< 2 Abhakorintho 1 >

1 U Paulo, utumwe wa Yesu hlugano lwa Ngulubhi, nu Timotheo uholo witu, hwubhibhanza isha hu Korintho, na hwa Kristu bhonti bhabhali humukoa gwanti gwa hu Akaya.
Barua hii ni kutoka kwangu mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu, Kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, pamoja na watakatifu wote walioko Akaya yote:
2 Ulusajilo no lusehelo lwalufuma hwa Ngulubhi Yesu Kristu lubhe namwe.
Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
3 Alumbwe Ungulubhe wa Gosi witu uYesu Kristu, umwene Ngulubhi welusajilo nantele Ngulubhi we luzinzyo lwoti.
Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa huruma na Mungu wa faraja yote.
4 Ungulubhi atizinzya ate humalabha getu, aje nate tibhazinyaje bhabhali mumalabhatibhazinzyaje nabhanja huluzinzyo lwatizinzizye ate Ungulubhi.
Yeye hutufariji katika taabu zetu, ili tuweze kuwafariji walio katika taabu yoyote kwa faraja ambayo sisi wenyewe tumepokea kutoka kwa Mungu.
5 Neshi amalabhi ga Kristu shagahwonjelela husababu yetu nu luzinzyo luhwonjelela hulite ashilile hwa Yesu Kristu.
Kama vile mateso ya Kristo yanavyozidi ndani ya maisha yetu, hivyo ndivyo faraja yetu inavyofurika kwa njia ya Kristo.
6 Lelo nkatitamansiwa, titamansiwa hunongwa ye luzinzyo lwenyu nu wokovu wenyu, nkashele tuzinziwa, tizinziwa, tizinziwa hunongwa yeluzinzyo lwenyu uluzinzyo lwenyu lubhomba embombo pamuhweteshela amalabha galabaga uYesu namuvulila neshi patuvumilila ate.
Kama tunataabika, ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu; kama tukifarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu, iwaleteayo saburi ya mateso yale yale yanayotupata.
7 Nu ujasili wetu hulimwe ulishinza, tumenye aje namwahitishie amalabhi, muhweteshela nuluzinzyo.
Nalo tumaini letu kwenu ni thabiti, kwa sababu tunajua kwamba kama vile mnavyoshiriki mateso yetu, ndivyo pia mnavyoshiriki katika faraja yetu.
8 Sagatuhwanza aje mubhe bhalema, bhaholo, gatalinago hu Asia. Tabhonelwe pakasetamenye huje taibhabhomi nantele.
Ndugu wapendwa, hatutaki mkose kujua kuhusu zile taabu tulizopata huko Asia. Kwa maana tulilemewa na mizigo sana, kiasi cha kushindwa kuvumilia, hata tulikata tamaa ya kuishi.
9 Twali nulongwe ulwafwe eli lyatibheshele huje tusahwisubhile tetee, aje tisubhilaje Ungulubhi yazyusya nabhafwe.
Kwa kweli, mioyoni mwetu tulihisi tumekabiliwa na hukumu ya kifo, ili tusijitegemee sisi wenyewe bali tumtegemee Mungu afufuaye wafu.
10 Atokoye nenfwa, abhatokole nantele, tibheshele uujasiri wetu aje abhatokole nantele.
Yeye aliyetuokoa kwenye hatari kubwa ya kifo na atatuokoa tena. Kwake yeye tumeweka tumaini letu kwamba ataendelea kutuokoa.
11 Abhabhombe eshi neshi amwe namutaavwa humputo zyenyu abhinji bhaayenza asalifye huniaba yetu hunongwa ye upendelelo lwe lusajilo humputo zyenyu.
Kama vile mlivyoungana kusaidiana nasi katika maombi, hivyo wengi watatoa shukrani kwa niaba yetu kwa ajili ya baraka za neema tulizopata kwa majibu ya maombi ya wengi.
12 Tihwisunvya eli, oushuha wiza amili yetu uwinza we mwoyo hwa Ngulubhi aje tajendeleye pansi, namwe siyo ne hekima ya munsi. Tumefanya hivi hasa na ninyi, na sio katika hekima ya ulimwengu, lelo hu neema ya Ngulubhi.
Basi haya ndiyo majivuno yetu: Dhamiri yetu inatushuhudia kwamba tumeenenda katika ulimwengu na hasa katika uhusiano wetu na ninyi, katika utakatifu na uaminifu utokao kwa Mungu. Hatukufanya hivyo kwa hekima ya kidunia bali kwa neema ya Mungu.
13 Setibhasimbila zyasigamuzibajiye abhazye awe ahwelewe. Endinoujasiri
Kwa maana hatuwaandikii mambo ambayo hamwezi kusoma au kuyaelewa. Natumaini kwamba,
14 kwamba kwa sehemu mutelewe nantele endinuujasiri aji isiku elya Yesu Ugosi wetu, taibha sababu yenyu hunongwa ye mabado genyu, neshi shamwaibha hulite.
kama vile mlivyotuelewa kwa sehemu, mtakuja kuelewa kwa ukamilifu ili mweze kujivuna kwa ajili yetu, kama na sisi tutakavyojivuna kwa ajili yenu katika siku ya Bwana Yesu.
15 Nali noujasiri aje nahanzaga ahwenze hulimwe nasoti aje nkamwejelele efaida eyahwenze awe hulimwe ulwabhili.
Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa mambo haya, nilitaka nije kwenu kwanza, ili mpate faida mara mbili.
16 Napanjile ahwenze nanabhalaga hu Makedonia, ata nanawelaga napanjile ahwinze, nante amwe antume ane nabhalaga hu Uyahudi.
Nilipanga kuwatembelea nikiwa safarini kwenda Makedonia na kurudi tena kwenu nikitoka Makedonia, ili mnisafirishe katika safari yangu ya kwenda Uyahudi.
17 Nanasibhaga eshi, je, nalunzanyaga humwoyo? Je napangashibi nadamu huje eje “Ena, ena” ndadi, ndadi huwakati umo?
Nilipopanga jambo hili, je, nilikuwa kigeugeu? Au ninafanya mipango yangu kwa hali ya mwili, ili niseme, “Ndiyo, ndiyo” na “Siyo, siyo” wakati huo huo?
18 Lelo Ungulubhi shamwinza, setiyanga aja, “Ndadi” Awe “Ewa.”
Hakika kama Mungu alivyo mwaminifu, maneno yetu kwenu hayajawa “Ndiyo na Siyo.”
19 Abhe umwana wa Ngulubhi uYesu Kristu, u Silwano, nu Timotheo nanee tabhatangazizizye huje hwamwene tiyiga “Ena” au “Ndadi” hwa mwene tiyiga “Ena.”
Kwa kuwa Yesu Kristo, Mwana wa Mungu, ambaye tulimhubiri kwenu: Mimi, Silvano na Timotheo, hakuwa “Ndiyo” na “Siyo,” bali kwake yeye siku zote ni “Ndiyo.”
20 Maana ululagano lwa Ngulubhi huje “Ena” humambo gonti, hwa mwene zyonti huje “Ena” mwamwenye esho ashilile hwa mwene tiiga “Amina” hutuntumu wa Ngulubhi.
Kwa maana ahadi zote za Mungu zilizo katika Kristo ni “Ndiyo.” Kwa sababu hii ni kwake yeye tunasema “Amen” kwa utukufu wa Mungu.
21 Yu Ngulubhi yatihakikisyi ati namwe mwa Yesu aje atitumile.
Basi ni Mungu atufanyaye sisi pamoja nanyi kusimama imara katika Kristo. Ametutia mafuta
22 Abeshele eshimanyilo (omuhuru) hulite nantele atipiye no Mpepo wakwe mumoyo getu aje shibhe shilongolo shaitipela pamande.
kwa kututia muhuri wake na kutupa Roho wake mioyoni mwetu kuwa rehani kwa ajili ya kututhibitishia kile kijacho.
23 Ehubhuzya Ungulubhi ambule zyasigana henzeye hu Koritho, aje ensabhabidushile amwe.
Mungu ni shahidi wangu kwamba ilikuwa ni kwa ajili ya kuwahurumia ninyi sikurudi Korintho.
24 Eli siyo huje tibhonesya sa aluhwanziwa ulweteshelo lwetu aje shalubhe, tibhombha pandwemo namwe hunongwa.
Si kwamba tunatawala imani yenu, bali twatenda kazi pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu, kwa sababu ni kwa imani mwasimama imara.

< 2 Abhakorintho 1 >