< Abhagalatia 4 >

1 Iyanga aje abhanadamu upyani yu mwana, sagaali nuutofauti numtumwa, Gata nkesho tabhale wishoma shonti.
Lile nisemalo ni kwamba wakati wote mrithi bado ni mtoto, hana tofauti na mtumwa, ingawa ndiye mmiliki wa mali yote.
2 Ibadala yakwe, ali pansi yisimamizi na bhabhaghatiliye hadi umda gugubheshewelwe nobaba wakwe.
Yeye huwa yuko chini ya uangalizi wa walezi na wadhamini mpaka ufike wakati uliowekwa na baba yake.
3 Shesho natee, lwatali bhana, talemwilwe nu utumwa wikanuni zya humwanzoni zya monsi.
Vivyo hivyo na sisi, tulipokuwa bado watoto wadogo, tulikuwa utumwani chini ya taratibu za kawaida za ulimwengu.
4 Baada yimuda gugulisahihi afishe, Ungolobhe atwalile umwanawakwe, wapapwilwe noshe, upapwa pansi yindajizyo.
Lakini ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe, ambaye alizaliwa na mwanamke, akazaliwa chini ya sheria,
5 Awombile eshi ili ahubhagombole bhala bhabhali pansi yindajizyo ilitipewe ihali yabhe hansi bhanabhakwe.
kusudi awakomboe wale waliokuwa chini ya sheria, ili tupate kupokea zile haki kamili za kufanywa watoto wa Mungu.
6 Eshi aje amwe mulibhana, Ongolobhe atwalile upepo wamwanawakwe mhati yimoyo getu, upepo, alila, “Abba, Baba.”
Kwa sababu ninyi ni watoto wa Mungu, Mungu amemtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu, anayelia, “Abba, Baba.”
7 Hunamuneyo awe siguli mtumwa natena eshi ulimwana. Nkeshi uli mwana, eshi awe ulipyani abhilile hwa Ngolobhe.
Kwa hiyo, wewe si mtumwa tena, bali ni mtoto, kwa kuwa wewe ni mtoto, Mungu amekufanya wewe pia kuwa mrithi kwa kupitia Kristo.
8 Hata shamumbele, humanye Ungolobhe, mwali bhatumwa hwa bhala bhi asili saga bhalongobhe nzela.
Zamani, mlipokuwa hammjui Mungu, mlikuwa watumwa wa viumbe ambavyo kwa asili si Mungu.
9 Eshi isalezi huje mmenye Ungolobhe, au huje mmanyishe no Ngolobhe yenu muwelela tena mkanuni ziubhinu zya humwanzoni zyasagazili ni shoma? Eshi muhwanza tena abhe bhatumwa?
Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu, au zaidi mmejulikana na Mungu, inakuwaje mnarejea tena katika zile kanuni za kwanza zenye udhaifu na upungufu? Mnataka ziwafanye tena watumwa?
10 Mulema huwenyelezi insiku lilisalu lilwe, utukulo lwimwezi, amajira, na maha. Ihogopa kwa jili yenyu.
Mnaadhimisha siku maalum, miezi, nyakati na miaka!
11 Ihogopa hunamuna emo injiyanzizye shaha.
Nina hofu juu yenu, kwamba kazi niliyofanya kwa ajili yenu inaweza kuwa nimejitaabisha bure.
12 Imbabhalabha, bhaholo mubhe hansi shindeho, indi hansi shamuleho. Sagamwankoseye.
Ndugu zangu, nawasihi mwe kama mimi, kwa sababu mimi nimekuwa kama ninyi. Hamkunitendea jambo lolote baya.
13 Eshi mmenye aje yaali kwajili yimpongo yembele yaje natangazwaga iizu humwenyu humala ya hwande.
Ninyi mwajua kwamba ni kwa ajili ya udhaifu wangu niliwahubiria Injili.
14 Ingabha ihali yane yembele yabhabheshele hwalenjewe, saganza yanye au huhane. Ni badala yakwe mwamposheleye hansi uhala uzelu wa Ngolobhe, hansi aje nali Kristi Yesu yoyo.
Ingawa hali yangu iliwatia majaribuni, hamkunidharau wala kunidhihaki, bali mlinikaribisha kama malaika wa Mungu, kama vile Kristo Yesu.
15 Eshi luhwi alosongo lwenyu? afwatanaje imbasimisizye humwenyu aje, nkiwezehana andi mwasenya amaso genyu nahumpele ane.
Ile hali ya furaha mliyokuwa nayo imekwenda wapi? Naweza kushuhudia kwamba, kama ingewezekana mngengʼoa macho yenu na kunipa mimi.
16 Nebho saba, Eshi indi aduwi wenyu afwatanaje ihubhawola ilyoli?
Je, sasa nimekuwa adui yenu kwa kuwaambia kweli?
17 Bhahanza shushomela ila saga huminza. Bhahwanza hubhatenganisye amwe nane ili mubhafwate.
Hao wana shauku ya kuwapata lakini si kwa kusudi zuri. Wanachotaka ni kuwatenga mbali nasi, ili ninyi mpate kuwaonea wao shauku.
18 Shinza sana wila abhe ni shomela husababu zilishinza nasagagumuda tougwanalinamwa.
Ni vizuri wakati wote kuwa na shauku kwa ajili ya kusudi zuri, si wakati nikiwa pamoja nanyi tu.
19 Bhanabhane mubhadodo, imbinile inkuni kwa ajili yenyu hadi uKilisti aumbishe mhati yenyu.
Watoto wangu wapendwa, ambao kwa mara nyingine ninawaonea utungu, ninatamani kwamba Kristo aumbike ndani yenu.
20 Andinasongwa abhe pamoja namwe isalezi na badilisye isauti yane, kwa sababu indinamashaka juuu yenyu.
Natamani kama ningekuwa pamoja nanyi sasa, pengine ningebadilisha sauti yangu. Kwa maana nina wasiwasi kwa ajili yenu.
21 Mbozi, amwe mmunyonywa awe pansi yindajizo, sagamwevwazye indajizyo yiyanga?
Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je, hamjui sheria inavyosema?
22 Iyandihwilwe aje u Abrahamu alina bhana bhishilume bhabhele, weka hola onshe umutumwa na uwamwao hashe umwaushe.
Kwa maana imeandikwa kwamba Abrahamu alikuwa na wana wawili, mmoja wa mwanamke mtumwa na wa pili wa mwanamke huru.
23 Hata shesho, ola umutumwa apapwilwe hubele tou, ila ola oshe umwaushe apapwilwe huusobhizi.
Lakini, mtoto wa mwanamke mtumwa alizaliwa kwa mapenzi ya mwili, na yule mwingine wa mwanamke huru alizaliwa kutokana na ahadi ya Mungu.
24 Amambo ega gawezehana ahelezwe hwatumile atenganisye, afwataje abhashe ebha bhalengana na mapatano gabhele. Limo afume hwigamba Sinai. Lipapa abhana bhabhali bhatumwa, ono yu Hajiri.
Mambo haya yanaweza kuchukuliwa kama mfano. Kwa maana hao wanawake wawili ni mfano wa maagano mawili: Agano la kwanza, ni lile lililofanyika katika Mlima Sinai, lizaalo watoto wa utumwa. Hili ndilo huyo Hagari.
25 Eshi u Hajiri ligamba Sinai leleleho hu u Arabuni. Lilenganisiwa ni Yerusalemu yisalezi afwatanaje mutumwa palishimo na bhana bhakwe.
Basi Hagari anawakilisha Mlima Sinai ulioko Arabuni, na unafanana na Yerusalemu ya sasa ambayo iko utumwani pamoja na watoto wake.
26 Ila i Yerusalemu oleho pamwanya yiwaule, nene ndiyo yumaye wetu.
Lakini Yerusalemu wa juu ni huru, nayo ndiye mama yetu.
27 Afwatanaje isimbiwilwe, “Songwaji, “awe nshe uligomba awe wasaga upapa. Gholaga iholo na ghomaga ihalanga hwasongwe, awe wasagaulinuuzowefu wa pape. Eshi abhinji bhanabhakwe wali gomba, hani ya bhala wola wali nunume.”
Kwa maana imeandikwa: “Furahi, ewe mwanamke tasa, wewe usiyezaa; paza sauti, na kuimba kwa furaha, wewe usiyepatwa na utungu wa kuzaa; kwa maana watoto wa mwanamke aliyeachwa ukiwa ni wengi kuliko wa mwanamke mwenye mume.”
28 Eshi bhaholo, amwe mulibhana hansi u Isaka, amwe mulibhana wilosobhizi.
Basi, sisi ndugu zangu, ni kama Isaki, tu watoto wa ahadi.
29 Whinsiku zila ambawe mumuntu apapwilwe humjibu wembele anyanzizye ola wapapwilwe humjibu wimpepo hata husalezi huli shesho.
Lakini, kama vile ilivyokuwa siku zile yule aliyezaliwa kwa mwili alivyomchokoza yule aliyezaliwa kwa Roho, ndivyo ilivyo hata sasa.
30 Iizi liyigawele? “Mwefwe oshe umtumwa pamoja nu mwana wakwe wishilume. Afwatanaje umwana washe umutumwa sagaipyana pamoja nu mwana washe umwaule.”
Lakini Maandiko yasemaje? “Mwondoe mwanamke mtumwa pamoja na mwanawe, kwa sababu mwana wa mwanamke mtumwa kamwe hatarithi pamoja na mwana wa aliye huru.”
31 Eshi, bhalolo, ate sagatibhana bhanshe mutumwa, ila tilibhana bhanshe umwauzi.
Kwa hiyo ndugu zangu, sisi si watoto wa mwanamke mtumwa, bali wa yule aliye huru.

< Abhagalatia 4 >