< Bhaebrania 12 >

1 Ishi piotizyu ugulilwe ni bhango igosi ilya keti titaje kila sheshitutamya peka ni mbibhi zyezihutuzyungura nanali tushimbile husaburi humashinda gegabhi shilwe mwilongolela yitu.
Kwa sababu hii, kwa kuwa tumezungukwa na wingu kubwa namna hii la mashahidi, basi na tuweke kando kila kitu kinachotuzuia na ile dhambi inayotuzinga kwa urahisi, nasi tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa kwa ajili yetu.
2 Timenye uYesu yahandisizye na amalizye ulwitiho lwitu, huwinza wewubhi hwilwe mwilongolela lyakwe, ahajimbilye munshikhobhekhanyo ahazisufizye insoni zyakwe ahakhiye hunkono ugwalile, pitengo ilyapamwanya ilya Ngulubhi.
Basi na tumtazame sana Yesu mwanzilishi na mkamilishaji wa imani yetu, yeye ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake alistahimili msalaba, bila kujali aibu ya huo msalaba, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.
3 Musiibhanje umwene yahajimbiliye inongwa izyavisye afume hubhabhomba imbabhi ashile umwene yayo aje msahalite nafwe amoyo ginyu.
Mtafakarini sana yeye aliyestahimili upinzani mkuu namna hii kutoka kwa watu wenye dhambi, ili kwamba msije mkachoka na kukata tamaa.
4 Semlabhile na yimbe le mushindana ni mbibhi kiasi shahwitishe idanda.
Katika kushindana kwenu dhidi ya dhambi, bado hamjapigana kiasi cha kumwaga damu yenu.
5 Habhili msahiwe hubhapele umwoyo huhubhwatwala huje mlibhana bhishilume: “Mwana wani usahegwe hupupusu amagalushila ga Gosi, habhili usaholowe lwe Ungulubhi ahulinganya.
Nanyi mmesahau yale maneno ya kuwaonya yanayowataja ninyi kuwa wana, yakisema: “Mwanangu, usidharau adhabu ya Bwana, wala usikate tamaa akikukemea,
6 Pipo Ugosi ahumwela wonti yaganile ahunsovya umwana wakwe yahumposhela.
kwa sababu Bwana huwaadibisha wale awapendao, na humwadhibu kila mmoja anayemkubali kuwa mwana.”
7 Jimba injelo ndeshe awelelwe Ungulubhi babhomba namwendeshe shabhomba na bhana bhabhakwe, ishi mwana bhuli ye uyise wakwe saga ahuwela?
Vumilieni taabu kwa ajili ya kufunzwa adabu. Mungu anawatendea ninyi kama watoto wake, kwa maana ni mtoto yupi asiyeadibishwa na mzazi wake?
8 Nkushe nahumo uhwawelwe hwe ati twenti tiwelwa basi amwe saga mulibhanabhakwe.
Kama hakuna kuadibishwa (ambalo ni fungu la watoto wote), basi ninyi ni watoto wa haramu wala si watoto halali.
9 Zaidi yipo tali na yise bhitu abha munsi abhahutiwele twabhapiye inshinshi. Je sihwanziwa ati humwitishe uGosi wishimwoyo na akhale?
Tena, sisi sote tunao baba wa kimwili, waliotuadibisha nasi tukawaheshimu kwa ajili ya hilo. Je, si inatupasa kujinyenyekeza zaidi kwa Baba wa roho zetu ili tuishi?
10 Huhakika ayise bhitu bhatishetile humaha madodo shilolosya hwabhene sheshisho, lakini Ungulubhi ahutisheta hufaida yakwe tibhe nke tibhe bhagolosu.
Baba zetu walituadibisha kwa kitambo kidogo kama wao wenyewe walivyoona vyema, lakini Mungu hutuadibisha kwa faida yetu ili tupate kushiriki utakatifu wake.
11 Nahumo ashetwe hwehuleta ashe. Huwakati uwo abhe. Hubhabha. Hata shinisho agigolosu hubhala bhebhamaayizizwe nago.
Kuadibishwa wakati wowote hakuonekani kuwa kitu cha kufurahisha bali chenye maumivu kinapotekelezwa. Lakini baadaye huzaa matunda ya haki na amani kwa wale waliofunzwa nayo.
12 Isi mubhusye amakhono ginyu gega yetile, na mafugamo ginyu gesagali ni nguvu gabhe ni nguvu habhili;
Kwa hiyo, itieni nguvu mikono yenu iliyo dhaifu na magoti yenu yaliyolegea.
13 mugolosye injendo zyinyayo zyinyu, ili huje wowonti yali nu nishilema salongozwe huteganu abhe mwumi.
Sawazisheni mapito ya miguu yenu, ili kitu kilicho kiwete kisidhoofishwe bali kiponywe.
14 Muwanze utenganu na bhantu bhonti nuwo ugolosu bila yuwo ugolosu mumo yayinda Ungulubhi.
Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote na huo utakatifu, ambao bila kuwa nao hakuna mtu atakayemwona Bwana.
15 Mwenyelezyaje asahabhe umuntu wowonti yahwepa mushibanza isha Ngulubhi, huje lisahinze ishina ilyibhu bhuchungu lyelibhamele na sababisye ishida hu bhantu abhinji huneshe Ungulubhi.
Angalieni sana mtu yeyote asiikose neema ya Mungu na kwamba shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.
16 Mwenye huje nazimo izinaa au umuntu yesegolosu ndeshe u Esau, ye pipo yishalye sheka ahakazizye ihaki yakwe iyapapwe.
Angalieni miongoni mwenu asiwepo mwasherati au mtu asiyemcha Mungu kama Esau, ambaye kwa ajili ya mlo mmoja aliuza haki ya uzaliwa wake wa kwanza.
17 Pipo muminye aje shamandi ahanyonywa aoyane insayo ahakhanwa, pipo saga ahapite ifasi iya khomoshe peka nuyise wakwe pope haat nkahanzale hani humansozi.
Baadaye kama mnavyofahamu, alipotaka kurithi ile baraka, alikataliwa, maana hakupata nafasi ya kutubu, ingawa aliitafuta kwa machozi.
18 Pipo semwahaminye igamba lyelinga khatwa, Igamba lyelihwaha umwoto, alete azilamwe ahavurungwi.
Hamjaufikia mlima ule uwezao kuguswa na ambao unawaka moto; wala kwenye giza, utusitusi na dhoruba;
19 Semwahamnye indudwe mizwi lisababisya bhebhahwinvwa bhasahalabhe izwi lyolyonti ayangwe hwa bhene.
kwenye mlio wa tarumbeta, au kwenye sauti isemayo maneno ya kutisha kiasi ambacho wale walioisikia waliomba wasiambiwe neno jingine zaidi,
20 Pipo sebhabhweziye agulilile zila zyezyamulilwe: “Huje hata mnyama asahakhate igamba lazima akhomwe na mawe.”
kwa sababu hawangeweza kustahimili neno lile lililoamriwa: “Hata kama mnyama atagusa mlima huu, atapigwa mawe.”
21 Aga hwogofye hani gagalolile uMusa ahajile, “Inogope hani mpaka na yinje”.
Waliyoyaona yalikuwa ya kutisha kiasi kwamba Mose alisema, “Ninatetemeka kwa hofu.”
22 Badala yakwe mwinzile mwigamba i Sayuni na mukhaya ya Ngulubhi yalimwumi, i Yerusalemu iya humwanya na hwa bhantumi elfu kumi bhebhaseshelela.
Lakini ninyi mmekuja Mlima Sayuni, Yerusalemu ya mbinguni, mji wa Mungu aliye hai. Mmekuja penye kusanyiko kubwa la malaika maelfu kwa maelfu wasiohesabika wanaoshangilia,
23 Mwinzile mwibhunganyo ilya bhapapwe abhahwande bhonti bhebhandi hwilwe humwanya hwa Ngulubhi uhakimu wa bhonti, nu umpepo umfinjile bhasimishiziwilwe.
kwenye kanisa la wazaliwa wa kwanza wa Mungu, ambao majina yao yameandikwa mbinguni. Mmekuja kwa Mungu, mhukumu wa watu wote, kwenye roho za wenye haki waliokamilishwa,
24 Mwinzile hwa Yesu unkhomanyiwi ndajizyo ipya na hwidanda yiyitilizizwe yeyiyanga aminza hani kuliko idanda lya Habili.
kwa Yesu mpatanishi wa agano jipya, na kwa damu iliyonyunyizwa, ile inenayo mambo mema kuliko damu ya Abeli.
25 Unyenyaje usahankhane weka ya yanga. Nkushe sagabha hepushe lwebhahankhana weka ya bhasuntile pansi ipa lyoli setwaiyepuha nketigulana apatali afume hwula yahutusoha afume humwanya.
Angalieni, msije mkamkataa yeye anenaye. Ikiwa wao hawakuepuka adhabu walipomkataa yeye aliyewaonya hapa duniani, sisi je, tutaokokaje tusipomsikiliza yeye anayetuonya kutoka mbinguni?
26 Hu wakati uwo izwi lyake lyayinzizye insi. Lakini umwene atipiye habhili simbayizye nnsi nyeene hata imwanya yope.”
Wakati ule sauti yake ilitetemesha dunia, lakini sasa ameahidi, “Kwa mara moja tena nitatetemesha si nchi tu bali na mbingu pia.”
27 Amazwi inga, “Mara moja habhili,” ilolesya ahwefwe hu vintu vyevinzwa visyale, hivi ni, vitu vile ambavyo vimeumbwa, ili kwamba vile vitu visivyotetemeshwa vibakie.
Maneno haya “kwa mara moja tena” yanaonyesha kuondoshwa kwa vile vitu vinavyoweza kutetemeshwa, yaani vile vitu vilivyoumbwa, kwa kusudi vile tu visivyoweza kutetemeshwa vibaki.
28 Ishi tiposhele ubhumwini bhwe saga bhuyizwa tishanje hwi lihumpute Ungulubhi hwa humitishe peka na hwoshe hwisho,
Kwa hiyo, kwa kuwa tunapokea ufalme ambao hauwezi kutetemeshwa, basi na tuwe na shukrani, na hivyo tumwabudu Mungu kwa namna inayompendeza, kwa unyenyekevu na uchaji,
29 maana Ungulubhi witu moto webhulya.
kwa kuwa “Mungu wetu ni moto ulao.”

< Bhaebrania 12 >