nyina wakwe aibhungana nushi wakwe,
Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.’
8 na eo bhabhili bhaibhabhili gumo; Pipo saga bhabhiatyele, lelo bhali bili gumo.
Kwa hiyo hawatakuwa wawili tena, bali mwili mmoja.
9 Kwa hiyo abhunganisye Ungulubhi, umwanadamu anje alehanye.”
Basi, alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”
10 Pali muhati inyumba, asundwa bhakwe bhahahuzywa nantyena asuili.
Walipokuwa tena ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamuuliza kuhusu jambo hili.
11 Abhabhula, “Ula uwileha ushi wakwe na weje uwinji uyo abhomba malaya pamwanya yakwe.
Akawajibu, “Mtu yeyote amwachaye mkewe na kuoa mke mwingine, anazini naye.
12 Na ushi wope khaila ulume wakwe na wegwe nulume uwinji, abhomba malaya.”
Naye mwanamke amwachaye mumewe na kuolewa na mume mwingine, anazini.”
13 Bhope bhahuleta abhana adodo akhate, lelo asimbi bhakwe bhahabha damila.
Watu walikuwa wakimletea Yesu watoto wadogo ili awaguse, lakini wanafunzi wake wakawakemea.
14 Lelo uYesu pahamanya ilwo, haga amojelela nalwo kabisa abhabhula, “Bhalesheli abhana adodo bhinze hulini, munganjebhazije, pipo abhabhalinishi ibha utawala uwa Ngulubhi wabhene.
Yesu alipoona yaliyokuwa yakitukia, akachukizwa. Akawaambia wanafunzi wake, “Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mungu ni wa wale walio kama hawa.
15 Lyoli imbaula, yayunti uwa saposhela utawala wa Ngulubhi nishi abhana adodo lyoli haga aiwezywa awinjile utawala wa Ngulubhi.
Amin, nawaambia, mtu yeyote asiyeupokea Ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo, hatauingia kamwe.”
16 Ipo abhega abhana makhono agakwe abhasaya nabhabhishe akhono panya yabho.
Akawachukua watoto mikononi mwake, akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.
17 Pahanda isafali yakwe umuntu umo anyililila ahafugamila amafuugamo witazi lwakwe, abhuzwa, “Mwalimu Umwinza, imbombe yenu ili bweze erithi uwomi uwa wilawila?” (aiōnios )
Yesu alipokuwa anaondoka, mtu mmoja akamkimbilia, akapiga magoti mbele yake, akamuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios )
18 U Yesu ayanga, “Unguga mwema? Numo ulimwema ila yu Ngulubhi mwene.
Yesu akamwambia, “Mbona unaniita mwema? Hakuna yeyote aliye mwema ila Mungu peke yake.
19 Uziminye imuli: 'Uganje agoje, unganje afunye umalaya, unganda awibhe ungande ande ilenga unganje akhopele, uheshimwaje uyese waho nu nyina waho'.”
Unazijua amri: ‘Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo, usidanganye, waheshimu baba yako na mama yako.’”
20 Umutyu ulo ahayanga, “Mwalimo, iganguntyi awande uwana wanhe.”
Akamjibu, “Mwalimu, amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”
21 U Yesu amwenya nahugane. Abhula, “Upungushilwe ahatyu hamo. Uwaziwa ukazye uvhili navho nabhapele apina, uhaibha ni mbuto humwanya. Khasha winzaje andaje.”
Yesu akamtazama na kumpenda, akamwambia, “Umepungukiwa na kitu kimoja. Nenda ukauze kila kitu ulicho nacho uwape maskini hizo fedha, nawe utakuwa na hazina mbinguni. Kisha njoo, unifuate.”
22 Lelo akatile itama hunongwa iyaheleziwe iga; aliondoka akiwa mwenye huzuni, ahepa nusumane phepo alimale nyinji.
Yule mtu aliposikia hayo, akasikitika sana. Akaondoka kwa huzuni kwa sababu alikuwa na mali nyingi.
23 U Yesu ahenya upande bhutyi abhabhula asundwa bhakwe, “Nishi bhuli ishashashilyi pakhome utajili awinjile hutawala uwa hu mwanya!
Yesu akatazama pande zote, akawaambia wanafunzi wake, “Itakuwa vigumu sana kwa wenye mali kuingia katika Ufalme wa Mungu!”
24 Asundwa bhaswijiziwa humaneno iga. Lelo uYesu abhabhula nantyele, “Bhana, ni jinsi bhule ishili shikhome awinjile utawala Ungulubhi!
Wanafunzi wake wakashangazwa sana na maneno hayo. Lakini Yesu akawaambia tena, “Wanangu, tazama jinsi ilivyo vigumu kwa wale wanaotumainia mali kuingia katika Ufalme wa Mungu.
25 Laisi wingamia ashizanye mwilina lisindano, pakuliko umutyu utajili awinjile hufalume uwa Ngulubhi.”
Ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko mtu tajirikuingia katika Ufalme wa Mungu.”
26 Bhaswijiziwa sana nayangana bhene, “Esho yunanu uwa yokolewa”
Wanafunzi wake wakashangaa sana. Wakaulizana wao kwa wao, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”
27 U Yesu abhenya nayayanje, “Wabinadamu hagaiwezehana, lelo saga wa Ngulubhi. Wavhavhuthi wa Ngulubhi shiwezehana wa Ngulubhi shiwezehana.”
Yesu akawatazama, akawaambia, “Kwa mwanadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu sivyo. Mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”
28 “Petulo handa ayanje nabho, “Enya tuleshile vhutyi tudajile.”
Ndipo Petro akamjibu, “Tazama, tumeacha kila kitu na kukufuata wewe!”
29 U Yesu ayanga, “Lyolyi imbabhula amwe, numouwaila inyumba, au ukulu, au uilumbu, au unyina, au uyise, au abhana, au ugunda, kwa ajili yangu, na kwa ajili ya lumbelele,
Yesu akasema, “Amin, nawaambia, hakuna mtu yeyote aliyeacha nyumba, ndugu wa kiume au wa kike, au mama au baba, au watoto au mashamba kwa ajili yangu na kwa ajili ya Injili,
30 uwaha gaiposhela mala mia zaidi yisalaini ipa pansi: inyumba, ukulu, uyilumbu, au unyina, au abhana, au uinsi, humalabha, ulimwengu ugwa guweza, uwumi uwawila na wila. (aiōn , aiōnios )
ambaye hatalipwa mara mia katika ulimwengu huu: nyumba, ndugu wa kiume na wa kike, mama na baba na watoto, mashamba pamoja na mateso, kisha uzima wa milele katika ulimwengu ujao. (aiōn , aiōnios )
31 Lelo vhinji avhali wanda bhaibhabhahumalishilo abhali bhahumalishilo bhawanda.”
Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na wa mwisho watakuwa wa kwanza.”
32 Pabhabha mwidala, bhabhala Yelusalemu, uYesu abhatangulila witanzi lyabho. Asundwa bhasyijile, nabhala abhali bhafuta khosi yabho bhahogopa. Ipo uYesu abhefa pashinje antele bhala ilongo nabhabhili ahanda abhabhule hala hazafumile ishi papipi:
Walikuwa njiani wakipanda kwenda Yerusalemu, na Yesu alikuwa ametangulia. Wanafunzi wake walishangaa, nao watu waliowafuata walijawa na hofu. Yesu akawachukua tena wale wanafunzi wake kumi na wawili kando na kuwaambia yatakayompata.
33 “Enya, tushila hula hu Yelusalemu, nu Mwana wa Adamu anzafisiwe wachungaji agosi nasimbi. Bhanzahulonje afwe bhanza humwefwe wa Bhapanzi.
Akasema, “Tunapanda kwenda Yerusalemu, na Mwana wa Adamu atasalitiwa kwa viongozi wa makuhani na walimu wa sheria. Wao watamhukumu kifo na kumtia mikononi mwa watu wa Mataifa,
34 Bhanza hulyeule, bhanza huswile amate, bhanzahukhome nusanzo, nahugaje. Lelo bada yinsiku zitatu azyuha.”
ambao watamdhihaki na kumtemea mate, watampiga na kumuua. Siku tatu baadaye atafufuka.”
35 U Yakobo nu Yohana, abhana bha Zebedayo, bhahinza wamwene nayanje, “Mwalimu, tuwanza tubhombele hahundi atuhulabha.”
Kisha Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, wakaja kwake na kumwambia, “Mwalimu, tunataka utufanyie lolote tutakalokuomba.”
36 Ahagamuyiga, “Imbabho mbele yenu?”
Naye akawaambia, “Je, mwataka niwafanyie jambo gani?”
37 Bhahayanga, “Turuhusu tukhale nae husisya waho, umo hukhona ugwahulilo umo hukhono gwa humongo.”
Wakamwambia, “Tupe kukaa mmoja upande wako wa kuume na mwingine upande wako wa kushoto katika utukufu wako.”
38 Lelo uYesu abhajibula, “Sagammenye ilyamulabha. Mugawezya amwelele ishikombe ishimwela ane au ajimbe au uwoziwa uwi woziwa?”
Lakini Yesu akawaambia, “Ninyi hamjui mnaloliomba. Je, mnaweza kukinywea kikombe ninyweacho mimi, au kubatizwa ubatizo nibatizwao mimi?”
39 Bhaha bhala huje, “Tuwezya” uYesu abhabhula, “Ishikombe ishimwela mgawezya, amwe mwelele. Na ulyozyo ambao ininoziwe, mnzajimbilile.
Wakajibu, “Tunaweza.” Kisha Yesu akawaambia, “Kikombe nikinyweacho mtakinywea na ubatizo nibatizwao mtabatizwa,
40 Lelo uwakale ukhono ugwa hulilo au uugwa humongo saga nini uwafumwe, lelo wabhala ambao wavhene bhala ibhahandaliwe.”
lakini kuketi mkono wangu wa kuume au wa kushoto si juu yangu mimi kuwapa. Nafasi hizi ni kwa ajili ya wale walioandaliwa.”
41 Bhala asundwa bhamo ilongo pahahuvhaiga bhaha vitililya aYakobo nu Yohana.
Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.
42 U Yesu abhakuga wamwene nayanje, “Mumenye ahuje bha abhasivhililwa bhatabhalwa bhabhatyu abhapansi bhatabhala, nabhantyu avhikhapho bhalanga mamlaka pamwanya yabho.”
Lakini Yesu akawaita wote pamoja na kuwaambia, “Mnafahamu kuwa wale wanaodhaniwa kuwa watawala wa watu wa Mataifa huwatawala watu kwa nguvu, nao wenye vyeo huonyesha mamlaka yao.
43 Lelo saga iwanziwa avhe ishi muhati yinyu. Wabhundi uwanza abhe gosi kati yinyu atumishilaje abhanji,
Lakini isiwe hivyo kwenu. Badala yake, yeyote anayetaka kuwa mkuu miongoni mwenu hana budi kuwa mtumishi wenu,
44 na wabhutyi uwawaza abhewanda pahati lazima abhanje watumishe wabhuntyi.
na yeyote anayetaka kuwa wa kwanza, hana budi kuwa mtumwa wa wote.
45 Wahuje Umwana wa Adamu hagaahiza atumishilwe bali atumishe nafume maisha gakwe abhvhe lisombo wa vhinji.”
Kwa kuwa hata Mwana wa Adamu hakuja ili kutumikiwa, bali kutumika na kuutoa uhai wake uwe fidia kwa ajili ya wengi.”
46 Bhahinza Yeriko. Pahali ashilaga Yeriko nasundwa bhakwe ni mbuga ingosi, umwana wa Timayo, Batimayo, uwafwile amaso, uwalabha mashinje insumbi.
Kisha wakafika Yeriko. Yesu alipokuwa akiondoka mjini na wanafunzi wake pamoja na umati mkubwa wa watu, kipofu mmoja, jina lake Bartimayo, mwana wa Timayo, alikuwa ameketi kando ya njia akiomba msaada.
47 Pahavha huje yu Yesu Mnazareti, ahanda akhole nayanje, “Yesu, Mwana wa Daudi, hulumile!”
Aliposikia kuwa ni Yesu wa Nazareti aliyekuwa anapita, akaanza kupaza sauti akisema, “Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!”
48 Abhinji bhahadamila ula uyafumile amaso, bhabhulaga phumaa. Lelo alilaga husauti sana, “Mwana wa Daudi, hulumile!”
Watu wengi wakamkemea, wakamwambia akae kimya, lakini yeye akazidi kupaza sauti, akisema, “Mwana wa Daudi, nihurumie!”
49 U Yesu ahima nahumula mulile akugwe. Bhahakuga ula uyafwile amaso, bhahayanga, “Huje shuja! Bhuha! U Yesu ahukuga.”
Yesu akasimama na kusema, “Mwiteni.” Hivyo wakamwita yule mtu kipofu, wakamwambia, “Jipe moyo! Inuka, anakuita.”
50 Ataga ikoti lwakwe hushinji ahanyila sana, na winze wa Yesu.
Akiwa analivua lile joho lake, alisimama na kumwendea Yesu.
51 U Yesu ahajibu nayanje, “Uwanza huje ibhombele yenu?” Ula ulume uwafwile amaso ahajibu, “Mwalimo, iwanza alole.”
Yesu akamuuliza, “Unataka nikufanyie nini?” Yule kipofu akajibu, “Mwalimu, nataka kuona.”
52 U Yesu ahabhula, “Bhalanga. Awamini waho huponizye.” Pepo amaso gakwe gahalola; ahadaga uYesu wibalabala.
Yesu akamwambia, “Nenda zako, imani yako imekuponya.” Mara akapata kuona, akamfuata Yesu njiani.