< 1 U Timotheo 6 >

1 Bhala wonti bhabhali pansi yijoko hansi abhatumwa bhabhajele agosi bhao hansi bhi iheshima zyonti, bhahanziwa awombe esho ili itawa lya Ngolobhe na amanyizyo gagajialigwe.
Wale wote walio chini ya kongwa la utumwa inawapasa kuwahesabu mabwana zao kuwa wanastahili heshima yote, ili jina la Mungu lisitukanwe wala mafundisho yetu.
2 Abhatumwa bhabhali nu gosi bhabheteshe bhangajehubhasyoshele kwa sababu abhene holo. Badala yakwe bhabhatumishile hani. Kwasababu agosi bhabhahavwa imbombo zyawo bhabheteshe nabhaganilwe. Fundizyaga na lumbelele amambo ego.
Wale watumwa ambao wana mabwana waaminio, haiwapasi kupunguza heshima yao kwa sababu wao ni ndugu. Badala yake, wawatumikie hata vizuri zaidi, kwa sababu wale wanaonufaika na huduma yao ni waaminio, ambao ni wapenzi wao. Fundisha mambo haya na uwahimize kuyafuata.
3 Nkesho umuntu omo amanyizya whateje na sagahugeteha amaelekezo agetu gawhaminishe, gagali mazu ga Gosi wetu uYesu Kristi, nkasagabhahulyeteha imanyizyo lililongozya hugolosu.
Ikiwa mtu yeyote atafundisha mafundisho mapotovu wala hakubaliani na mafundisho manyofu ya Bwana wetu Yesu Kristo na yale ya utauwa,
4 Umuntu oyo ahujidai sagamenye hohonti. Badala yakwe nu pezu namadalihanyo pamwanya yinjago, injango ezi zipapa uwivu, iwo, indigo, ishauku imbibhi,
huyo amejivuna wala hajui kitu chochote. Yeye amejaa tamaa ya mabishano na ugomvi kuhusu maneno ambavyo matokeo yake ni wivu na mapigano, maneno ya ukorofi, shuku mbaya,
5 nu pezu wimara kwa mara kati yi bhantu bhe njele zizinanjishe bhasebha aje uwutanwa lidala lyabhe bhatabhazi”
na kuzozana kusikokoma kati ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli, na ambao hudhani kwamba utauwa ni njia ya kupata faida.
6 Eshi uwugolosu nalizishe faida ingosi.
Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa.
7 Kwa sababu sagatahenzele na shoshonti panse. Wala sagatiwezya aheje shoshonti afume panse.
Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.
8 Ibadala yakwe titosewe ni shalye na menda.
Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.
9 Eshi ewo bhabha whanza abhe ni ntabhazi bhagwa hunjelo, katika umtego. Bhagwa huukwelengusu umwinji ni nyanyu imbibhi, na hushintu shoshonti, shishihubhawomba abhantu bhadwine na maangamizi unanganyi.
Lakini wale watu wanaotamani kuwa na mali kwa haraka huanguka kwenye majaribu, na wamenaswa na tamaa nyingi za kipumbavu zenye kudhuru, zinazowazamisha watu katika uharibifu na maangamizi.
10 Afwatanaje asongwe ihela ni wandilo wiaina zyonti zimbibhi. Abhantu ambao bhanyonywa eyo, bhateywiwhilwe uhutali nulweteho na bhajoshizye bhene nsewo inyingi.
Kwa maana kupenda fedha ndiyo shina moja la maovu ya kila namna. Baadhi ya watu wakitamani fedha, wameiacha imani na kujichoma wenyewe kwa maumivu mengi.
11 Eshi awe wamuntu wa Ngolobhe, gashembele amambo ego. Fwata ilyoli, ugolosu, uwinza, ulugano, ujivwi, nuu pomakati.
Lakini wewe, mtu wa Mungu, yakimbie mambo haya yote. Fuata haki, utauwa, imani, upendo, saburi na upole.
12 Khoma iwo ilinza lilweteho. Lemelela uwomi wiwila wakwiziwilwe. Yali husababu ene aje ufumye usimishizi whilongolela lya simishizi abhinji whalila lililinza. (aiōnios g166)
Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi. (aiōnios g166)
13 Ihapela indajizyo ene whilongelela lya Ngolobhe, wasababisya ivintu vyonti akhae, na whilongolela lya Yesu Ukristi, wayanjile yili lyoli wha Pontio uPilato:
Nakuagiza mbele za Mungu avipaye vitu vyote uhai, na mbele za Kristo Yesu ambaye alipokuwa anashuhudia mbele ya Pontio Pilato alikiri ukiri mzuri,
14 Yibheshe indajizyo whilyoli bila amashaka, hadi Ugosi wetu lyayihenza uYesu uKristi.
uishike amri hii bila dosari wala lawama mpaka kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo,
15 Ongolobhe ayidhihilisya ulwenzo lyakwe umuda gog- Ungolobhe, Unsayiwe, engovo yene, umwene watabhala, ugosi walongozya.
ambaye Mungu atamleta kwa wakati wake mwenyewe: yeye ahimidiwaye, aliye peke yake Mtawala, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana,
16 Mwene akhala wila wakhala mu mwuzelu wosojelelwa. Nomo umuntu wawezya hunolo wala tete humwenye. Hukwakwe ibheheshimu nuuweno wiwila. Amina. (aiōnios g166)
yeye peke yake ambaye hapatikani na mauti, na anakaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen. (aiōnios g166)
17 Bhawozye atabhazi monse omu bhangajihyituntumule, na bhangajitegemele uwutabhazi, wuwuli sagawiuhakika. Ibadayakwe, bhahanziwa ategemele Ongolobhe. Waliutipela utabhazi wonti wilyoli ili tisongwe. (aiōn g165)
Waagize wale ambao ni matajiri wa ulimwengu huu waache kujivuna, wala wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie. (aiōn g165)
18 Bhawozye bhawombaje aminza, bhatajilishe humbombo inyinza, bhabhe bhabhe bhakalibizi numutayali wafumye.
Waagize watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, pia wawe wakarimu na walio tayari kushiriki mali zao na wengine.
19 Whidala elyo bhanzahujibheshe umusingi umwinza humambo gagawhenza ili bhawezye akhate ukholo wowo.
Kwa njia hii watajiwekea hazina kama msingi kwa ajili ya wakati ujao na hivyo watajipatia uzima, yaani, ule uzima ambao ni wa kweli.
20 I Timothewo, ulinda shila shupewilwe. Jefwe namapanjizanyo gishikwelengusu amadalihanyo gahujikhane gagali gilenga gahwetwa njele.
Timotheo, linda kile kilichowekwa amana kwako. Epuka majadiliano yasiyo ya utauwa na mabishano ambayo kwa uongo huitwa elimu,
21 Baazi ya bhantu bhahugatangazya amambo ego nesho bhakosile ulweteho. Ineema ibhe pamoja nawe.
ambayo wengine kwa kujidai kuwa nayo wameiacha imani. Neema iwe nanyi. Amen.

< 1 U Timotheo 6 >