< 2 Yohana 1 >
1 Afume hwa gogolo abhalehwa she yasaluulwe na bhana bhakwe, bhembage ne mulyoli, senemwene, lelo na bhaala bhabhaimenye elyoli,
Kutoka kwa mzee kwenda kwa mwanamke mteule na watoto wake, ambao niwapendao katika kweli na si mimi tu, bali na wote wale wanao ifahamu kweli,
2 sababu yelyoli yeli mumoyo wetu yeli mumoyo wetu yehaikhala nate wila na wila. (aiōn )
kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. (aiōn )
3 Eneema, ne usajile, nuluseshelo zyaibhanate afume hwa Ngulubhe uise witu nafume hwa Yesu Kristu umwana wa Ngulubhe hu lyoli no lugano.
Neema, rehema, amani zitakuwa nasi kutoka kwa Mungu Baba na kutoka kwa Yesu Kristo, Mwana wa Baba, katika kweli na pendo.
4 Esungwa tee nelole abhana benyu bamo bhazifuata enongwa ezye lyoli, neshi shataiposhie endajizyo ene afume hwa Baba.
Ninafurahi sana kwamba nimegundua baadhi ya watoto wanaenenda katika kweli, kama vile tu tulivyoipokea amri hii kutoka kwa Baba.
5 Neshi ehubhuula awe, wushe sehuje ehusimbila endajizyo empya, ila ajetigananaje tete. Olu lwolugano, lwatihwanziwa abhale nalwo, afuatane nendajizyo zyakwe.
Na sasa nakusihi wewe, mwanamke, siyo kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tokea mwanzo, kwamba tunapaswa kupendana sisi kwa sisi. Na huu ndiyo upendo, tunaopaswa kuenenda, kulingana na amri yake.
6 Olu lwalula olulajizyo lwa mwahomvwezye ahwande hale huje muhwaziwa abhalenalwo.
Hii ndiyo ile amri, kama mlivyoisikia tokea mwanzo, kwamba mnapaswa kuenenda katika hiyo.
7 Afwatane aje abhilenga bhinji bhali shaahamunsi, nantele sebhahumwetehau Yesu aje ahenzile nu bele pansi. Onu yakhopela ilenga, nuyahukhana uYesu.
Kwa kuwa wadanganyifu wengi wamesambaa katika ulimwengu, na hawakiri kwamba Yesu Kristo alikuja katika mwili. Huyu ndiye mdanganyifu na mpinga Kristo.
8 Muhwiyenye mwemwe huje msahagatezye gaala gataga bhombeye embombo, nkamwahejelele ushahara gwenyu hwa mwene.
Jiangalieni wenyewe kwamba hampotezi mambo yale tuliyokwisha fanyia kazi, lakini ili kwamba mweze kuipokea tuzo kamili.
9 Yayonti ula yahwendelela hwitagalila na siga adiila mumanyizyo zya Yesu, uyo siga ali nu Ngulubhi. Ulayadiila mumanyizyo zya Ngulubhe uyo ali nu Baba nu Mwana.
Yeyote aendeleae mbele na hadumu katika fundisho la Kristo, hana Mungu. Yeye adumuye katika fundisho anaye Baba na Mwana pia.
10 Omuntu yayonti yahwenza hulimwe saaleta emanyizyo zyazifuma hwa Ngulubhi, omuntu uyo musahamwambilile munyumba zyenyu nantele musahalamushe.
Kama mtu anakuja kwenu na haleti fundisho hili, msimkaribishe katika nyumba zenu na msimsalimie.
11 Omuntu yahulamuha omuntu neshuyo abhaahwavwanwa embibhi nu muntu uyo.
Kwa kuwa amsalimuye hushiriki katika matendo yake maovu.
12 Endinago minji agabhasimbile, na senahanzaga asimbe mwikalata nuwino. Lelo ehwanza aje ehenze nene nayanje namwe, ili uluseshelo lwetu lubhe shinza.
Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, na sikutaka kuyaandika kwa karatasi na wino. Lakini natumaini kuja kwenu na kuongea uso kwa uso, kwamba furaha yetu ipate kufanywa kamili.
13 Abhana bha yilumbu wenyu usalulwe bhabhalamuha.
Watoto wa dada yenu mteule wanawasalimia.