< 2 Abhakorintho 10 >

1 Une ne Paulo, nene ebalabha huu nyenyekevu na uhugowe uwa Kristi. Nane endihogowe wakati nkendi hwitagalila lwenyu, Nina umalidada hwilimwe wakati nendi uhutali namwe.
Basi, mimi Paulo ninawasihi kwa unyenyekevu na upole wa Kristo, mimi niliye “mwoga” ninapokuwa pamoja nanyi ana kwa ana, lakini mwenye ujasiri nikiwa mbali nanyi!
2 Embalabha amwe aje wakati nehwendi pandwemo namwe, sewanza abhe malidadi na hwiyamini hwilini nene. Lelo esebha ehwanza abhe malidadi wakati embakhoma bhala bhabhasebha aje tikhala jinsi eshebele.
Nawaomba nitakapokuja kwenu nisiwe na ujasiri dhidi ya watu fulani, kama ninavyotazamia kwa wale wanaodhani kwamba tunaishi kwa kufuata namna ya ulimwengu huu.
3 Antele nkashile tijenda katika belesetikhomana ibho kwa jinsi eyebele.
Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo.
4 Antele endoso zwatilumila akhomani se zwebele. Antele zilina maha ageshi Ngolobhe anankanya engome zwa zihwefwa tee mijadara yetezwa.
Silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome,
5 Antele tinankanya kila chenye mamlaka gagahwinula ashile amataifa aga Ngolobhe. Tibhomba atekaye shila sebho eyogope hwa Kristi.
tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu, na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo,
6 Tipewewe utayari uwa kuadhibu kilo matendo lyasa lihopa mara tu utii abha kamili.
tena tukiwa tayari kuadhibu kila tendo la kutotii, kutii kwenu kutakapokamilika.
7 Enya shila shashiliwazi hwitagalila lwenyu. Nkashile yoyonti yasohwa aje umwahale wa Kristi, na hebu ahwikumbuzwe yoyo mwenyewe aje tu shahweli wa Kristi, esho shatili ate antele tili shesho.
Angalieni yale yaliyo machoni penu. Kama mtu yeyote anaamini kuwa yeye ni mali ya Kristo, basi kumbuka kuwa kama ulivyo wa Kristo, vivyo hivyo na sisi ndivyo tulivyo.
8 Afwanaje hata nkembahwilole hashe tee ahusu mamlaka Ugosi agafumizwe kwajili eyahwiliti abhazenje amwe na sio abhana nkanye sembalole esoni.
Basi hata kama nikijisifu zaidi kidogo kuhusu mamlaka tuliyo nayo, ambayo Bwana alitupa ili kuwajenga wala si kuwabomoa, mimi sitaionea haya.
9 Sehwanza eli libhone aje embogofwe amwe hwu nkalata zwane.
Sitaki nionekane kama ninayejaribu kuwatisha kwa nyaraka zangu.
10 Shila bhamo abhantu bhayanga, “Enkalata zwane hali na zilinamaha, lelo eshebele umwahale zaifu. Enjengo zwakwe sezihwaziwa atejelezewe.”
Kwa maana wanasema, “Nyaraka zake ni nzito na zenye nguvu, lakini ana kwa ana ni dhaifu na kuzungumza kwake ni kwa kudharauliwa.”
11 Umba abhantu bhenamna enyo bhelewe aje shila shatiyanga unkalata wakati natili hutali, ni lyolilyoli tilishalipandwemo namwe pala.
Watu kama hao wajue ya kuwa, yale tusemayo kwa barua tukiwa hatupo pamoja nanyi, ndivyo tulivyo na ndivyo tutakavyofanya tutakapokuwa pamoja nanyi.
12 Setibhale uhutali tee ahwibhonganye tete au ahwilangisye tete na bhala ambao bhuhwisifu bhebho. Lelo nabhahwipama bhebho nab shila muntu wao salinejele.
Hatuthubutu kujiweka kwenye kundi moja au kujilinganisha na hao wanaojitukuza wenyewe kuwa wao ni wa maana sana. Wanapojipima na kujilinganisha wenyewe kwa wenyewe, wanaonyesha ya kuwa hawana busara.
13 Ate hata shesho setibhalwivune, ashele empaho. Badala yakwe tibhabhombe shesho tu mhati eye mpaho ambayo Ungolobhe atipimie ate empaho yefiha utali uwenyu shauhweli.
Lakini sisi hatujajivuna kupita kiasi, bali majivuno yetu yatakuwa katika mipaka ile Mungu aliyotuwekea, mipaka ambayo inawafikia hata ninyi.
14 Afwanaje setahwiyonjizwezwe. Tete natabhafishiye amwe tali bhahwande afishe uhutali neshe uwenyu ewilombelelo lya Kristi.
Kwa maana hatukuwa tunavuka mipaka katika kujisifu kwetu, kama vile ambavyo ingekuwa kama hatukuwa tumekuja kwenu. Kwa maana sisi ndio tuliokuwa wa kwanza kuja kwenu na Injili ya Kristo.
15 Selihwivunile ashile ampaho ahusu embombo ezwa bhanje. Badala yakwe titegemela neshe ulyeteho lyenu shalukula aje ieneo lyenyu elye mbombo libhapanushe tee, antele bado ibhabhe muhati eye mpaho eye lyoli.
Wala hatuvuki mipaka kwa kujisifu kwetu kwa ajili ya kazi iliyofanywa na watu wengine. Tumaini letu ni kwamba imani yenu inavyozidi kukua, eneo letu la utendaji miongoni mwenu litapanuka zaidi,
16 Titegemela huveli aje tiwezwe alombele endombelelo hata hwenye mikoa zaidi yenyu. Setibhahwikune ahusu embombo yebhombeha katika sehemu ezwamwao.
ili tuweze kuhubiri Injili sehemu zilizo mbali na maeneo yenu. Kwa maana hatutaki kujisifu kwa ajili ya kazi ambayo imekwisha kufanyika tayari katika eneo la mtu mwingine.
17 “Antele yoyonti yahwilola katika Gosi.”
Lakini, “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Bwana.”
18 Hwa maana siyo yola yahwisibitisya yoyo asibitiziwa. Isipokuwa, yoyo ambaye Ugosi ahusibitizwa.
Kwa maana si yeye ajisifuye mwenyewe akubaliwaye, bali yeye ambaye Bwana humsifu.

< 2 Abhakorintho 10 >