< Yohana 20 >
1 Khasha isiku lya hwande lya mulwa sanu, shahuli nkisi, oMariamu Magederena ahenzele hwi kaburi; ahalola lila lila iwe lyepile pikaburi.
Mapema siku ya kwanza ya juma, kungali bado giza, Mariamu Magdalena alikuja kaburini; akaliona lile jiwe limeondolewa kaburini.
2 Ahashembela abhale hwa Simoni oPetro na hwola omwanafunzi wamwabho ola oYesu wagene, nkabhabhozya, “bhamwejile Ogosi mwikaburi, na setihwelewa hula hwabhagonizye.”
Kwa hiyo akakimbia mbio kwenda kwa Simon Petro na kwa yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, kisha akawaambia, “wamemchukua Bwana kaburini, nasi hatujui kule walikomlaza.”
3 O Petro no mwanafunzi ola wamwabho bhahafuma abhale hwi kaburi.
Kisha Petro na yule mwanafunzi mwingine wakatoka, kuelekea kaburini.
4 Bhonti bhanyilile pandwemo; ola omwanafunzi wamwabho anyililiye tee ashile oPetro nagishe hwi kaburi abhe wa hwande.
Wote walipiga mbio kwa pamoja; yule mwanafunzi mwingine alikimbia kwa kasi zaidi ya Petro nakufika kaburini wa kwanza.
5 Ahemelela na hwenye ikaburi; alola ela empogoso egonile, ila sagaahinjiye muhati.
Akasimama na kisha kuangalia kaburini; akaiona ile sanda ya kitani imelala, lakini hakuingia ndani.
6 Wope oSimoni oPetro wope ahafiha ahinjila muhati yi kaburi. Wailola ela empogoso egonile pala
Kisha Simon Petro naye akafika akaingia ndani ya Kaburi. Akaiona ile sanda ya kitani imelala pale
7 nela eleso yayali hwitwe lyakwe seyali ogonile pandwemo ne mpogoso yayagonile panshenje yakwe.
na ile leso iliyokuwa kichwani pake haikuwa imelala pamoja na zile sanda za kitani bali ilikuwa imelala pembeni peke yake.
8 Ola omwanafunzi wamwabho wope ahunjiye muhati yi kaburi; walola na hweteshele.
Ndipo yule mwanafunzi mwingine naye alipoingia ndani ya kaburi; akaona na kuamini.
9 Afuatanaje paka owakati owo bhaali seele sebhagamenye amaazu aje yalazimishe oYesu afufushe nantele hwa bhafwe.
Kwa kuwa hadi wakati huo walikuwa bado hawajayajua maandiko kwamba ilimlazimu Yesu afufuke tena katika wafu.
10 Abhanafunzi wahala nantele mukhaya zyabho.
Kisha wanafunzi wakaenda tena nyumbani kwao.
11 O Mariamu ali ayemeleye pi kaburi alila, aali ahwendelela alile ahemeleye ahenya mwikaburi.
Hata hivyo, Mariamu alikuwa amesimama kaburini akilia, alivyokuwa akiendelea kulia alisimama kisha akatazama kaburini.
12 Ahabhalola ahalo ozelu bhabhele bhabhali no waje ozelu bhakheye omo hwitwe owa mwabho hu magaga apantu oYesu paali agonile.
Akaona malaika wawili wenye sura nyeupe wamekaa mmoja kichwani na mwingine miguuni mahali ambapo Yesu alikuwa amelala.
13 Bhope bhabhozya, “Oshe, yeenu olila?” Wope afuatanaje bhamwejile Ogosi wane, naane seehwelewa hwa bhabheshele.”
Nao wakamwambia, “Mwanamke, kwa nini unalia?” Naye akawaambia, “Ni kwa sababu wamemchukua Bwana wangu, nami sijui walikomweka.”
14 Nahayanga ego, agalushe na hulole oYesu ali ayemeleye. Ila sagamenye aje ali yo Yesu.
Alipokwisha sema hayo, aligeuka na kumwona Yesu akiwa amesimama. Lakini hakutambua kama huyo alikuwa Yesu.
15 Wope oYesu abhozya, “Maye yenu olila? Ohumwanza wenu?” Wope ohumwenyu yayola walenganya ebustani abhozya, “Gosi, nkashe wewe womwejile, mboozye, hwoobheshele nane embahumweje.”
Naye Yesu akamwambia, “Mama, kwa nini unalia? Unamtafuta nani?” Naye huku akidhani kuwa ni mtunza bustani akamwambia, “Bwana, kama ni wewe uliyemchukua, niambie ulikomweka, nami nitamchukua.”
16 O Yesu abhozya, “O Mariamu.” Wope agaluha yoyo na hubhozye hu Shiaramu, “Raboni,” esho hwahuje, “Mwalimu.”
Yesu akamwambia, “Mariamu.” Naye akageuka mwenyewe na kumwambia kwa Kiaramu, “Raboni,” yaani hii ni kusema, “Mwalimu.”
17 O Yesu abhozya, “Oganje nguse, afuatane naje senzubhile abhale hwa Daada; ila obhale hwa holo bhane obhabhozye aje embazubhe abhale hwa Daada wane ola waali Daadi wenyu, Ongolobhe wane no Ngolobhe wenyu.”
Yesu akamwambia, “Usiniguse, kwani bado sijapaa kwenda kwa baba; bali uende kwa ndugu zangu ukawaambie kuwa nitapaa kwenda kwa Baba yangu ambaye pia ni Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.”
18 O Mariamu oMagedelena ahenza abhabhozya abhanafunzi, “Elolile Ogosi,” naje abhozezye amambo ega.
Mariamu Magdalena akaja kuwaambia wanafunzi, “Nimemwona Bwana,” na kwamba amemwambia mambo haya.
19 Na hwahali ndyabheela, isiku elyo, isiku lya hwande lya mulwasanu, na mandiango gaali gafungwilwe pala abhanafunzi pabhahali hubhogope Ayahudi, oYesu ahenzele na hwemelele pahati yabho n abhabhozye, “Olusongwo lubhe hulimwe.”
Na ilipokuwa jioni, siku hiyo, siku ya kwanza ya juma, na milango ikiwa imefungwa mahali wanafunzi walipokuwapo kwa kuwahofia Wayahudi, Yesu alikuja na kusimama katikati yao na kuwaambia, “Amani iwe kwenu.”
20 Na hayanga ego abhalanga amakhono gakwe no bhazu lwakwe. Wope abhanafunzi nabhalolile Ogosi bhasongwelwe.
Alipokwisha sema haya akawaonesha mikono yake na ubavu wake. Nao wanafunzi walipomwona Bwana walifurahi.
21 O Yesu abhabhozya nantele, “Olusongwo lubhe namwe. Nanshi Odaada shantumile ane, shesho shesho nane nabhafumile amwe.”
Kisha Yesu akawaambia tena, “Amani iwe nanyi. Kama vile Baba alivyonituma mimi, vivyo hivyo nami nawatuma ninyi.”
22 O Yesu nayanga ego, abhavuvia abhabhozya, Posheli Ompempo Ofinjile.
Yesu alipokwisha sema hayo, akawavuvia akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu.
23 Wawonti wamuhusajila embibhi, bhasajilwe; na bhala bhamwaibhafunjila bhaifunjilwa.”
Yeyote mmsameheye dhambi, wamesamehewa; na wale mtakaowafungia watafungiwa.”
24 O Tomaso, omo wa bhala kumi na bhabhele, wahetwaga Didimasi, sagali na bhanafunzi amwabho oYesu lwa henzaga.
Thomaso, mmoja wa wale kumi na wawili, aliyeitwa Didimas, hakuwa na wanafunzi wenzake Yesu alipokuja.
25 Bhala abhanafunzi amwabho bhabhozya pamande, “Tilolile Ogosi.” Wope abhozya, “Nkashe sembalole eshimanyilo she nsumari mumakhono gakwe, nabheshe evidole vyane hwesho eshimanyilo, nantele abheshe amakhono gane hubhazu lwakwe sembahweteshele.”
Wale wanafunzi wengine waka mwambia baadaye, “Tumemwona Bwana.” Naye akawambia, “Kama sitaona alama za misumari katika mikono yake, na kuweka vidole vyangu kwenye hizo alama, na pia kuweka mkono wangu kwenye ubavu wake sitaamini.”
26 Na zyashila ensiku nane abhanafunzi bhali ampande nantele, wope oTomaso ali pandwemo nabho. A andiango nagafungwa oYesu ahemeleye pahati yabho. Na ayanjile, “Olusongwa lubhe namwe.”
Baada ya siku nane wanafunzi walikuwa chumbani tena, naye Thomaso alikuwa pamoja nao. Wakati milango ilipokuwa imefungwa Yesu alisimama katikati yao. na akasema, “Amani na iwe nanyi.”
27 Ahabhozya oTomaso, leeta eshidole shaho na alole amakhono gane; leeta eepa amakhono gaho obheshe pabhazu lwane; oganjebhe wasaahweteshela obhee wa hweteshela.”
Kisha akamwambia Thomaso, leta kidole chako na uone mikono yangu; leta hapa mikono yako na uweke kwenye ubavu wangu; wala usiwe asiyeamini bali aaminiye.”
28 Wope oTomaso ayanga ahaaga, “Gosi wane nantele Ngolobhe wane.”
Naye Thomaso akajibu na kumwambia, “Bwana wangu na Mungu wangu.”
29 O Yesu abhozya, Afuatanaje waandola, oyetesheye. Bhasailwe bhala bhabhahweteshela, bilaalole.”
Yesu akamwambia, Kwa kuwa umeniona, umeamini. Wamebarikiwa wao wanaoamini, pasipokuona.”
30 O Yesu abhombile ezyaswije nyinji hwitazi lya bhanafunzi, zyasagaziwaile ahwandihwe mushitabu eshi;
Kisha Yesu alifanya ishara nyingi mbele ya wanafunzi, ambazo hazijawahi kuandikwa katika kitabu hiki;
31 ezi zyandihwe aje nkamweteshe laje aje oYesu yo Kilisiti, mwana wa Ngolobhe, aje namu hweteshela mubhe no womi hwitawa lyakwe.
bali hizi zimeandikwa ili kwamba muweze kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo, mwana wa Mungu, na kwamba muaminipo muwe na uzima katika jina lake.